Weeeh 'J ' utatuletea udaku mingu bro😂. Alshabab ndio wanatuangaishanga huku Mombasani. Pia nashangaa sasa wamesimamisha DCI MPOA HIVI JOB WAMEBAKI NA WALE WAKUSHOOT GEN-Z? GOD HAVE MERCY ON OUR NATION. GUY'S CONGRATS
@@AysherHassan-ws8ed you better made your heart pure if you are the christian or Muslim cos God is interested with your heart not religion,see the embarrassment in the religion name now
Don't fear death even where u r hujui adui also remember death has no escape the death which occurred kijabe nobody was aware ni mungu tu atatuzingira.
Hawa wajinga wachache ndio wanaochafua dini ya waislam.swali langu ni alshaabab ina uhusiano gani na dini?hawawezi kujitenga na dini au wakaanzisha dini yao wasichafue hawa wengine?
Sasa dj umeanzana na Alshababu? Wewe ndie mkubwa kushinda Dedan kimathi? Sasa umengeza studio yako mahali pa kulete magaidi? Hurumii yourself na family yako?kitakuramba peke yako
Allah hanatakua na huruma na mtu mwenye anamushirikisha na kintu chochote ,allah hanamusamaha namutu mwenye kujiuu , huyo kijana alidanganyw eti akijiuu ataenda mbingini
DCI nakupenda Tu bure Kwa kazi yako poa
Imagn ata nguvu ya Bibi kumwacha sijui anatowa wapi
Jay tuko nyuma yako with prayers,,,lazima Kenya ibaki na Amani
Sincerely speaking DCI is doing great job and should be taken back to his work yawa anyway we salute you guys for work well done
😂😂😂 hadijah you nail it
Nope he is
Waaa jey sasa ujipange wezake wasikukujie❤
Yeah
Nikubaya
Hee jaman hii dunia imekwisha mtuy kavaa kanzu na yupo kajiingiza kwa mambo kam haya duuh
😂😂😂😂😂wah ii planet iko na mambo ,,,chukueni iyo 300k nyuma ya camera at least itasaidia 😢
Then watu waendelee kufa😢😢
@@Lzzlzz-k3m wakichukua si ati ataachiliwa ,atakua Hana za kueda kuhongana Dani
Waaa😅😢. Mungu saidia Kenya. The attitude with these young people,they think everyone can be purchased
Good job director jay and dci
Hio gaidi ikienda cell itatoka ,karao gani atakataa 300k.i think mshike wote then risasi ya kichwa
Director Jay be careful na wale unadeal na wao sasa umeletewe alshabab wah noma kumbe kenya imeficha mambo mingi sana chini ya maji
But hii Kenya hakuna haki cz huyu jamaa angekuwa amefungwa forever
I'm 14:10 Hawa nimagaidi hakuna Dini yakuuwa kunajisi namaovu Yote hawawanadanganya watu kwapesa niushenzi wako nao washikwe wrote plz
Jay watu Kama Hawa sio wakuleta studio
Wooooooiiiiii😮 uyu ni kevo dunia kwesha....
Master wao ashikwe mwenye alikua hanawatuma kuipua
Huyu amearibia waislamu Jina.
J huyo nigaidi hakuna gaidi Muslim hawana dhalilisha dini zawatu hataukimtoa hizonguo hufungwi na sheria
Some messages bro
LADY YOUR COMPLAINING NOW AND YOUR EVEN WEARING THE DRESS& AND SHOES HE BOUGHT FOR YOU GIRL
Huu jamaa akili si timamu
Atajilipua na alipue mataa yote, this is a bandit, afinywe na awekwe ndani!
19:21 Wana tutukansha tuonekane soote niwabaya hii sidini niugaidi Hana uislamu Wowote
Hii kitu sio ukweli nikipindi acha kutupima bana
Weeeh 'J ' utatuletea udaku mingu bro😂.
