MAGUFULI 'Alivyomuita' LOWASSA hadharani "njoo hapa mbele"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- MAGUFULI 'Alivyomuita' LOWASSA hadharani "njoo hapa mbele"
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, 2018, anafungua Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ufunguzi huo umehudhuriwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Rdward Lowassa, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na viongozi wengine wa chuo hicho.
Kabla ya kuanza hotuba yake Rais Magufuli, akaamua kuwaita viongozi na waasisi wa Taifa hili ambao walipata elimu yao kwenye chuo hicho akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Jaji Mstaafu, Damian Lubuva, Jaji Msaafu Warioba na wengine.
#RAISMAGUFULI #UDSM
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw
Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL
Website: www.globalpublishers.co.tz
FaceBook: globalpublishers
Instagram: globalpublishers
Twitter: GlobalHabari
Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.co....
LOWAASA Mzee wangu ludi nyumbani pia Mzee kwasasa pumnzika na family yako Mzee uko wanakutumia baadae watakuacha apo wakati wameisha kunyonya uchumi wako Mzee nakushauri tu
Ataajasoma comment ya kiuuz namna hii
Akili fupi hizi!
Akil za matako
Kamshauri MAMA yako maamae
umefeli hapo
Rais wa Tanzania, Mpaka Africa
Asante kwa mualiko Asante kwa kazi nzuri
Riwa Ladislaus nimetafakari Sana na nimependa ustarabu wake.
Mungu ibariki TZ
Riga Ladislaus
asante mh.raisi kwa kutokujali huyu ni mpinzani maana tanzania haina chama sote ni wamoja piga kazi na fanikisha malengo ya taifa letu👏👏👏👏👏
Nyie acheni,ulichoandika hapo najinsi alivyoitwa ni tofauti acheni uchochezi wenu
Sahihi unachosema
Ndio, hawaandikagi ukweli hawa, wanapenda kukuza tu mambo. Ukifuatilia vichwa vyao vya habari na kinachoendelea ni tofauti sana
Wachonganishi hawa!
Tegez Domin kuna waandishi ni wachochezi kama huyu alieandika hicho kichwa cha hbr kumbe na ww umeona loooh
Tegez Domin kweli wala hajaitwa kama maandishi yanavyosema watu kukuuza maneno jamani
Tanzania will never get rasii kama magufuli in u life wapi like ya magufulii
Tunahitaji vionhoz wazarendo kamahawa mungu wabarik vionhoz mungu ibarik tanzania
Napenda kutumia nafasi hii kwanza kumshukuru mungu kwa kunifanya niione siku ya leo. Lakn namshukuru pia mungu kwa kutupa rais mteule na mwadilifu .nakupenda rais uishi milele rais na ubarikiwe maana kaz yako yaonekana. Lakn pia nina ushauri kuusu elimu. N vyema elimu yetu ikajikita sana kutufanya tuweze kujiajili bila kuitegemea serikal na hii itatufanya kuinua uchum asa wa viwanda kama ilivyo mingo ya miaka kumi yaan Tanzania ya viwanda
Mbona amemkaribisha vizuri kasema "karibu mh Lowasa,, au nyie Global napo ni wale wale
Hongera sana mh. Rais kwa kuwashirikisha viongozi waliwahi kusoma UDSM ni jambo jema sana....!
Waandishi na watoa taalifa mnafanya uchochezi, kwani kumwita njoo mbele amekosea kitu gani? Sometimes acheni kupotosha uma
Lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaa🤘🏿🤘🏿🇹🇿
Kwelii
Naipenda Tanzania!
Saf sana kaz nzur
Sisi ni wamoja tu damu ya baba mmoja na mama mmoja Mungu bariki uzao wa taifa LA TANZANIA.
Lowassa ndo Mtoto aliyolelewa kwenye maadili mema Ee Mwenyezi Mungu mjaariye kila LA kheri
Wengi wanaomchukia magufuli ni vyeti fek
Si kama bashite anavyolindwa wakati ana vyeti feki
fact
Msipende kukuza mambo viombo vya habari. Mheshimiwa Rais hajamwita Mheshimiwa Lowassa kama mnavyosema eti 'njoo hapa mbele. Amemwambia karibu mheshimiwa.
Wanaandika vichwa vya habari ambavyo sio maana ya ujumbe ulioko ndan nishida San
Amani ishafika tz
Hongera serikali kwa kukijali chuo kikuu cha Dar es Salaam
Short & brief ....lowassa gd.
Global acheni unafiki na uchochozi kauri mnazo andika ili mpate vews wengi sio vizuri huo ni uchochezi kuweni na adabu. Hao ni viongozi sio wa kiwachonganisha.
