Zuuuu kosa lake nikumuamin kend bila kukaa natahadhali pind alivyoona tiali ashajiwekea uadui kat yake na kend angekua nimtu wakuukaa kwatahadhali ata ingebid akaenda kupangiwa mbali wakaish mabli ikiwezekana pia yule dada wa zuuuh ninamlaumu kitu kimoja yy anaangaria ubishoo namuonekano haazingatiii alichoagizwa namtu mzima sio vzr jaman Asante kwa Kaz nnzr
Ningekuwa mimi kitambo nimalize hii part ya upofu nitakuwa nikekonda manake mimi huwa nazibeba hisia kweli kweli sio maigizo tu ila jamani hongereni.... Tunawasuport Sana sisi wakenya 🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hutafanikiwa na hilo lengo lako mungu atakuumbuwa vibaya mungu anaona wewe ndie utaumbuka wewe na mamako hata hivyo muna roho ya uchawi mola atalipa malipo yote
Movie nzuri hadi raha tena nimekuta zipo mfurulizo basi mpk nimesahau ku like part 1 na 2😂😂... Ngoja nimalizie kwanza part 4 afu ntarudi nyuma kulike za mwanzo... #diamondplatnumz #mbosso #wasafimedia #zuchu #fyp #viral #TH-camvideo #busattv
Zuuuu kosa lake nikumuamin kend bila kukaa natahadhali pind alivyoona tiali ashajiwekea uadui kat yake na kend angekua nimtu wakuukaa kwatahadhali ata ingebid akaenda kupangiwa mbali wakaish mabli ikiwezekana pia yule dada wa zuuuh ninamlaumu kitu kimoja yy anaangaria ubishoo namuonekano haazingatiii alichoagizwa namtu mzima sio vzr jaman Asante kwa Kaz nnzr
Move zur jamani maashaallah ❤❤
Asante sana
Ongena mungu hatakusaidia shaa allah kwa lila hatuwa 🎉🎉🎉
Wa pili jamani naombeni like zangu na Mimi
Hongera na ww
Mmejitaidi Sana Mzee kutuletea muendelezo mzr Sana big up my brother
Thanks sana my Brother
Pole sana ogena waniliza kiukweli ila ukweli utaenda kubaunika nikupe pongezi sehemu yako waitendea haki.
Asante sana ❤️
😂😂😂😂yanihubaba kanifuraisha jisi anavyo tizama mwanae😂😂🇧🇮🇧🇮
😂😂
Ningekuwa mimi kitambo nimalize hii part ya upofu nitakuwa nikekonda manake mimi huwa nazibeba hisia kweli kweli sio maigizo tu ila jamani hongereni.... Tunawasuport Sana sisi wakenya 🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Asante sana tunawapenda Mnooooo Wakenya ❤️❤️❤️❤️
Shukran BuSti TV vipindi vyenu vitamu natokea kenya 🇰🇪🥰🥰🥰
Asante sana kutoka Kenya, Tunathamini Mchango wako. Usiache kutazama movie zetu nyingine
Mashallah ogena mungu yupo
🙏🙏🙏
The father is killing me 😂😂 but when Jesus says yes
no one to say no
Duh shangaz kumbe mbya sana
Eeeh
Huyu mama nilikuwa nampend kwenye muv flan Hiv alikua hapendw na mwanae kumbe hafai hv hata Kwa kulumagia
Katika movie zote hii nimeipenda arafu pia inamafunzo
Asante sana 🙏🙏🙏
Hutafanikiwa na hilo lengo lako mungu atakuumbuwa vibaya mungu anaona wewe ndie utaumbuka wewe na mamako hata hivyo muna roho ya uchawi mola atalipa malipo yote
Kabisaaaa
Kaz nzur sana 👌
🥰🥰🥰🥰
Mashaallah mumezid kufunza jamii
❣️❣️❣️ Mashaallah ❤️❤️
Musitucheleweshee muendelezo jaman mpaka tunasahau tupeni kila siku movie nzur sana
Sisi tunataka Sapot yenu tu, sasa video kama haijatazamwa ni ngumu Kupost muendelezo
Mjitahid kushare na kucomment muendelezo hautachelewa
Jaman ongena nakuonea hadi uluma ila vumilia 2 mungu yupo pamoja naw ! Nahao ndugu zako loo mbay haijengi
Vuli san
Kabisaaa
Asante sana
Duuuh mpo fire 🔥🔥
🔥🔥🔥
Mashaallah ❤❤
❤️❤️❤️
Daah ogena pole kwa kila linalokukuta lkn tambua kila linalokutokea Lina sababu
Ogena pole sna,ila yapo yanatokea katik hii dunia
Kabisa
Nzuli sana
Asante sana
Ungempiga mbata 1 tu huyo boya
Ety niipikie😂😂
Hahaha
Wewe mama wacha kuongopea wacha unafiki huyo ni muovu na mungu atakulaani na hutafanikiwa kwa lengo lako utaumbuka Tu!
