ความคิดเห็น •

  • @jenelizajoseph6488
    @jenelizajoseph6488 3 ปีที่แล้ว +2

    Ee baba wa mbinguni shuka utuokoe nyosha mkono wako wa kuume Tanzania yetu tuokoe tunakuomba baba wa mbinguni tunakuomba🙏🙏🇹🇿 YESU YESU tuokoe ulitukomboa kwa damu yako ulichukuwa mizigo zetu zambi mangojwa tunakuita YESU tuokoe na kwaanzia Sasa MDA yako ikanene mema juu ya hawo wagonjwa jina lako linanguvu kupita majina yote 🙏🇹🇿naachilia damu ya YESU hapo chunya na waliopo hospital wapone kwa jina la YESU wanyanyuke🙏🇹🇿 Roho mtakatifu unatukinga kwa Atali za Roho na mwili tuokoe MUNGU wetu nimwingi wa Rehema🙏🇹🇿🇹🇿😍

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 3 ปีที่แล้ว +1

    Proud to see my loved teacher Mr.Weston mpyira.Mungu awatangulie kakaaa tusiacha kumuomba

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว +30

    Mw/MUNGU 🙏 tunakuomba utujalie Afya njema Tuepushe na Magonjwa Viumbe Wako 🙏

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 3 ปีที่แล้ว +1

    Eeeeh Mwenyezi Mungu tunusulu tumekukosea babaa,kwamawazo,kwamaneno,kwavitendo nakwakutotimiza wajibu,tumekosa babaaa tuhurumie sisi wanawako.
    Tunaomba haya kwanjia ya bwanawetu yesu kristo aaamina.
    God is good poleni nduguzangu wa ifumbo Mungu atawasaidia.

  • @bintmuhammed..7941
    @bintmuhammed..7941 3 ปีที่แล้ว +3

    Subhanna Allah.... Yaa ALLAH tunakuomba utukinge na maradh haya na tunakuomba utufanyie wepes wa kupata dawa/ufumbuz wa ugonjwa huu... Yaaraby

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 3 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah nyakati za mwisho hizi

  • @Itssutsuri
    @Itssutsuri 3 ปีที่แล้ว +2

    Ewe Mola tuondolee haya magonjwa kwakweli huu ni mtihani wa mwenyezi mungu

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atusimamie serikali ichukue hatua na itupe taarif za kweli

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 3 ปีที่แล้ว +12

    Subhanallah 😭😭ya Allah tusamehe waja wako

  • @johnmziray1712
    @johnmziray1712 3 ปีที่แล้ว +31

    Kama kawaida Tumtangulize Mungu huku tafit zaid zikifanyika mambo saiv hayaeleweki, EE MWENYEZI MUNGU SAIDIA.

  • @mwanaamasanja7629
    @mwanaamasanja7629 3 ปีที่แล้ว +4

    Mwenyez mungu tusimamie

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 3 ปีที่แล้ว +3

    Magonjwa yakitokea watu wengi huanza kumtambua Mungu! hizi ni nyakati za mwisho Mungu ndo siluhixho

  • @anithajoachimu4467
    @anithajoachimu4467 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atuponye

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 ปีที่แล้ว +6

    Eee Mwenyezi tunusuru watu wako Mungu ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @oliverben8010
    @oliverben8010 3 ปีที่แล้ว

    Subhanallah, , ee mwenyez mungu tuepushe

  • @benedictanicet5543
    @benedictanicet5543 3 ปีที่แล้ว +8

    Mungu tunusuru 🙏🙏

  • @chrisskihwele1795
    @chrisskihwele1795 3 ปีที่แล้ว +24

    Allah atunusuru dunia imefikia kikomo😭😭😭

    • @miriamsaidtindwa1447
      @miriamsaidtindwa1447 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin

    • @abednego3876
      @abednego3876 3 ปีที่แล้ว +1

      Shambulio wazungu wamepandikiza hili

    • @crayonmaze9970
      @crayonmaze9970 3 ปีที่แล้ว +2

      @@abednego3876 acheni kusingizia kila kitu wazungu

    • @martinkipenya4592
      @martinkipenya4592 3 ปีที่แล้ว +1

      @@crayonmaze9970 ni ndugu zako?

