Yani Leo nimecheka yangu yote kwa kile mlicho fanya. Congratulations guys job well done .Alafu kp na zebu muache kukimbiza mtoto akiomba bia maana kafwata tabia zenu
Yani watu wamecheck movie nzur bdala waseme chochte chakupongeza ili mtu Avandia comments tu kuomba like duuh hakuna watu wanaonkera kma wenye kukimbilia kuomba likes,ila group kp &Zebuu nawapenda sana kazi zenu ni nzuri na zenye mafunzo mauwa yenu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂walio cheka mwanzo mwisho gonga like hapa kwa kaz nzur 🎉🎉🎉❤ from kenya
Dah mbavu zangu
😅😅😅nimecheka kama mjinga
@@MwanakomboChakwe 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mnaniuwa mbavu zangu
jmn mm ni mgeni na Toka nifatilie hii movie sijapata hata like Moja 😢😢😢na km unapnd hii movie tusaport mweztu 😢🎉🎉
Utakayesoma hii coment mungu akubaliki wew na uzao wako na maisha marefu❤🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤝🙏🤲🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Amina
Allahuma Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen yaraabiiilaalamini 🙏🙏🙏
Amena Pia asant Na wewe pia
Ameeeeen
Yaani nimependa sana hii movie 😂😂😂so creative 🎉pokeeni maua yenu🥀🌹🌺🌸🌻🌼💠💐🏵️🌷⚜️
Tuzo za mwaka ni za mzee likoma walah 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
I myself love likoma na hizo vituko zake🎉🎉🎉🎉🎉
Noma san kp n zebuu like zao Kwa mpigo n norah❤❤❤❤❤❤
Ushuzi for me😅😅😅😅😅😅mtaacha comedy nyie mwanichekesha saana,,,,na mkishaniua sasa mje Kenya mnizike 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nimecheka mie leo had waiguru akaja kuniuliza na cheka nn jaman nawapenda nyote❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani likoma wajua kunichekesha 🤣🤣🤣🤣🤣 mpaka mume wangu kanuna sababu yako
Wow Leo nikajatibu nipewe like jamani from kenya
Ufanye nayo nini like😂
@@RachelMdao 😂😂 nifeel poa🙈
Walah mtatuua na kicheko jmn asant kp Mwenyez Mungu awajalie umri mrefu wot na atakaesoma comment hi🙏
Ila kwakwl hii movie, aiseeh Mungu awe nanyi muendelee kutufurahsha wapendwa
Unacheka😂 hadi watu wanazania unakichaaa ka😅
@@RachelMdao yaaan mmh
Wangap wanakubali movie za Kp bila mzee likoma hazinog kama unakubali kama mm weka like hapo😂😂😂😂.
kwenda uko yaani nyie ndoo mnafanya watengeneze mabif yakijinga wee km unamkubali liko msifie kivyake
Ukwel mtupu.ila hata zikinoga unakuta kuna kakito namekosekana😂😂😂
hahahaha jamn hakuna move inay nochekeahaga kama hii jaman duuh nihatar so pw😂😂😂😂😂
Muv za kp bila wa2 wawili hainog liko na shetani she
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Ila .kp na zebuu.mmenishinda tabia 🙌🙌🙌chukueni maua yenu🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hatimae jmn yn nilikuwa nachungulia Kila wakat kumbe mshapost hongera mzee likoma bila kusahau mauwa yko 🌹❤️♥️🌺💐🥰💕
We zebuu umeyaeka nn hyoaji nyinyi watoto mtamuwa baba yenu kwa kweli hii n noma😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 Hi movie nzuri sana nimecheka kweli
Shei shei naomba jina la hiyo sipry,,,maana nahisi itakuwa nzuri sana
Lavida body mist (ndogo)
Duuuu uku mbona mnatupa dakka ndogo alafu plan b ni lisaa kabsa 🎉🎉 KP Fanya jambo aisee🎉🎉
