SUNGWI /EP 2/ Full Episode
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- #snakeboy #clamvevo #chinga #wronghouse #diamondplatnumz
Sungwi Ni Movie Inayo Muelezea Kiongozi Ambaye Anawetesa Na Kuwa Nyanyasa Wananchi Wake Na Anatokea Kijana Mgeni Ambae Anakuja Kuwa Msaada Kwenye Kijiji Hicho
Ipo poa!!
Pia ni furaha yenu kuona tunalalamabkuwa inchelewa, ila angalie msitupoteze mashabiki wenu.
Tunashukuru Sana Kwa Support Ila Hatupendi pia kuchelewa maana kuwahi ndio mafanikio zaidi kwetu ila kuna vitu vipo nyuma ni vigumu kuelezea but tunawaomba mtusupport na mtutie moyo nasio kutulaumu tu🙏❤️
@OfficialDubu_tz
Tupo pamoja ndo mana mara kadhaa tulijaribu kusachi part2 ila waap, Nimeelewa.
Phone number
@@OfficialDubu_tz Aisee Kaka kweli tunaisubiri Full Movie kwa hamu aisee maana hii hapa inatufanya tunakua na Kiuu, Love From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante
Hongera kaka dubu🎉🎉🎉 pambaneni msikate tamaa kila kitu kitakua sawa na in shaa Allah changamoto Allah Ataziepusha...kazi ni nzuri❤❤❤
Tunashukuru sana ❤️
Kama unakubali hii series gonga like,,,more love from 254
Huyu jamaa Dubu namwaminia Sana kwa uigizaji wake❤❤❤😂
Napenda anavyoigiza nakua Bora zaid
Dubu hoyeeeeeeeeee
Mapinduzi Kwa cram na Steve mweusi safi sana Mungu awe nanyi team nzima
We zombie,dubu na hajira kidoti,umetisha mwambaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤️
Kila mtu anagombania cheo nakila mtu anamawazo mabaya ya uongozi nategea mwendekezo kazi nzuri sana hongeten 🎉❤
🙏❤️
kazi iko vizuri🔥🔥 ila mnachelewesha sana mwisho mnapunguza morali wa mashabiki#from Kenya
Big up bro mungu azidi kukupa kibali much love from Saudi Arabia ❤❤❤❤
❤️
Nyie watu nawapongeza kwa kazi nzuri, mmefanya siku hizi mm ni mfuatiliaji mzuri wa muvi za nyumbani Tanzania hasa kazi zenu.
Hongereni sana
Tunashukuru sana 🙏
Piso kali,nikilla ok nikiamka fine😂😂😂😂😂😂😂😂.safi sana dubu mung akuongoze inshaallah
Amiin Inshaallah ❤️
Waoooh nilikua naisubiri kwa hamu sana SUNGWI🥰 hongera sana Dubu kazi nzuri sana ♥️♥️♥️🎉🎉🎉🙌🙌🙌
❤️
Allah awazidishie Inshallah kwa kazi nzuri Mashaallah 😊😊 Mwenyezi Mungu azidi kuwapa Nguvu na fikra za kila aina mtuongezeee Movie tamu tamu tuuu Mashaallah 🥰🥰❤❤❤Hongereni Team Dubu❤❤
Tunashukuru ❤️
Hongera kakangukazi zuri🎉🎉
🙏
Dubu kazi nzuri sana Mungu azidi kukuongeza kwenye kazi yako izidi kuwa imara 🤲big up brother dubu ww pamoja na team yako🎉🎉
Tunashukuru sana ❤️
Nampenda uyo babu mfupi ananikosha 😂😂 eti unaona donge panda juu ukazibe😅😅
❤️
Alafu dubuuuuuu🎉🎉🎉🎉 ume ni maliza kazi zako nzuri sana
❤️
Mashallah congratulations dubu much love from saudia Arabia really appreciate ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤️
