Dah! Nusra niingie kwenye huu mtego ambao ningeishia kumnyanyasa mke wangu, ila nashukuru Mungu kanimulika kabla hayajatokota na kuharibika, wanaume tujifunze, tumuombe Mungu maana ni mtihani sana, unamuoa mkeo kwa mapenzi ila baada ya miaka michache mitihani inajitokeza, ndoa inakua shida kila siku ugomvi. Tuwapende wake zetu na kuwatunza.
Mke wa pili 🔥🔥🔥🔥 Aaataariii sana hii nayo itagusa watu wengi yaani nimefurahi hapo siku hizi baba mkali kama pilipili akienda kwa mke wa pili anakaa wiki mbili, saluti kwako mkuu Mungu akuinue zaidi
Inauma sana,,,wanaume wanatukosea wakiwa na wake wengine,,,and they believe ladies are mad NO! we are wise more than men,,, the time umetoka Kwa nyumba na unarudi,,,kukuona tu ivi tunasence,,,Kuna mahali umepita,,, but yote ni mapito
Chilolo mm ni mwimbaji lkn natamn san melody unazotumia na key unayoimbia dah nikiskilz unavoimba naon umependelewa sana kwa jins ninvokukubl naomba tukpige kolabo aseee
Dah! Nusra niingie kwenye huu mtego ambao ningeishia kumnyanyasa mke wangu, ila nashukuru Mungu kanimulika kabla hayajatokota na kuharibika, wanaume tujifunze, tumuombe Mungu maana ni mtihani sana, unamuoa mkeo kwa mapenzi ila baada ya miaka michache mitihani inajitokeza, ndoa inakua shida kila siku ugomvi.
Tuwapende wake zetu na kuwatunza.
ASANTE KAKA KWA KUNITUNGIA WIMBO.... NIMEVUMILIA BABA
Bro uko talented never give up
Mungu anajuwa kwa nini unaimba ivo
Ameen
In Saudi, l love your song iko Na mafundisho
wimbo mzurii sana barikiwaaa
Hakika Umezaliwa Kwa Ajili Ya Kuja Kufanya Kazi ya Mungu
Endelea Kuacha Alama Duniani
Hakika Jina Lako Litaishi Vizazi na Vizazi
Ameen mtu wa Mungu
Kazi zako nzuri Sanaa mungu akupe pesa ufanya maajabu apa duniani watu wakamjue mungu kupitia wewe 👍👍👍👍👍💞
Ameen
Huu wimbo unagusa familia yangu mama kafanyiwa hivihivi kisa mke wa pili na mwishowe baba yetu tumerudishiwa maiti tu
Mungu amtetee
😢😢😢😢😢
Mke wa pili 🔥🔥🔥🔥
Aaataariii sana hii nayo itagusa watu wengi yaani nimefurahi hapo siku hizi baba mkali kama pilipili akienda kwa mke wa pili anakaa wiki mbili, saluti kwako mkuu Mungu akuinue zaidi
Ameen kamanda Barikiwa sana
Amen amen amen 🙏
Amen🙏🙏🙏 ukweli kabisa umenigusa
Ameen
Wimbo mzuri
Hasantee🙏🙏🙏🙏❤️ umejua kuwanyoosha.imba na mapungufu yetu wa Mama nasisi tuione mbingu
Hakuna shida Kabisa
Amen barikiwa sana
nafatilia sana kazi yako kaka yangu hakika umenikuka na nyimbo zako dh aisee kwa kweri hongera sana kaza mungu atakusaidia sana
Ameen ndugu yangu
Hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri, nabarikiwa sana nyimbo zako
Ameen Dada
❤❤❤
KEEP IT UP BRO YOU ARE THE BEST
Ameen
Asante sana chilolo nimebarikiwa,more grace to you.
Nyimbo nzurii sana zinanbariki mungu azidi kukuinua
Ameen
💪💪🙏🙏🙏Brooo❤️
Napenda saaana uyu mwimbo, barikiwa mutumishi wa Mungu
Napenda wimbo zako sana, it gives me strength and heavy hope,❤🎉 asente sana mungu akubariki
Ukweli mungu hape nguvu nyimbo za zina ujumbe wa mahana sana
Inauma sana,,,wanaume wanatukosea wakiwa na wake wengine,,,and they believe ladies are mad NO! we are wise more than men,,, the time umetoka Kwa nyumba na unarudi,,,kukuona tu ivi tunasence,,,Kuna mahali umepita,,, but yote ni mapito
Ameen... Mungu awainue
From kenya tunakupenda sana🇰🇪🇰🇪🙏🙏 your songs touches alot😢
Thanks,🙏
Nisaidie namba yako kama huto jari prz nakuwomba
@@gogboykihereherewayesu1942 +255520564020
From Kenya 🇰🇪.
Nyimbo zako ziko poa broo 💥💥💥
Wow nyimbo zako hakika ni nzuri Barikiwa sana mutumishi wa mungu
Ameen
🔥🔥🔥
Ni kweli kabisa mke wa pili ameharibu maneno
kali hiyo braza,,ubarikiwe bro
Ameen
Ninashukuru nyimbo mzuuuuriii from kenya
Karibu sana
Njoo upige show Tanzania 🇹🇿 tunakuelewa sana
Asante sana
Mhuu wimbo ni mzuri sana,unatia nguvu
Song zako huwa zinabariko sana ni abigael
Ubarikiwe sanaa
Hongera kwa kazi njema mtumishi#kwimage mundewa
Ameen
Asante sana yonah kwa nyimbo izi
Woooow walai nyimbo zako zina massage kali .God bless u soo much
Ameen
Kenya in the house
Welcome 😁
tuko hapa hatutokiiii
Safi sana unaokoa ndoa za watu balikiwa .
