Mapenzi ya mtoto kwa mzazi wake hujengwa ktk umri wa kuanzia miaka mitatu kuja mpk umri wa miaka kumi na tano mzazi ukiwa mbali na malezi na mwanao ndani ya kipindi hiko usitegemee huyo mtoto kuja kua na mapenzi tena na wewe mzazi wake.
Nami nikisikia kwamba ulinitupa siwezi kukuongelesha kwasababu wakati nilikua nakuhitaji umeshapita sasa uchunge nimekomara kwa bahati uje kureta maneno mbere yangu unajua uchungu mtoto anakuwa nao wakati anasikia yeye ni yatima?? Mimi Baba yangu mzazi kaniacha kwa kambi ya Tanzania Nduta akasema ameenda Mwanza Tanzania na leo sijamuona kwanzia 2002 sijui kwamba yiko alikua fundi anae jenga nyumba nzuli sasa leo akipatikana nitaanza kumuhoji ninaelea binadam tunakosea lakini huo binti amuhiji kwanza ndio ampokeee.
@@peterjonas1993 Kafiri ni mpinga Kristo kama waislam yaani wanajisema wenyewe Kafiri ni Mtu yeyote asiyeamini IMANI fulani…kafiri Katika Biblia ni mtu yeyote asiyeuamini Ukristo, Ukafiri hauna tofauti sana na upagani, Mtu yeyote asiyemwamini Bwana Yesu Kristo kwamba alikuja, na kufa kwaajili ya dhambi za ulimwengu mtu huyo ni kafiri. Mtu yeyote asiyeshika njia za Bwana Yesu Kristo na kumkana mtu huyo kafiri. Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”
Huyo mtoto mwenyewe kashalishwa maneno mazito hawezi kumpenda daima mama yake . mfano mdogo tu mtoto ukimpa bibi yake amle tangu udogo basi amini hawezi kumpenda sana mzazi wake kama atakavyo mpenda bibi yake sasa tafakari huyo ametwaliwa na kulelewa tangu mdogo zaidi tena katika malezi ya kitajiri na akapewa upendo mkubwa wakupitiliza sasa je unafikiri atampenda huyo mama yake wakumza ? 🤣
@fetychina usimhukumu mrembo wetu wema sepetu hata akifuga mbwa ndio furaha yake, sio lazima amuige huyu anjelina Joly kila mtu anacho kitu akipendacho MANUNU ndio furaha yake ilipo. MWACHE!
Angelina Mungu amubariki sana😢
Huwezi kumfundisha mtu maana ya maisha sio kuwa wema hataki mtoto yeye ana Siri kubwa kifuani atajuana na Mungu wake
Mapenzi ya mtoto kwa mzazi wake hujengwa ktk umri wa kuanzia miaka mitatu kuja mpk umri wa miaka kumi na tano mzazi ukiwa mbali na malezi na mwanao ndani ya kipindi hiko usitegemee huyo mtoto kuja kua na mapenzi tena na wewe mzazi wake.
Ndo hivoo, alushindwa kumlea mwanae akiwa kichanga na kukitupa sahiv anajuta😂😂😂 mpuuz San mamake Zahara na Kam mm ndo Angelina jolie simtoi maisha
Umeongea point
Nami nikisikia kwamba ulinitupa siwezi kukuongelesha kwasababu wakati nilikua nakuhitaji umeshapita sasa uchunge nimekomara kwa bahati uje kureta maneno mbere yangu unajua uchungu mtoto anakuwa nao wakati anasikia yeye ni yatima??
Mimi Baba yangu mzazi kaniacha kwa kambi ya Tanzania Nduta akasema ameenda Mwanza Tanzania na leo sijamuona kwanzia 2002 sijui kwamba yiko alikua fundi anae jenga nyumba nzuli sasa leo akipatikana nitaanza kumuhoji ninaelea binadam tunakosea lakini huo binti amuhiji kwanza ndio ampokeee.
Point kubwa san
Sashv Dunia nzima inamjuw ZAHARA kam mtot wa Angelina Jolie
Hata mi nilijuaga hivo
Ila story ukisikiliza wakati mwingine na machozi yanatoka Trust me 😢😢😢
P
Dada yetu wema sepetu unafeliwapi?kwanini usiige huu mfano?nabadala yake unalea mbwa na kumpa matunzo zaidi ya binadamu😢
Laana ile sio upendo wallah
ilo jambo tumempa whozu alifiekazi😂
😂😂😂
Hana ela hata hvyo
Wema mwenyew han kitu zaid ya drama
Naomba historia ya Queen zinga
Simulizi nzuri sana
Bahati hiyo ongera mtoto😊😊
Huyo mwanamke alificha ukweli akidhani itakuwa hivyo milele.
