Pumzika milele mwanga akuangazie Amina 🙏🙏🙏
Padri Thadeus Ponela maisha yako duniani yalikuwa mfano wa kuigwa na sisi kondoo wako uliotuchunga kwa miaka 34. Pumzika kwa amani mbinguni.
Pumzika kwa Amani Paroko wangu
Nafasi yako katika utume hakuna wa kiziba,daima tutakukumbuka na tunashukuru kwaajili ya maisha yako,pumzika kwa amani baba😭😭
Mungu akupe pumziko la milele fr Ponera ,na wale wote waliopatwa na msiba😭😭
Pole sana Baba Askofu Kiangio kwa kuondokewa na Padre Thadeus Ponera. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amina.
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Sr. Jose Mungu akupe uvumilivu na uwatie moyo ndugu zako.
Poleni kwa msiba Baba Askofu na wanajimbo
Pole sana sr Josephine kaka yetu PD Ponera apumzike kwa amani Amina.
Uwe na moyo mkuu dada yangu Sr Josephine
Pumzika kwa Amani mpendwa wetu
Wanajimbo tunapaswa tu sali sana kuongea kaka zetu
PUMZIKA KWA AMANI FR. MTU WA WATU, MUNGU AKUPOKEE MBINGUNI.😭😭
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Pumzika kwa Amani baba yetu mpedwa japo parokia ya Tekwa tunahuzuni😢😢😭😭😭
Asante Mungu kwa zawadi ya mtumishi wako tunakuomba umpe pumziko la milele mbinguni amina