Hao wanajeshi wenyewe wanaoenda kulinda amani huko wengine hawajui hao M23 wametoka wapi wao wanaenda kutekeleza tu walichoagizwa tandika adui M23, wakati ukute hapo hata M23 siyo maadui ila ubinafsi wa watu wachace ndo wanaleta haya machafuko.
Watu wote wenye nia mbaya na fikra za Hima Empire hawaspoti ukweli kwamba Watusi walienzisha vuguvugu la kutawala eneo la Afrika mashariki na kati halafu ndio maana wanamtusi huyu kijana
Kweli mchambuzi alipaswa kuanzia Berlin conference ili aeleweke vizuri. Ameleta historia nusunusu. Kabila kuwa kwenye nchi mbili ni kawaida kabisa sawa na wanyakyusa malawi na Tz, wamasai kenya na Tz nk.
Big mistake was recruiting the rebels into Congolese army. They were supposed to be allowed to live in Congo but not participating in any army business. DRC had to undertake screening process to ensure that no one of those rebels are recruited into the army
Shida ya Tatizo la kongo wazungu wanataka Rasili mali wa Tutsi kwa upande wao wana taka ardhi ili kujenga himaya yao na wa Nilotics kagame amenunua hekari nyingi za ardhi hivi sasa upande wa mto kongo katika nchi kongo Brazzaville wameona kabila za mshsriki zinazingua bkora waingilie kupitia magharibi mwa nchi makabila ya kule hawawajui vizuri wa Tutsi na ni wazembe wapenda starehe.
Wewe ni mjinga,watutsi wanaishi pia congo,kama vile wamasai wako kenya na tanzania,m23 imeanza baada ya wacongo watutsi kufukuzwa,mwalim nyerere alijaribu kusuluhisha na katika hutuba yake alieleza kama ninavyo kuambia,wewe umesikia propaganda ya upande mmoja.
Wa Tutsi asili yao Ethiopia, Eritrea, na somalia ndio maana una hitwa Duale Kuna Mwanasiasa mmoja Somali Kenya anahitwa Duale wa Tutsi walikuja Rwanda kupitia Mto Nile Uganda hadi Rwanda, Leo unakua Tena mnaongelea Kongo , kesho itakua Tanzania na Burundi
Mwaka yazamani wakati wa ukoloni Rwanda Na Burundi ilikuwa inci moja wazumgu walipogawa Africa Waka weka mipaka kunamakabila zingine ziligawanyika wamoja Waka Baki Congo nawangine wa Kawa Rwanda Na Wangi Wakawa Burundi napande ya pili walipogawa Tanzania.ndiya kwamana Tanzania Kuna watu wanaongeya kirundi lakini niwatanza I wazumgu walipo gawa Congo Kabila la watusi walikuwaepo
Kaka historia yako nzuri ila umeifanya fupi, kuna vitu vingi hujaongelea, kama mfano tunaskia kuna kabila la watusi pale kongo tangu zama hizo za ukoloni, na hua wengi ndo tunavyojua, tunahitaji utupe historia ndefu
nyie hayo mambo ya ki historia yamesha pitwa na wakat hicho ndo kilicho ifanya palestina kua hivyo inshu ni maslah ya wazungu ambao wame pitia rwanda kudil na congo
msiwe mnaleta watoto wa 2000 kuelezea historia kama hizi... hauwezi kuzungumzia mgogoro wa Congo kwa kuanzia mwaka 1994...😂😂😂😂 sasa wale Banyamulenge wa Kivu ambao ni wazawa halisi wa congo na ndio wenye hio M23 kwanini hata hajawagusia?? Hahaha hawajui... mmetukosea sana watazamaji wenu.
Haya mambo ya historia acheni kutafuta vijana wa 2000 kuelezea wanaposha, historia ya Congo na Rwanda ukianzia tu 1994 uwezi pata uwelewa sahihi wa jambo ili
Almost kila mtu amekua akielezea historia ya Congo Hila Bro umehelezea safi Kabisa, clear.
