SHOCKING!!KUMBE BONNY WAS INVESTING ON LONAH MONEY🙌🔥SEE THE COWS HE HAD BOUGHT FOR LONAH BEFORE 💔😭

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 147

  • @Josephine-x9o
    @Josephine-x9o 9 วันที่ผ่านมา +8

    Tafadhali daktari unganisha lona n bonny na uwatengeneze wasirogwe

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 9 วันที่ผ่านมา +11

    Angel b mpe hongera huyu kijana na tunakuomba umwambie huyu dactari atoe huyu muchawi na amurudishe bonny kwa lonnay❤❤

  • @sara-fx3wp
    @sara-fx3wp 9 วันที่ผ่านมา +24

    HapA naona warutiane na bony siku hizi hakuna mwanamume kamili unaeza tuma pesa akuwekee wapi makofi ya bonny manze ni uchawi tu

    • @DoricahMatara
      @DoricahMatara 9 วันที่ผ่านมา

      👏👏👏🙌🏻

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 9 วันที่ผ่านมา +7

    Bonnie you are 1 in a million, a man with Brain, good job Bonnie and congratulations 🎉🎉🎉

  • @gakyjaklin450
    @gakyjaklin450 9 วันที่ผ่านมา +4

    Uyu alikua mzuri n juu ya wachawi ,lonah akae na mzee wake

  • @magdalinewangari7329
    @magdalinewangari7329 9 วันที่ผ่านมา +5

    Wewe baba bonny Wacha tamaa good job 👏👏 bro

  • @Josaphine-o2w
    @Josaphine-o2w 9 วันที่ผ่านมา +5

    Good job bonny mungu atakutendea jisi mtarundiana na lonah

  • @VeronicaVeronica-mn2gi
    @VeronicaVeronica-mn2gi 9 วันที่ผ่านมา +23

    Mama lona tafadhali wacha lona aishi na bwanake,huyo kijana ako na maendeleo ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @SarahWanyonyi-zx7cr
      @SarahWanyonyi-zx7cr 9 วันที่ผ่านมา

      Ndio

    • @YasminKhamisi
      @YasminKhamisi 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@SarahWanyonyi-zx7crwalai uyu mama lona atachukua shamba n mtoto n bonny ndio ameshugulika ata kama dow ni ya mtoto wake asifanyè ivo😢

    • @Vee_5ji
      @Vee_5ji 9 วันที่ผ่านมา

      Kabisaaa

    • @EstherMogire-u9i
      @EstherMogire-u9i 9 วันที่ผ่านมา

      True lakini vile namwona si mmama mpaya

  • @zipporaondieki6850
    @zipporaondieki6850 9 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana Bonny,naomba mungu awalejeshe pamoja❤

  • @MercyNadia-o1k
    @MercyNadia-o1k 8 วันที่ผ่านมา +1

    😢😢😢😢😢😢aki c warudiane jamani kazi safi sana bonny uyu mchawi c atolewe kwa hii boma sually I hate this girl 👧 🤣

  • @sarahwambui625
    @sarahwambui625 9 วันที่ผ่านมา +7

    Wow amazing congratulations bonny good job

  • @phanicemulongo7098
    @phanicemulongo7098 9 วันที่ผ่านมา +2

    Baba bonny ako na roho mbayaa😂😂😂 mzee kufa katika jina la yesu kristo

  • @Shiie.mwongela
    @Shiie.mwongela 9 วันที่ผ่านมา +4

    Lona mahali ako amsamehe boni aki na waendelee kuishi❤

  • @SurprisedBirdBath-qh2nn
    @SurprisedBirdBath-qh2nn 9 วันที่ผ่านมา +2

    Daktari atengeneze lona na bonny warudiane kijana alifanya kazi poa

  • @PriscillaEth
    @PriscillaEth 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wueeeeee bonny 👏👏👏👏akili ukonayo sana ehhh

