ASKOFU MABOYA AMPA MANENO MAGUMU NABII MKUU GEORDAVIE KUHUSU MSIBA WA MWANAE NIC DAVIE USIWASIKILIZE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ธ.ค. 2023
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

ความคิดเห็น • 209

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 7 หลายเดือนก่อน +10

    Wallahi amemwambia George maneno magumu sana. Salute kwako Maboya. Umejua kumfariji hakika!!

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 7 หลายเดือนก่อน +5

    Maboya ni mwanafalsafa wanaomuelewa wachache ubalikiwe mtumishi wa mungu amen 🙏

    • @aaronmabondo6263
      @aaronmabondo6263 7 หลายเดือนก่อน

      Siku moja mtaelewa hahahaaa

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 7 หลายเดือนก่อน +18

    Sijawahi kusikia neno la Mungu km hili ktk kanisa la ngurumo,kweli tumshukuru Mungu kwa kila jambo, mengine yanafanyika kwa kusudi,leo kweli nimeona kitu cha Mungu kupitia Maboya,👏👏

    • @happinesmwita6387
      @happinesmwita6387 7 หลายเดือนก่อน

      Very true! Ujumbe mzito na wanguvu S?sana!

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb 7 หลายเดือนก่อน +9

    Taifa limebarikiwa kuwa na watu wenye hekima mnoooo , Maboya Mungu akubariki Sanaa hata mm nmefarijika pia!

    • @veronicathomas89
      @veronicathomas89 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 7 หลายเดือนก่อน

      Taifa haliwatumii kwa sbb wataambiwa ukweli kwa wanayoyafanya

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 7 หลายเดือนก่อน +3

    Amen Asante kwa mahubiri Mazuri sana.

  • @mosesambrose5709
    @mosesambrose5709 6 หลายเดือนก่อน +1

    Neno lenye nguvu ,neno lisilo goshiwa , Mungu akuweke ,Dr.bishop Maboyaa

  • @samwelibenson1802
    @samwelibenson1802 7 หลายเดือนก่อน +2

    NACHUKUA NAFASI hii KUMPA pole nabii mkuu jor Devi MUNGU awe pamoja na wewe katika kipindi hiki kigumu amen 🙏

  • @user-oi2no6je5q
    @user-oi2no6je5q 7 หลายเดือนก่อน +3

    Nimefarijiwa na neno la mungu mtumishi maboya

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 7 หลายเดือนก่อน +5

    34 year's very young 😢😢😢RIP my boy you not alone Jesus is there with you ❤❤

  • @justinantanturo9860
    @justinantanturo9860 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dady you are the best. Umeongea neno limegusa mioyo ya watu Mungu ameonekana kupitia wewe hakika Mungu alikuandaa kwa ajili ya kusimama katika siku ya leo. Wewe ni baraka sana

    • @maryaugustor6983
      @maryaugustor6983 7 หลายเดือนก่อน

      MM KILE KITU NASHANGAA WATU KUVAA KAMA FREEMASON

  • @JeskajumaTanzaniaJeska
    @JeskajumaTanzaniaJeska 3 หลายเดือนก่อน

    Amina Sana nabii mungu akuzidishie. Iman

  • @johngondwe8605
    @johngondwe8605 7 หลายเดือนก่อน +2

    Bishop Maboya, my role model

  • @luthmwandinde8930
    @luthmwandinde8930 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huwa sikubari mahubir yako ila Leo umefariji kweli na umeongea maneno ya faraja yenye ukweli Big Amen

  • @user-hw4lv3tv2c
    @user-hw4lv3tv2c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ujumbe Mzuri sana,nimebarikiwa sana.

  • @Mwk77
    @Mwk77 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kwa mtumishi wa Mungu Geodavid na familia yote.ubarikiwe mtumishi wa Mungu Apostle D,Maboya ,kwaneno la faraja kwa watumishi wa Mungu.Halleluyah

  • @tumainirwela6488
    @tumainirwela6488 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni familia kwa msiba huu mzito. Asante mch Maboya kwa ujumbe mzuri sana kwetu na kwa familia.

