JUSTINE KESSY AMALIZA MJADALA WA UBOVU WA SIMBA VS YANGA| WANGEFUNGWA 5 NYINGINE YANGA WANGEAMUA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 89

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah8416 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda lesson unachambuwa moira vizuri sana

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 5 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa anajua mpira sana hongera kwa hilo.

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 5 หลายเดือนก่อน +13

    Yanga hawakucheza 100

  • @bensonfikirini4112
    @bensonfikirini4112 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu jamaa namuelewa sana aisee ni wachache sana aisee🎉

  • @ericsangasa9872
    @ericsangasa9872 5 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa nilikuwa simuelewi sana, ila kwa uchambuzi huu, anajua mpira kabisa , kaka big up

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 5 หลายเดือนก่อน +7

    Daaaah jamaaa unajuwa San 🫡🫡

  • @BrighitonNovatus
    @BrighitonNovatus 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka uko vizuri

  • @AyubuNavara
    @AyubuNavara 5 หลายเดือนก่อน +4

    bro 🙌

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 5 หลายเดือนก่อน +5

    Brother kessy🤣🤣🎉🎉

  • @jumasalim4380
    @jumasalim4380 5 หลายเดือนก่อน +5

    WE UOGOPI?

  • @EdisoniEneliko
    @EdisoniEneliko 5 หลายเดือนก่อน +6

    Nakukubali kaka nilikusubili xana

    • @victornyese9009
      @victornyese9009 5 หลายเดือนก่อน +1

      Napenda sana uchambuzi wako mwamba

    • @victornyese9009
      @victornyese9009 5 หลายเดือนก่อน +2

      Mpira unaujua vizuri mwanangu

    • @sheilahmnaro874
      @sheilahmnaro874 5 หลายเดือนก่อน +3

      Bro nilikuwa nakusibiri sana kwa kauli yako ile ulisema Yanga anaenda kuandabishwa

  • @HusseinNdonde
    @HusseinNdonde 5 หลายเดือนก่อน

    Najuelewa sana Kessy, na hiyo ndo habari hiyo

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wewe ulitabili Yanga kufungwa ,nashangaaa unatoa semina ya kuishemu Yanga

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 5 หลายเดือนก่อน +17

    Syo simba tu hajamheshim yanga bali hata yanga kipind cha pili ni kama walisharthika na magoli 2 kipind cha pili yanga walicheza kama wako mazoezini avic town sijui ndo mipango ya kutunziana heshima???

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 5 หลายเดือนก่อน +7

    Dah kwa mara ya kwnza huyu Kessy leo kanikosha sana. Maua yake

  • @allanmihayo3041
    @allanmihayo3041 5 หลายเดือนก่อน +11

    Kigeu geu kingi xna si wew ulisema simba hawezi kufungwa mara 2 au sio wew jkesi chambua xoka kulingana na perfomax ya timu

    • @jonaskabonda741
      @jonaskabonda741 5 หลายเดือนก่อน +1

      Yap ,yaaani huyu ni mpiga ramli tu

    • @athmanimkangara9290
      @athmanimkangara9290 5 หลายเดือนก่อน

      Hata lakred alimtabiri hafiki December mwaka jana

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 5 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂😂huyu jamaa kaongea point sana. Km Yanga angefungukia booster aseee Simba wangepoteana. Nadhani yale magoli mawili yaliwabwetelesha sana

  • @graphicshome862
    @graphicshome862 5 หลายเดือนก่อน

    Justine next level brother

  • @EdwardKitabo
    @EdwardKitabo 5 หลายเดือนก่อน

    Na kuelewa kaka

  • @erickganira6324
    @erickganira6324 3 หลายเดือนก่อน

    Kessy uko wapi

  • @hassansadick5528
    @hassansadick5528 5 หลายเดือนก่อน +3

    Yanga ni Bora kuliko Simba sanaaaaa

  • @IsraelMwakagire-hn8pn
    @IsraelMwakagire-hn8pn 5 หลายเดือนก่อน +5

    Ulisema huoni yanga ikimfunga simba acha kugeuka

  • @broynmajamla3074
    @broynmajamla3074 5 หลายเดือนก่อน +5

    Sometimes unakua kigeugeu broo

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 5 หลายเดือนก่อน

    You got data and mpira unaujua sana kaka

  • @RamadhaniKhamisi-hs8um
    @RamadhaniKhamisi-hs8um 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mjomba kazi hii niya mchome tu ww bado sana