    • @taleanyahya3687
      @taleanyahya3687 9 วันที่ผ่านมา

      @@PriscillaEth but shida uyu Dem yke mchawi

  • @joyleenivayo3699
    @joyleenivayo3699 9 วันที่ผ่านมา +1

    Eeeish, Bonny ako na akili kumbe, ni wangapi wanachezea pesa ya wanagulf huku nje lakini bònny alikua anafanya venye wanaelewana na lonah. BONNY ni tosha .ni uchawi tu ilikua imemgeuza

  • @rahabkarathe1546
    @rahabkarathe1546 9 วันที่ผ่านมา +23

    Let them lona and boni stay together,l think he is a good guy it's only that witch entered in his life

    • @stellaonsate9869
      @stellaonsate9869 9 วันที่ผ่านมา +1

      I agree 💯 with you

    • @taleanyahya3687
      @taleanyahya3687 9 วันที่ผ่านมา

      Well spoken ❤❤

    • @GfGf-s9t
      @GfGf-s9t 9 วันที่ผ่านมา

      I agree 💯👍🎉

  • @PiliKassim-s9e
    @PiliKassim-s9e 9 วันที่ผ่านมา +4

    Lonah na Bonny warudiane Bonny NI mume na nusu ni wanaume kidogo Sana hufanya hya maendeleo kma hya, bonny huyu mchawi ndo alikuwa yuamsumbua

  • @marymary8313
    @marymary8313 9 วันที่ผ่านมา

    Aky Bonny mungu akubariki i wish ningepata mume ka bonny namutumia pesa ananunua ng'ombe kama izi

  • @JaneMomanyi-mh5kk
    @JaneMomanyi-mh5kk 9 วันที่ผ่านมา +4

    Kwan uyu mzee anakaa kijwa ngumu bonny ww peana mali ikutoke usamehewe bibi yko akirudi mtapendana

  • @linetnyangate1311
    @linetnyangate1311 9 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu bwana ako sawa ata kama alikuwa ameo amefanya kazi nzuri lonah endarea na ndoa yako mmako asione mali akualipie

  • @JosephineBiyaki-t4o
    @JosephineBiyaki-t4o 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mchawi aenda😊😊

  • @NyachwoEvelyn
    @NyachwoEvelyn 9 วันที่ผ่านมา

    This guy is the best 🥰🥰

  • @UsilaChepchumba
    @UsilaChepchumba 9 วันที่ผ่านมา +3

    Bony pokes sawadi yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @JaneCaro-mn2dl
    @JaneCaro-mn2dl 5 วันที่ผ่านมา

    Wow I like that I love that really appreciate doctor I like it❤❤

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 9 วันที่ผ่านมา +2

    na Mali di ya boni Mali ni ya Bibi mkubwa Sahi Bibi mdogo na babake anataka waunganishe

  • @phanicemulongo7098
    @phanicemulongo7098 9 วันที่ผ่านมา

    Hapa tumeanza kuona mioyo ya wivuuuuuuu😂😂😂😂😂
    Please take care Hapa kuna kifoooooo kwa ajili ya hii maliiiiii

  • @estherwamucii-kq4ts
    @estherwamucii-kq4ts 9 วันที่ผ่านมา +2

    Lonah samehea bwana yako na maisha yaendelee,huyu mchawi ndie aliharibu bwana yako

  • @RizikiNyamata
    @RizikiNyamata 8 วันที่ผ่านมา

    Uyu baba simuon poa anaona mali yaenda uyu mzee na uyu mwanamke hawako na huraha😢😢roho mbayaa

  • @taleanyahya3687
    @taleanyahya3687 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wacha mama Lohan don't say anything about BONNIE, but let them stay together with this boy

  • @ttyy7642
    @ttyy7642 9 วันที่ผ่านมา +2

    Dackitali cunga baba bonny nauwomuchawi😢😢😢

  • @DianaMuhonja-oi9co
    @DianaMuhonja-oi9co 9 วันที่ผ่านมา +2

    Tupitiane please 🙏🏽

  • @FaithIrenji
    @FaithIrenji 9 วันที่ผ่านมา +2

    Hata akinukua yote c ni ya msichana wake .bonny hakuwa na job na pesa c zake ndo akupe share