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 7 หลายเดือนก่อน +9

    Kweli anayepaswa kuzikilizwa Ni Mungu tu binadamu wengi wanateuliwa na ibilisi kuharibia wengine msisikilize mtu songs mbele kila Mtu na maisha yake poleni familia ya mtumishi wa Mungu.

    • @manesasanga
      @manesasanga 7 หลายเดือนก่อน

      😂poleni Sana watumishi

  • @edwardkimaro2103
    @edwardkimaro2103 7 หลายเดือนก่อน +1

    Shalom to all.I salute Apostle Maboya🎉🎉.Nimemfahamu Dastan Maboya Zaidi ya miaka 25 ilopita na nimewahi kuwa Mwanafunzi wake miaka ya 94/95 Kazi zake ni Njema majira yote.Hakika Familia na Mtumishi Geor Davie hata Sisi sote Tunaofuatilia Msiba huu Umetugusa Nimefarijika....Nabii Mkuu Kuwa Jasiri Kwa Aliyekuita Itimize KAZI Njema ya Muumba Wetu.IMEKUWA

  • @elizabethguga7396
    @elizabethguga7396 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwamaneno yako yabusara mtumishi yamemipa Imani sana ubarikiwe babà amen

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 7 หลายเดือนก่อน

    Ameen Bishop,,barikiwa snaa kwa ujumbe mzurii uliutoa🙏

  • @subirachristopher1984
    @subirachristopher1984 7 หลายเดือนก่อน +2

    Polen sana, nimeumia sana, pia bishop maboya umeongea vema, nimetiwa moyo na mm pia

  • @user-wx2di6wh1f
    @user-wx2di6wh1f 6 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi kwa ujumbe mzuri mno hakika Kila aliyemsikiliza kwa makini amepata, roho mtakatifu atusaidie kuifahamu kweli.

  • @nemeskilagula5288
    @nemeskilagula5288 7 หลายเดือนก่อน

    Amina Bwana amekutumia kwavkiwango kikubwa sana Barikiwa

  • @IsayaMeikasi
    @IsayaMeikasi 7 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana Baba Geodevid na Mungu akujaze faraja kipindi hiki kigumu na hakika Yesu anakupenda.

  • @user-le5zq8fk4t
    @user-le5zq8fk4t 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu awafariji ktk msiba huo naitwa mchungaji kutoka Geita katoro na Mungu akubariki mtume maboya ni baba yangu

  • @user-ep4td7jx7e
    @user-ep4td7jx7e 7 หลายเดือนก่อน +1

    Baba pole kwa radi hiyo iliyo kupata, Mungu awe faraja kwa familia yote.sijambo rahisi , ila Mungu awatiye nguvu.

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 7 หลายเดือนก่อน +2

    Amen Amen man of God ❤❤ umeongea point

  • @bahatilyimo659
    @bahatilyimo659 7 หลายเดือนก่อน +3

    Ni msiba mzito sana. Mungu awatie nguvu. Apostle Dastan Maboya amenitia nguvu kwa maneno ya hekima. Nakumbuka yalivyonipata 2014 mwanangu wa kipekee. Niliumia lakini Mungu alinitia nguvu sikujua kama ningekuwa hai lakini Mungu ndiye aliyenishika na mkono wake wenye nguvu na Uweza.

  • @levinawhite6786
    @levinawhite6786 7 หลายเดือนก่อน +3

    😢😢mungu akuweke aminaaaaa

  • @theresiamalya7130
    @theresiamalya7130 7 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe Baba yetu ,kwa ujumbe mzuri.

  • @user-ff5hb4ve8u
    @user-ff5hb4ve8u 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu aendelee kukuweka mtumishi wa mungu maboya kwa maneno ya hekima nayafaraja kwa nabii mkuu na familia yake na kanisa pia

  • @momylaviel
    @momylaviel 7 หลายเดือนก่อน

    Amina mchungaji maboya Mungu akuwekee

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 7 หลายเดือนก่อน

    Jina la Bwana libarikiwe tunamshukuru Mungu kwa maisha ya kijana wetu Nisher.