Allah kareem
Yes I am A Congolese DRC 🇨🇩 inside my Blood ❤️
I believe on day we shall make it yes I believe
I know It's Always In My Dream
Huyo mdada nimemuelewa mwenye contacts zake anisaidie😊
Uhu ndo ukweli
Huyu mdada anafaa kuwa mke wangu kabisa. Naomba Mawasiliano yake
Kuna historian kubwa sana.
Mno
Congo ina pigwa na inci mingi wana tumiya tu kangame sana ila yuma ya rwanda pako inci zigine
Hao wanajeshi wenyewe wanaoenda kulinda amani huko wengine hawajui hao M23 wametoka wapi wao wanaenda kutekeleza tu walichoagizwa tandika adui M23, wakati ukute hapo hata M23 siyo maadui ila ubinafsi wa watu wachace ndo wanaleta haya machafuko.
Kweli hii vita tuwaachie wenyewe tu wapambane Ukute M23 wako sahihi kabisa kupigania ardhi yao
Watu wote wenye nia mbaya na fikra za Hima Empire hawaspoti ukweli kwamba Watusi walienzisha vuguvugu la kutawala eneo la Afrika mashariki na kati halafu ndio maana wanamtusi huyu kijana
Nyie jamaa ni waongo kinyama 😂
Apo hamna la maana ,mabeberu wanahusika sana na hawatajwi tayar ,ukwel bado umefichwa tuonekane tunapigana wenyew kwa wenyew..😢
Kagame ame zeeka ile watakao teseka kwa haya mazara ni vijana watakao baki myaka ijayo
Ishu sio ukabila hapo ishu ni madaraka ni dili za pesa kagame museven na wazungu
Kama banyamulenge sijui ni wahutu sawa wapewe hio kivu yenye madini alaf tuone kama Kagame atawaachahuru
Dogo hujui hiyo historia
Yaan huyu ndo ziro kabisa 😂😂
Hajui kabisa, hitoria inaanzia kwenye Berlin conference, hata nyuma ya hapo.
Nyie mnaojua mbona hatuwaoni kwenye media acheni ujuaji
Ww unaejua tuelezee ss
Kweli mchambuzi alipaswa kuanzia Berlin conference ili aeleweke vizuri. Ameleta historia nusunusu. Kabila kuwa kwenye nchi mbili ni kawaida kabisa sawa na wanyakyusa malawi na Tz, wamasai kenya na Tz nk.
Big mistake was recruiting the rebels into Congolese army. They were supposed to be allowed to live in Congo but not participating in any army business. DRC had to undertake screening process to ensure that no one of those rebels are recruited into the army
Shida ya Tatizo la kongo wazungu wanataka Rasili mali wa Tutsi kwa upande wao wana taka ardhi ili kujenga himaya yao na wa Nilotics kagame amenunua hekari nyingi za ardhi hivi sasa upande wa mto kongo katika nchi kongo Brazzaville wameona kabila za mshsriki zinazingua bkora waingilie kupitia magharibi mwa nchi makabila ya kule hawawajui vizuri wa Tutsi na ni wazembe wapenda starehe.
M veeeee ntwaaaaaa😂😂😂
Wewe ni mjinga,watutsi wanaishi pia congo,kama vile wamasai wako kenya na tanzania,m23 imeanza baada ya wacongo watutsi kufukuzwa,mwalim nyerere alijaribu kusuluhisha na katika hutuba yake alieleza kama ninavyo kuambia,wewe umesikia propaganda ya upande mmoja.