Alshabab ndio wanatuangaishanga huku Mombasani. Pia nashangaa sasa wamesimamisha DCI MPOA HIVI JOB WAMEBAKI NA WALE WAKUSHOOT GEN-Z? GOD HAVE MERCY ON OUR NATION. GUY'S CONGRATS
Hakuna kwa dini ya ki Islam kama kulipua watu alafu mbinguni uta pewa wanawake 7 hiyo ni dini yao si uislamu
Ukweli huo kutuchafulia Jina la dini
HAWA AKIKA KUTOELEWA QURAN NI VIBAYA ALLAH YUPI ULIPA MAOVU NKT WAUWAJI NYINYI IN THE NAME OF ISLAM
Huyu niaende ndani atlist watu wa Lamu wapone😢😢😢😢
Jay wewe unajua alishabaab kweli!!!umejiweka kwa shida pamoja na familia yako yote
Wapi waislamu wenye usema usiaibishe waislamu😂huyu hata ni guy si muaji tu,i honour Only God Mambo ya religion hapana
Weeeeee wewewwweweeeeee
Unamtowaje mavazi yake ? Wacheni ubaguzi nyinyi .
Wah😅 huyu mrembo hapewe KAZI ya Karao hako poa nmemnice
Finya yeye makende....
Malaya😂😂😂😂
Leave ushago so what
Kaustanzi kaa TZ HAKO SUBKHANA LLAH
Sikiliza speed ya huyo kanzu ndo utajua wa nchi ganii 🖕🖕
Wanatumia Dini ya kiislamu na jina la Allah vbaya.Dini ya kiislamu inasema kuua watu innocent ni haramu so wanatumia Dini vbaya hawa😢
Wasaudi si waislamu,but why coz uua watu kama wanyama
Those are SHEA Muslims wenye Hua we sunn Muslims we don't
@@AysherHassan-ws8ed you better made your heart pure if you are the christian or Muslim cos God is interested with your heart not religion,see the embarrassment in the religion name now
Mwana kilipuzi
Wah....nani kadanganya watu ukiua watu kwa kujilipua unaenda direct heaven where 7 virgins wanakungoja....this is Nonsense
Shakahora in a different way
@@sarahngige1589 I swear
😅😅😅
Ingekuwa 🇹🇿 hata asingepata nafasi kuojiwa live
Kenya wana huruma 😂😂
Dunia simama mimi ni shuke ...likes tukisonga 😮
May God bless this DCI
And ako happy analipua watu...this world surely...Mungu saidia watu wako
Brain washed
Jay you have done a very big mistake kupeleka hio ghaidi kwa studio
Don't fear death even where u r hujui adui also remember death has no escape the death which occurred kijabe nobody was aware ni mungu tu atatuzingira.
Kabisaa hiyo ni big mistake
True
Na ILE ilikua Westgate Westland , walionyehwa na nani. Fearing death aaih....God knows everything.
This person is a dreadful even to enviroment. Dci pls do something to save lifes of innocient souls
As Muslim woman I agree. This is gang using religion
Msichana 🏃🏃🏃apo akuna mapenzi usijaribu kurudi uyo Mjiga aiiiiiiiyaaaaaa 😢😢😢
Alafu kama ni alshababu angekuwa hapo sai angekuwa police wacheni kutubeba ufala
Kitu napendea huyu kijana ni muwazi tokea mwanzonii
Huyu jamaa jay mnafaa mumpeane Kwa kambi ya Jeshi na sio polisi,it's a terror case,polisi wataachilia hii mutu na bond
Ma police ni bure xana
Police wakipewa kitu kidogo that is it.
By the way ni ukweli anafaa apeanwe kwa kabi ya jeshi,,kwa makarao atawapea hongo na atatoka
DCI nakupenda tu bure❤
Jay kabla upeleke Dci kwa Job nje unauliza yeye kama amekula food please
I hope he will consider this comment, jay please do so
🤔🤔🤔
I second you please please
Mambo nimazito 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pls pls Jay, DCI and all your team... kindly pls... don't accept bribe with expense of innocent blood to be shed!;!!!
Of course they can't take the bribe as long as Jay is there.. God forbid.
Director J.read the messages.we are listening 🎧, might be through this we can safe our families in those areas,wasije wakalipuliwa.Pls expose them
Huyu dem ni mrembo woi uliangukia mkono mbaya
Wasichana wengi wana tamaa ya pesa ndio maana wa naingia kwenye shida kila wakati.
Juu ya tamaa ya pesa
Jay keep up good work like like
Hand over this guy to antiterorist unit,atahudumiwa hapo
Kito nakuambia usomage message halaf forward kwa cm nyingine kabla hujasoma hadharani ili kuhifadhi ushahidi
Toa hiyo kanzu ni ya kuheshimiwa
J huyu nugu chunga sana atolewe hapo mukifunika uso sababu ninaona akirudi au kutumana team yake waje kulipia hapo ama ni mimi ninafikiria vibaya
Jay hii case huezi handle ungempeana mbele na kumbuka kàma madamu and governor walikushinda hii nayo itakulemea zaidi
An terrorist unit sio police cz akifika kwa Kambi ataongea zote
Hawa wajinga wachache ndio wanaochafua dini ya waislam.swali langu ni alshaabab ina uhusiano gani na dini?hawawezi kujitenga na dini au wakaanzisha dini yao wasichafue hawa wengine?
