MA AHA ALLAH sheikh Juma JazakhaLLAHU kheyr nimeipenda sana na hii nimeisikiza ni Mara ya tatu sasa. natumai itanisaidia wakati huu wangu wa kusearch search.
Oh its sheikh juma amir..nimeiona jina yake at beggining of part 1 video...he's very good mashallah. Thanks for posting..keep them coming...Jazzakka Allah kheiraan yakhi
saah saaah kalam wallah laadhim.....nimefiwa gede na babu yangu ila nilipo ingia utube nmechekaa sanaa asante tutaji rekbsha inshallah naangalia nikiwa Dubai ..al ain
Tamazi kilyamhogo kweli maneno yote ni sah kwel habibty tujirekebishen hakika pepo ipo chin ya waume zetu sasa ka mtu kashajipamba anampambia nani kama akiguswa hatak kuharib kucha na nywele zake sasa kwel mdoa zwtu zitadumu hapa???
Tamazi kilyamhogo sheikh sasa wanawake wakadeke kwa nani na ivi kazi za ndani ni jukumu lao au wafanya kama msada na kuusu kupendeza nani amuambie kile anachokitaji
Kweli sheikh wanawke wengi wanazo hzo tabia, lkn na wanaume wafahamisheni pia km m'ke anahitaji kusaidiwa. Maisha ya sasa sio yale ya zamani. Sasa waume waroho kila chakula anakitaka yy, halafu watu wa siku hz hawali sahani moja kwa pamoja kila mtu na yake. Mlo mara mbili au tatu. Nyumba imejaa furniture na makorokoro ya kusafishwa, watoto wanahitaji kushughulikiwa. Mana mke km hajatumia akili ya kuzaliwa hata haki yake itamshinda au hatojisikia kwa machofu. Atakua yupo yupo tu anatimiza wajib lkn kachoka hapati raha yeyote.
Si town tu uku likoni pia wako watoto matumbo yameshikana na maungo kwa njaa na babazao wala kwa mama ntilie subhanah allah mola tuhifadhi cc wanawake..
Among of my favorites sheikh Allah mpe mwisho mwema sheikh juma amiir
I never get tried of watching this video jazaakAllah sheikh.
Yaan hachoshi kbxa kumsikiliza sheikh wetu
kweli kabisa sheikh wavivu sisi tupe maana tumejaa majumbani tupotupo Kama wafu 😍😍😍
Ni kweli jamani wanawake tuache uvivu inuka changamka umeolewa jamani inukaa jishughulishe Ahsante sheikh wetu🙏🙏🙏
Swadakta Aaaaaaaaaaaaa my
Mwanamke jiongezeee ndo maana kichwa kila cku
Anaitwa sheikh nani
SHEIKH JUMA AMIR....one of my favourite sheikhs
Umeletà
naam maalim
Mungu akuzidishie sheikh mawaidha yako yamenigusa..
Kombo
Wallahi shekh umewasoma sana wanawake Allah akuzidishie kweli tupu tupe tujirekebishe
Shukran sheikh Allah akupe umri mrefu na afya azidi kutuelimisha umma.
Mash Allah, tuna waidhika sheikh, Mungu akupe kheir nyngi sana na baraka tele
Allah awape imani wake zetu wawefaraja kwetu
Asante shekhe, ubarikiwe na Baraka za Allahu ( SW).
MashaAllah sheikh Juma Amir mimi sichoki kuirudia hii video jamani, Allah akubarik tunajifunza huku tunacheka
Sanaa walhi hata mm
Allah atujaalie waume zetu ndo pepo yetu 💙💚💛💜
Ameen
Amin
Um Arwa Amini
Amini
Um Arwa wenzio halijui hilo .
Daah alie cheka kama mm leta cometi yako mashaalah mwanamke namba tano story yake mie hii sharaka nimecheka mpaka basi
Hatari sana
MA AHA ALLAH sheikh Juma JazakhaLLAHU kheyr nimeipenda sana na hii nimeisikiza ni Mara ya tatu sasa. natumai itanisaidia wakati huu wangu wa kusearch search.