    • @mchezakamaliog265
      @mchezakamaliog265 3 ปีที่แล้ว +1

      @@crayonmaze9970 kwan ni uongo? Anaetengeneza dawa ndie anetengeneza ugonjwa usibishebishe ndugu

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว

    Subhannallah jamaniii tukesheni tukiomba hatujui siku wala saaaa Eemungu tusimamie yaarab🤲🤲🤲🤲

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 3 ปีที่แล้ว +8

    MUNGU BABA tusaidie 🤲

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 3 ปีที่แล้ว +18

    Karne hii yarab tunusuru, Wewe ndio muweza wa yote

  • @novatiwoisso8072
    @novatiwoisso8072 3 ปีที่แล้ว

    Mungu tusaidie kwa hili

  • @jordanmwaipopo7374
    @jordanmwaipopo7374 3 ปีที่แล้ว +1

    Eeeh mwenyezi mungu tunusuru

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว +9

    EE mungu tusamehe hakika tumekukosea

  • @kwandukanunda700
    @kwandukanunda700 3 ปีที่แล้ว

    Mmmm mungu baba naomba. Uuuepushe huu ugonjwa

  • @jenynaafya
    @jenynaafya 3 ปีที่แล้ว

    FAHAMU DALILI ZA UGONJWA WA TEZI DUME
    0655523211
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kukosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211.

  • @yohanekasonkwa2612
    @yohanekasonkwa2612 3 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu atuhurie atuokoe

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu tusaidie baba

  • @humaidabdullah9619
    @humaidabdullah9619 3 ปีที่แล้ว +1

    Poleni Sana

  • @ronaldmassanga8386
    @ronaldmassanga8386 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atusaidie maana Ni jambo lisilo la kawaida

  • @nyambegamatoro6817
    @nyambegamatoro6817 3 ปีที่แล้ว +5

    Mmh, makubwa, jamani wizara iunde timu ya flying doctors ikaokoe watu huko

  • @MAGICSTONESTZ
    @MAGICSTONESTZ 3 ปีที่แล้ว +1

    Duh

  • @wardaheluwa734
    @wardaheluwa734 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu tusaidie duh! mtihani huu

  • @gwajetheentertainer363
    @gwajetheentertainer363 3 ปีที่แล้ว +25

    Kama ni kijiji wwangalie pia mboga kama nyama nk huenda ikawa na sumu

  • @himlayzer3543
    @himlayzer3543 3 ปีที่แล้ว

    Duh poreni sana mnyezi mungu atunusuru atusamehe na makosa yetu

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 3 ปีที่แล้ว

    Ee Mungu tunusuru sisi

  • @biddii1972
    @biddii1972 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atasimama nasisi litakwisha

  • @hansboy1443
    @hansboy1443 3 ปีที่แล้ว

    Mungu tunusul###

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 ปีที่แล้ว

    oooh me cry

  • @najmaomary665
    @najmaomary665 3 ปีที่แล้ว

    Mungu amsaidie jamani

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah atulinde waja wake

  • @tajimwambole3115
    @tajimwambole3115 3 ปีที่แล้ว

    Jamani Mungu atusaidie maana Yaliyo tabiliwa yana timia. Dunia imefika mwisho

  • @gracemanase5142
    @gracemanase5142 3 ปีที่แล้ว +2

    Hizi ni nyakati za Mwisho, Mungu aturehemu..!

  • @edwinernestmbise8345
    @edwinernestmbise8345 3 ปีที่แล้ว +6

    Mganga mkuu umelichukulia ili swala simple sana! Hii ni ishu kubwa kuwa serious chukua atua madhubuti na za araka!

  • @lyilyanmussa5433
    @lyilyanmussa5433 3 ปีที่แล้ว

    Mungu nusuru mbeya yetu na Tanzania kiujumla😭🙏

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj5111 3 ปีที่แล้ว

    Ata chakusema sina zaidi ya kumuomba allah kareem

  • @masundelwa
    @masundelwa 3 ปีที่แล้ว +8

    Watanzania tusiogope...

