DUDU BAYA AMJIBU PROPHET IPM / AMUWASHIA MOTO ATAJA LIST YA WASANII WANAOISHI MAISHA YA KUIGIZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 53

  • @bakaridiawara7224
    @bakaridiawara7224 14 วันที่ผ่านมา +13

    Jamaa namkubali sana ukimsikiliza kwa makini this dude got some point

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 10 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi Naishi Canada, nakufatilia sana Uncle Legendary Dudu Baya.

  • @Godishereforus
    @Godishereforus 13 วันที่ผ่านมา +3

    Glory be to Yahuah, manabii wa uwongo wanafunga watu vifungo vya giza. Nuru na giza azina mausiano kabisa. Tubuni dhambi, dunia imeiisha.
    God bless Amen

  • @jeredienniyomwungere4696
    @jeredienniyomwungere4696 13 วันที่ผ่านมา +5

    Konki master anaakili nyingi sana mpeni mauwa yake Yani ❤

  • @RamadhaniHussein-w6m
    @RamadhaniHussein-w6m 13 วันที่ผ่านมา +3

    Daaah konki unaongea uhalsia mtupu na maelezo yalyojitosheleza...big up bro

  • @goodluckzmtae
    @goodluckzmtae 5 วันที่ผ่านมา

    KONKI KONKI KONKI MASTER❤

  • @abelmwaita7745
    @abelmwaita7745 11 วันที่ผ่านมา

    kaka wanakuona mjinga,ila mm nakuona wewe unajua utaratibu katika jami,pia unajua mipaka,na pia una hofu ya Mungu💯💯💯✔️

  • @MzamirOmary-l4p
    @MzamirOmary-l4p 8 วันที่ผ่านมา

    safi sanaa anko unamaneno ya busara waambie ukweli hao watumishi😊

  • @aminajumashakombo1549
    @aminajumashakombo1549 6 วันที่ผ่านมา

    Mi nampenda sana uyu mkaka sanaa tu jamani konk master soma msg yangu mimi apa binti wamiaka 24 nakupenda sanaa😢sanaaa😊❤🎉Nafanya kazi uko nasikiliza interview zako maana una akili mno I wish uwe.....au bas😅

  • @umbeaeastafrica7943
    @umbeaeastafrica7943 12 วันที่ผ่านมา +2

    Dudu hakumuelewa IPM.

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 10 วันที่ผ่านมา

    That's true.

  • @newgreeneaglestudio3089
    @newgreeneaglestudio3089 13 วันที่ผ่านมา +3

    Sisi wamarekani Hatuna shobo na wasani tuko busy kwa kitafuta pesa

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 13 วันที่ผ่านมา +1

    IPM sio mchungaji n mpigaji

  • @GasparPeter-r8x
    @GasparPeter-r8x 11 วันที่ผ่านมา

    Tatizo lako Dudubaya unahakiri sana sijui umezitolea wapi!

  • @johdullayo4960
    @johdullayo4960 9 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni star au star let

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 7 วันที่ผ่านมา

      Unataka kusema nn

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 13 วันที่ผ่านมา +1

    mnazunguka sana,,mm binafsi toka nimezaliwa sijawahi kumuona daimond mnayemsema,,namuona kwenye simu tu.

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 7 วันที่ผ่านมา

      Hujataka kumuona

  • @SalmaLigeni
    @SalmaLigeni 13 วันที่ผ่านมา

    Konki master nakukubari

  • @jonasjoe3623
    @jonasjoe3623 10 วันที่ผ่านมา

    Dudubaya acha uongo Yesu hajawahi kugeuza jiwe kuwa mkate acha uongoooooo

  • @samwelsebastian4678
    @samwelsebastian4678 5 วันที่ผ่านมา

    Mambaaaaa😂

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 13 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna Mtu Apa atakoment Uchoko Kuusu Dudubaya Ila wenye Hakilitu ndo Tunao mkubali

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 7 วันที่ผ่านมา

      Vitoto vya elfu2 ivyo

  • @buzanation1040
    @buzanation1040 12 วันที่ผ่านมา

    Konky tupo pamoja hadi wajutreeeee👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼sumu wafe wote😅😅😅😅😅

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 13 วันที่ผ่านมา

    Sio juu ya usalama konki konki watu wako busy na maisha alafu ma ⭐️ ni wengi kibao sio musician tuu basket ball player American football player baseball player hockey player ni wengi saana mno ata apo ni nyumbani ma star kibao Fei Toto Mudasri Mwakinyo sio tuu musicians eti njo Wema Mobeto Shilole wote ma ⭐️ na bila kukusahau oil chafu bonge la star ⭐️ B.Levo Mwijaku Dotto