    • @YasminKhamisi
      @YasminKhamisi 9 วันที่ผ่านมา

      Ata kama gaith iyo sio poa walai amemulindia amefanya kitu aliambiwa alafu shamba n ya lona alafu mama yake ajenge lona akirudi atakaa wapi n bwanake

  • @GraceMahia
    @GraceMahia 9 วันที่ผ่านมา +1

    Lonna semehee bwana yako Ako hard working nivile ilitumiwa uchawi na huyu muchawi munawesa eda Pele sana mujikana pamoja muwe family yako na bonn

  • @perisnelima-q8p
    @perisnelima-q8p 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mm siamini bonie kwani hizi ng'ombe nani alikuwa anachunga iwapo wazazi na bibi mdogo hawajwi

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 9 วันที่ผ่านมา +1

    Congratulations 👏 bony

  • @Emmamaina2632
    @Emmamaina2632 9 วันที่ผ่านมา +2

    Waoo, Bonny amenifurahisha sana.. hope mtoto yuko sawa sister ya Angie B

    • @tabbyjoshepat9835
      @tabbyjoshepat9835 9 วันที่ผ่านมา +1

      Sio km yule ngombe wa Maureen

    • @AlshashaCenter-u8q
      @AlshashaCenter-u8q 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@tabbyjoshepat9835😂😂😂😂analialia kaa mtoto,,iiiiiii wananichapia kwetu😂😂😢

  • @drinnerfuraha1161
    @drinnerfuraha1161 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bonny congratulations 🎉

  • @maggiekanorio4905
    @maggiekanorio4905 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mxee na mchawi wanaeza aribia lona maisha akiwa penye ako dtr achunguze hio kitu

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f 9 วันที่ผ่านมา

    Ss mbona huyo mzee anaongea kisirisiri😅😅😅saidia hoye

  • @ChristinatinnahAuma
    @ChristinatinnahAuma 9 วันที่ผ่านมา

    i love you bonny❤❤😂😂

  • @ChristineEtyang
    @ChristineEtyang 9 วันที่ผ่านมา +2

    Good job 👍

  • @johnorina5952
    @johnorina5952 9 วันที่ผ่านมา +1

    Babake bonny haoni vizuri

  • @Josephine-x9o
    @Josephine-x9o 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mchawi anaboo arudi kwa baba watoto wake

  • @Fatu25ste
    @Fatu25ste 9 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa baba bony ety Ako na uzuni juu shamba inapeanwa😂yawa

  • @Emilymama2boys
    @Emilymama2boys 9 วันที่ผ่านมา

    Uyu Mzee nae anaumwa na nn yuatafua kutukabwa uyu mzee

  • @SamiraGodfreyMushi-i5n
    @SamiraGodfreyMushi-i5n 9 วันที่ผ่านมา

    Baba bonny tamaa imeingia😢😢😢

  • @DydcuDHzuv
    @DydcuDHzuv 9 วันที่ผ่านมา

    Nitutoto twa ngombe😂😂😂 I laugh when I heard that.

  • @emilionjeru2560
    @emilionjeru2560 9 วันที่ผ่านมา +2

    It's not about children, this is first wife's investment.

  • @JanetKenyatta
    @JanetKenyatta 9 วันที่ผ่านมา +1

    Me nimependa bonny Sana kama c uyu mchawi arishika bonny na uchawi bonny n mtu arikua anapenda BB yake na anajua kuweka siri Sana imagine ata wazazi awajui kama bonny ako naixi vitu zote ata mchawi ameshangaa, alafu kuna kitu nimesikia akisema eti Mali n katikati yes kama n shamba ya kina bonny uko nyumbani akuna shida nikatikati kama n Ile nyumba Mzee waesabiane mabati BT hii Mali ya lonah n yake peke yake na mtoi wale ata Mzee ataipata kupitia Ronah hili rimama lijase likuje saodia rioshe hamamu pia litafute Mali yakeata nimeona wakifitana na Baba bonny kuenda nyuma na awakujua mama ronah anatoka nyuma Yao mutariria kwa choo nyinyi ronah abaki na Mali yake