  • @mjukuuwakabonga2031
    @mjukuuwakabonga2031 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu tusaidie, waja wako

  • @hamidshukra
    @hamidshukra 3 ปีที่แล้ว +7

    May be Ebora second chapter

  • @bintybweta9604
    @bintybweta9604 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu atunusuru

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 ปีที่แล้ว +1

    Na hili swala hatuelewi kwa kweli sababu waziri wa Afya ngwajma amekanusha jambo hili na amesema hakuna hivyo vifo vya watu 15 sasa tushike lipi na huyo mganga mkuu inasemekana amesimamishwa kazi sasa hatujapata uhakika kati ya waziri na wanakijiji pamoja na halimashauri ya chunya yipi ana ukweli zaidi.

  • @suitstv5889
    @suitstv5889 3 ปีที่แล้ว

    Mungu tuhurumie sisi waja wako

  • @themessengertz1237
    @themessengertz1237 3 ปีที่แล้ว

    kitajulikana tu ndani ya siku chache ,Serikali haijalala na Mungu hajawahi kulala.

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 3 ปีที่แล้ว +4

    Huenda ni mecyur zinawasumbuwa maana ni eneo la madini wataalam wachunguze zaid kwa makini

  • @braystuskibassa3077
    @braystuskibassa3077 3 ปีที่แล้ว +4

    Mmmh inaumiza tuwe makini sana kumbe tatizo ni la muda aisee tufanye tathimini kwa haraka

  • @chikujumat.v1308
    @chikujumat.v1308 3 ปีที่แล้ว

    Mungu tunusuru ,mayb Ebola maanake imeanza tena Congo😭

  • @yvonnemhadu3698
    @yvonnemhadu3698 3 ปีที่แล้ว

    Week ilopita baba yangu alitoka tunduma Ila alipofika tu nyumban alikua hoi anatapika dam balaa Ila tunamshkuru Mungu asaiv hajambo🙏

    • @kidotykhamis5539
      @kidotykhamis5539 3 ปีที่แล้ว

      Dah alitumia daw gani tujuze mpendwa

  • @birahmaahmad8855
    @birahmaahmad8855 3 ปีที่แล้ว

    Hee yarabi tunusulu waja wako hazabu zako atuziwezi yarabi.

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 ปีที่แล้ว +6

    Subhanallah 😭😭

  • @zainabmohammed1305
    @zainabmohammed1305 3 ปีที่แล้ว +6

    Subhana Allah😭😭

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว

      We mungu Baba turehemu tusamehe dhambi ambayo hatujaijua tusamehe Baba tunaomba rehema samehe taifa hili la tanzania

  • @georgembunda9233
    @georgembunda9233 3 ปีที่แล้ว +13

    tafiti zifanyike haraka,huenda kuna vitu wanatumia,na hupelekea vifo hivyo

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว

    Mungu wetu tunakuombakwa unyenyekevuu mkubwa wajawako,wewe ndio tunaekuabudu na wewe ndio tunaekuomba msamaaha.tusamehe,tuepushe na magonjwa yote yaraab,,wewe ni mjuzi aamina

  • @fredychachamkome6829
    @fredychachamkome6829 3 ปีที่แล้ว +4

    Eeeeeee mwenyezi Mungu muweza wa yote tunakuomba utunusuru
    Nyoosha mkono wako usiopungukiwa na kitu

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 ปีที่แล้ว +11

    Ee mungu wangu 😭wametuletea ugonjwa mwingine tena kushinda corona ee mungu ibariki tanzania

    • @atikimohamed6251
      @atikimohamed6251 3 ปีที่แล้ว +1

      Nani amekuletea sasa?