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 10 วันที่ผ่านมา

    Facts😂😂😂

  • @dicksontegemea8978
    @dicksontegemea8978 12 วันที่ผ่านมา

    Yesu hajawahi geuza jiwe kuwa mkate. Atupe andiko

    • @ephraimkabeya9648
      @ephraimkabeya9648 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂 labda alimaanisha maji kuwa divai safi..😂😂😂

  • @TryphonRabson
    @TryphonRabson 12 วันที่ผ่านมา

    dudu baya kapofona kapungua sana asee

  • @alimwadima254
    @alimwadima254 12 วันที่ผ่านมา

    Yuwamshobokea Diamond huyo Mwambie atapakwa Johnson baby oil

  • @stanfordsteven3334
    @stanfordsteven3334 11 วันที่ผ่านมา

    " unataka nije kwako kupiga story na mke "

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay 13 วันที่ผ่านมา

    Wanasiasa wakubwa wa Kenya kuanzia rais wanakulaga mahindi ya kuchoma hadharani kuanzia enzi za Moi na hata Uhuru Kenyatta akiwa rais alikuwa anakula nyama choma minadani na wana !
    Ni mtizamo tu huyu anayezungumzia kuishi kistaa ni mshamba sana !

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 11 วันที่ผ่านมา

    Haya mambo yanatokana na wahuni kuingilia fani husika,hivyo kama padri katoriki ikizungumzia wasanii tutashangaa lakini huyo ipm msamehe bure

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 14 วันที่ผ่านมา +1

    IPM huwa ni debe tupu hata hajulikani anachosimamia mara uislam,mara ukristo mara ushauri nasaha!

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 11 วันที่ผ่านมา

    Dudu baya kapatwa na jiwe la gizani

  • @LucasDavid-l1t
    @LucasDavid-l1t 14 วันที่ผ่านมา +1

    Na miss mandazi na chapati

  • @btylove1870
    @btylove1870 13 วันที่ผ่านมา

    Konki anatomboka 😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 13 วันที่ผ่านมา +3

    Ata mim dudu Baya nakufuatilia na nakujua lakini sijawahi kumuona live..wasanii wengi tu nawajuwa lakin sijawaona live

  • @TonnyMaster
    @TonnyMaster 14 วันที่ผ่านมา

    We have to 😂😂😂😂😂😂😂

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 13 วันที่ผ่านมา

    Assee kayatetea sana mandazi sio poa😂😂😂

  • @ShabaniShabani-k8d
    @ShabaniShabani-k8d 13 วันที่ผ่านมา

    Ipm ni mwizi tu taper mjanja mjanja

  • @ChegaBoystore
    @ChegaBoystore 14 วันที่ผ่านมา

    Jaman mbona amkomenti ki2

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 13 วันที่ผ่านมา

      📌You Punch me One I' Punch you Triple....
      Ole wake Mchungaji anayeleta Mikwara....🙌
      😂😂😂😂

  • @iHeizar
    @iHeizar 14 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 13 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @KasichanaKaingu-wx7kr
    @KasichanaKaingu-wx7kr 13 วันที่ผ่านมา

    Xx kitu gan kinamuuma xx

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 13 วันที่ผ่านมา

    Tuambie huyo stas mwingine anaishi kistaa kupanda Jet everywhere na dedication ya list ya magari km ya Mondi. Unaongea hadi unapata presha na mate unanyeshea km mvua lo! Baadhi ya wasanii wa zamani watakufa na vijiba vya wivu wa DAIIMOND ndio kwanza mnampa ticket ya kuzidi kupanda na kuacha mbali

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 7 วันที่ผ่านมา

      Asa hapo kosa lake nini, umeelewa kweli anachozungumzia au waandika tu

    • @solomonkuria6084
      @solomonkuria6084 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@humbleshoal Dudu Baya mimi na kuku bali kwa mambo mangi tu lakini hapa kw Yesu kugeuza Jiwe kua Mkate huo sio ukewli nenda kasome tena Bibilia yako, ama pengine Bibilia ya kikatoloki ndivyo inavyo fundisha kwa sababu Dudu Babaya ni Roman Katoliki

  • @Sadiq-lu8xs
    @Sadiq-lu8xs 13 วันที่ผ่านมา

    Hajasema usile mihogo bt amesema usizurure ovyo ovyo kma nimihogo si wwe nimsanii uko na wafanyi kzi wko wwatuma juu kzi yausnii hua wtu wasikuone ovyo ovyo ili wakumiss so ukiwa na show wtu wawe wanatamni kukuona

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 7 วันที่ผ่านมา

      We utakua mfuasi wake