Nairobi (ft Bien) Marioo (lyrics)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Nairobi ( ft Bien) Marioo (lyrics)
Nairobi
Marioo
Lyrics
Nairobi Lyrics
[Instrumental Intro]
Ooh, ooh yeah
Kutoka, alooh
Mm, mm
(It's Cannibal)
[Verse 1: Marioo]
Nilikutana nae 'Kilimani, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Kibaridi cha asubuhi,
Kijua fulani sio kikali, saa tano
Ooh, Nairobi
Elfu mbili na kumi na tano
Nikamchagua yeye,
Katikati ya wenzake watano
Aah nikamuomba, akaniomba 'namba
Moyoni mwangu nikampa 'moja
She's my namba, namba, 'moja
Nikamuomba, akaniomba namba
Moyoni mwangu nikampa moja
Now, she's my namba, namba, 'moja
Yaani namaanisha kwamba...
[Chorus]
Ndio tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
Ndio tushaoana
[Instrumental Break]
[Bridge: Bien]
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
[Verse 2: Bien]
Tulipatana Bongo, 'Mikocheni
Niko zangu beach nala upepo wa bahari
Alinipita kama meli
Anayumba, yumba akidondosa kishenzi
Ohhh, Mikocheni
Nikamfuata utadhani zombie
Habari gani, mbona uko lonely?
Jina ni gani? 'akasema, Zari
Nikamwambia ajee (Ajee)
Nikamwambia kwangu ni kwake
Nimshike wapi, ndio aje
Nataka moyo wangu uwe wake
Watangoja sana
Wakidhania tutaachana
Mimi na yeye tumeshaivana
Naichapa usiku na mchana
Aiya, iyaah, iyaah
Yaani namaanisha kwamba...
[Post-Chorus: Bien & Marioo]
Ndio tushaoana
(Nishaoana na yeye, sa mi tu na yeye)
Tushaoana
(Nishaoana na yeye, sa mi tu na yeye)
Ndio tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Ndio tushaoana
Tushaoana
Tushaoana
Tushaoana, ah
Oh, yeah, yеah
Tushaoana
Oh, oh
Alooh