Kaka hongeraaaa
Barikiwa sana mtumishi ujumbe mzuri 🙏🙏
Ameen
Nyimbo nzuri sana
Nimeipenda saaaaana🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kali ya mwaka
Mbona naona huu wimbo wahusu familia yangu tu😓😓😓😓😓😓😓😓😓😓😓😓
Yaani huu wimbo unanitia nguvu,Mungu azidi kukutia kukuinua mtumishi wa Mungu
Daaah! Broo unanipa furaha sana aisee
Tuko pamoja sana Ndugu yangu
jamaniiii,huu wimbo unagusa sana😭😭😭🙏🙏🙏🙏 from Kenya 🇰🇪🇰🇪💓
Mungu atusaidie
Amen nyimbo zako nzri zitolee video
Kama bado huja subscribe tafadhali fanya hivyo... Ili upate kazi nyingi nzuri ambazo zitainua Moyo wako... Mungu awabariki... Nawapenda watu wa Mungu
Mungu akubaliki Mtumishi 🙌
Ameen
Nyimbo nzuri sana barikiwa sana 🙏
Tunakupenda pia brother
Tunakupenda sana kwa kazi unayo fanya
Unanigusa sana huu wimbo hadi nimelia
Ameen ❤❤❤
Napenda nyimbo zako zinanitia moyo sana, nakupenda pia nipate like yako please #Yona Chilolo mimi ni fani wako mkubwa
Ubarikiwe sana Tuko pamoja
Jamani huu wimbo unanigusa sana moyo wangu am blessed 🙏🙏🙏🙏🙏 glory to God
Thanks alot,yote umeyaimba yanihusu ,tangia utoto wangu nkiwa darasa la pili,but am Strong through this song, shalom 🙏🙏🙏
Kaka hongera Sana Kwa huu wimbo ✊✊
Ameen
Nimeipenda sana hii ubarikiwe sanaaaaaaaaa
Ameen
Amen l love this
Hakika nyimbo zako ninzuri sana umetufindisha sana tena umetueshimisha wakina mama
Barikiwa sana Mungu aendelee kupigania kibali chako na huduma yako idumu milele daima
Ameen 🥰
James njoge so nice Wimborne unafunza sana
Congrats 👍 chilolo
Hii wimbo imenitoa tiktok to hapa
Ubarikiwe sana
Amen 🙏 glory be to GOD, your message blessed people,🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Mungu akuinue viwango vya juu zaidi
Ameen
Ujumbe Mzuri sana Akika Mungu Azidi kukutumia Vema.
Ameen ndugu yangu
🔥🔥🔥🔥
Natamani niliye kwa uyu wimbo😭😭maana unanimbusha mbali
Kaz nzur
Hakika umeimba vizur Sana
Mungu akubariki sana brother kwa nyimbo nzuri kwa huu ( wameongezeka baba usiniache pigana nao) huwa unanijenga sana.
Ameen
That’s the best
Yona mungu akubaliki sana🤲🤲🤲akuwongeze kibali n'a nema
Wimbo mzuri sana
Nikweli kaka ubarikiwe
Ameeb
Asante sana yona unatubariki tunakupenda sana from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameen
Hongera kaz nzuri
Asante sana
Naipenda Lakin mbona aipo goog
Mungu akuinue sana kwa kazi nzuri"
Barikiwa kaka kwa ujumbe mzr
Ameen
Chilolo mm ni mwimbaji lkn natamn san melody unazotumia na key unayoimbia dah nikiskilz unavoimba naon umependelewa sana kwa jins ninvokukubl naomba tukpige kolabo aseee
Karibu sana
Nyimbo imenigusa sana..umenitonesha kidonda😢ila yatapita
Wonderful
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Chi lolo
Bwana Yesu aendeleee kukutumia katika huduma hii ndugu.Kutoka pande ya Kenya 🇰🇪 ,tunapenda huduma hii yako ndugu
Asante sana Mungu awabariki
Ndoo najiuliza mbona hatambi xaaana wkt ngoma kali xn
Mungu atasaidia tutafika
Barikiwa sana bro kwa hiyo nyimbo
Haiwezekani mume awe na wake wawili alafu eti awapende sawa haitokei
Tuliopitia...from kenya
😢😢😢nyimbo zako ni fire I say
Nazipenda xana nyimbo zako ya zinanifariji mpendwa
I love your songs.from kenya
Amen aman🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😢😢😢😢asante mtumishi daah umenigusa sana
Ubarikiwe sana bro
Ameen
Amazing👏👏👏be blessed tunakupenda sana kenya
Nyumba ndogo 😢 reality of life never ever destroy someone's family be blessed servant of God good message ❤❤❤❤❤
Ameen 🙏
Hata sasa
be blessed,the god of heaven will exalt you,🙏🙏🙏
Nice