Tanzania na Burundi Zilivyotaka Kuingia Vitani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 47

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 หลายเดือนก่อน +13

    Tamu san mmetukumbusha mbali...Kumbe hawa nao walituchokoz dah! Nyerere angewap dozi kidogo

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน +1

      Tena hawa ndo tungepiga kama nyoka dadeq

  • @peterkija-k2d
    @peterkija-k2d หลายเดือนก่อน +1

    Mwandaaji wa makala hii anajua kazi yake, na msimliaji pia yuko vizuri kazi nzuri saana

  • @FLAMINGOINTERNET
    @FLAMINGOINTERNET 2 หลายเดือนก่อน +1

    ila pamoja na yote Mkono wa Mungu uko juu ya nchi yetu Tanzania
    viongozi wetu walipambana sana licha ya kuwa tunaona madhaifu yao ila mazuri mengi sana wamefanya big up the chanzo

  • @yassersahin6639
    @yassersahin6639 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante sana kwa kuteelimisha watoto wa 2000 ndo tumejua leo Nchi yetu imepitia mambo mengi

  • @pascalduwe3092
    @pascalduwe3092 3 หลายเดือนก่อน +4

    News we ought to know and so does the Nation be protected at all costs

  • @gervasisaya4973
    @gervasisaya4973 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hizi ndo habari sasa..tanzania tumewavumilia mengi kutoka majirani zetu.lakini bado hawaoni thamani yetu..but there is a day they will know our presence😢

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 3 หลายเดือนก่อน +4

    Athari za vibaraka dhidi ya 🇹🇿 na wapo mpaka leo tena jiraàaaani

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna mataifa yanatuwinda sana kuondoa amani yetu ili wanufaike huku wakitumia baadhi ya mataifa ya Africa na baadhi ya hayo mataifa ya Africa tulishawaonesh kuwa wasidhubutu kamwe

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 3 หลายเดือนก่อน

      Sijawahi waamini Majirani hususani wakenya kwa miaka hii

  • @sahimsaleh8118
    @sahimsaleh8118 2 หลายเดือนก่อน

    Documentary nzur sana

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wazee wetu walikuwa wazembe sana

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน

      walifunika kombe mwanaharamu akapita. vita ni gharama mzee

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 3 หลายเดือนก่อน +2

    Madini

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc 3 หลายเดือนก่อน +1

    Angela Davis, a genius lady

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน

    Tumepitia Mengi aisee🥲🥲. mpaka hapa tulipo ni Mungu tu mh

  • @jackbetram1789
    @jackbetram1789 2 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @annasuday1592
    @annasuday1592 3 หลายเดือนก่อน +3

    TANZANIA NI NCHI YA AMANI YA MUNGU HATUPENDI MACHAFUKO

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน +2

    Imagine 85% ya mizigo yako inapita kwangu alafu unanishambulia ,hivi hii ni akili au matope😆😆😆. Ani silaha zako zote zinapita kwangu. chakula chako ,mafuta alafu unataka tupigane ani watu wengne bwana, kichwani pumba kabisa😂😂😂😂

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa wazee wetu walikua na hekima Sasa siuna Ona mpaka Leo walirudi kuwa pamoja wakasahau yaliyopita.

  • @massive1765
    @massive1765 3 หลายเดือนก่อน +5

    Pigo la Tanzania huwa ni kubwa- malecela

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ubaya ulianza zaman

  • @fadhiliandrew2186
    @fadhiliandrew2186 หลายเดือนก่อน

    Kuchimba mitaro😂😂😂😂😂

  • @kevintruman9981
    @kevintruman9981 2 หลายเดือนก่อน

    By nature warundi wana roho mbaya i don't know why!??

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 3 หลายเดือนก่อน

    Ila tatizo vipi walio poteza Maisha yao!

  • @randompad
    @randompad 3 หลายเดือนก่อน +2

    🤝🏿🤝🏿🤝🏿

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 3 หลายเดือนก่อน +1

    ipo siku tutayivamia tanzania ili turudishe kigoma yetu ipo siku kigoma itarudia Burundi historia hayifi

    • @nellyjr396
      @nellyjr396 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hicho kinchi 😅chenu Kama kijij ktajua hakjui

    • @bizomenyimanaelias5455
      @bizomenyimanaelias5455 3 หลายเดือนก่อน

      @@nellyjr396 ukikuwa utakuja kujua kama hakuna nchi ndogo hapo tukivami tz ndio utajua nguvu zawarundi zikoje

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน

      Mthubutu muone

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน +2

      @@nellyjr396 Kama Uganda Backed with Libya walinyooshwa vile hiyo burundi nchi kama mikoa miwili ani ni week tu ingewatosha.. wangejuta dadeq mziki wetu ni hatari

    • @bizomenyimanaelias5455
      @bizomenyimanaelias5455 3 หลายเดือนก่อน

      @@EdwardSamson-uf1ee unaleta enzi zazamani sio sasaivi munaweza mukapigwa mpaka mukatoa kinyesi Burundi ni kama israel bwanamdogo

  • @FabianAlex-y8c
    @FabianAlex-y8c 3 หลายเดือนก่อน

    Wemuongo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umezaliwa mwaka gani we fara

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga umezaliww mwaka unakaa unabisha bisha kipumbavu

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 3 หลายเดือนก่อน

      @@ChoroTesla Hata hiyo picha tu huoni kuwa ni mtoto wa 2004 huyo kaka

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 3 หลายเดือนก่อน

    Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 3 หลายเดือนก่อน

    Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari

    • @conesmo5266
      @conesmo5266 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hata Burundi, soma historia ndg sio kubisha tu.

    • @Sadi_Tv
      @Sadi_Tv 3 หลายเดือนก่อน

      @@conesmo5266kabisa watu wengi hawajui wanajua Mauaji ya kimbali yalikua Rwanda tu, Rwanda mauaji ya kimbali yamepromotiwa sana kuliko ya Burundi