😭😭😭
Good job hongera kwa viongoz
Thanks
Ogena ni mweusi lakini mzuri alafu umejariwa shepu
🔥🔥🔥
Movie nzuri Sana mashallah
Asante sana 🙏
Mungu yuko pamoja na wewe ogema hakuna zaidi yake
Asante sana
Mara hiiii pili sijamuona jomni 🥰🤭
Pili hayupo humu
Kazi nzuri sana kweli
Asante sana
mashaAllah 🥰 mungu awabariki
Inshallah
Mungu ulaani,unapo tesa mwana mfiwa@
Kabisa
Wa mwanzo leo
Umeniwahi jamani
Hongera sana
Movie nzuri hadi raha tena nimekuta zipo mfurulizo basi mpk nimesahau ku like part 1 na 2😂😂... Ngoja nimalizie kwanza part 4 afu ntarudi nyuma kulike za mwanzo... #diamondplatnumz #mbosso #wasafimedia #zuchu #fyp #viral #TH-camvideo #busattv
Asanteee sana tukujue We Team Wema au Team Ogena?
@@busatitv team ogena hapa na anko wake chela.. 😂🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Asanten sana Allah awabarik mzidi kutuletea vitu vizur😍
Inshallah
mwish wa ubaya sio mbali
Kabisaaaa
Mjomba anavyoangalia😅😅
Uyo bba ilo jicho hehe
🤣🤣🤣🤣🤣
Ongereni sana kwa kazi yenu zuri sana mubarikiwe wote ❤❤❤
Asante sanaa
Asante sana
Daar hii movie kubwa kuliko bidii na kazi
Hahaha sawaaa
Mama wa roho mbaya uzuri was sula ila
Kabisa
Riziki yamtu ina chelewe chwa ila inafika tu Kama tuko pamoja gonga lik
Tupo pamoja sana
Mjomba anajitaid kumtetea
Ila hana saut kwa mke
Mjomba kafunikwa
Ongereni sana
Asante sana
Teem ugena mkuje apaa
Team Ogena
Mzee kamba 3 ilo jicho unalompiga wema jmn😂😂😂
Hahaha kashindwa kuelewa
Mimi pia Hilo jicho limenicheleaha sana wallahhy hongera 😁😀😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Mrs tajili😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Jamani ogena
Anasikitisha
Kazi nzuri sana
Asanteee sana
Ogena 🔥🔥🔥
Top Directar
D noma
Asante sana
Kila likuepukalo lina kweri na ww
Kabisaa
Ndio wachawi
Yani
Mama ww na mwanao mwisho wenu unakuja
Tena Mwisho wao unakuja kweli
Ilahaya yapo
Ni kweli kabisa
Muendelezo tafadhali
Mwendelezo unakuja
Hii kaswida yaitwaje jmn
Huo ni wimbo unaitwa Kidawa
D noma
Asanteee
@@busatitv nzuri San kaz mwenderezo wake part 4
Part 4 Kesho