Dada martha kama unaikumbuka hiyo nyimbo yako ya jaribu kwa mtu sio kama nimtenda dhambi ila nikikombe tu ambacho nilazima akinywe nakuelewa sana dada na ninakupenda sana na mungu atakupitisha kwenye jalibu lako
Sister Martha you should be transformed it is in your way ambayo umechagua kupita achana na freemason pia hata shusho aache freemason na umaraya amrudie mungu
Martha we really love you thank you for coming on this show. I have a request for East Africans, can we try to use Kiswahili so that we can all understand even as we follow the show. She's authentic and beautiful. Martha karibu Kenya and let me know when you are coming, I would love to attend your show. Shalom
Uyu muimbaji alikuwa vizuri mwanzo, hivi dada, unajuwa ungelijuwa umeokowa wangapi kwenye nyimbo zako, ungekuwa muangalifu, usije ukaikosa mbingu, kwa Nini unamuliza mama yako, machozi ya mama dada
Kwa nini dadaangu Mather usingetrngeneza na mama jamani mi nakupenda na naamini unapendwa sana jishushe hakuna kosa kubwa kwa mama plz wewe umezaa unajua kuzaa nikuchungulia kifo plz mama yule anamaisha ya kuokota chupa jamani 😭
Acha uongo, yule mama na mume wake wako na maeneo (real estate) makubwa sana, sio maskini wale. Labda useme ni maskini relative to mali ya Martha lakini sio maskini kimaisha
@yusuphmatinya8560 mashetani mnajaribu kuteteana kwenye ushetani wenu pumbavu nyie assume ndo mamako analialia njaa alafu mtoto anatembelea gari la milion 160 how does it come, una na uwezo ushindwe kumsitiri mamako aliekuzaa kweli? Bora nife masikini kuliko laana zenu hizo
@@terrence9477 acha upumbavu, nani aone wivu kwenye mali za ushetani hizo, na kama ni mali halali kwann mamake analialia njaa, na kama sio mamayake kwann asimkane hadharani? Nitembelee magar ya kifahari, majumba ya gorofa nishindwe kusaidia wazazi kweli? Mapepo wachafu nyie toka kwa jina la Yesu
Hakuna huduma hapo, waliokupokea ni hao uko nao mlengo mmoja, ndo mana wamekuita wakufariji huyo mwimbaji aliyekuita na yeye mko kundi moja la kumsaliti Mungu
Martha endelea na kazi ya mungu ni kwa maana mungu ndiye alikuita na hii mambo yote inaendelea achia mungu siku za mwisho mataifa itainukiana ndugu atasaliti nduguye na mambo mengi we simama imara umtee yesu
Tengeza Kati yako na Mamako na dadako Beatrice kwanza ndio utapata amani. Huna amani ni kusema tuu ila moyoni waumia. Jina ni tabia laa sivyo huna neema kabsaa. Simu hushiki manake ni zamawaidha urudi kwa mamako mzazi kwanza
Atengeneze kwanza na mama .huyo joan asikukoseshe mbingu . Kqma nikweli uko msagaji tubu mola akusamehe sisi wote niwakosefu muhimu nikuungama tu na kumurudilia Mungu wetu
Ako na mali lakini mama yako anaseka akuna ambao atatufuducha 🇨🇩 congo yetu tuko na waimbaji kama Soeur L' or na yenye peke Solange anamutunza mama yake?
Nashangaa kweli unahubiri amani wakati mwenyewe kwako kuna vita. Mama hana amani. Hivi kweli itakuwaje ukashinda kumhudumia Mama ila ukahudumia dunia??inawezekanaje? Wakati mwanao mwenyewe anasambaratisha amani?
@StevJimmy martha sii mamake joan..joan ni mpenzi wa martha wanashirikiana kimapenzi yaani ni wasagaji lesbians..mmartha ana mtoto wa mmoja wa kiume miaka 11 jina Albert. Soo joan na marzha ni mtu na mumewe...walifumaniwa congo na pili wakafumaniwa kenya kwenye crisade ya jacaranda....joan ni tomboy aka stud na martha is feminin..joan ni mume martha ni mke#
❤❤❤❤❤❤❤❤❤Love you dada yangu Martha mungu aenderee kuwa pamoja nawe.mimi Ninaishi Burundi
I LOVE AND ENJOY YOUR MUSIC FOR IT Builds
Penda wewe sana Martha,mungu akuinue sana.❤❤❤❤
The best gospel singer in Africa
Dada martha kama unaikumbuka hiyo nyimbo yako ya jaribu kwa mtu sio kama nimtenda dhambi ila nikikombe tu ambacho nilazima akinywe nakuelewa sana dada na ninakupenda sana na mungu atakupitisha kwenye jalibu lako
Mungu amesema Na Mtumishi wa Mungu Martha ndoo akaja kuhudumu Congo ni Mungu tu yupo ndani Yake😊😊😊
@@GloryRuben Mungu yupi ? Miungu wako wengi. Dalili zitakujulisha ni mungu gani anatumikiwa. Kuweni makini shetani ni mtaalam kaishaingia kanisani
@@GloryRuben ohlala
@frickchristina6175 Nimeamua mwaka huuuu,?Ntaimba na Mutumishi wa Mungu! Martha! Wimbo mmoja tu
@jesusdeliveranceclinicinte347 Mwaka huuu ni wa Neeema tu
Eee Mungu, umfariji mama Martha anaumia sana. Jioneshe Sasa.
