mmh we humjui john maswali yake anakua km amekurupuka tu. utaskia ' kuna tetesi we ni mganga wa kienyeji unaweza kutufafanulia apo' haaa!! John be serious braza @Joyce
Salama usitumie chaki time past I will send you a model white board you write with black rising mark pen we use here UTSouthwestern Medical Center Dallas Texas. On my weekend always natazama kipindi .
This guy is super smart ,duh!anajibu maswali kwa akili .Big up Joh!👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
nice interview. Namkubali sana Joh, katulia ile mbaya, majibu makini hatari. God bless
theo elly Makini Ako Makini For Real
John Makini..Yuko serious na Kazi. Anajuwa anacho kifanya.
Nawapenda sana Weusi
Great guy Joh
As always, Salama n Crew are also great!
I really appreciate you so much
joh makini kama akisema asome atakuwa WAKWANZA darasani ni genious sana huyu mshkaji
Noma sana ..muba jitahidi unazingua kidogo
#rapgenius the best mkasi interview ,love u king joh
very nice interview joh, actually you have high confidence brother !!
this guy is really mature in the way he answers and tackles questions.. and stands ground. #muchrespect#
nmemuelewaa sanaa joh na majibu mazuri sanaa
This was a good one
Nice Interview Joh!!
joh makini anaongea kama mtu mzima..anaongea anachokijua ..yan he is good ..ni professional hakurupuki kujibu
Jay mo na Joh makini the best so far.
napenda sana hip hop na nawapenda sana joh na fid hila mi ni mpenzi wa j nature hongera kazeni wana hip hop
Joh mpole sana aisee
joh makini uko poa sana kaka
muba ana content sema namna ya kupresent content smtms ana stuck ol n ol u really cool unawakilisha maswali ya mtaa kbsa ambayo uswazi tunajiuliza
apreciat joh
Joh.....ua ril a genius
2020 lkn mkasi ni bonge 1 la show
chalii wa chuga aina noma man
I love this trio (Muba-Salama-John)
host wa mkasi muwe mnakumbuka kuwawekea maji wageni naona wanapata tabu sn wanaongea dakika nyingi so maji muhimu....
Tumia vyema kila muda unaopata. JohMakini
Joh ur a genius nakkubali xna braz
Joh sema tu shairi lako bora ni kwenye wimbo wa Hao tu!...
The guy is cool!!!👍
daraja mbili ngalelo daraja hili hatutaki masooro
Joh makini yuko makini!
mmmmh hii iko poa sana
Muba ujue kua hippap nimusik wakigumu sio wawabana pua
salama and AY u duin it great....... with Joh and hip hop , I think one song with Fid Q will be a hit song.. .. Joh Makin Ft Fid Q
nice kaka
Mzee wa nusu nusu siku izi umekua nusu lita
ilove makin
ipo powa sana ndo yaendelea hivyo
Johmakini
safi
real like this guy
muba anazingua hawazi kunyamaza
9c joh na kukubali xana xalama jabir love u all
Arusha Nohma
Ipo vzr
👍
uyo john leo katulia maana maswali yake huwa kama kuku
jaman watu mna Maneno?
mmh we humjui john maswali yake anakua km amekurupuka tu. utaskia ' kuna tetesi we ni mganga wa kienyeji unaweza kutufafanulia apo' haaa!! John be serious braza @Joyce
+Jossy Mjuba A hah hahahahahaha jaman!
Ahuhuuh ivo yan
+joyce john muba uwa ndo ana maswal ya kipimbi
mwamba katixha
Muba unaboa, Joh anaulizwa swali unajibu wewe. Nigga sometimes u really need to Chill. Joh Makini anajibu vizuri maswali vizuri the gøy he's really cool aiseee
Fala ndio nini ?
Salama usitumie chaki time past I will send you a model white board you write with black rising mark pen we use here UTSouthwestern Medical Center Dallas Texas. On my weekend always natazama kipindi .
Mwamba
NOUMA SANA
JOH
hizo karata zina tukata stim.plllllz dont do that again #KingBidaMusic
Don't brother!!!!!!!
mmmh braza unatudanganya bahna
mzee chichi?
Dont bother!!!
Don't bother
Hakuna mtu anayefanya HIP POP kama FID Q na wengine wanajikongoja tu ila FID Q NDIO DAMU YA HIP POP
George Yunji wapii ww asee