    • @machanomtwana236
      @machanomtwana236 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ndo alie leta ugonjwa sis sote ni wa mola na kwake tutarejea

    • @princessgracpius3573
      @princessgracpius3573 3 ปีที่แล้ว +1

      @@atikimohamed6251😂😂😂😂

    • @janethmalaika5241
      @janethmalaika5241 3 ปีที่แล้ว

      Nani kakuketea

    • @atikimohamed6251
      @atikimohamed6251 3 ปีที่แล้ว +1

      @@princessgracpius3573 this people are crazy eeh wanaamini kila kitu wanachosema wanasiasa

  • @nufaikafurnishers1384
    @nufaikafurnishers1384 3 ปีที่แล้ว

    Wachunguze vizuri yawekua magonjwa yamlipuko yatokanayo ya wanyama kama kimeta(anthrax)

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 3 ปีที่แล้ว

    Tunaomba mwongozo tafadhali. Na huu nao tujifukize?

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 3 ปีที่แล้ว

    Au mbiga mboga zinaliwa imetoka kupigwa dawa, pombe hizo kijiji kizima?

  • @mwadiabulymoshabani6336
    @mwadiabulymoshabani6336 3 ปีที่แล้ว +9

    Wameona corona imepita Sasa wanatutoa Damu kwa lazima. Eee Mungu muweza wa yote uturehemu

  • @idonmwamwaja4376
    @idonmwamwaja4376 3 ปีที่แล้ว

    Kama ishu Ni maji yachunguzwe..ee mungu tuepushe

  • @happysteven297
    @happysteven297 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamanii

  • @frankemmanuel6029
    @frankemmanuel6029 3 ปีที่แล้ว

    Hakika tumuombe mungu tu atulinde na kutupgania jaman EE MUNGU TUTETEE

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 3 ปีที่แล้ว

    Cha kuangalia ni Maji kwanza labda ni sumu au yana bacteria fulani ambao wanaleta hayo matatizo, maji kwenye yanatumika na watu wengi.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 ปีที่แล้ว +1

    Waangalie pengine mboga zimemwagiwa dawa ya kuuwa wadudu halafu zikachumwa kwa siku ya pili sababu mboga zikimwagiwa dawa inabidi ziacjwe kwa siku sba ndio ziliwe.

  • @abasishabani1151
    @abasishabani1151 3 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmh tumekwisha

  • @lucasfidely3920
    @lucasfidely3920 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu tuokoe namagonjwa haya yaajabu😭😭😭

  • @jacobsafari700
    @jacobsafari700 3 ปีที่แล้ว

    ist tansania vohen

  • @joycesalvatory7768
    @joycesalvatory7768 3 ปีที่แล้ว

    Sasa maneno mengi hayasaidii, chukueni hatua za haraka kuokoa maisha ya watu, kuwa na wataalam

  • @saimonmatata9300
    @saimonmatata9300 3 ปีที่แล้ว

    Mungu tuokoe

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmmh nahisi ni sumu bwana si ugonjwa kuna kitu apo

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 3 ปีที่แล้ว +3

    Hatari san

  • @mambosasatv9717
    @mambosasatv9717 3 ปีที่แล้ว +2

    Me nadhani dawa za kuulia wadudu mashambn pia Ni chanzo

  • @robertigohe9338
    @robertigohe9338 3 ปีที่แล้ว +3

    Bwana Yesu aturehemu watanzania

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 ปีที่แล้ว +1

      Yesu hawezi kukurehemu abadani

    • @hydrazineazine8764
      @hydrazineazine8764 3 ปีที่แล้ว

      @@aishaarusha894 Hukijui hata unachokiamini maskini kiasi cha kupigwa upofu na kuona kila asiyeamini cha kwako anakosea Mungu akupe neema ya kuamini kilicho sahihi maana siyo kosa lako bali ni mazungira uliyoyakuta duniani tayari yapo kwenye mapokeo hayo na kukuaminisha unachokiamini.

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 ปีที่แล้ว +1

      @@hydrazineazine8764 mimi imani yangu ipo sahihi haswa sijui wewe mwezangu imani yako mbovu ya kuabudu binadamu mwezako😏

    • @awesomevibes5847
      @awesomevibes5847 3 ปีที่แล้ว

      Wee usitupachike watanzania sote sema wakristo wakitanzania... Sisi wengine hatuitaj rehma kwa yesu ambae ni binadamu anamkundu na uboo kama mm ...