Huyu mdada bonge yuko vizuri san, wot mko poa ila huyu mganga WA mapiano abadilishe uwongeaji aongee kawaida2 itakua vizur zaidi , hongeren kazi nzuri san nawapenda❤
❤️
❤❤kaz nzur love you from kanya to Qatar 🥰
bonge la movie wakuu pamoja sanaa nipo sambamba na nyie,one love
🙏
Kazi safi bro we know what you go through to entertain us❤ Take your flowers 😊
🙏❤️
Kazi nzuri muwaishe Bas man
Wow kazi njema dubu ,🇰🇪 Kenya 🇰🇪 Kenya 🇰🇪 tunaipenda sana.be blessed
🙏❤️
Asante kaka kwakanzi nzuri. Mungu. Azidi kukuongoza. Ishallha na chamachako
🙏❤️
❤❤❤❤❤kazi nzuri dubu ❤❤❤❤
❤️
Kazi nzuri msanii wetu DUBU
lete vitu brother
🙏🙏
🙏🙏
Alooo minilikua nasubir episode 2 kwa ham jmn hatima kaz nzurii 🥰🔥
🥰
Kambale hongera sn kwaku tufuraisha sn km mtoto wa kike
Dubu kazi nzuri sanaaaa ijapokua unachelewa kutoa episode nyingine jitahidi kaka pia mda uko mfupi jameni hongera ❤❤❤ from Kenya
🤝🤝
Kaz nzur dubu mungu akupe ubunifu zaid na afya njema tuenjoy pamoja na kujifunza ❤❤🎉🎉
Big up sana dubu ❤❤❤
❤️
Yani dubu unajua mpka unajua tena mashallah ❤
❤️
Ndege wa moto,,,,kazi Safi,,,, 👍 mdomo koma🤗
Well done dubů n kikosi kizima salam kwa nyani much love san❤❤❤❤
🥰
Mie sio wa kwanza ila nimejaribu kuwai asante sana dubu lkn usicheleweshe mno nazipenda sana movie zako
🥰
Ongera bwana dubu kazi safi tunawapenda from burundi❤
❤️
Haya jamani mie ni mwisho kutoka congo🇨🇩🇨🇩😂😂🎂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤kazi zako ni nzuri sana ila kaka tuangushie mzg mapema maana unatuchelewesha sana
🙏
mnachelewesha sana jamani
😂😂😂😂kwakipi ulichonacho we kibongee🎉🎉🎉
Nyaningwengwe nakupenda ukisema eti:alafu wewe🤣🤣🤣🤣
Daha asee nime jitaidi kuisubilia adi nime toka kwenye wifi duh asee tukutane kesho apo dubu 😂😂😂😂😂😂
Hongera sana Dubu nakupenda sanaaaaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kwa kazi Yako nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
🥰🥰
@@OfficialDubu_tz napenda sana kazi zako uko jasiri aki mola akuzidishie🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉
Mashallah dubu hii kali sana wallah nimeipenda jamani ila nammiss nyani gwegwe
❤️
Mtumishi Moto 😅😅😅 Unaupig mwingi
Daah watoto wa TZ warembo kinoma
❤️
On time wacha nienjoy mwenyewe kaka kazi nzuri mno ❤❤🎉🎉🎉
❤️
Kaka dubu napenda sana kazi zako nataman siku moja nikifanikiwa kufika dar nifanye kaz na wew
🤝
Hajira Kidoti na Dubu Mtakuwa wapenzi ...Naomba Jibu Dubu
❤
Dubu kwa kila hatua nipo na wewe,,,,Allah akujaalie vivyo hivyo...ila nakuomba kitu kimoja ,,pole kwa kukuingilia kazi yako safi,,naomba huyo chief awe akienda sehemu ako na walinzi angalau wa3 kuonyesha ni mtu hatari na mwenye kuheshimika zaidi,,,Ahmed kutoka Kenya,,,shukrn 🙏🙏
Dubu nakuamini sana chif asikutishi hujawahi kushindwa.from 🇧🇮
🥰
Duh so pw kaka huna kaz mbovu kaka sema umeipangilia vzr mmno tukupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢
🙏❤️
Kazi njuzi sana mungu awatie nguvu mzidi kutupa vitu vizuri kila siku tuko pamoja kaka💓💓
🙏
Nipen lake zangu jmn ❤❤❤❤❤
Uko vzr upewe mauwa yako🎉🎉🎉🌷🌷🌷🌷🌷🌷
🙏🙏❤️❤️
Mbona unachelewesha tena kaka , wakwanza from Burundi 🇧🇮
Hadi ndio nashindwa kuelewa 😂😂😂
Basi jibu jamni tujue tatizo lipo wapi sisi ma fans wako
Nakubali sana mzee
Wewe ongereni kwa kazi nzuri ira munacherewesha sana
🙏
Waigizaji WanaDrama nyingi sana 😂😂😂😂
Hahahahahaha we kambale ww
Nwapenda hajra na Dubu🥰❤️ kaz safi sana
🙏❤️
Kaz nzur nakubal
Pisi zinazoluhusiwa kujiremba humu kujeni apa😂🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka kujiremba akuone nani😂😂
@@pur-ple-girll-304 dubu 🌚🌚😂🤣🤣🤣
Dadake na mfalme uko vzr sana nakpnda bure shka maua yko,🌹🌹🌹🌹
Safi sana Kazi nzuri 🔥🔥
Sungwi 🎉ni nzuri sana
Napenda sana movie zako kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
🙏
kuna kiumbe wanamuita Sonji 🔥🔥🔥
Like kwa pisi kali ya himaya 😂😂😂🤣🤣🤣chifu kapigwa kitu kizito mara paaaaaap🤣🤣🤣🤣🤣😍😍😍👏
🤣🤣🤣🤣🤣eti chuchu saa sita,we huogopi,unaitaka yako🤣🤣🤣
Dubu kaz nzuri sana lkn jitahid kuwaisha
🙏❤️
Sijachelewa sana 😂😂 niko area sasa maua Yako dubu 🎉🎉🎉
Kari sana dah
Mungu akuondolee hizo changamoto zilizopo nyuma, ili tusonge mbele sambamba❤
Amiin Inshaallah ❤️
Nakupenda sana dubu kazi nzuri sana
🥰
Kazi nzr sana endeleya
nakufwatilia toka Zambia
🙏
Kazi Safi 👍
Dubu kiukwel unafanya kazi nzuri sana honger sna kaka
🙏
Waah mambo moto aise kaz safi sna nawamimia wadau
🙏
Dubu anafanyanya vizuri
🙏
Hongera sana kaka,kwa kazi nzurii mungu aendelee kukutunza zaidi,na kukutia nguvuu,,
Amiin ❤️
Woow hata bado naendelea kuangalia eti imeisha 😅😅kazi safi sana..
Ilo neno Chief ni neno geni kwetu mngemuita Mtemi tu
Kumekucha tena np hap wif yenu kwa mabuti kutoka oman moja wsif bure za warabu mabuti ni chawa zaid ya chawa kwa chifu huu 🔥🔥🔥🔥 mabuti love me mwana
Much Congratulations Dubu🎉🎉🎉🎉
🙏❤️
Bongo mnatisha sana siku izi
🙏
Kazi nzuri Kaka dubu nakupenda sana kutoka kenya 🇰🇪
🙏
Big up team tubu good video
Umekuja bila gad ngoja nikugawie wastan bila idadi😂
Mko vizuri
Uso wako umejaa bwibwi 😂😂😂😂😂
Kazi nzuri dubu nakupenda
❤️
Niliimis san jaman🎉🎉🎉 asante kaka dubu
❤️
❤️❤️❤️❤️❤️😜
Tim dubu mpo❤❤❤❤
Hongera dubu naku pp enda Bure salimie nyani ngwengwe 😅😍😘🥰🥰
🥰🙏
God job Dubu ❤❤🇴🇲
❤️
Tia bidii dubu kaz nzuri sana
🙏
Awa waremboo wako waremboo Na figure tamuu sana kuliko hii junga bii skari
Mozambique 🇲🇿 tunakufatilia mzee
Ila dadake chifu banaaa,😂😂😂😂anajua sana,nimependa uigizaji wake😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇰🇪eti we huogopi, unaitaka yako 🤣🤣🤣🤣🤣,kali sana,🇰🇪
❤️
Afu dadake Chief bhana 😀 yaani wanifurahisha sana kwenye Na fasi yako unaifanzia vyema hipasavyo,ati ni kilala Fine ni kiamka Okay,chuchu saa sita .