Huu wimbo umeniguza sana😢 tuwe watu wakusamehe 😢katika msamaha kuna baraka 🙏🏿🙏🏿🙏🏿sisi wote tu wapitaji tu oooh yesu nisaidie niwe mwepesi wakuachilia walio nikosea🙌🙌🙌
Mungu wangu nitawasamehe aje? It's too much na ni wengi sana.Solomon,Salomon as-tu écrit un livre sur comment tu as perdu ton bras et comment tu es venu leur pardonner? J'aimerais que vous le fassiez, je le lirais, j'ai eu du mal à pardonner et même maintenant que j'écris ceci, j'ai une prière dans mon cœur que Jésus m'aiderait à leur pardonner. Vous dites que le cœur n'est pas une prison. ... libérez-les libérez-les ... Oh mon Dieu, aidez-moi ... c'est si dur
Charles jaloka nimekusamehe pamoja na mamako for what you made me go through. how i wish my deceased dota could be around to forgive you too. rip toto and please forgive your father for everything. AMEN.
nilifanya kazi siaya miaka 7 saba iliopita katika shirika moja la SMEP DTM,lakini katika ufanyakazi wangu bora katika hilo shirika baadaya ya kuwaingizia zaida kubwa ya mamilioni ya pesa walinifungulia mashtaka kortini kwa uwezo wa mungu hakukuwa na ushaidi wowote nikaachiliwa huru ,huu wimbo ulinitia moyo sana nikaachilia yote yaliokuwa moyoni mwangu ijapokuwa nilipitia machungu sana na familia yangu
Hakuna mwanadamu aliye mkamili hapa duniani....Nmewasame wote walio nikosea,,ntazidi kuwasamehe siku zote za maisha yangu(nawaombea heri na fanaka kwa kila jambo wanalofanya)
Mungu aendelee kukubariki mtumishi wa Mungu. Kwanzia leo najisikia kuwasamehe watu wote walio nikosea....Mungua aendelee kukubariki salomoni. Nakupenda sana. Nyimbo zako zinanibariki sana na huaga najikuta nazisikiliza nikiwa kwenye kipindi kigumu ambacho nahitaji kufarijika....na Mungu hua ananifariji kupitia nyimbo zako. Ubarikiwe sana
Hujambo Solomon, napenda nyimbo zako, kwa message zinazo, zina hudumia maisha yangu.. Asante kwa kunibariki pia kwa Big Testimony truth fm, Mungu akuzidishie neema na Utukufu wake uthihirike katika maisha yako na familia.. Barikiwa!
For 5yrs have not been talking to my own blood brother...had hold that grudge nd swear not to forgive him,but when i heard this song frequently i feel released and forgive him....thank you mtumishi for this song...it blessed me daily🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
S'il te plaît, parle-nous de ton voyage. Salomon, regarde tous ces commentaires ... chaque fois que j'écoute ta chanson, je pleure et quand je rencontre la plupart de ceux qui m'ont fait du tort, je ne dis même jamais bonjour. Mon coeur est une prison et je veux que Dieu m'aide à leur pardonner. Comment les affrontez-vous? quand vous les rencontrez, vous ne ressentez pas la colère et la douleur, je veux que Dieu me donne cette grâce extraordinaire ...
God loves u so much. Forgiving is one of the most important thing. After Forgiving ,there is peace,healing,joyness in your heart. May God help u to Forgive and forget
nilishindwa kbx kusamehe kw kilichtokea ktk maish yng kiliniumz san lkn nnamshukuru mungu nmemsahehe na nimewasameh waliosababsh jeraha katika maisha yng...kwakwel nimeachilia moyo wang...frgv and 4get...ingawaj n vgumu na inachukua muda ila nimewasamehe na kuachilia moyo wang
Their is power in forgiveness..Today i forgive all those who have wronged me oh God help me forgive each one of them and forgive me too.Amen.Great song it is to God be the glory and honour now and forever more.Amen.Amen
Listening to this song for the first time today . I forgive all who wronged me because JESUS CHRIST forgave me . God bless you man of GOD Evangelist Solomon Mukubwa plus your family and ministry in Jesus name Amen. Glory to GOD.