  • @PiusSanga-z7b
    @PiusSanga-z7b 5 หลายเดือนก่อน

    Reo kk,umeona aibu kuuficha ukweri,maana kizuri kinajiuza,

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaenda koo koo

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 5 หลายเดือนก่อน +2

    we si hulisema yanga atafungwa,,?

  • @haidarysalehe9056
    @haidarysalehe9056 5 หลายเดือนก่อน +5

    YANGA HAWAKUPIGA LILE GAME LAO KINGEWAKA TANO TENA😂

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani wee Unaezungumzia kitu ambacho hakipo

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 5 หลายเดือนก่อน +2

    Si uhamie yanga ikupe raha vizuri 😅

  • @HamiduZowo
    @HamiduZowo 5 หลายเดือนก่อน

    🙏

  • @RevocatusSungura
    @RevocatusSungura 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nkoooo nkooo nkooo😂😂😂😂

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh 5 หลายเดือนก่อน +2

    Acha ujinga ulisema simba anashinda

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim6305 5 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu jamaa kabla makundi ya CAF hayaja pangwa alisema kila mtu anamuogopa Yanga,baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi akasema Mamelod ni tim ya pili kuwa na wachezaji wenye thamani kubwa kwaiyo Yanga hawana nafasi,Yanga kampashida mamelod akabadilika,Game ya pili ya Yanga na simba alisema anaona Yanga anaenda kupigwa,Simba kapigwa amebadilika,AMNA KITU APO

  • @DrjosephKingo
    @DrjosephKingo 5 หลายเดือนก่อน +5

    Wewe kesy nilishasema huna lolote unayoyasema leo tofauti kisha unajiita mchambuzi huna lolote kigeugeu wewe

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 5 หลายเดือนก่อน

    Yy aliongea kwamba yanga ataadabishwa vp leo?

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee yaan nakubaliana na wewe Sana Yanga Jana wamecheza kawaida mnooo Mpira tulioutegemea nitofaut kabisaaa, kuna mda mashabiki tunashikilia roho jamaan 😅😅

  • @ShabaniMussa-f3k
    @ShabaniMussa-f3k 5 หลายเดือนก่อน

    Aa batha VP tn

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 5 หลายเดือนก่อน

    Kigeugeu😂

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 5 หลายเดือนก่อน

    Ila Mwanzo hukusema Kocha wa YANGA alisema yy alifanya Mazoezi

  • @YusufuMwamlengaMwamlenga
    @YusufuMwamlengaMwamlenga 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unachambua au unasifia,uchawa umezidi

  • @KhamisHamad-v7f
    @KhamisHamad-v7f 5 หลายเดือนก่อน

    Ulisema yanga atafungwa na Simba leo mbona umebadlili gia angani

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham 5 หลายเดือนก่อน +1

    Justin ndo mchambuzi mwongo,aliwapa ushindi Simba leo anajifanya kuchambua nini?

  • @erickganira6324
    @erickganira6324 3 หลายเดือนก่อน

    Kessy hujatusha kitu

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mchambusi atakiwi kuwa kama wewe ulisema yanga anafunga ama sele,acheni mapenzi ya timu zenu mbovu mseme ukweli

    • @geraldgogadi7054
      @geraldgogadi7054 5 หลายเดือนก่อน +2

      Alisema yanga wataadhilika

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 5 หลายเดือนก่อน

      Huyo kila media anaongea tofauti,,, kabla ya mechi kuna media nyingine pia alisema yanga anashinda,,, yani ni kinyonga inategemea upepo wa anaemuhoji

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 5 หลายเดือนก่อน

    Wewe unajua soka❤

  • @AbrahamChengula
    @AbrahamChengula 5 หลายเดือนก่อน

    Mwamba unajua BOLI na unamhutia mdikilizaji amalize KIOINDI chako

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 5 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji hajui kati ya almasi na dhahabu ipi ina thamani ! Mmmh!