Niko Rwanda mina kupenda sana martha
Karibu Tanzanie
Sister Martha you should be transformed it is in your way ambayo umechagua kupita achana na freemason pia hata shusho aache freemason na umaraya amrudie mungu
Napenda nyimbo zake dadangu...siku moja natamani anifunze kuimba pia😍
Congo mmebarikiwa sana kumpokea dada yetu wa Tanzania mwanamke wa thamani.
Martha endelea kua salama ❤
Vizuri sana tuna shukuru
@@BUNIATODAYINTERNATIONALE amen naamini yuko mikono salama na atazidi kua salama kwa ulinzi wa Mungu na ninyi kwa ujumla. Amen 🙏
@Hellen-d6c ndiyo Wala kwahilo musijali kwanza tunge penda aende KUWA APA hâta mwezi mmoja tu akituimbiya✨✨✨✨🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿🌹🌹🌹
@BUNIATODAYINTERNATIONALE hahahaha no arudi bana we missed her
Yéyé amakubali kubaki na WA congo 🇨🇩 ❤️ sasa tunamupenda sana kwahiyo muta vumiliya mwezi mumoja
Ngoja nikae kimya
Huu muzingo una Bei Kubwa nilijuwa
Congratulations I wish to have a collabo with you
Karibu tanzania
Nilikua napenda Martha lakini sikuizi sikupendi Mungu anisamehe , Dhambi haitetewi inatubiwa.
U preach peace in bunia and you and yourself mother sister mna vita nyumbani...#vipofu
Na ni vipofu ile wewe kabisa siyo powa
@BUNIATODAYINTERNATIONALE ...and joan is martha girlfriend lesbians. This .is a big Shame in the Gospel Société 😢
Ata mwenye amemualika tuko na maswali nae.maybe NI walewale tu.ivi hakuona Sakata la Martha na mamake kwa media zote
Hapo sasa
@lovek65shetani km shetani anapenda kuunga mkono wenzie93
Martha we really love you thank you for coming on this show. I have a request for East Africans, can we try to use Kiswahili so that we can all understand even as we follow the show. She's authentic and beautiful. Martha karibu Kenya and let me know when you are coming, I would love to attend your show. Shalom
Nilikua nakupanda lakini mungu wangu🤔🤔
Ibada njema inaanzia nyumbani
Jamani nampenda mathar sn watu wenye roho mbaya wapo asandugu jaanao mbali sn
Mungutu mjuwa roho
Sio maalufu ni maarufu
Merci
Ongea vizuri kiswahili kuwa mzalendo dada
@@EneaIbrahim-z4j joan na martha ni easagaji
Mutumishi wa mungu n'a kuku Bali sana
Amina
❤❤❤❤❤❤❤
God still loves you
Huyu dada anakiburi sanaa, anampa kiburi ni Christina shusho , lakini Yupo Mungu anaeona.
Kama anakiburi kampige mawe sasa
Huuu
Karibu kwetu uswahilini butembo
Haaa ngoja nakuja muda siyo mrefu
The picture in that t-shirt has its own meaning those who know know.Sijui kama huyu dada anajua maana iliyo kwa picha kwa hiyo t-shirt
Hii kiswahili y mtangazaji mm sielewi ht kidogo
Ngumu kweli Ila Ndo hivyo congo 🇨🇩🇹🇿
Vraiment merci
Vraiment Bunia today tv aller loins❤
Nous sommes là pour vous chers partenaires spectateurs
Nyimbo za majivuno ,
Amen 🙏🙏 ubarikiwe sana
Ndo wamekupa na hilo tisheti, yani kweli umepotea jamani,laaa!!!
@@bettykinyami5096 hata Mimi hiyo tishirt sijaielewa ina jicho moja ? Au ?
