Nakukubali upo wazi sana mtu wng endelea hivyo kuwafunza watu wenye mapenzi ya mkataba unawafunza wengi hongera wema umempata mtu wa muhimu kwenye maisha yako
Weeeeee❤❤❤wemaaaa anayajua mapenzi na mwanaume kafundwa kutulia anasamini penzi la zati na kuliheshim Kuna wanaume ht wapewe upendo Gani km majini hawajali ht shukrani ndokwanza atakuuzi lkn hozu anasamini upendo wa wema na kuujali
Nimependa ginsi unavyomupenda Wema kwa kweli ❤🇸🇪🇸🇪🇸🇪🇸🇪
Whozu and wema❤❤Nawapenda sana
Toka umekuwa na wema umependeza
Wanaume wengi ni waongo wanapotaka kupata kitu lkn whozu upo wazi sana Mungu akubariki mwanangu
Siamini huyu ni wozu kawa hivi,katunzwa kawa bonge la handsome😍😍😍❣️
Mungu awasimamii muowane nawapenda
Nakukubali upo wazi sana mtu wng endelea hivyo kuwafunza watu wenye mapenzi ya mkataba unawafunza wengi hongera wema umempata mtu wa muhimu kwenye maisha yako
Safi sana whozu lazima umtetee umpendae💗
Woow ,Whozu kumbe ww ni Mchagga wa
Napenda couple yenu❤
Safi sana whonzu huo ndo maamuzi sihihi
Ila Wema ana nini? Hakuna mtu aliyepita naye akashindwa kukiri kuwWema ni moto 🔥. hongera zake!
Whozu kawa mzuri wema apewe maua yake
Weeeeee❤❤❤wemaaaa anayajua mapenzi na mwanaume kafundwa kutulia anasamini penzi la zati na kuliheshim Kuna wanaume ht wapewe upendo Gani km majini hawajali ht shukrani ndokwanza atakuuzi lkn hozu anasamini upendo wa wema na kuujali
YAAANI WHOZU AKIWA NA WEMA RAHA TU HAIELEZEKI HAPO SHAHIDI MANUNU PEKEAKE
Kajitupe baharini sasa kijana Whooz😂😂😂😂 jitu bovu
Dada anasauti nzuri sana🎉
Mapenzi moto❤
❤❤
Really Wema be responsible, there is life with out a man.