Mimi wananikera sana
TINEVIMBO LOGISTICS LTD ulichoongea ni kwel kabisa ise wanachonganisha tu
maisha ya MTU wAchini yatasongaje sabuni kipande 300 nondi22000 Bari 20000unapenda tukae kwenje nyumba za nyasi
Hapo ndio utaona umuimu wa kuwa naupendo na mxka mano awa ndio chachu ya maendeleo piga kaz mh Jonh Joseph Maguful wewe ndo number moja na unasimama vyema kwenyeiyo number
vinahusiana nini na korosho
imarisheni chama wacha ujinga korosho zinahusu nini vyeti feki mafisadi ndiyo wanae andika matusi humu na maneno ya kumkashifu Magufuli na serikali yake wasisikie neno linalo husu serikali hatakama raisi Magufuli atahutubia mkutano kwa uwazi na sote tunamsikiliza akimaliza tu wasikie watakavyo potosha Magufuli amemtuma Lowassa akawaambie wapinzani wataishia kufungwa gerezani tumesikia akisema anamsifu Lowassa kwa uzalendo wake alowassa ni mpinzani makini kuliko wale wanaovunja sheria za inchi wataishia magerezani sasa ulitaka aseme wapi wasiko kuwepo hao majaji wa mahakama au wasisikie kinacho semwa na Magufuli zitto huchoki kulambalamba hizi koni inaonekana umashaachia jimbo mapemaaa kilakukicha wewe na lamba lamba tu koni za waandishi wa habi halafu hatushangai wapinzani popote pale walipo hutumia nguvu sana kuliko weledi ndiyo maana wanafeli afadhali hapa kwetu wapinzani wanakufa polepole kuliko kwa wenzetu wapinzani lazima wafe kimabavu wawekwe manundu hoi utasikia besgwe kama hayupo kimyaaaa wametulizwa muse bwana dikiteta wapii hataki kucheka na nyani asije vuna mabuwa kwanza jina lenyewe siyo zuli badilisheni jina upinzani ni kupinga tu kilakitu hata kizuri napendekeza jina jiiteni wakumbushaji pale serikali ilipojisahau lakini upinzani sijaona upinzani ukachochoa maendeleo upinzani lazima uchochoe chukitu na asira kwawengine tubadilisheni jina hili napendekeza
Thomas Samwel 0
Njoo hapa mbelee.mungu anawaona
MAGUFULI NI RAIS WA AFRICA HATA LOWASA AMEKUBALI
Asante kwa mualiko.
acheni maneno tukutane 2020
love you My country❤️
Kabudi unajuaga sana na vitu Vinci sana kichwani
Aschojua Rais kuwa hata kwa mwonekano tu Lowassa amekerwa na kauli za kuwafunga magerezani wapinzani anadhani wanaomshangilia basi kila mtu anapenda kauli za vitisho.
Asanteee sana lowasaa tume kupata
Mzee lowasa tumekuelewa
Aise
Hivi Mzee Lowasa sio mmoja wao kweli ,mbona hata mienendo yako ni kama wao
lowasa ni ccm damu damu
Kazi yangu nikuxoma comment tu. Kwama povu tyuu hamjambo 💃💃😏😏
Rahma Jumanne utaishia kulalamika tu mtandaoni😀😀😀🚶🚶🚶
Rahma Jumanne wataishia kulalamika ( juu nimekosea)
Aisha issa wanachoxha xana waandi wahabari kwauchochezi maneno hayaendani naandixhi 😂😂
Good speech Prof. Luoga
Few words
Acheni uchochezi media azipo hivyo
Qama tadinu tudanu haya ni maneno ya kiarabu ambayo tafsiri yake yana maana unachowatendea wenzio nawe utatendwa vivyo hivyo kama ni Wema utalipwa Wema kama ubaya utalipwa ubaya .
kiukweli mh magu ni kiongoz wa mfano , nyie wengine igeni kwake naamin tutakua taifa kubwa sana.
NANYI GLOBAL TV MNAWEZA KUPOTOSHA?
Hivi lowasa alisogea?
Tunasoma kweli ila ajira hakuna .kama VP tupeni hata mikopo hata 50000=tukauze karanga
Mtaji wa karanga ni buku tano
Kwa kauli hz mh
Mzumbe university usitusahau mheshimiwa na sisi tunahitaji maktaba ya kisasa kama udsm sir
Lowasa usipoangalia unafeli maana kama ni cv ushaitengeneza ya kutosha pumzika kafanye biashara zako huko maana pesa unayo kibao
Hapo wote walioitwa mbele lowasa pekee ndiyo MTOTO alielelewa malezi yakusalimia wote hawaja salimia zaid ya lowasa
Bilali Alliy hat mi nimeon hil
Mm napita tu
HUYU KABUDI NI MNAFIQ SANA.