  • @JaffariNiyongabo
    @JaffariNiyongabo 5 หลายเดือนก่อน

    mbona ivo kaka unaisifu yanga kiroho nzuri karibu yanga ikuondoleye stress

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 5 หลายเดือนก่อน

    Nenda zko uk mjinga mkubwa www ao yanga wamepigwa na Azam juz TU

  • @KulijeNovart
    @KulijeNovart 5 หลายเดือนก่อน

    Kinyonga huyu, yaani kama siyo mwanaspot, ulisema Simba hawezi kufungwa mara mbili

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 5 หลายเดือนก่อน

    Ww siulisema Simba watashinda

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 5 หลายเดือนก่อน

      Uwe unasikiliza vizuri na una nafasi ya kurudia kusikiliza. Alisema hivi, simba wanaweza kushinda au kudro kama watamheshim na kumnyatia yanga na yanga anaweza kushinda, kudroo au kufungwa na akasema akisema yanga ashinde means afunge buster basi simba ataaibika.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf 5 หลายเดือนก่อน

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 5 หลายเดือนก่อน

    Wew.kigeu na ww Una matatizo ya kiakili mpumbafu Wew

  • @ShafiiAhmadi
    @ShafiiAhmadi 2 หลายเดือนก่อน

    Badomnafunga

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 5 หลายเดือนก่อน +2

    Uyo nae anaongea sana sasa hapo anachambua nn zaidi ya uchawa pimbi wewe ebu tupishe

  • @SuleimanNgware
    @SuleimanNgware 5 หลายเดือนก่อน

    C mchambuzi ni CHAWAAA

  • @SuleimanNgware
    @SuleimanNgware 5 หลายเดือนก่อน

    Na BADOOOOO..KULOPKA KWINGI MPIRA 0

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 5 หลายเดือนก่อน

    Pekeake. Ndoo mkweli uyu

  • @SadikijumanneAseche
    @SadikijumanneAseche 5 หลายเดือนก่อน

    Hh

  • @basilkamage2196
    @basilkamage2196 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa naye just alisema simba hawawezi kufungwa mara 2

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf 5 หลายเดือนก่อน

    Ww co mchambuzi kabisa ulisema Simba anashinda ww haujui.

  • @SuzanaEdson
    @SuzanaEdson 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unalopoka tu alafu unasahau nenda uko hueleweki wewe

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 5 หลายเดือนก่อน

    weee unafeli wp kila siku unageuka tu kuna vile ulisema na hatujaviona kenge wewe

  • @GodfrryGabriel
    @GodfrryGabriel 5 หลายเดือนก่อน

    Kessy wewe mtu na nusu

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kigeugeu wewe

  • @modestzacharia8939
    @modestzacharia8939 5 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Ni mchambuzi uchwara. Kila mtu kauona mpira. Adanganye wajinga na wasiofuatilia soka. Yanga hawezi kuwa bora kuliko Simba. Takwimu katoa wapi za ubora ?

    • @emmanuelzwallo3933
      @emmanuelzwallo3933 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hujui mpira.

    • @emmanuelzwallo3933
      @emmanuelzwallo3933 5 หลายเดือนก่อน +2

      HEBU toa takwimu zako ukizingatia performance ya timu na uwezo wa mtu mmoja mmoja ndo umpinge sasa huyu jamaa

    • @benjaminmoses5575
      @benjaminmoses5575 5 หลายเดือนก่อน

      hilo nalo mmekariri kuna muda umepita imebaki kuwa expired endeleeni kuamini vitu mgando

    • @leahsimba4788
      @leahsimba4788 5 หลายเดือนก่อน

      We nae n fala kumbe 😅

    • @pilipilimanga2619
      @pilipilimanga2619 5 หลายเดือนก่อน

      Ndugu tuwe tunakubali hali halisi. Tuache ushabiki pembeni Yanga kwa sasa wako vizuri.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf 5 หลายเดือนก่อน

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf 5 หลายเดือนก่อน

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.