Mungu akilita mtoto analeta na sahani yake
Maa shaa llah
Nenda kazi
Good story
Humanitarian. jobs. are. good. jobs. for. the. people. of. world. so. i. chose. humanitarian. jobs. .
Maisha haya,MUNGU akikupa nafasi ya kama hii ni jambo la kumshukuru sana
Kwake yy ni maangamizo. Mana bora uwe masikini lkn uwe na uisilam/dini ya haq kuliko uwe na kila kitu lkn uwe kafiri.
@@Fear_Allah394 kafiri yupoje ndugu maana me toka zaman nasikia hilo jina ila sijui makafiri wakoje
@@Fear_Allah394 kafiri ndo nani
@@peterjonas1993
Kafiri ni mpinga Kristo kama waislam yaani wanajisema wenyewe
Kafiri ni Mtu yeyote asiyeamini IMANI fulani…kafiri Katika Biblia ni mtu yeyote asiyeuamini Ukristo, Ukafiri hauna tofauti sana na upagani, Mtu yeyote asiyemwamini Bwana Yesu Kristo kwamba alikuja, na kufa kwaajili ya dhambi za ulimwengu mtu huyo ni kafiri.
Mtu yeyote asiyeshika njia za Bwana Yesu Kristo na kumkana mtu huyo kafiri.
Yuda 1:14 “Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo”
@@winfridapeter9455asiye amini Mungu ni mmoja na aliyeumba kila kitu
Niliitafuta sana hii'
Watu wenyewe wanafanana kama ndugu vile yaani mama mzazi na mama mlezi
Huyo mama aliterekeza mtoto alipoona mtoto yupo ushuani ndo akajitokeza🤣🤣
😂😂😂 anjelina kamlia ngumu mana alisha ambiwa uyu hana mama 😂😂
Elewa simulizi ndo uone kama alimtelekeza kweli au laa
Huyo mtoto mwenyewe kashalishwa maneno mazito hawezi kumpenda daima mama yake . mfano mdogo tu mtoto ukimpa bibi yake amle tangu udogo basi amini hawezi kumpenda sana mzazi wake kama atakavyo mpenda bibi yake sasa tafakari huyo ametwaliwa na kulelewa tangu mdogo zaidi tena katika malezi ya kitajiri na akapewa upendo mkubwa wakupitiliza sasa je unafikiri atampenda huyo mama yake wakumza ? 🤣
Mama yke kamtelekeza saiv ashakuw mkubwa ndo anajitok , hkn atakaempend hat km ni mam mzaz
Mzaz ni mzaz
@fetychina usimhukumu mrembo wetu wema sepetu hata akifuga mbwa ndio furaha yake, sio lazima amuige huyu anjelina Joly kila mtu anacho kitu akipendacho MANUNU ndio furaha yake ilipo. MWACHE!
Angelina jolie
Maisha Na Wakati
Kweli kabisa ni Siri ya mungu
Uyoo mama yake akubalii alisha ibiwaa 🤣🤣😂
Mi najiulizaga kwann wema jaydee kama hawez zaa kwann wasiend kuchukua watt yatima wanawachukuq kwqnziq wadgo
Hawana huo moyo wakuwaachiaa uridhiii
Nice 👍
Waafrika awawezi kufanya hvyo
Only God
😢😢😢
Aiseee unyama
Inamaana walidanganya ili apokelewe kwenye watoto yatima😔😔
Heri inatoka ktk matumbo ya shari
Mmesahau story yangu... namimi nimeasiliwa na Rambo niko vetinam sahivi
Hahahahha jamani
😂😂😂😂
👏🏽👏🏽👏🏽 😂😂
Hahaha kichwa kama ubuyu
@@marygregory7566 😂 dah
Naomba Kujua Historia ya Gervonta Davis kama Utaki nijbu Niku unifollow
Una force au sio 😂 6:54
Hiii ovyoo 😂😂 unfollow hawana shida na ka follower kamoja
🤣🤣We nae acha hizo
Paparazzi accessories 😆✋
👊👍🙏.
Yaan ujinga aloufany mamake zahara ni unyama kabisa,
Ujinga kifa,
Wema unalea mbwa
Cyo Ethiopia ni Malawi
Ni Ethiopia
Malawi alifanya Madona