Dah kweli usemayo shekhe ,eeh mwenyezi mungu nijaalie nije kuwa mke mwema na mwenye utii kwa yule atakaekuja kuwa mume wangu
InshaaAllah
Inshaallah
Inshaallah
Mungu atujaalie tuonane.
Latifa Ali Allaah akujalie maana kweli hali sio nzur katika ummah
Oh its sheikh juma amir..nimeiona jina yake at beggining of part 1 video...he's very good mashallah. Thanks for posting..keep them coming...Jazzakka Allah kheiraan yakhi
In Sha Allah Mola Awaongoze wake zetu
Shekhe asante sana ujanjawooote wa wanawakeumeugundua niwajanja mno
saah saaah kalam wallah laadhim.....nimefiwa gede na babu yangu ila nilipo ingia utube nmechekaa sanaa asante tutaji rekbsha inshallah naangalia nikiwa Dubai ..al ain
farida bakari
farida bakari
Asalam alaikum sheikh nimependa sana mawaidha yako lkn kitu kimoja umeongea sheikh kuhusu wafanya kazi mambo ya waarabu hayo kila kitu mfanyikazi
Alhamdulillah asante sheikh
Inshaallah mungu anipe mke mwema amin
HIJA RWAMBO Ammin yarab hiz ndio dua za kuomba kaka ang
Darasa zuri sana Allah tujaalie tusiwe miongoni mwa hawa aminn
Allah asitujaalie kuwa miongoni mwa wanawake hawa
Allah akulipe mema shekh
stahil sheikh juma... watoe taka dada zetu...jazakallahu kheir
you are true shekhe juma mashallah wapo wengi sana wake namna hiyo
Na aina zawanaume wabaya ningapi? Mume nihaki kumsaidia mkewe
napenda mawaidha yako sheikh
mtihaan
Mashallah jazakallah her mola hakuzidishe ishallah Amin
Sitra unayo Amirat?
Sema shekh wanaume nao ndo wakatixhaji tamaa kwa wake zao unkuta anachepuka Alf mke akijua ndo mapnzi yanapungua
Subhanallah jaman me naona nasisimka mwil tujitahidin wanawake wenzang
In shaa Allah
Kweli tupo hasarani wanawake
Jazaka llahu kheir sheikh
kweli sheikh kabisa inshallah tutarekebsha mwenyezmung akupe umri mrefu
Ameen
Shekhe shukran nimekuelew
Asante sana kwa kutuambia udhaifu wetu
Mungu. Awafanyie. Wepes. Wa kuelewa
subhanallah.
wanawake tujirejebishae jaman,tuwe na hofu ya allah
Tamazi kilyamhogo kweli maneno yote ni sah kwel habibty tujirekebishen hakika pepo ipo chin ya waume zetu sasa ka mtu kashajipamba anampambia nani kama akiguswa hatak kuharib kucha na nywele zake sasa kwel mdoa zwtu zitadumu hapa???
Tamazi kilyamhogo sheikh sasa wanawake wakadeke kwa nani na ivi kazi za ndani ni jukumu lao au wafanya kama msada na kuusu kupendeza nani amuambie kile anachokitaji
waallah Shk Juma Amiri Allah akuzidishie ufahamu uzidi kutuelimisha
Kweli maashallah so nice
He mtihaan ila sheikh umesema jambo ! Hao wanawake tupo tulio na hizo tabia tuombe m.mungu atuongoshe tuwe wanawake bora dunian na akhera yarabbi
Maashallah
Subhanallah 😭 hali nipo nayo inanitesa nifanye nini sheikh mm
inshaAllah ALLAH atujalie tuwe waaksame wema kwawaume zetu na tutii sheria na amri
Mashaallah
TBT hapo sheikh yusuf bado still looking young..mashaaALLAH
Masha Allah, shekhe
Mashaallah sheik asante sana kwa mawaidha mazuri
Mafuzo mazuri. Shehk
Mashallah shekh umeongea mambo ambaya yapo mpaka sasa wanawake wa mombasa ndio hali zao
Masha Allah
Mungu awasimamie nyote
Mashallah anaelimisha sana huyu shekh
Mashallah sheikh jazakallah
one of my favourite sheikh
MUNGU AKULINDE sana.
