ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Wow! The Motherland
Indeed
Moshi pazuri sana
Kabisa, na ni moja ya miji misafi Afrika ya Mashariki pia.
Mji wa Moshi naupenda sanaaa❤❤❤
Hakika ni moja ya miji mizuri na misafi Tanzania
@@AziziMsuya Ni kwel ni mji msafi na panachangamka
Home town
Kabisa mkuu.
Thankyou guys for watching , don't forget to subscribe🙏
Thank you Azizi, brings back a lot of beautiful memories. Left Moshi in 1966 🙏
I'm glad🙏😊
Nami mwezi wa kumi na moja nitatembelea maeneo ya moshi
Karibu sana kwenye mji msafi Tanzania nzima. wenye watu wacheshi mno. Huku kama mawingu yakiwa vizuri utaweza kuona kilele cha mlima Kilimanajaro
@@AziziMsuya Thanx bro
Nice
thanx
Thanx brother
I spent 2 weeks in Moshi,it was a beautiful venue to travel
For sure. Welcome again
This is nice 🥰
Thank you.
Bora kuliko Mbeya
Mbeya ni jiji angali moshi bado ni mji😅
Mji wa Moshi umebadilika jamn wa Tanzania sio Kam una astuck Bali ni mji mkubwa kwa wachaga OG
Kabisa mkuu. Na ni mji msafi mno kwa Tanzania
@@AziziMsuya Sawa mji yenye barid lkn Kuna joto kiasi
Kweli
@@AziziMsuya Vizur nitatembelea eneo la Moshi Kilimanjaro
Ivi kwanini moshi hawaitangazi kuitwa jiji mbona ni mji mkubwa sana kuliko mbeya city
Siasa ndugu yangu.
Hata sielewi. Mbeya bado sijafika. Nitakwenda nikachukue madhari pia ili tujionee wenyewe
😅😅😅
@@AziziMsuyaok bro nitasubili
huu mji mbona kama unastuck? Naona mabati yanakutu, maghorofa mengi yasioisha etc. Wachaga tufanye kitu
kwetu sijui kwanini hatushushi magorofa.. yewomi!!
kwahiyo moshi hapo kila mtu ni mchaga???
@filamupictures9349 hapana WAPO mpaka wazungu wageni na makabila yote Tanzania😅
Wow! The Motherland
Indeed
Moshi pazuri sana
Kabisa, na ni moja ya miji misafi Afrika ya Mashariki pia.
Mji wa Moshi naupenda sanaaa❤❤❤
Hakika ni moja ya miji mizuri na misafi Tanzania
@@AziziMsuya Ni kwel ni mji msafi na panachangamka
Home town
Kabisa mkuu.
Thankyou guys for watching , don't forget to subscribe🙏
Thank you Azizi, brings back a lot of beautiful memories. Left Moshi in 1966 🙏
I'm glad🙏😊
Nami mwezi wa kumi na moja nitatembelea maeneo ya moshi
Karibu sana kwenye mji msafi Tanzania nzima. wenye watu wacheshi mno. Huku kama mawingu yakiwa vizuri utaweza kuona kilele cha mlima Kilimanajaro
@@AziziMsuya
Thanx bro
Nice
thanx
Nice
Thanx brother
I spent 2 weeks in Moshi,it was a beautiful venue to travel
For sure. Welcome again
This is nice 🥰
Thank you.
Bora kuliko Mbeya
Mbeya ni jiji angali moshi bado ni mji😅
Mji wa Moshi umebadilika jamn wa Tanzania sio Kam una astuck Bali ni mji mkubwa kwa wachaga OG
Kabisa mkuu. Na ni mji msafi mno kwa Tanzania
@@AziziMsuya Sawa mji yenye barid lkn Kuna joto kiasi
Kweli
@@AziziMsuya Vizur nitatembelea eneo la Moshi Kilimanjaro
Ivi kwanini moshi hawaitangazi kuitwa jiji mbona ni mji mkubwa sana kuliko mbeya city
Siasa ndugu yangu.
Hata sielewi. Mbeya bado sijafika. Nitakwenda nikachukue madhari pia ili tujionee wenyewe
😅😅😅
@@AziziMsuyaok bro nitasubili
huu mji mbona kama unastuck? Naona mabati yanakutu, maghorofa mengi yasioisha etc. Wachaga tufanye kitu
kwetu sijui kwanini hatushushi magorofa.. yewomi!!
kwahiyo moshi hapo kila mtu ni mchaga???
@filamupictures9349 hapana WAPO mpaka wazungu wageni na makabila yote Tanzania😅