Kwa simulizi zaidi subscribe channel hii Ya MwambaFix Ili Kupata Simulizi Za Kusisimua #mwambafix #simulizi #simulizizamaisha #simulizizamapenzi #simuliziyakusikitisha
Daah hongera sana mwamba Kila simulizi Kali mi niliona dada anaitwa sharifa yeye Hana jinsia naumbo la kiume lakini kule bondeni anakopa❤ lakini haija chorongwa kwa ndani hivy Hana njia z uzazi daah mungu fundi w mafund😭
🇰🇪mm ndio uyo sasaa ata kama nimechelewa najua tupo pamoja,,alafu jamaa ywaogopa kubeba mimba duuuuu😂😂,,alafu wambea washaaanza kuharibia harusi za watu uko
Katika simulizi zako zote hii ya kimbanga knyama, nikijumlisha na ile mnusuru siri yani ndo napata picha itakuwa kuna upuuzi unataka kuuchochea lakini hutaweza kuharibu nafsi za watu, tena ufungiwe kama vipi yan
Daah hongera sana mwamba Kila simulizi Kali mi niliona dada anaitwa sharifa yeye Hana jinsia naumbo la kiume lakini kule bondeni anakopa❤ lakini haija chorongwa kwa ndani hivy Hana njia z uzazi daah mungu fundi w mafund😭
Ww ni zayd ya mwamba ni 🔥🔥🔥
😩😩😓😓😓🥺🥺🥺🥺🥺
Hatimae imetoka sehemu ya 2 ,,,asante sana
😭😭😭😭😭😭😭 mungu atufachye wepesi dha pazito
✌️
Niko hapo kwenye tam chungu 😂😂😂 mwamba salute ✋
😂😂😂
Kweli salut
Uko vizuri ❤
Nimewahi no 8 Leo thanks bro
Baada ya kusubr Kwa mda uliotuahid Leo Tena tuko pamoja❤❤❤❤😊😊
Asante kwamuendelezo wako
😮
Tuko pamoja ❤❤❤❤
Mmmh ila huyu kazi zake ni zaidi ya jina lake na fix zake ni viwango vya juu sana
Leta mwndelezo MWAMBAFIX mzigo unaenda kunoga sasa
👌🔥
Woyooooooo
Mwamba ya mochari umeacha 😢
Yeah mochwari pls
Unajua kututesa jmn na kusubir😢😢ila tunakupenda hivy hivyo
🇰🇪mm ndio uyo sasaa ata kama nimechelewa najua tupo pamoja,,alafu jamaa ywaogopa kubeba mimba duuuuu😂😂,,alafu wambea washaaanza kuharibia harusi za watu uko
Bola tumalizie jamani ilamh hiinikali sana😅😅😅
Jamani hatupo Tanzania tupo mbalinawanaume zetu so mwatutia nyege😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Broh watungie movie maana hawa wasanii wa bongo hawana story nzur ila ww una stori nzur na za kusisimua
Tumeisubiri hadi nikasahau tuliishia wapi tupo pamoja mwamba
🤔
Kheee jaman jaman makubwaa hayaaa🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭😭
Duuh jmn sijui itakuaje
Yaan hata mie haingii akinini,na huyo mwenye taswira ya kiune jinsia ya kike haijawahi guswa ,,jaman maajabu eeeeh
Katika simulizi zako zote hii ya kimbanga knyama, nikijumlisha na ile mnusuru siri yani ndo napata picha itakuwa kuna upuuzi unataka kuuchochea lakini hutaweza kuharibu nafsi za watu, tena ufungiwe kama vipi yan
Lkn jinsia mbili hao watu wako
Muone huyu 😅
Mwamba nyumba 47iko.wpi