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 7 หลายเดือนก่อน +1

    Amen Baba 👏👏👏👏

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 7 หลายเดือนก่อน +2

    Amen Baba maboya

  • @user-qg7el6gc5j
    @user-qg7el6gc5j 7 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 nakupendaga sana Dastan Maboya... Unahubirigi kifalsafa.
    Rest in Peace Nisher😢😢😢

  • @catherinejustine5302
    @catherinejustine5302 7 หลายเดือนก่อน

    Amina polen sana

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 7 หลายเดือนก่อน

    Aninaaa sanaa. Umeimba vizuri mchngaji Mabeho. Mwenye masikio na asikie.

  • @edinahalexander5306
    @edinahalexander5306 7 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu ni Mungutu,atabaki kuwa Mungu,mambo yote tumwachie Mungu anajua,

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 7 หลายเดือนก่อน +3

    Haleluyaa, Haleluyaa Yesu ni mwema kweli yupo mfariji. 🙏

  • @mwakilulelefrancis280
    @mwakilulelefrancis280 7 หลายเดือนก่อน

    🎉 UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 7 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba Mungu hawa walio Baki wazae huyu Mzee apate wajukuu

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 7 หลายเดือนก่อน +6

    Nakubali sana Bishop Dunstan

    • @edwardmethusela9266
      @edwardmethusela9266 7 หลายเดือนก่อน +1

      Bishop maboya yuko vizuri Mungu Ambariki.

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 7 หลายเดือนก่อน +2

    Haya mahubiri ni ya watu wote wafiwa na wasio wafiwa. Mchungaji uko vizuri saana. Mungu akubariki mnooooo. Sijawahi kukusikiliza na hii ni mara yangu ya kwanza ila una madini mazuri snaa.

    • @madamharrieth9453
      @madamharrieth9453 7 หลายเดือนก่อน

      Ana madini Sana Mobeyo hata mi ni first time kumsikia

  • @magdalenasanga4711
    @magdalenasanga4711 7 หลายเดือนก่อน

    MUNGU awe faraja yenu, Asante askofu maboya Asante Kwa faraja

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa 7 หลายเดือนก่อน

    Ohhh poleni sana wazazi na familia hakika kifo hakina mwenyewe RIP kijana wetu

  • @dinavencesafar3055
    @dinavencesafar3055 7 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa mtumish
    Pia pole Nabii Geordave roho wamungu akufariji

  • @faithmwailunga6954
    @faithmwailunga6954 7 หลายเดือนก่อน

    Umejua kutoa neno la faraja baba, Mungu akubariki sana

  • @asakyalabwe2862
    @asakyalabwe2862 7 หลายเดือนก่อน

    Tuliimba sana tukiwa Iringa tukiwa vijana wenye nguvu.
    Mungu akubariki

  • @MonicaKombo-sj6ql
    @MonicaKombo-sj6ql 7 หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa mahubiri yako mtumishi, umewapa faraja saana,

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 7 หลายเดือนก่อน +3

    Napemda Sana huyu Baba maboya Mungu akubaliki sana

  • @lightmoshi3131
    @lightmoshi3131 7 หลายเดือนก่อน

    Nimefarijika sana🙏

  • @user-jd9sl1xi6p
    @user-jd9sl1xi6p 7 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji abarikiwe kweli wewe ni mchungaji umekuwa mfariji kupitia neno .mungu akutunze na azidi kukupa hekima. Maana umefunikaaaaaaaaa😂❤😊

  • @lasteckmmary9741
    @lasteckmmary9741 6 หลายเดือนก่อน

    Kweli maboya, umejua kunifarijii.. ety tulia askofu yuko mbele?