I couldn't help it. .. I cried my heart out after watching this song. Lord I forgive all of them. Thanks Solomon the song has really touched my heart. God bless you.
nimewasamehe wote walionikosea.thanks solomon mkubwa for reveling to me this secrete of forgiving our enemies so that we can be blessed.i'm now free.God bless you so much mkubwa for this greet song.
kusamehe si lazima usahau,kwa jeraha likipona huwa na alama.kwa hivyo usifanye kuwa vigumu kwa kutaka kusahau ndio utakuwa umesahau,hiyo ni sawa kusema ndio upone jeraha lazima ile alama ya kidonda ifutike haiwezekani
Haki av been so gud to pple but thy pay me other way round but through ths song av forgiven thm all coz i really fear God and av been asking myself if God can forgive,who am i not to forgive. Av realised them frm my heart but, brother solo i find it hard to start to talk to them plz help
Nimewasamehe wote,pia na Mimi naomba wote niliowakosea wanisamehe.
Here in 2024 is a clear proof that gospel song never gets old... Same inspiring taste
Nimewasamehea wote walio nitendea mbaya
wimbo huyu hua sipendi kuusikia sio kwa nia mbaya,bali hua unaniliza sana,ubarikiwe solomon mukubwa.
Xf Flame usikilize sasa ili upone
Kazi nzuri kaka mungu akuzidishie kipaji na umri umuabudu
Huu wimbo umeniguza sana😢 tuwe watu wakusamehe 😢katika msamaha kuna baraka 🙏🏿🙏🏿🙏🏿sisi wote tu wapitaji tu oooh yesu nisaidie niwe mwepesi wakuachilia walio nikosea🙌🙌🙌
Huu wimbo umenifanya nikavunjika moyo wangu hakika kila ninaposikiza l feel released each and every day
Nimewasamehe Wote walio nikosea....Bwana naomba unitumie, nitume nami nitakwenda. Naskia Niko huru katika jina la Yesu
Mungu wangu nitawasamehe aje? It's too much na ni wengi sana.Solomon,Salomon as-tu écrit un livre sur comment tu as perdu ton bras et comment tu es venu leur pardonner? J'aimerais que vous le fassiez, je le lirais, j'ai eu du mal à pardonner et même maintenant que j'écris ceci, j'ai une prière dans mon cœur que Jésus m'aiderait à leur pardonner. Vous dites que le cœur n'est pas une prison. ... libérez-les libérez-les ... Oh mon Dieu, aidez-moi ... c'est si dur
September 17-2024 let's gather here🙏🙏
❤❤❤
Nimewasamehe wote waliohusika kuniangusha,sina kinyongo nanyi tena,
Jesus is Lord, I have forgiven all those have Wronged me, God bless you, man of God
Charles jaloka nimekusamehe pamoja na mamako for what you made me go through. how i wish my deceased dota could be around to forgive you too. rip toto and please forgive your father for everything. AMEN.
Musamaha inafungua, Kutokusamehe ni kujifunga mwenyewe, Samehe ili Mungu naye akusamehe kwani sisi sote tuna koseya na kukusewa.
Asante kwa ujumbe.
kusamehe ni ngumu MUNGU anisaidie.
hongera kaka Kwa kunywa damu ya YESU
nilifanya kazi siaya miaka 7 saba iliopita katika shirika moja la SMEP DTM,lakini katika ufanyakazi wangu bora katika hilo shirika baadaya ya kuwaingizia zaida kubwa ya mamilioni ya pesa walinifungulia mashtaka kortini kwa uwezo wa mungu hakukuwa na ushaidi wowote nikaachiliwa huru ,huu wimbo ulinitia moyo sana nikaachilia yote yaliokuwa moyoni mwangu ijapokuwa nilipitia machungu sana na familia yangu
Amen
huu ni wimbo ambao hautavutikaka kichwani mwangu. Wanao nifahamu wanajuwa naongea nini. Mungu akubariki salomon.
naupenda sana huu wimbo nazani nimejifunza mengi sana kuusu namna ya kusamehe I love Solomon mkubwa
Nitawasamehe wote.ili uwe ushuhuda
Nimewasamehe nakuwaachilia wote kutoka moyoni mwangu na wao naomba wanisame!