    • @awesomevibes5847
      @awesomevibes5847 3 ปีที่แล้ว

      Wee usitupachike watanzania sote sema wakristo wakitanzania... Sisi wengine hatuitaj rehma kwa yesu ambae ni binadamu anamkundu na uboo kama mm ...

  • @naomiamon6633
    @naomiamon6633 3 ปีที่แล้ว

    Mwakaa huuu tutaona mengi kwakweli 😔😔😔

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 3 ปีที่แล้ว

    Tuendelee kumwomba mungu atupunguzie adhabu. Majanga yamezidi jamani.

  • @Minaahcosmetics
    @Minaahcosmetics 3 ปีที่แล้ว

    Daaah ewe mwenyezimungu tunusuru nahaya maradhi

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 ปีที่แล้ว

    Ee mungu tunusuru na aya magonjwa

  • @ibnuqassim1614
    @ibnuqassim1614 3 ปีที่แล้ว

    Rabbi salama

  • @appie1276
    @appie1276 3 ปีที่แล้ว

    Eeeeeh Mungu inusuru Tanzania🤲🤲🤲🤲🛐🛐🙏🙏

  • @richardkaiza74
    @richardkaiza74 3 ปีที่แล้ว

    Chunguzeni na viroba vya Konyagi, zingine wanazitoa hata kutoka Malawi. Na pombe za kienyeji ,uenda kuna vitu wanachanganyiwa kuongeza ukali. Hizo Pombe hazina vipimo lazima uchunguzi ufanyike. Na vyanzo via maji pia.

  • @pendael02
    @pendael02 3 ปีที่แล้ว +3

    Angalieni GMO na weed killer pamoja na usalama Kama wanapulizia mahindi wanavuta hewa ya dawa

  • @happysonrithe4884
    @happysonrithe4884 3 ปีที่แล้ว +9

    HAYO MAJI YA KUNYWA YACHUNGUZWE HUWENDA YANASUMU

    • @marrymwashinga2170
      @marrymwashinga2170 3 ปีที่แล้ว

      Eee mungu tunaomba tusamehe waja wako,,,mbona kazi..

    • @glorylema
      @glorylema 3 ปีที่แล้ว

      Kweli jamani

  • @cornwelltanzania
    @cornwelltanzania 3 ปีที่แล้ว +1

    Matumizi mabaya ya madawa ya kilimo inaweza kuwa ni sababu kubwa. Wataalam waweke nguvu kuangalia aina ya madawa ya kilimo wanazotumia mashambani kwao

    • @ibrahimmagere5545
      @ibrahimmagere5545 3 ปีที่แล้ว

      Watz Bana hujafanya utafiti unaconclude kuwa ni madawa ya kilimo, kuna mambo mengi yanayoweza kusababisha watu kutapika Damu, mfano homa ya ini, portal hypertension, nk lazima utafiti ufanyike

    • @stupendous1
      @stupendous1 3 ปีที่แล้ว

      @@ibrahimmagere5545i think you right,, sound like esophageal variceal bleeding secondary to portal hypertension,,,kama ni wakulima ni itakuwa kuna kichocho cha tumbo (Schistosoma mansoni)..aliyeenda muhimbili aliambiwa ni esophageal variceal which needed endoscopic clip kulingana na maelezo.

    • @ibrahimmagere5545
      @ibrahimmagere5545 3 ปีที่แล้ว +1

      @@stupendous1 nakubaliani na wewe huo ndo ukweli nimezaliwa kanda ya ziwa Victoria ambako matatizo hayo yapo Sana,, Kwa Imani ya watu huko kwetu walikuwa wanaamini ni uchawi lkn kuna wakati ndg yangu alipata tatizo kwenda hospital ikaonekena aliwahi kuugua kichocho na kikapona chenyewe, lkn Wale wadudu walishashambulia ini. Na kusababisha makovu ambayo baadae husababisha varices hizo zinapopasuka ndo watu hutapika Damu. Matibabu yake ni kufanya endascopic banding