Hiyo tisheti vipi
@@fredynjige5663 adi ako na uoga nayo kuionyesha yote🤣🤣
Mungu atawahukumu
Ni jicho moja ? Au ?
Uyu muimbaji alikuwa vizuri mwanzo, hivi dada, unajuwa ungelijuwa umeokowa wangapi kwenye nyimbo zako, ungekuwa muangalifu, usije ukaikosa mbingu, kwa Nini unamuliza mama yako, machozi ya mama dada
@@fredynjige5663 tshirt iko inachima roho kwenda kuzimu, shetani mjanja sana. Yesu endelea kuzifichua siri zao hawa
Kwani walimwambia avae nguo nyeusi tu huko congo
Hyo picha iko kwa tshet yake😂
Nyeupe vaa wewe
@EsterNdaru shida nini?
nakupenda sana Martha
Anawapenda piya mungu awabariki
Kwa nini dadaangu Mather usingetrngeneza na mama jamani mi nakupenda na naamini unapendwa sana jishushe hakuna kosa kubwa kwa mama plz wewe umezaa unajua kuzaa nikuchungulia kifo plz mama yule anamaisha ya kuokota chupa jamani 😭
Acha uongo, yule mama na mume wake wako na maeneo (real estate) makubwa sana, sio maskini wale. Labda useme ni maskini relative to mali ya Martha lakini sio maskini kimaisha
@ kwa hiyo yule mama haokoti chupa aliongopa? Basi mimi sio mwongo bali mama wa Mather
@terrence9477 kumbe Ndo hivyo
Acha kufatilia maisha ya watu kwani wewe uko sawa kwenye familia yako
@ huyo ni kufatiliwa ni lazima huoni anahojiwa? Kukumbushana haswa sisi watumishi tumeagizwa na Mungu
Wakala was shetani huyo mnafiki Sana analoho chafu sanaaaas☠️👹☠️👹🤣🏃😭🤦
Mamake analialia njaa kama msukule mikataba ya kuzimu freemason mapepo wachafu toka kwa jina la Yesu
Yanakuhusu omba macho yarihoni pia wewe sio mungu mwamzi Acha wivu
@yusuphmatinya8560 mashetani mnajaribu kuteteana kwenye ushetani wenu pumbavu nyie assume ndo mamako analialia njaa alafu mtoto anatembelea gari la milion 160 how does it come, una na uwezo ushindwe kumsitiri mamako aliekuzaa kweli? Bora nife masikini kuliko laana zenu hizo
@@Bilioneabichwa331 wote wanachonga ohoo! sijui mama yako, familia yao unaijua? umaskini na wivu ndio tatizo
@@terrence9477 acha upumbavu, nani aone wivu kwenye mali za ushetani hizo, na kama ni mali halali kwann mamake analialia njaa, na kama sio mamayake kwann asimkane hadharani? Nitembelee magar ya kifahari, majumba ya gorofa nishindwe kusaidia wazazi kweli? Mapepo wachafu nyie toka kwa jina la Yesu
Hakuna huduma hapo, waliokupokea ni hao uko nao mlengo mmoja, ndo mana wamekuita wakufariji huyo mwimbaji aliyekuita na yeye mko kundi moja la kumsaliti Mungu
Kawapige mawe sasa wewe yakwako yapo nyuma ya pazia muone kwanza
Martha endelea na kazi ya mungu ni kwa maana mungu ndiye alikuita na hii mambo yote inaendelea achia mungu siku za mwisho mataifa itainukiana ndugu atasaliti nduguye na mambo mengi we simama imara umtee yesu
Mungu gani anayemwimbia, labda iyo Mungu wa kuzimu
Sasa uko gizani na freemason alafu umaimba injili ambayo ni ni nuru alafu wewe ni giza tubu sasa
❤❤❤❤❤🎉
Anaongea kama mkenya h ah ahahahaha😂 ovyo
@@Beagasper hahaha
Jaime l’émission a Swahili
Merci infiniment
The most people said about you Martha look what God has done to you, life please respond turn back to God and repentance
Tengeza Kati yako na Mamako na dadako Beatrice kwanza ndio utapata amani.