Solomon mkubwa
Asante Mungu kutufunza msamaa, iyi wimbo inatufunza mingi ubarikiwe Salomon, atatukiwa na moyo mgumu kufatana nanyimboiyi tunasamehe waadui wetu
it is not easy Solomon, but av forgiven them. ..from deep of my heart ,for Wat they did. ..jesus is my rock. ...b blessed brethren Solomon
I feel released when I listen this song
Hakuna mwanadamu aliye mkamili hapa duniani....Nmewasame wote walio nikosea,,ntazidi kuwasamehe siku zote za maisha yangu(nawaombea heri na fanaka kwa kila jambo wanalofanya)
Mungu aendelee kukubariki mtumishi wa Mungu. Kwanzia leo najisikia kuwasamehe watu wote walio nikosea....Mungua aendelee kukubariki salomoni. Nakupenda sana. Nyimbo zako zinanibariki sana na huaga najikuta nazisikiliza nikiwa kwenye kipindi kigumu ambacho nahitaji kufarijika....na Mungu hua ananifariji kupitia nyimbo zako. Ubarikiwe sana
Nimewasamehe wote understand watu just life ppl r ppl
Hujambo Solomon, napenda nyimbo zako, kwa message zinazo, zina hudumia maisha yangu.. Asante kwa kunibariki pia kwa Big Testimony truth fm, Mungu akuzidishie neema na Utukufu wake uthihirike katika maisha yako na familia.. Barikiwa!
Usijiwekee vikwazo maisha ni mafupi
uuuuwiii nikusamehe tu na kuachilia,Mungu analipa kwa kadri ya matendo yako, asante bro solo ni funzo kwangu
Ihave kept pple in my heart but iwill try to forgive hata mimi mkono wangu God will heal me one day hii wimbo napenda sana
Inatakiwa kusamehe kutoka moyoni ili nawe usamehewe na mungu Wako sababu hayupo aliekamilika
ubarikiwe ndugu!! kila tym nikiskiza hii song nafeel ka nimebarikiwa, inanipa nguvu ya kufanya kazi kwa hii country ya waarabu!! thanks tu sana
I've 4given them all, God 4give me too, thanx Solo for the touching song.
kweli wimbo huu ulinisaidia sanaa kwa kuwasamehe wote kutoka moyoni mwangu am new now.God bless u Solomon na akutumie zaidi na zaidi
wimbo huu umenijenga
nimewasamehe wote asante yesu
Nimewasamee wote walionivika taji la miba. Nimewasamee bure.😭
Wooooou umenigusa sana,,,,,,
Umenibarki na Nyimbo hii leo Katika Tamasha Twende zetu Arusha, ,,Hakika Mungu ni mwema tusahau ili baraka zetu Zitujilie
Nimewasamee woteee walio nikosea
For 5yrs have not been talking to my own blood brother...had hold that grudge nd swear not to forgive him,but when i heard this song frequently i feel released and forgive him....thank you mtumishi for this song...it blessed me daily🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
TT
Amen. Jesus is Lord he enables us to forgive🙏
Mungu akulinde uishi mipaka mingi solomoni nimesameha
Kweli it's torching
S'il te plaît, parle-nous de ton voyage. Salomon, regarde tous ces commentaires ... chaque fois que j'écoute ta chanson, je pleure et quand je rencontre la plupart de ceux qui m'ont fait du tort, je ne dis même jamais bonjour. Mon coeur est une prison et je veux que Dieu m'aide à leur pardonner. Comment les affrontez-vous? quand vous les rencontrez, vous ne ressentez pas la colère et la douleur, je veux que Dieu me donne cette grâce extraordinaire ...
God loves u so much. Forgiving is one of the most important thing. After Forgiving ,there is peace,healing,joyness in your heart. May God help u to Forgive and forget
nikweli iyo... dunia iyi iko na mambo mengi, nyimbo iyi INA nigusa sana.......nikuwasamehe tu..
God help me to forgive my enemies. Nimewasehe wote in jesus name b blessed Solomon
Thank you for this message or forgiveness. Its very difficult and heavy..but I release them to you God in forgiveness. There is a God in heaven.
nilishindwa kbx kusamehe kw kilichtokea ktk maish yng kiliniumz san lkn nnamshukuru mungu nmemsahehe na nimewasameh waliosababsh jeraha katika maisha yng...kwakwel nimeachilia moyo wang...frgv and 4get...ingawaj n vgumu na inachukua muda ila nimewasamehe na kuachilia moyo wang
thx kwa hii nyimbo even was too hard bt nmesamehe mungu azidi kunitumia nione baraka
Nimewasamehe wote walionikosea.
Their is power in forgiveness..Today i forgive all those who have wronged me oh God help me forgive each one of them and forgive me too.Amen.Great song it is to God be the glory and honour now and forever more.Amen.Amen
Listening to this song for the first time today . I forgive all who wronged me because JESUS CHRIST forgave me . God bless you man of GOD Evangelist Solomon Mukubwa plus your family and ministry in Jesus name Amen. Glory to GOD.