Waongeze kwakweli
Yani Leo nimecheka yangu yote kwa kile mlicho fanya. Congratulations guys job well done .Alafu kp na zebu muache kukimbiza mtoto akiomba bia maana kafwata tabia zenu
Kama wewe mwanayanga na upo Oman piga keleleeeee🎉💃💃💃💃💃💚💛🖤
💚💚💚💚💚💛💛💛
😅😅😅
congratulations tupo pamoja hata kwa kusongesha bando tu
Asante Sana likoma og kutuletea kazi nzuri
Jmn nyie mtu anaeza dhani mtu amejamba huko kwenyu daaah bac Nora amebana pua 😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo nimecheka mpaka machozi dah😂😂 mungu awalinde tim nzima nawapenda 🎉🎉
Unawifusa na😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@@AbelKakus mmh 🙄
Nakubali sana mzee likoma😂😊😂😊🎉😊🎉😊😊😢😊😢😊😊😢😊😊😊😂😊😊😂😊😂😊😊😂😊😂😊😂😊
Daah kp & zebu kama aki na ukwa mko vzr akili moja nia moja safi utadhani watt kweli mko vzr san
Yani watu wamecheck movie nzur bdala waseme chochte chakupongeza ili mtu Avandia comments tu kuomba like duuh hakuna watu wanaonkera kma wenye kukimbilia kuomba likes,ila group kp &Zebuu nawapenda sana kazi zenu ni nzuri na zenye mafunzo mauwa yenu❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nice job guys nawakubali Sana 🎉🎉🎉
Kkkkkk mchuzi pro max mzee likoma já ganhou
Mm mwana yanga nin furah🎉🎉🎉🎉
Hunishindi mimi🤣🤣💚💚💛💛 oyaaa
😅😅🎉🎉🎉🎉@@MaryTesha-le2ql
Yanga inakujaje tena kwenye movie acheni bc upuuzi
@@DonardChips Ebu Toka Apa na hasira zako dear ww u serious peleka kwenye vikao vya family
Hongera sawa Mr likoma 🎉
Number 1 nipo apa naomba ata like 10
Nyie mnakera sana, like za nini sasa! Kila mtu anaomba like, kwanini tusicoment bila kuomba like??? Yaani mnakera kishenzi.
Mbavu zangu mie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅watu hawalali❤❤❤❤
We utalalaje akati mzee likoma anafurahisha ka😅
Awa watot washenz nawapend kw kweli ❤❤❤❤ natamni niwe karbu na nyie hakiamung
Duuu dakika 6 sijacelewa 🇴🇲🇴🇲🇧🇮
Daah yan leo mmenifurahisha kwely mpak nmecheka kwa saut Hongeren sana kwa Kaz nzur
Hongera sana kp na zeb nawakubar sana mungu awabarik
Oooooyo leo nimewakilifa team Gulf 😂😂❤❤❤ more love team likoma
From Kenya ,nashukuru
Waaa kp na zebu nyie mko na mambo ua yenyu 🎉🎉🎉 kipindi kameflow vizuri nawapongeza sana kp na team yako kwa ujumla
Mimi ni Baraka TV+257 kutoka bujumbura.naomba likes zangu jameniiii🌹🌹❤️❤️❤️
Waketu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮👌
Very good 😊😊😊😊
Chukua
Ulipea nani
Jaman uongo zambi nacheka mpk najisahau😂😂😂😂😂
Muongeze dakika jamani kwasababu mnakawia sana
Wow nimewahi Leo love you all guys
Haaaaaaani hakuna épisode kama hiii iii imenifurahisha sana courage sana timi zeb n'a kp
Kwa heshima na taadhima shey shey kusanya kilicho chako usepe😂😂😂
Walking style ya mzee likoma inaweza mbaya
Wooow 😯🎉🎉🎉🎉 jmni mm wa mwisho 🎉🎉🎉😂😂😂😂
hello ❤❤❤🎉🎉 from Kenya nimewakilisha 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣kp na zebu mutaniua na mbavu jamani 😂😂😂😂hongereni kwa comedy😂😂🎉🎉🎉❤❤
Umbaya ubwela😂😂😂😂kp na zbu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Zebuu na kp mutaniuwa mjue😂😂😂😂😂😂
Nimecheka mpaka naumwa na mbavu zebuu na kp kazi mnayo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂❤❤❤
