Syo simba tu hajamheshim yanga bali hata yanga kipind cha pili ni kama walisharthika na magoli 2 kipind cha pili yanga walicheza kama wako mazoezini avic town sijui ndo mipango ya kutunziana heshima???
Uyu jamaa kabla makundi ya CAF hayaja pangwa alisema kila mtu anamuogopa Yanga,baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi akasema Mamelod ni tim ya pili kuwa na wachezaji wenye thamani kubwa kwaiyo Yanga hawana nafasi,Yanga kampashida mamelod akabadilika,Game ya pili ya Yanga na simba alisema anaona Yanga anaenda kupigwa,Simba kapigwa amebadilika,AMNA KITU APO
Aisee yaan nakubaliana na wewe Sana Yanga Jana wamecheza kawaida mnooo Mpira tulioutegemea nitofaut kabisaaa, kuna mda mashabiki tunashikilia roho jamaan 😅😅
Uwe unasikiliza vizuri na una nafasi ya kurudia kusikiliza. Alisema hivi, simba wanaweza kushinda au kudro kama watamheshim na kumnyatia yanga na yanga anaweza kushinda, kudroo au kufungwa na akasema akisema yanga ashinde means afunge buster basi simba ataaibika.
Huyu Ni mchambuzi uchwara. Kila mtu kauona mpira. Adanganye wajinga na wasiofuatilia soka. Yanga hawezi kuwa bora kuliko Simba. Takwimu katoa wapi za ubora ?
Nakupenda lesson unachambuwa moira vizuri sana
Jamaa anajua mpira sana hongera kwa hilo.
Yanga hawakucheza 100
Huyu jamaa namuelewa sana aisee ni wachache sana aisee🎉
Huyu jamaa nilikuwa simuelewi sana, ila kwa uchambuzi huu, anajua mpira kabisa , kaka big up
Daaaah jamaaa unajuwa San 🫡🫡
Kaka uko vizuri
bro 🙌
Brother kessy🤣🤣🎉🎉
WE UOGOPI?
Nakukubali kaka nilikusubili xana
Napenda sana uchambuzi wako mwamba
Mpira unaujua vizuri mwanangu
Bro nilikuwa nakusibiri sana kwa kauli yako ile ulisema Yanga anaenda kuandabishwa
Najuelewa sana Kessy, na hiyo ndo habari hiyo
Wewe ulitabili Yanga kufungwa ,nashangaaa unatoa semina ya kuishemu Yanga
Usanii
Syo simba tu hajamheshim yanga bali hata yanga kipind cha pili ni kama walisharthika na magoli 2 kipind cha pili yanga walicheza kama wako mazoezini avic town sijui ndo mipango ya kutunziana heshima???
Noma sana
Dah kwa mara ya kwnza huyu Kessy leo kanikosha sana. Maua yake
Kigeu geu kingi xna si wew ulisema simba hawezi kufungwa mara 2 au sio wew jkesi chambua xoka kulingana na perfomax ya timu
Yap ,yaaani huyu ni mpiga ramli tu
Hata lakred alimtabiri hafiki December mwaka jana
😂😂😂😂😂huyu jamaa kaongea point sana. Km Yanga angefungukia booster aseee Simba wangepoteana. Nadhani yale magoli mawili yaliwabwetelesha sana
Yanga walikwama juzi waliomba poo
Justine next level brother
Na kuelewa kaka
Kessy uko wapi
Yanga ni Bora kuliko Simba sanaaaaa
Ulisema huoni yanga ikimfunga simba acha kugeuka
Huyu ni mfuata upepo tu
Sometimes unakua kigeugeu broo
You got data and mpira unaujua sana kaka
Mjomba kazi hii niya mchome tu ww bado sana
Reo kk,umeona aibu kuuficha ukweri,maana kizuri kinajiuza,
Wanaenda koo koo
we si hulisema yanga atafungwa,,?
