Kushinda kila siku haimaanishi kua wewe ndie mwenye haqqi kwa faarauni aliuwa watoto wangapi na alidumu miaka mingapi mungu anamtazama tu na ulipofika muda wake farauni alidhalulishwa
Assalam aleikum.......Tatizo kubwa la ndugu zetu wa Bara Arabu ni kwamba wana afadhalisha sana urangi kuliko udini !!! Nimeishi nao kwa muda mrefu sana ila bora kwao ni rangi ya ngozi kuliko dini, Muhindi na mtu wa magharibi wanampa kipao mbele na kuwakirimu zaidi kuliko MUISLAMU mwenziwao Mweusi. INAHUZUNISHA SANA ! Nina amini hata hawa wafalstin wangekua na nchi yao bado wangemdharau na kum'bagua muislamu mweusi(Hususan Muafrika) kama tunavyoshuhudia hivi sasa katika nchi zao kadha wa kadha.
Kupenda dunia na sio rangi maaana waarabu ni weusi baadhi yao tu ndio weupe lkn waarabu hasa rangi zao ni weusi kdg.wnaapenda pesa maaan makampun ya Israel 🇮🇱yamejaa nchi za kiarabu.
@hafsamansoor3977 Sio baadhi na kwa haki lillahi wengi wao wana taasubi ya kibaguzi hususan kwa waafrika weusi, kwao bora wanaoabudu ng'ombe sababu ya rangi yao.....USIFICHE UBAYA Hafsa !!!
Barak'Allah feek Shk. Elmi...uko fasaha mashaAllah...Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha 🤲
Jazakallah hayra
Inaumiza sana
Ila inshaallah tuendelee kuiombea dini yetu usindi upo karibi
ALLAH AKBAR
Kushinda kila siku haimaanishi kua wewe ndie mwenye haqqi kwa faarauni aliuwa watoto wangapi na alidumu miaka mingapi mungu anamtazama tu na ulipofika muda wake farauni alidhalulishwa
Kuna bwana mmoja ate tea Ezrail. Lakini hajui asemacho
Mashaallah
Assalam aleikum.......Tatizo kubwa la ndugu zetu wa Bara Arabu ni kwamba wana afadhalisha sana urangi kuliko udini !!! Nimeishi nao kwa muda mrefu sana ila bora kwao ni rangi ya ngozi kuliko dini, Muhindi na mtu wa magharibi wanampa kipao mbele na kuwakirimu zaidi kuliko MUISLAMU mwenziwao Mweusi. INAHUZUNISHA SANA !
Nina amini hata hawa wafalstin wangekua na nchi yao bado wangemdharau na kum'bagua muislamu mweusi(Hususan Muafrika) kama tunavyoshuhudia hivi sasa katika nchi zao kadha wa kadha.
Kupenda dunia na sio rangi maaana waarabu ni weusi baadhi yao tu ndio weupe lkn waarabu hasa rangi zao ni weusi kdg.wnaapenda pesa maaan makampun ya Israel 🇮🇱yamejaa nchi za kiarabu.
Fact
Si kweli wewe kusema wanabagua. Nibaadhi tu ya watu
@hafsamansoor3977 Sio baadhi na kwa haki lillahi wengi wao wana taasubi ya kibaguzi hususan kwa waafrika weusi, kwao bora wanaoabudu ng'ombe sababu ya rangi yao.....USIFICHE UBAYA Hafsa !!!
Ww shida yako waarabu au waislamu?ubaguzi wao waachie wenyewe ww pigania Dini
Hamasisha vita lakini Israel Hamuiwezi maana ile ni ardhi ya sababu zao hebu fikiria wao kwao wapi? Je nilini mulisha washinda vita
Kama dola ya warumi ambayo ilitawala dunia karne kadha imeanguka. Israel nani?