    • @stupendous1
      @stupendous1 3 ปีที่แล้ว

      @@ibrahimmagere5545 ni kweli kabisa bado watanzania hawajui mambo mengi kuhusu afya..kichocho cha tumbo ambacho utokana na (Schistosoma mansoni) madhara yake baadae huwa ni kutapika damu na kichocho cha mkojo madhara yake huwa ni cancer ya kibofu(squamous cell carcinoma) of the urinary bladder. matibabu ya kutapika damu kutokana na kupasuka kwa variceal kuna dawa za kupunguza presha (portal hypertension) na kuna endoscopic management kulingana na grade za variceal,,,kuna endoscopic clip, band ligation na kuna Transjugular intrahepatic portosystemic shunt(TIPS) (hii ndo nzuri kuliko). Lakini matumizi ya pombe za kyenyeji hasa pombe ya mahindi ni hatari sana kwenye ini.....

    • @cornwelltanzania
      @cornwelltanzania 3 ปีที่แล้ว

      @@ibrahimmagere5545 my thoughts, not conclusions. Soma tena msg yangu. Of course zimaweza kuwa sababu nyingine nyingi tu

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo wana wa Adam tunajahau mno tunaikumbatia dunia wakti dunia ni mapito na starehe za muda!
    Maasi kila kukicha yamezidi ongezeka; riba, ushoga/riwati, kutembea uchi, pombe/ulevi, zinaa, kamali, uchawi/kurogana, mitume, manbii na masharifu wa uwongo kila kona.
    Wale wanaojinadi wanatowa huduma za maombezi na kufufua wafu wakowapi?!
    Tutumie vizuri akili zetu, tusirithishane kukariri uwongo wa Wapagani wa Antokia yukawacha imaan/dini ya haki na ya kweli tukaabudu viumbe!
    Tusome tupate kumwelewa na kumuabudu Mungu Mola Muumba (Mungu mmoja) pekee.
    Tuwaepuke walokuja na mpango mkakati (Wamissionary) lengo lao kuu aabudiwe shetani (freemasons), tunaiga mila na tamaduni zao na kusahu kuwa maovu tuyatendayo yanamchukiza Mungu Mola Muumba.
    Tunawaabudu viumbe na kumdharau Muimba!

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว +3

    Wapimwe Ngurue maana wakazi wa huko hwajambo kwa kufuga, kuuza na kula Nguruwe. Hivi mtu mpaka unakula nguruwe vitoweo vingine vimeisha?! Uchu ukizidi ni mtihan.

  • @mwanjaapembe9555
    @mwanjaapembe9555 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah Allah tunusuru😢

  • @suleimantsanje8904
    @suleimantsanje8904 3 ปีที่แล้ว +5

    Where are the government scientists take the blood samples immediately, live alone those waganga, tsanje from South Africa

    • @mntwanawabantuacademy4170
      @mntwanawabantuacademy4170 3 ปีที่แล้ว +1

      you re not south african , youre KENYAN, unfortunately, Please stop that nonsense, be honest about who youre

  • @aishamussa3245
    @aishamussa3245 3 ปีที่แล้ว

    Subuhan Laah 😭😭😭😭😭

  • @mariavianeypeter2991
    @mariavianeypeter2991 3 ปีที่แล้ว +1

    Ee Mungu tusaidie watoto wako, na utusamehe makosa yetu

  • @rosemrimbo4644
    @rosemrimbo4644 2 ปีที่แล้ว

    Sio mbeya tu hata morogoro

  • @kitundaemmanuel6811
    @kitundaemmanuel6811 3 ปีที่แล้ว

    Hili tatizo lina muda kidogo japo halijaenea sana, mwaka 2018 nikiwa field mkoa wa iringa nilishuhudia mtu akipoteza maisha kwa tatizo hlo hlo, MUNGU atutetee kwakweli, magojwa yaibuka kila siku

  • @merikizedeckmwaniwe5358
    @merikizedeckmwaniwe5358 3 ปีที่แล้ว +1

    E mwenyez mungu tunusuru sisi waja wako tusikutwe na majalibu kama hayo