  • @respiciusbuberwa136
    @respiciusbuberwa136 7 หลายเดือนก่อน

    Aminaa baba yangu

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q 7 หลายเดือนก่อน

    Mm nimemuelewa uyo nic anawatoto nje kwaiyoo anamkumbushaa asiwafukuzee awachukuee awalee na kuwasomeshoo🎉

  • @getrudeosujaki889
    @getrudeosujaki889 7 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana

  • @rehemamasanja8875
    @rehemamasanja8875 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @mwakilulelefrancis280
    @mwakilulelefrancis280 7 หลายเดือนก่อน

    Amen B SHOP

  • @upendomoto5752
    @upendomoto5752 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu

  • @shalomtv1803
    @shalomtv1803 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana katika kipindi kizito, MUNGU awape Faraja ya kweli

  • @apostlesamuelkiariemuthoni7754
    @apostlesamuelkiariemuthoni7754 7 หลายเดือนก่อน

    May God comfort you.

  • @gavanaletika4480
    @gavanaletika4480 7 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @japhetbukuru5300
    @japhetbukuru5300 7 หลายเดือนก่อน

    Braza injili ya kinabii iache kama ilivyo!. Maboya ni Apostle, Geordavie ni nabii

  • @angeakeza6542
    @angeakeza6542 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubarik kwamanen yafaraja😢

  • @margretben6920
    @margretben6920 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika yuko mfariji. Mtumishi Dastan Maboya umetumika kufariji wengi sio Mtumishi Davie pekee.

  • @gavanaletika4480
    @gavanaletika4480 7 หลายเดือนก่อน

    Amina maboya

  • @goshenprayersministries
    @goshenprayersministries 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana RIP NISHER

  • @user-xp9mn2xw7k
    @user-xp9mn2xw7k 6 หลายเดือนก่อน

    Hakika n mungu ametumia kinywa chako kufariji familia

  • @user-le5zq8fk4t
    @user-le5zq8fk4t 6 หลายเดือนก่อน

    Wafariji jamani nimeona Askofu maboya mtumishi amepawa na msiba wanani Niver ni mtoto

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 7 หลายเดือนก่อน

    Muhubiri yuko vizuri sana

  • @yovystevemsowoya1418
    @yovystevemsowoya1418 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo kwa mkapa kweli asee

  • @ElizabethKiyeyeu-ko2nq
    @ElizabethKiyeyeu-ko2nq 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatie nguvu familia na kanisa

  • @levinawhite6786
    @levinawhite6786 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali Bishop,

  • @ChristinaCharles-py1ct
    @ChristinaCharles-py1ct 7 หลายเดือนก่อน

    Congratulation for good message. God bless you.

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu awatie nguvu Mungu awape faraja.
    Mungu endelea kusimama na watumishi wako.waendelee kufanyika kwa kondoho wako.🙏🙏🙏😭😭Mungu akupumzishe kwa amani ndugu yetu katika pumziko la milele na mwanga wa milele akuangazie🙏🙏🙏🙏.Ewe mwenyezi Mungu watie nguvu Kondoo wako asiwepo hata mmoja wa kukata tamaha wote wadumu katika amani nakushilikiana na watumishi wako🙏🙏🙏🇺🇲

  • @sevelinamartin7752
    @sevelinamartin7752 7 หลายเดือนก่อน

    RIP Nisher😭👏🙏

  • @user-zc1xq8xk1i
    @user-zc1xq8xk1i 7 หลายเดือนก่อน

    Pamoja na maneno mazuri mbona mnatiliwa mashaka sana!!!kulikoni????mbona kama hamuhaminiki,ñdg kuna nini???

  • @mfinangaexaud3492
    @mfinangaexaud3492 7 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi mno kusikia injili ya YESU ikihubiriwa hapo .kwa kweli nimefurahi kusikia madhabahu ile imetumia mda mwingi kumtaja yesu hapo.

  • @ngosimabwai322
    @ngosimabwai322 7 หลายเดือนก่อน

    Amakweli pesa sikilakitu napia pesa haiwezi nunua Uhai wa mtu😢😢😢

  • @aaronmabondo6263
    @aaronmabondo6263 7 หลายเดือนก่อน

    Atawatafuna wote vima ninyi....masonic is masonic

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 7 หลายเดือนก่อน

    Ni wale wale.