Huna amani ni kusema tuu ila moyoni waumia. Jina ni tabia laa sivyo huna neema kabsaa. Simu hushiki manake ni zamawaidha urudi kwa mamako mzazi kwanza
Martha nenda kwanza Kwa mamayako ndipo utakuwa na amani hapo ulipo roho yako inaonekana kabisa huna amani
...anza amani na mama familie na your sister
beatrice
Oke nawzelewa
Yafamiria hayakuhusu waombee usihukumu
@@yusuphmatinya8560 Watu wanaongea tu kuhusu ndugu, wakati mwingine ndugu ndio huwa adui wa maendeleo yako na ndio usemi "Kikulacho ki nguoni mwako"
Hiyo tisheti ti ni kitambulisho kuwa yeye anamtumikia shetani , hana hata aibu
Solange umufudiche ule ni mwanamuke wa isiya moja uyo 😅😅😅😅😅😅😅
ASanté jameni
...
We dort need to hearing your Gospel songs right now because of your art against GOD
Fanya yote martha kumbuka kutengeneza na Mama yako kwanza
Atengeneze kwanza na mama .huyo joan asikukoseshe mbingu . Kqma nikweli uko msagaji tubu mola akusamehe sisi wote niwakosefu muhimu nikuungama tu na kumurudilia Mungu wetu
@@StevJimmy huoni aibu wewe.muache
Usimhukumu unamjuamama ake huyo no yatima Yule nimama wa kambo
Fanya maisha yako kwenu shida kibao..
Ya familia waachie wanafamilia wenyewe, mtoa hukumu ni Mungu peke yake
@@StevJimmy acha maisha yawatu fanya yako
Martha atengeneze kwanza n'a maman yake
Katengeneze na wewe kwenu! Acha maisha ya watu hayakuhusu
Naona wote tunahukumu ila Sisi piya tuna makosa ambaye ni zaidi labda ya dada Martha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dis-lui de recevoir mon propre appel. Je veux l'inviter au Rwanda 🙏
Martha Martha hiy tishat vp mbon iko na.muhemko flan ndan yake
Yes hata mimi nimeona jicho moja kwenye tshirt we Mungu tusaidie , Basi hata huyu aliemualika ni hivo hivo vyama vyao
Yaani hadi nguo wanaxomvalisha ni za kuzimu
@jesusdeliveranceclinicinte347 we we we usiukumu usije ukaukumiwa
@ na hiyo tshirt aliyovaa ya jicho moja ni ya kuzimu
Kwan Martha unamwabudu Mungu gani Alf kwa amani gani hujatengeneza na family yako usituchole watu mnafiki mkubwa ww
Nahisi kaonya wasimuhoji kuhusu vita na familia yake
Huuuu
Kwani awezi kuangalia watu kwacho. Wamekula nini?
Ako na mali lakini mama yako anaseka akuna ambao atatufuducha 🇨🇩 congo yetu tuko na waimbaji kama Soeur L' or na yenye peke Solange anamutunza mama yake?
Kwa mama kwanza
marther uko vzr ,usisahau ushaur wetu ule tulokushaur tz
Nawapenda sana ndugu zangu watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Twakupenda pia sana BUNIA TV@@BUNIATODAYINTERNATIONALE
Hatulingane
Hatuta lingana nawo
Nashangaa kweli unahubiri amani wakati mwenyewe kwako kuna vita. Mama hana amani. Hivi kweli itakuwaje ukashinda kumhudumia Mama ila ukahudumia dunia??inawezekanaje? Wakati mwanao mwenyewe anasambaratisha amani?
@@GospelArchives-n1o mwache ajiaibishe kidogo baadaye atasema ukweli wotee#mungu ni mungu
Isaiah aliambia ezekiah TEGENEZA MAMBO YA NYUMBA YAKO AMA SI HIVYO UTAKUFA.
Un journaliste nul qui se contente de dénigrer son pays!
Yooo
..matha your mother craying couse of you....Turn to your family before is too late.GOd is everywhere turn to your mother.
Solanjèeee are you crazy to invite lesbians in bunia...?
Hiyo siyo kweli jamani
@BUNIATODAYINTERNATIONALE kama si kweli kwa nini Joan anasema anayotaka mitandaoni na hamkanyi kama mzazi wake kama anavyodai ati n mamake
@StevJimmy martha sii mamake joan..joan ni mpenzi wa martha wanashirikiana kimapenzi yaani ni wasagaji lesbians..mmartha ana mtoto wa mmoja wa kiume miaka 11 jina Albert. Soo joan na marzha ni mtu na mumewe...walifumaniwa congo na pili wakafumaniwa kenya kwenye crisade ya jacaranda....joan ni tomboy aka stud na martha is feminin..joan ni mume martha ni mke#
@@BUNIATODAYINTERNATIONALE ni kweli joan ni mume wa martha..wasagaji
Did you catch them red handed? If yes,then sorry to them, otherwise you are stupid to believe everything said on social media