Hakika Jpm ni rais wa africa
elfu mbil name 20 ukawa lazima tuwe ikulu tufanye mambo mapy kauli mbiu hapa kazi 2hatimay kula mwana nchi ana lal mika hali ngum mtulegeze kidogo jaman tuna teseka San jaman Tanzania
Rais hatakiw kuw nachuk saf sn
Wapi kumuita njoo nyie acheni uboya wehu nyie!!!!
Acheni chuki acheni uchochezi acheni unafiki
no comment tunashukuru mkopo elimu ya juuuu
Kuna maisha baada ya mkopo
WAANDISHI WA HABARI MMEKUWA MAMRUKI. ULICHOANDIKA NI TOFAUTI NA KINACHOTENDEKA. NDO MAANA MAGAZETI HAYANUNULIWI KWA KUANDIKA UONGO NA MNATUMIWA NA UPINZANI KUPOTOSHA
Mheshimiwa rais vipi kapoda masai kuweka usoni natamani uonekane kama mzungu hivi
Kabudi ni nondo! 😅😅😅😅 nakukubali sana
Usema kweli Raisi magufuri mungu alikuweka tumboni mwa mama yako kwa makusudi ili uje kulitetea nnchi ya Tanzania mungu akubariki akupe maisha marefu
Lowassa angekuwa rais ingependeza na anapendezea
Fredreck Mwakalinga mnashabikia to Hakuna maana
Jaji luvuba kama ulivyotekeleza uwizi wa kura....
Bifu zinamwishoo,pigakeleleeee kwa Lowasaaa
kama una akili timamu huwezi kufurahia kauli hii inadhihilisha kwamba nchi imekuwa kama familia yake anaipeleka anavyoitaka
Wewe mwandishi hufai
Likabudi limeongea pumba,eti wanachuo waone kama udsm haina majengo
Mc ni nani hapo??
Global channel ndo kuwa nawakubali Sasa mmeanza kuwa na mihemko kichwa cha Habari hakishabikiani na kilichosemwa nakaribia kuwaunsubscribe.
Watu kama hawa ndy wanaitwa wachochezi, ni mbaya sana kuandika, kitu ambacho hakipo.
Shida ya ss wabongo hatana ubongo shangwe ninyingi sana nahazina mana tunapata shida viongoz sikuzote musijaze masifa mingi niujinga wahali yajuu viongozi wakitanzania wengi niwezi nawazodi kua matajili nigali nzuli kutembelea
LOWASA ANAENDELEA KUSAFISHWAAAA
nyie mnao komety mambo yaovyo nyie mnakolosho?? au mnaskia tu washamba nyiee
Agustine chapakaz ndugu kila mtu anatoa maoni yake kulingana na akili yake kama wewe ulivyopata uhuru huu,yann maneno ya namna hii sasa
Amna
Unaeuliza kuwa tuna korosho siyo lazima tuwenazo, tetea kwa kuwakilisha wengine, kusema kitu kinachokuhusu tu, huo ni ubinafsi.
Jpm
Rais hajasema "lowasa njoo hapa mbele" amesema "karibu mheshimiwa lowasa" Global acheni kutumia lugha zakuvuta makini,, nyie ni chombo tunachokiamini LA sivyo tutaanza kupuuza Hata kufungua clip zenu tukiamini kuwa mnatuhadaaa tu!!
Hasa
kweli
Nani asiyejua kuwa ccm bado mnamwogopa mzee lowasa? Kama unamkubali lowasa kwann usimkubali mh mbowe? Pia kukaa jela syo issue kwa mtoto wa kiume nawe utamaliza kipindi chako kama hutakaa wewe kitakaa kizazi chako na hii chuki kuna siku mtailipa
Wamuogope ana nini sasa! Sema wanamuheshimu tu lakini haogopewi.
Mzee baba kawa MC
Magu bana hananga bifu na mtu
Tunaomba aongee Mh. Lowasa tu au Kiongozi wa upinzani yeyote aliyepo hapo, si hao akina Jaji Lubuva, warioba na Rais na wengine nyie wote ni Makada wa Ccm lenu moja ndiooo mzee na Kupora ushindi wa watu, Tunaomba katiba muiruhusu tuweke Tume huru ya Uchaguzi tuone kama mtashinda tena, mnashinda kwa Wuzi na Ubabe .
Saganda Malecha Mpullo ha ha haaaaa!
Mtasubir sana
Mpate nafasi ya kuingoza nchi ipi nyie wachumia tumbo, endeleeni kutumika tu
Kasema waliosoma hapo co kiongoz wa upinzan lkn nmependa kumbe Lowassa anatambua kuwa JPM ni rais tofaut na akiwa mbal nae anasema mtu wa hovyo
Bichwa lako limelewa sumu ya upinzani hilo jukwaa halihusu unachokiongelea hapa. Kama unapenda speech za mzee lowassa kaitishe conference then mpe nafasi ya kuzungumza utakavyo wewe. Mijitu mingine sijui kama huwa inafikiria kabla ya kuandika chochote kwenye hizi platforms.