  • @dicksonsinyinza4168
    @dicksonsinyinza4168 7 หลายเดือนก่อน

    Polen familia y a ngulumo ya upako

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 7 หลายเดือนก่อน

    34 tunalingana ase 😢😢😢😢huyu maboyo kiboko

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 7 หลายเดือนก่อน +1

    Acha Mimi nikiangalia watoto waliyozsliwa na mtoto wangu huwa machonzi yananitoka

  • @user-yw1rq3xj1q
    @user-yw1rq3xj1q 7 หลายเดือนก่อน

    Nic sialisema anawatoto 2

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki6038 7 หลายเดือนก่อน +1

    Apostle maboya wewe Guinness

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 7 หลายเดือนก่อน

      AMekua pombe tena ama ulimaanisha genius

  • @leonardlubala393
    @leonardlubala393 7 หลายเดือนก่อน +6

    Nani aliye waloga Watanzania kila msimba ya mtu maarufu tuna unganisha na freemasons??
    Huo ni ujinga na upumbavu kwanza wengi hata hawa elewi freemason ni nini na hutenda mambo yao kwa namna gani. Uongo ulio enezwana wachungaji wa kilokole wenye elimu ndogo ya Biblia na kujia kuli pambanua vizuri neno la Mungu.
    Na kwa ujinga huo watu wengi wanajengeka kuwa na hofu hofu zisizo na misingi.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 7 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe mchungaji wa kipagani tupe elimu,maana naona kama wewe una ufahamu mkubwa juu ya Biblia.

    • @philipofelician4328
      @philipofelician4328 7 หลายเดือนก่อน

      Mbona makasiliko

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 หลายเดือนก่อน

      Lakin huyo Baba yake mmmh

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@philipofelician4328tuambie wewe unayemfahamu huyo Geo Davi

  • @Emmanuelthomasmwalu
    @Emmanuelthomasmwalu 6 หลายเดือนก่อน

    rest in peace

  • @rev.pasteuraimablebaobabt.v.
    @rev.pasteuraimablebaobabt.v. 7 หลายเดือนก่อน

    🖐️🖐️📖🖐️😭🖐️📖🖐️🖐️

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Maboya ujue kabisa. Sijawahi kusikia mahubiri ya mfiwa. Niliona tu akivutiwa na mamic. Sasa kupitia msiba huu ajifunze kufundisha watu neno la Mungu kwa kuwa watu wengi wanamfuatilia bado anayo nafasi ya turekebisha mizaha na kuhubiri injili ya kweli kama Mtumishi Maboya. Poleni wote kwa msiba mzito.

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 7 หลายเดือนก่อน

    Interview za mwisho za Nisher hakua sawa.Please Parents talk to your children’s.

  • @mako331
    @mako331 7 หลายเดือนก่อน

    Njaa mbaya jamani

  • @veronicathomas89
    @veronicathomas89 7 หลายเดือนก่อน

    Haya nayo yatapita

  • @thomastemu9938
    @thomastemu9938 7 หลายเดือนก่อน

    RIP Nisher

  • @familykabange6328
    @familykabange6328 7 หลายเดือนก่อน +1

    mtumishi wewe umewayi kuhubiri mzazi mzuri uwacha urizi hadi ku wajuku ,manayake Mchungaji DAVI SIYO MZAZI MZURI,atoke mchama ya Freemason Bado kafara ifatayo ni MKE wake.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 7 หลายเดือนก่อน

    Ngurumo ya upako siyo kanisa ni club entertainment and fashion for the blinds who doesn't want to do biblical research. Kama huwezi kuchunguza ukweli juu ya mahali ulipo ukabaki kutetea bila facts ujue nafsi yako imetekwa. 1Yohana 4:1, Mathayo24:11, Yeremia 23:16-33.

  • @sevelinamartin7752
    @sevelinamartin7752 7 หลายเดือนก่อน

    Uinuliwe Mungu wetu commender wa Msaraba🤝🙏

  • @bernadinlesulie476
    @bernadinlesulie476 7 หลายเดือนก่อน

    Tumuachie Mungu wa mbinguni

  • @paulmaduhu5855
    @paulmaduhu5855 7 หลายเดือนก่อน

    Na salam alekum tena?