Hii itakuj kwaa bora sanaa kep nazebuuu nawaprnda sanaaaaa❤❤❤❤❤❤ nawafatiria sanaaa
😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaah ila KP na zebuu mnanikosh sana❤❤❤❤🎉🎉
Mkojuu kwakweli kwakucekesha nimeceka yanguyote😂😂😂😂
This round Kp i salute you 👍
Hiiii ya leoni hatar san maua🎉🎉🎉 yako mtunzi
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Aki leo mmeniweza kuliko siku zote team mr. Kila mtu anaweza part yake🎉🎉🎉🎉🎉 from Kenya
🎉🎉🎉🎉aki zebuu na kp chukuweni mauwa yenu❤❤❤
Ha ha ha Nimecheka Sana kp na zebu ndo nikakumbuka mtoto enu aliposema p for p didi
Kazi poa please kp and zebuuu ❤❤❤❤pokea.Alaf enda plan B
Léo nimekuwa wa Kwanza naombeni likes zangu from Mozambique 🎉🎉🎉
Haaaa jamani hiii mumezidi kutoa fupi sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimecheka sana Leo mzee likoma kawekewa upupu😂😂😂😂😂
Hongera sana bwana mdogo kp na madam director zebuu❤much love from kenya
Hahahahahaha jamani mbavu me cna kwakwel so kufuraha hii jamani duh🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Zube na kp akili zao moja + baba hatr 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😊 nàwapenda bure
Ata kama nikuwashwa likoma 😂😂😂 ndio ugaregare sakafuni ivo😊...polee ila mnakosha aisee🎉🎉🎉
Nafatilia nkiwa Kenya, ila KP kipaji unacho bro duh hii ni Kali Yaan ya mwaka, ikiisha iungsnisheni iwe bonge Moja la movie
Ivi Vitoto vinajuwa kuchez move kabisa😅😅😅😅
Mzee likoma 😂😂😂😂😂😂😂 na wanaweeeee😅😅😅,chukua maua yako bana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kazi nzuri sana kp n zbb
Mzee likoma utakuja niuwa siku moja🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂anafanya siku moja tuje tufukuzww na mwenye nyumba j ya kucheka sana😂
Shey shey picha ndo kwanza linaanza mtoto kauta mtoto kautaka😂😂
Nawakubali sana yaani mpo poa
Kazi nzuri sana brother ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂 apo kwa kuwashwa noma 😂
Nawapenda team kp❤❤❤❤
Zebuu na keep mnafuraisha san❤❤❤
Mzee likoma mungu awalinde kabisa , nakusoma vizuri sana kutoka Congo RDC
😂 hii clips nime enjoy sana 🎉
Nimekua wakwanza mnafanya kazi nzuri Sana mungu awafikishe mbali one love
Mzee likoma babalao❤ maajabu! From Binti nyoka ndo najua kumbe bongo wapo wababe congratulations all guys ❤😅😂
Mungu akubariki wewe
Hongera sana hii movie ni Bomba sana zd na kp mumetisha sana. Mama mwenye nyumba kachomoka ndoa imemshinda chezea wewe❤❤❤
Mr money 💴
Kolo kafungwa halafu kp na zebuu ft likoma wameachia kitu Cha Moto..
Nimecheka Sana.
Kibwengo..
Mapopoma..
Weee mzeee likoma 🎉🎉😅😅😅
Hongereni sana kwa kazi zenu nzuri❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 n kadzo kutoka kenya
Jamani musicheleweshe ichi kitu nikizur sana yani nacheka hadi mikojo yanitoka
Nawakubal san ❤❤❤❤
Hii EP nimeipenda
Sheila unataka usitaki utaondoka 🤣🤣🤣team zebu and Kp mpo
tupoo.😂
Nawapenda sana yaani munanifurahisha kepi na zébu Nora na rikoma na shey Shey ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Nawapenda sana
Mfuzi wa dragon
nawapongeza kwa kazi kali kutoka hapa kenya maeneo ya kitala❤❤