Mwenyekiti wa ccm kumbe alikuwa udsm!
MZEE ninakukubali sana ila sakata lavuvi Kigoma wambiye wasipige watu tunajua unatengenezea mahisha yabadaye
Bruno Meshaki poa nimekusikia nitawaambia
naipenda sana nchi yangu lkn kauli za magufuli azina uzalendo kwa taifa watu wa kusini wanaangaika mpaka Leo awajapata hela ya Korosho unaleta siasa kwenye maisha ya watu serakali ndo wamekuwa wababaishaji kuliko wafanyabiashara wanakusanya wanachama wa ccm heti wanampongeza rais msidhani ss wakulima ni wajinga tunaona siasa zenu kwenye maisha yetu Korosho inachukua muda mrefu bado wakulima wanapigwa danadana pesa hakuna ndo maana kila siku sababu aziishi alafu kuna mabwege wanapongeza
Ww umelima hizo korosho
Heart nsanya 11 sio lazima alime tambua kuna watu wanaitwa watetezi wa wanyonge,,
Wewe si mjanja mbona unapigwa danadana shithole
Wewe acha uchochezi, usitafute KIKI na kujifanya unajua kuongea. Hakuna alie kutuma kuwasemea
Nickson Arwa we unataka kauli gan labda au angeongeaje ili uone kaongea kauli ya kizalendo acha uchochez ww hapa kaz 2
jamani cjui wewe mtoa hii post ulitumia utaalam ganikwa ujinga uliyo andika hapo juu mxxxxy
luguva Mungu anakuona na nina uhakika atajibu kilio chetu
salum mbwa wewe Fanya mambo yako hata kuandika ujui mbwa wewe
Hivi kutukana ndio sifa ndugu yetu Nickson Arwa??? Hongera na hayo!
WEWE MWANDISHI BADALA YA KUSIFIA WALICHOONGEA WASOMI UNAPOTOSHA WATU. HAKIKA GLOBAL MMENIKERA MNO LEO
hivi mnaompongeza magufuli mna akili kweli watanzania mpaka Leo wakulima wanalia mahindi aina soko Korosho awajapata hela serakali ndo wamekuwa wababaishaji kuliko hata wale wahindi alafu kuna mapimbi wanapongeza kuweni na uzaendo kwenye ukweli lazima tuseme pili magufuli ana mamlaka ya kisheria kuwaukumu watu asiwatishe watanzania maana inaonekana hata katiba ajasoma kujua mamlaka yake inaishia wapi
Wewe unalilia mahindi yapande bei wakati sisi walaji huku tunatamani tununue unga hata kwa mia tano. Wewe kama una mahindi yako ndani wape panya wale.
+Salum Muhija nyoko ww tena mbwa kasoro mkia,huna akili wew kubwa jingaa watu wanalimaa Kwa gharama nyingi bila hata faida,stupid ww,chokoraa mkubwaaa,nyooooo
Mbona mazuri husemi. bendera upepo wee
+Nivard Baraka mazuri gani labda
mkulima au shabiki🚶🚶🚶🚶
Tukutane 2020
naipenda nchiyangu
Kuna comment mtu anasema eti tukutane 2020!.. jamani Ndugu zetu wa upinzani msitegee kwamba eti 2020 kutakua na competition mnayoifikiria. Am sorry
ccm mmepoteza dira kwani siri
Jipe moyo na lichama lako lililooza
M
Upinzan tz urais watausikia tuu
Sikililizeni cyo mnatoa koment za kijinga jamaniii
Wewe sio maakama
kunakolosho huko chuo kikuu mm nimeskia makta ya chuo kikuu habari za kolosho sijasikia koment uliyosikia hapo, shida ya wabongo wachache vichwa vimejaa machama
ndio maana hata mazuri tunaita siasa, kuongoza watu ni kazi maana kuna wabumbavu, wajinga, wendawazimu, na wenye hakili ambao wanapongeza kwa mazuri bila kuangali chama chochote.
magufuli wajinga tu ndo wanaweza kukusikiliza sio watu wenye akili maana una jipya umewanganya wakulima wa Korosho heti pesa ipo mpaka Leo imekuwa ni uakiki kila Mara siku zinazidi kwenda kwani uakiki unachukua siku ngapi
Nickson Arwa We unaakiri kama hujasikiliza umejuaje
Umejuaje Kama hujasikiliza bas na ww mjinga
Ivan Charles yan niilivomuelew arwa anamaanisha kukubaliana na anachokisema
Bila kumsikiriza usingesema ivyo pumbavu wee
Nickson Arwa huna lolote roho mbaya tuu na unayo yajua wewe
Wewe sio maakama