😢 kweli
DCI na JAY congrate
Sitawai tamani life styles ya watu 😢😢😢😢😢😢😢
😅😅😅😅😅 mofa ulikataa 50k😅😅 ushikwa shikwe😅 nice work mofaaa 😂 ed team jay our dci❤❤pigeni like tukieda😅
Pia Sisi wanawake tuache kuwapeleka mbio waume zetu.please ndio unafanya wanaume wafanya kazi sio nzuri.😢😢😢😢😢😢
Mukimwachilia atawalipua nyinyi kwanza
Sasa dj umeanzana na Alshababu? Wewe ndie mkubwa kushinda Dedan kimathi? Sasa umengeza studio yako mahali pa kulete magaidi? Hurumii yourself na family yako?kitakuramba peke yako
Kwani nyinyi mnafikiri al shabanu ni ugaidi?Al shababu is arabu name vijana in English guys
Acha ujinga wewe fala sana😏
Huyu ataje kundi lote linalohusiana na alshabab
Wasichana tafuta pesa yenu huyu msichana ni mjinga amezoea ready made wacha kimurambee
Ashikwe na kundi lake lote hadi sheikh mwenye mpango.
This is God's doing. He has saved many souls.
Huyo sio muislamu Kwanza NI mzinzi atoe hiyo nguo nguo siomungu Bali nguonikama nguo zinginetu za kujistiri 😢siokmuslim huyo toahizo nguo
Hii Kenya ukiwa na Pesa huenda popote,huyu dame mbona sasa kiherehere,atulie
Mm nauliza aje...wakishalipua watu wanafaidika na nini..iyo pesa wanaliowa inatoka wapi...ama pia mi mmbo na cult wadau
I think so
Hiyo ndo raha yao
Unalipwa ukiua "kafiri"
Hii Kenya ukiwa na Pesa huenda popote
How foolish they are told 17 virgins waiting for them paradise.
Allah hanatakua na huruma na mtu mwenye anamushirikisha na kintu chochote ,allah hanamusamaha namutu mwenye kujiuu , huyo kijana alidanganyw eti akijiuu ataenda mbingini
Dci arudi laxi haraka
Eeeee nikama mgeni Kwa hii kazi maana hajielewi. Wakuu hebu pia angalieni simu ya msichana pengine munaweza pata 123 .ni maoni tu
Sura peke yake inaogopesha wanawake tuna nguvu ati kuna mwenye anaringa na yeye ati my love my heart
Huyu msichana maybe alifuhiswa na pesa
Ety Allah
Huyu anatumika na hao watu and u are still young....
This is acting watch
She is not your wife anymore i will married her right
ATPU case
Nikiwasaidia nyinyi mimesaidia mayatima weee
Mtu kutoka kitale kufika nrb ni abdallah😅😅
Kienyeji kutoka kitale kipsongoo😂😂😂😂
ATI anaiga uislamu😂😂
Weuh jay be carefully pls🙏🙏🙏
Naona jay akiwa next Walai cos kuna wenzake wanamuowatch so utatafutwa walai😂na hakuna hapo kujitetea
Kabisaa tena amemleta studio hii ni hatari sana wanaweza lipua hapo hii sii rahisi aki
Facts
Hakuna pepo ya kuuwa watu wasiyokuwa na makosa usiharibu uislamu 😢😢😢
Kweli hawa watu wanaharibu majina ya waislamu.hata haeleweki mara anaitwa Kwa Bibi wafula.kwa KAZI ni Abi.na huujui uislamu wewe kabisaa
@@shhjab3621 wallah tena
I love DCI ❤️
Can they be serious 4 once
Na hio simu asirudishiwe please..that's a state property and enough evidence
This guy is aliar you cant use same groups name to counter their operations unless you're supporting them or being member
Hawo wanaharibu ulslamu ,hakuna kuuwa Kwa islamu alshsabaab stupidity
😂😂😂😂Nahurumia mtu namsave baby face....hata si type yangu😂😂😂😂😂