Booooooonge moja la korasi Oi oi Oi haijatosha hizo verses Kama vipi another version ya Nikki wa Pili,Gnako,Lord eyes and Joh makini. Mtu mmoko mmoko Chorus ni murder mystery Arifff!! Marioo akiipitia pitia 🔥🔥🔥🔥
Booooooonge moja la korasi Oi oi Oi haijatosha hizo verses Kama vipi another version ya Nikki wa Pili,Gnako,Lord eyes and Joh makini. Mtu mmoko mmoko Chorus ni murder mystery Arifff!! Marioo akiipitia pitia 🔥🔥🔥🔥
Kama umefurah kumskiliza muheshimiwa #Niki wa pili weka likes 🔥
Wanangu saizi game inawakataa sio kama ile miaka ya 2015 kurudi nyuma😢
Gusa achia twende kwa weus
Hawa ndio weus tuliokuwa tunawapenda,bonge Moja la ngoma,mmeiimba kizaman kisasa,hongeren Nick wa II n kama alkuwa na kiu sana yakurap,ameuwa mnoo
Bembea kali
Kali Sana @joh makini
Gusa achia comment, hili ngoma ni kali sana🔥🔥🔥
Kwanini nisiwe mshabiki wa weusi?? 🎉🎉
Good music, Amazing chorus
Hamjawai niangusha
WEUSI USIPO WAOGA UTA WANYWA TU KUDADADEKI
Weusiiiiiiii
Ngoma makini sana sana sana
Mabrothe hamujawai kutubwaga kazi kubwa sana
G hajawai feli kwenye chorus
Twenzetu magetto Fattii
Viwango vyako 'A' mama A town 😂 good sana
Hili ni chupa la kutumia valentine's Day ❤❤ yupo wapi Rich Mavoko aje ajifunze hapa @billionare kids
Nenda Kwa mavoko usikulize ngoma yake mpya ,n Kal hatar
Hii kubwaaa🎉
WEUSI 🔥🔥🔥🔥🔥
It’s a banger 🔥🔥🔥🔥
Mmmmhh hiyo sauti ya huyo manzi mbonaa tamu kmmmkee 🙌🏽🙌🏽 aaahhh🤤😋😌
Nice track Weusi
Huyu wimbo mkali sanaaa🔥🔥🔥
Tunda lililoiva huita tumbili
...kaziii nzurii kwakee Paul Maker
This gal sound so sweet
Oooh! Wamerudi tena. 💥💥💥
Weus Unyama mwingi wanangu👊🏾
dope tune big up weusi 👍🏿
Weusi ✊🏿
WEUSI since day one never disappoint
Noma sana weeeuuusiiii......
Booooooonge moja la korasi Oi oi Oi haijatosha hizo verses
Kama vipi another version ya Nikki wa Pili,Gnako,Lord eyes and Joh makini.
Mtu mmoko mmoko
Chorus ni murder mystery Arifff!!
Marioo akiipitia pitia 🔥🔥🔥🔥
Big up ma brother 🎉
Weusi
I am first to day
Bembea ni la moto
INSTRUMENTAL FLANI IVI 🔥🔥📛
Kuna namna hii ngoma inafanana na Ile ya formula
Who said sipo romantic bad man, zinaendana sana
Bonge moja la Mbupu 🔥🔥🔥🔥
Kitu fire 🔥
❤❤❤❤ penda sana chama langu weusi g unyama sana
Weusi ni moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥
#PaulMaker ni kwere 🔥🔥🔥
Ngoma inatuingiza 100k subscribe kwa Bembea kwl....
NOMA SANA...
Oya weeee
#bembea🔥🔥
Mkwaju wa maana sana❤
Kidogo niku tukane bure mshua 😂 , nika soma kwamba mwijaku wa maana sana
Hatari
Bembea
RECHO - KIZUNGUZUNGU
😍😍😍😍😍😍😍😍
Wana Wanaflow Za Kibabe Sn Ila Chorus Tuseme Ni Nandy Tu Maana Si Kw Kisauti Hicho
🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Gonga 👊 kwa Nikki wa pili
🎉🎉
👍🏼👍🏼
Mmbo hayo
🙌🙌🙌
Joh kaimba nini 😅
niki wa puli
Ila verse za joh
th-cam.com/video/PaxJ06Vc_io/w-d-xo.htmlsi=-ONfl9643zTP-g-G
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 th-cam.com/video/9KfNiAN8zTU/w-d-xo.html
Maisha yapo kasi weusi wanatoa kazi kama akijatokea kitu hawa toka clauzi ipoteze mvuto nao wakapotea ona wanavyo imba 😂 an wana imba utoto
Imba ww bas kaka...., kama n rahisi kama kunya
😂kmmmmk ilo chorus
th-cam.com/video/fc3Kkn2aeyA/w-d-xo.htmlsi=NsrdHCiEy-jAnrnT
Weusiiiii🔥🔥
Booooooonge moja la korasi Oi oi Oi haijatosha hizo verses
Kama vipi another version ya Nikki wa Pili,Gnako,Lord eyes and Joh makini.
Mtu mmoko mmoko
Chorus ni murder mystery Arifff!!
Marioo akiipitia pitia 🔥🔥🔥🔥
Weusi
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