Tulia wewe akunaga mtusi Mkongo watusi na wautu wote walitoka rwanda wote
Wa Tutsi asili yao Ethiopia, Eritrea, na somalia ndio maana una hitwa Duale Kuna Mwanasiasa mmoja Somali Kenya anahitwa Duale wa Tutsi walikuja Rwanda kupitia Mto Nile Uganda hadi Rwanda, Leo unakua Tena mnaongelea Kongo , kesho itakua Tanzania na Burundi
Nenda kwanza congo 🇨🇩 kisha ndo uje kua mchambuzi mzuri, nyumbni kwako vimekushinda unawaza vya majiani zako😅
Tumerudi hapa hapa kihome weika tumeachana na mambo ya Ukraine na USSR pamoja nam mambo ya mioto huko ughaibuni kwaiyo dunia inaanza kuchangamka
Mwaka yazamani wakati wa ukoloni Rwanda Na Burundi ilikuwa inci moja wazumgu walipogawa Africa Waka weka mipaka kunamakabila zingine ziligawanyika wamoja Waka Baki Congo nawangine wa Kawa Rwanda Na Wangi Wakawa Burundi napande ya pili walipogawa Tanzania.ndiya kwamana Tanzania Kuna watu wanaongeya kirundi lakini niwatanza I wazumgu walipo gawa Congo Kabila la watusi walikuwaepo
Wewe ndo umeongea, sio huyu jamaa anadanganya watu
Kagame ni muuwaji tu nderahamwe nilishaka malizika hakunatena wa hutu congo uganda na rwanda niya yao niku maliza wa congomani
Kuna Siri kubwa sana ndg
So Ile mission ya Rwanda kuwarudisha wa hutu wa kivu iliishia wp baad ya kuamua kumpa support L. Kabila ku take over
Kwani nyie nani kawaambia?
Ni mambo yapo waz
@zaburi2386 me mwenyewe natania tu, lakin kiukweli tunapata somo zuri sana, ila wazungu ndo chanzo cha yote, wanatugombanisha wale mbwa
Acheni kudanganya watu
Twambie unacho kijua
Hio story iko clear Sema dogo kaelezea kwa ufup hata asie na ufaham ataelewa
Kaka historia yako nzuri ila umeifanya fupi, kuna vitu vingi hujaongelea, kama mfano tunaskia kuna kabila la watusi pale kongo tangu zama hizo za ukoloni, na hua wengi ndo tunavyojua, tunahitaji utupe historia ndefu
Historia inaanzia kwenye Berlin Conference...
Mtu anijibu tafwadhali kwani hao wahutu hawakua wanyarwanda? Mpaka waiikimbie rwanda
Ukisoma chanzo cha vita cha wahutu na watusi utajifunza zaidi.
Mgogoro wa kikabila Rwanda na Burundi ni mkubwa tofauti na mazoea ya huku kwetu
@@Jumamaduka240 Ndio mkuu asili ya wahutu Ina maana sio Rwanda sindio maana wakaikimbia Rwanda ? Au acha nifwatlie historia io
nyie hayo mambo ya ki historia yamesha pitwa na wakat hicho ndo kilicho ifanya palestina kua hivyo inshu ni maslah ya wazungu ambao wame pitia rwanda kudil na congo
Very shallow explanation
Uongo mtupu badoo ujuilolote
msiwe mnaleta watoto wa 2000 kuelezea historia kama hizi... hauwezi kuzungumzia mgogoro wa Congo kwa kuanzia mwaka 1994...😂😂😂😂 sasa wale Banyamulenge wa Kivu ambao ni wazawa halisi wa congo na ndio wenye hio M23 kwanini hata hajawagusia?? Hahaha hawajui... mmetukosea sana watazamaji wenu.
Bamyamulenge wanakuaje wazawa halis wa congo hali ya kuwa walitokea Rwanda 🇷🇼
Dogo upo vizuri
Haya mambo ya historia acheni kutafuta vijana wa 2000 kuelezea wanaposha, historia ya Congo na Rwanda ukianzia tu 1994 uwezi pata uwelewa sahihi wa jambo ili
umri namba tuu
Nashangaa hivi vitoto vya 2000 vijuaji ya ajabuu
Kweli ila mchambuzi alipaswa kuanzia Berlin conference maana Rwanda na mipaka yake inaanzia apoo
Tomba mamako mujinga
Shida nn mkuu
Unaongea usioyajua
Huyu mdada anafaa kuwa mke wangu kabisa. Naomba Mawasiliano yake