  • @Limo-ou1nb
    @Limo-ou1nb 9 วันที่ผ่านมา +2

    Wacha ni wait mwenge Ngombe akikuja

  • @omoshrutto2979
    @omoshrutto2979 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bonny ni ako roho safi uchawi tu ya uyo bibi yake mdogo...lona please usiwaje boni please

  • @lucyauma7385
    @lucyauma7385 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wow Bony good job

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa ni lona amsamehe tu ju. Mambo na uchawi😊

  • @Lastbornofficial1387
    @Lastbornofficial1387 9 วันที่ผ่านมา

    Bonny simama na Mali ni lonah😅😅😅hii ni pesa ya gulf lonah n bonny warundiane n huyu mchawi afukuzwe n daktari n hasahau bonny kabisa

  • @sarahngige1589
    @sarahngige1589 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa wazazi wa Bonie siwaoni vizuri

  • @davidsabai
    @davidsabai 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo mchawi alitaka kuua huyo kijana avhukue hiyo mali uote

  • @monicahmuthoni312
    @monicahmuthoni312 9 วันที่ผ่านมา

    Congratulations bonnie

  • @Saud-o9i
    @Saud-o9i 9 วันที่ผ่านมา +2

    Muchawi alikua anataka kunyakua maliyawenyewe

  • @EuniceJacksonn
    @EuniceJacksonn 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huo ujinga asifanye juu Vitu sizake na watka apewe nni Tena

  • @Zipporah-x1i
    @Zipporah-x1i 9 วันที่ผ่านมา

    Hata kama anamoenda, shamba ninya Lonah na binny. Ata akipeana ni Pesa ya Lonah imefanya kazi ya kununua ngombe. Huyu mze inlove ya ushawi warudie ushawi waharibu Bonny tena.

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 9 วันที่ผ่านมา +1

    haws awangekua hapa wanaribu

  • @WinnieMwaurah-y8k
    @WinnieMwaurah-y8k 9 วันที่ผ่านมา

    Kipindi mzuri,uigizani mzuri kabisa

  • @miriamkusele
    @miriamkusele 9 วันที่ผ่านมา +3

    Guys tupitianeni please 😢😢😢❤❤

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 9 วันที่ผ่านมา +2

    Baba bony ana tams

  • @MwanajumaJinedy
    @MwanajumaJinedy 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa hizo tamaa zitafikisha pabaya kwani
    Mzee sini akonashamba ampee bibimdogo hio shamba niyamwanake kama unaona arabuni watu wameketi tuu panda ndenge ukatafute

  • @AlshashaCenter-u8q
    @AlshashaCenter-u8q 9 วันที่ผ่านมา

    Swali langu ni,,nani huchunga hizi ng'onbe,anwei wacha tungoje

  • @ntigurishajeannette3654
    @ntigurishajeannette3654 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mm lona acahuyu kijana arundian narona

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 9 วันที่ผ่านมา +1

    Baba bony haeleweki

  • @AishaElizabeth-j6h
    @AishaElizabeth-j6h 9 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤❤❤❤ Good 👍

  • @AliceNjeru-os1yb
    @AliceNjeru-os1yb 9 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mwanaume nmeeshimu kama bonny ju amefanya kitu y maana xna, eli warudiane na lonah, daktari fanya kazi apo hao watu wake pamoja walee mtoi

  • @NabuloAidah-s2p
    @NabuloAidah-s2p 9 วันที่ผ่านมา

    Congratulations

  • @carolynewalumbe8921
    @carolynewalumbe8921 9 วันที่ผ่านมา

    Baba bonny and bonny second they're up something

  • @ChristinatinnahAuma
    @ChristinatinnahAuma 9 วันที่ผ่านมา

    huyu shosho wa bonny hanatka kulia😅😅

  • @ndettothejuice3094
    @ndettothejuice3094 9 วันที่ผ่านมา

    Huku ni wapi kuzuri kiasi hiki nikanunue shamba?