YANGA HAWAKUPIGA LILE GAME LAO KINGEWAKA TANO TENA😂
Yaani wee Unaezungumzia kitu ambacho hakipo
Si uhamie yanga ikupe raha vizuri 😅
🙏
Nkoooo nkooo nkooo😂😂😂😂
Acha ujinga ulisema simba anashinda
Uyu jamaa kabla makundi ya CAF hayaja pangwa alisema kila mtu anamuogopa Yanga,baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi akasema Mamelod ni tim ya pili kuwa na wachezaji wenye thamani kubwa kwaiyo Yanga hawana nafasi,Yanga kampashida mamelod akabadilika,Game ya pili ya Yanga na simba alisema anaona Yanga anaenda kupigwa,Simba kapigwa amebadilika,AMNA KITU APO
Wewe kesy nilishasema huna lolote unayoyasema leo tofauti kisha unajiita mchambuzi huna lolote kigeugeu wewe
Yy aliongea kwamba yanga ataadabishwa vp leo?
Aisee yaan nakubaliana na wewe Sana Yanga Jana wamecheza kawaida mnooo Mpira tulioutegemea nitofaut kabisaaa, kuna mda mashabiki tunashikilia roho jamaan 😅😅
Aa batha VP tn
Kigeugeu😂
Ila Mwanzo hukusema Kocha wa YANGA alisema yy alifanya Mazoezi
Unachambua au unasifia,uchawa umezidi
Ulisema yanga atafungwa na Simba leo mbona umebadlili gia angani
Justin ndo mchambuzi mwongo,aliwapa ushindi Simba leo anajifanya kuchambua nini?
Kessy hujatusha kitu
Mchambusi atakiwi kuwa kama wewe ulisema yanga anafunga ama sele,acheni mapenzi ya timu zenu mbovu mseme ukweli
Alisema yanga wataadhilika
Huyo kila media anaongea tofauti,,, kabla ya mechi kuna media nyingine pia alisema yanga anashinda,,, yani ni kinyonga inategemea upepo wa anaemuhoji
Wewe unajua soka❤
Mwamba unajua BOLI na unamhutia mdikilizaji amalize KIOINDI chako
Mtangazaji hajui kati ya almasi na dhahabu ipi ina thamani ! Mmmh!
mbona ivo kaka unaisifu yanga kiroho nzuri karibu yanga ikuondoleye stress
Nenda zko uk mjinga mkubwa www ao yanga wamepigwa na Azam juz TU
Kinyonga huyu, yaani kama siyo mwanaspot, ulisema Simba hawezi kufungwa mara mbili
Ww siulisema Simba watashinda
Uwe unasikiliza vizuri na una nafasi ya kurudia kusikiliza. Alisema hivi, simba wanaweza kushinda au kudro kama watamheshim na kumnyatia yanga na yanga anaweza kushinda, kudroo au kufungwa na akasema akisema yanga ashinde means afunge buster basi simba ataaibika.
Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.
Wew.kigeu na ww Una matatizo ya kiakili mpumbafu Wew
Badomnafunga
Uyo nae anaongea sana sasa hapo anachambua nn zaidi ya uchawa pimbi wewe ebu tupishe
C mchambuzi ni CHAWAAA
Na BADOOOOO..KULOPKA KWINGI MPIRA 0
Pekeake. Ndoo mkweli uyu
Hh
Huyu jamaa naye just alisema simba hawawezi kufungwa mara 2
Ww co mchambuzi kabisa ulisema Simba anashinda ww haujui.
Unalopoka tu alafu unasahau nenda uko hueleweki wewe
weee unafeli wp kila siku unageuka tu kuna vile ulisema na hatujaviona kenge wewe
Kessy wewe mtu na nusu
Kigeugeu wewe
Huyu Ni mchambuzi uchwara. Kila mtu kauona mpira. Adanganye wajinga na wasiofuatilia soka. Yanga hawezi kuwa bora kuliko Simba. Takwimu katoa wapi za ubora ?
Hujui mpira.
HEBU toa takwimu zako ukizingatia performance ya timu na uwezo wa mtu mmoja mmoja ndo umpinge sasa huyu jamaa
hilo nalo mmekariri kuna muda umepita imebaki kuwa expired endeleeni kuamini vitu mgando
We nae n fala kumbe 😅
Ndugu tuwe tunakubali hali halisi. Tuache ushabiki pembeni Yanga kwa sasa wako vizuri.
Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.
Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.