Mashallah 😍
Asalmalekum .ijuma Karim . Nyote .hasateni kwa mawadha shukran .🙏😚
Subhanallah
Asalam aleikum utakuja lini mombasa
Mashaa Allah! Naipenda sana!
Ma sha Allah
Mashaalah
Shekhe jina yake nani huyu? He's good mashallah
Anaitwa Sheikh juma Amri
Juma Amir
Mashaallah sheik
mashallah tabarakaalah
Jazzaka'Allah khair
asante kwa kutupa mafuzo twajifuza ASANTENI sana
Recho K.K.M. Asante Kwa mawaidha shee
Je aina za wanaume utaziongelea lini?
NIKWELI WAPO WENGI SANA JAMANI WANAMME WANA MITIHANI NA WANAWAKE PIA TUNA MITIHANI PIA KWA WAUME ZETU TUJIREKEBISHENI WOTE.
shekhe hasa hizi zama zetu ni mtihani kwelikwel
Allah tujaalie iman wake kwa waume
mashallah sheikh ur ryt!👌
😍😍😍😍😍thnks much sheikh
mashallah
Kweli sheikh wanawke wengi wanazo hzo tabia, lkn na wanaume wafahamisheni pia km m'ke anahitaji kusaidiwa. Maisha ya sasa sio yale ya zamani. Sasa waume waroho kila chakula anakitaka yy, halafu watu wa siku hz hawali sahani moja kwa pamoja kila mtu na yake. Mlo mara mbili au tatu. Nyumba imejaa furniture na makorokoro ya kusafishwa, watoto wanahitaji kushughulikiwa. Mana mke km hajatumia akili ya kuzaliwa hata haki yake itamshinda au hatojisikia kwa machofu. Atakua yupo yupo tu anatimiza wajib lkn kachoka hapati raha yeyote.
😆😆😆😆😆😆 hahahahahahaaaaaa jamaniii
MashaAllah
mashaallah
kisheria kazi zote za mume ,mke kazi yake kuzaa tu ,ila kutokana na huruma zetu wanawake tunaamua kufanya tu
mimi mke wangu anazo hila zote hizo shekhe
subhanallah sheihk jua wher a u from uko sawa swadakta mungu akuzidishe umri utuelimishe zaid hao wanawake samply hiyo wako tele
Fanya bidii kumuelimisha uyo ndie ulie mchagua kaka kwani ukumjua!
He is from Mombasa
Isaya Isaya pole sana
pole kaka mueke chini umuelezee anapokosea usimtangaze mungu akupe subra na mke huyo
masha allaah
Mashallah
Mashallah ...
asante sheikh
Si town tu uku likoni pia wako watoto matumbo yameshikana na maungo kwa njaa na babazao wala kwa mama ntilie subhanah allah mola tuhifadhi cc wanawake..
Jazaka LLAH KHAYRA
Napenda sana mawaidha yako shekh juma amiri inshaallah Allah amzadishie
Shekh juma amiri Allah akuzaidishie
Allah atujalie wake wema inshaallah
mashallahu Tena wako wengi Sana wape
Maashaallaah
Hawo hawo
Waume wengine hawataki tufanye kazi au biashara tufanyeje hata ukimwambia anakujibu kwani huli hupati chakula hapa nyumbani sasa tufanyeje?
Shukran
😂😂😂Subhallah Allah atusalim Salama
Duuuh nmtihan sheikh
Mashallah 😂😂😂😂😂😂
😀
Allah atuongozee
Nyinyi waswahili mwajua wanawake wenu ndo Tania zao poleni olewenu
Mmmm wanawake wote ni sawa
Aa waume wengine ndo wakwambia mwache maid afanye sitwamlipa.
Manake tunakwenda mbali tumuogopen mungu
Jamani mmetuzidi
😂😂😂😂🙌
Umesitirika ww
Hahahah 🤣🤣🤣🤣
Napeana talaka leo leo nishaelewa wanawake