MPIRA NI HARAMU - SHEIKH OTHMAN KHAMIS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 25

  • @husseinhassain8188
    @husseinhassain8188 ปีที่แล้ว +5

    Umenifurahisha Sheikh na ww ndo Sheikh wa kwanza Tanzania kukusikia umesema ukweli kuhusu uharamu wa mpiraa Allah akuhifadh na mimi najua kabisaaa mpira haram ila waalim wetu na masheikh wetu hawasemi sababu wao wanapenda mpiraa

  • @WahabuKombo
    @WahabuKombo 14 วันที่ผ่านมา

    Allahi akuifazi kwa kusema ukweli,

  • @hatibumohamedi3471
    @hatibumohamedi3471 ปีที่แล้ว

    mashaallah

  • @hamzaomari3148
    @hamzaomari3148 ปีที่แล้ว +3

    Allah akulipe mazur sheikh uthmaan

  • @faridawanawakehoyeeeeeeeee4785
    @faridawanawakehoyeeeeeeeee4785 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @amourali
    @amourali ปีที่แล้ว +2

    Asante sheikh kwa kutuzindua kiukweli tumepotea waislam wa leo

  • @MbarakAhmed-w1k
    @MbarakAhmed-w1k ปีที่แล้ว

    Swadakta

  • @medwho959
    @medwho959 ปีที่แล้ว +5

    Allah akustiri. Kweli kabisa!!

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ ปีที่แล้ว

    Swadakta sheikh

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 ปีที่แล้ว +1

    Ujumbe wako mzuri sheikh lkn mambo haya hayakuja kwa bahati mbaya hata kidogo bali hii ni vita ya kifikra dhidi ya imaan maana leo watu walivyoathilika wakilala mipira wakiamka mipira imefikia kipindi mpaka misikitini wanazungumza mpira imekuwa kuliko hata dini lkn pia hayo maredio, redioni masaa manne kipindi kinazungumzia mpira tu hivyo ni mambo yaliyokwenda kuigusa mioyo ya watu na kazi iko kweli kweli

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว

    Sema shehe hamiss watu wanyooke

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 ปีที่แล้ว +1

    Mpira niharamu bila chenga

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 ปีที่แล้ว +2

    Sisi tunapenda masheih km nyie mnaojitambua na sio kuwachekea chekea wahalibif tu

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 ปีที่แล้ว

    Duu no comment

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe unaongea ukweli kwa sababu watu wanagombana Sana na kutukanana kwa ajili ya mpira

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 ปีที่แล้ว

    Hn issue

    • @abdulijuma1769
      @abdulijuma1769 ปีที่แล้ว

      Issue anayo danga lako mbwa wewe

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea ukweli japo wewe ni muongo

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh uko sahihi misikiti mingi Leo inamigogolo ukifatilia historia wakifadhiri mbona misikiti iliyojengwa nawaumini haina tatizo tujiulize hawa wafadhili fadha alali au haramu machumo yao.

    • @oasistvtz
      @oasistvtz  ปีที่แล้ว +1

      Shukran sana

    • @johnsulle4679
      @johnsulle4679 ปีที่แล้ว

      Mtasema ata kula ni haramu

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 ปีที่แล้ว

      ​@@johnsulle4679km hukubali bc

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@johnsulle4679huu niuislam kama ww ni kafiri tulia uislam haukuhusu huu ndo uislam Kila kitu kipo kisheria

  • @shaykhmulabasalehlulat4909
    @shaykhmulabasalehlulat4909 12 วันที่ผ่านมา

    Hakuna uharamu wa mpira. Tatizo elimu ndogo na kutoa fatwa wakti wewe siyo mujtahid wala mufti.
    Kwa mantiki ya shekhe asiishie kwenye mpira... Michezo yote inayofanyiwa mashindano leo huko ulaya ni haramu, hata kuogelea na kulenga shabaha.😮
    Kuweni makini.
    Huyu ndiye jasiri wa kwanza katika uislamu kuharamisha kabumbu. Hatariii😮