  • @LucyLucy-z6z
    @LucyLucy-z6z 9 วันที่ผ่านมา

    Tekitari fanyia hile kitu baba ya bonny na na huyo kajinga ya mchawi

  • @sibiahimali5041
    @sibiahimali5041 9 วันที่ผ่านมา +1

    Bonnie mwanaume tosha

  • @AlshashaCenter-u8q
    @AlshashaCenter-u8q 9 วันที่ผ่านมา

    Nowender from the start bonny alikuwa na rungu kwa shigo hadi nikajiuliza kwani rungu ni ya kazi gani? Kumbe ni mchungaji

  • @lucymaina3508
    @lucymaina3508 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni mwanaume Lona asimuache nikulogwa alilogwa

  • @sarahngige1589
    @sarahngige1589 9 วันที่ผ่านมา +1

    Share ya kutoka wapi

  • @dianaolianga4996
    @dianaolianga4996 7 วันที่ผ่านมา

    Good job hata kama ameoa but hajakula doo zote

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f 9 วันที่ผ่านมา

    Ss huko mutu anaeza Jenga akapata rent kweli, ama mutapanda mimea

  • @ElphineKemmy
    @ElphineKemmy 9 วันที่ผ่านมา

    Bonny warudine na Ronah mchawi awende

  • @gozakoth8466
    @gozakoth8466 9 วันที่ผ่านมา +1

    muke mdogo ulikua unalima hapo

  • @NduwimanaAmina-io2cf
    @NduwimanaAmina-io2cf 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona. Babawaboni. Anazungumuza. Nabibi. Mudogo.

  • @ChristinatinnahAuma
    @ChristinatinnahAuma 9 วันที่ผ่านมา

    kwani huyu babake bonny hakili ayeke ni poa kweli

  • @FfFf-zw4oy
    @FfFf-zw4oy 9 วันที่ผ่านมา

    Kumbe bonny alifanya kazi Safi kama hii ni Ukweli

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli baba bony anatamaa xana

    • @LucyLucy-z6z
      @LucyLucy-z6z 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @AgnesKamau-h6j
    @AgnesKamau-h6j 9 วันที่ผ่านมา

    The first message said the woman run away from her husband to come eat longs money so she can go back to her house

  • @Akinyidoreen-w5g
    @Akinyidoreen-w5g 9 วันที่ผ่านมา

    Lonah amsamehe tu Bonny ju kwa,kweli amefanya kazi poa,,ni huyo mchawi tu ndio alimchanganya akili.

  • @puritykaptain4511
    @puritykaptain4511 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa watu ni kabila gan

  • @GraceMahia
    @GraceMahia 9 วันที่ผ่านมา

    Huyu baba Bonn kwani anataka mali ya Lona na sio ya kijana yake Ako na tamaa sana na mali ya wenyewe dactari usikubari mali ya Lona iede na mutu mwingine plz

  • @lizabeth6305
    @lizabeth6305 9 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @JohnWere-w2l
    @JohnWere-w2l 9 วันที่ผ่านมา

    Naomba unisaidie number ya dakitari

  • @morrismaina-ct3is
    @morrismaina-ct3is 9 วันที่ผ่านมา

    Thy guy was investing properly

  • @lizabeth6305
    @lizabeth6305 9 วันที่ผ่านมา

    🙏🙏🙏🙏😍😍😍😍

  • @PaulineNduta-i5y
    @PaulineNduta-i5y 9 วันที่ผ่านมา

    Nasilala wapi

  • @Naom-w4z
    @Naom-w4z 9 วันที่ผ่านมา

    Kama Bony hanaongea hukweli juu ya shamba na hizo ngombe wacha warudia na Lonah

  • @PeterKamau-gu1tx
    @PeterKamau-gu1tx 9 วันที่ผ่านมา

    Kama nh kweri ni zake ata lona akuje sasa wakae na bwanake mama lona asipewe

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 9 วันที่ผ่านมา

    Baba bony akae na mchawi wake lonah akae na bony

    • @julietsoita1401
      @julietsoita1401 9 วันที่ผ่านมา

      Fact huyu mwanaume ako na akili ni uchawi ndio ilimufanya hivyo