Asante Yesu
Nimewasamehe wote.God bless u Solomon I can't control my tears .all the way from abroad
October 2024 Nani yupo? I needed to listen to this sooo badly
Minnisor Naomi
be blessed brother Solomon this song nimewasamehe imanibadilisha nilikuwa na kisasi lkn sai nimetubilia mbalia praise God
nyimbo za solomon zinanitia roho kabisa
Beautiful song💔😪 May God rest papa Sarah soul until we meet again in heaven 😍🥰🥰🥰
Mungu ni Mwema Azidi kukutunza katkat Mikon yake Salam, ,
Mungu akubari akupemaisha marefu
For real you are man of God, hii nyimbo imenigusa nami nmewasamehe wote walio Nipa uchungu moyon
Amen MUNGU akubariki na akuogezeye miaka
Hakuna amani ya moyo bila kusamehe
Kunaye mwenye kulipa kisasi
Nimewasamehe wote 🙏
ubarikiwe kaka
This song needs million views its touching
It is a Touching song Brother @Solomon,usife Moyo MOLA yu pamoja nawe.
I couldn't help it. .. I cried my heart out after watching this song. Lord I forgive all of them. Thanks Solomon the song has really touched my heart. God bless you.
good massage bro l 4give all
Thank you God because this song never go old amen❤❤❤
Much in pain this song has encouraged me l Will forgive
Kwa ukweli bila msamaha hakuna kuona ufalme wa mbinguni
Nimewasamehe wote
Nilikuwa na hasira na mtu na niliapa kutokumsamehe,ila nyimbi hii imenisafisha na nimempigia sim na kumwambia tusahau yaliyo pita. Tabze upya
+james evarist Mungu wetu apewe sifa kwa kuhudumia kwa njia kubwa hivyo
james evarist #
mungu akutie nguvu
james evarist safi sana huo ndio ukristo
The song made me do the same and trust me I am relieved feeling free... Glory be to God
nimewasamehe wote walionikosea.thanks solomon mkubwa for reveling to me this secrete of forgiving our enemies so that we can be blessed.i'm now free.God bless you so much mkubwa for this greet song.
Nimewasamehe wote walionikosea in Jesus nane
kusamehe si lazima usahau,kwa jeraha likipona huwa na alama.kwa hivyo usifanye kuwa vigumu kwa kutaka kusahau ndio utakuwa umesahau,hiyo ni sawa kusema ndio upone jeraha lazima ile alama ya kidonda ifutike haiwezekani
Mungu akubarik kaka solomon
mungu akutangulie songa mbele baba yangu
Nimewasamehe bure Wote Walionikosea Leo Nahata siku Zingne Nitazid kuwasamehe
GOD BLESS YOU SOLOMON MUKUBWA, YOU HELP ME TO MOVE ON
nimewasamehe Mungu nisamehe mimi pia,,,,,,,, nimeumia sana lakini nimesamehe kupitia wimba wako na niawaachilia wote kutoka moyoni mwangu.
Huu wimbo unanifanya nisamehe ata kama ni ngumu aje,asante Solomon 2019 nime wachilia wote power in the music
Niko Uhuru,asante kwa nyimbo hii
Let God guide you through bro
Osome bro,
Amen Amen our hero keep it up man of God 🙏🙏🙏🙏
Naipenda xana hiyo wimbo, inanikumbusha mbali, Solomon Mungu akuzidishie miaka uendeleze injili
Nimewasamehe wote kutoka moyoni mwangu!
Mungu akubariki sana na barikiwa
Nimewasamehe wote walionikosea
Ahsante Mungu weweni Mungu wa maajabu
#nimewasamehe wote... this song is a dope 😘
Nimewasamehe wote.Thanx Solomon for reming me about forgiveness.
Thank God for this powerful song. Forgiveness is for my own benefit. I have forgiven them all
I choose to forvive them all...
This song really changed me. I'm now a new person. I forgive and forget.
Nimeamua kuwasamehe waliousika na kifo cha babangu na dada zangu wawili
Awesome
Lord in Jesus Name I have forgiven all those who have wronged me in Jesus Name so that I can also be forgiven
Nices song na sikiza nikiwa Lebanon be blessed Solomon
Haki av been so gud to pple but thy pay me other way round but through ths song av forgiven thm all coz i really fear God and av been asking myself if God can forgive,who am i not to forgive. Av realised them frm my heart but, brother solo i find it hard to start to talk to them plz help
Forgiveness is the best
a very nice song, forgiveness is so nice
I am touched with this song may u always work hard Solomon so as to make more people come back to christ Lord Amen