MOSHI | Kilimanjaro the best drone footage ever captured 2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • Reach out to me through my email (azizibrandtz@gmail.com)
    PAYPAL ME HERE👉 azizibrandtz@gmail.com
    #azizishotit #travel #arusha #daresalaam #mwanza #tanzania

ความคิดเห็น • 39

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wow! The Motherland

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 2 หลายเดือนก่อน +3

    Moshi pazuri sana

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa, na ni moja ya miji misafi Afrika ya Mashariki pia.

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi หลายเดือนก่อน +3

    Mji wa Moshi naupenda sanaaa❤❤❤

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน +2

      Hakika ni moja ya miji mizuri na misafi Tanzania

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi หลายเดือนก่อน +1

      @@AziziMsuya Ni kwel ni mji msafi na panachangamka

  • @ayoubshoo
    @ayoubshoo หลายเดือนก่อน +2

    Home town

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน

      Kabisa mkuu.

  • @AziziMsuya
    @AziziMsuya  3 หลายเดือนก่อน +4

    Thankyou guys for watching , don't forget to subscribe🙏

  • @tarantaaran
    @tarantaaran 2 หลายเดือนก่อน +2

    Thank you Azizi, brings back a lot of beautiful memories. Left Moshi in 1966 🙏

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      I'm glad🙏😊

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nami mwezi wa kumi na moja nitatembelea maeneo ya moshi

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 หลายเดือนก่อน +2

      Karibu sana kwenye mji msafi Tanzania nzima. wenye watu wacheshi mno. Huku kama mawingu yakiwa vizuri utaweza kuona kilele cha mlima Kilimanajaro

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@AziziMsuya
      Thanx bro

  • @karimallymrisho1565
    @karimallymrisho1565 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nice

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 หลายเดือนก่อน

      thanx

  • @clintonshangali6909
    @clintonshangali6909 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nice

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      Thanx brother

  • @emperorwabugiri
    @emperorwabugiri 2 หลายเดือนก่อน

    I spent 2 weeks in Moshi,it was a beautiful venue to travel

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      For sure. Welcome again

  • @Curiodol
    @Curiodol 2 หลายเดือนก่อน

    This is nice 🥰

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      Thank you.

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment 2 หลายเดือนก่อน

    Bora kuliko Mbeya

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      Mbeya ni jiji angali moshi bado ni mji😅

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mji wa Moshi umebadilika jamn wa Tanzania sio Kam una astuck Bali ni mji mkubwa kwa wachaga OG

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน

      Kabisa mkuu. Na ni mji msafi mno kwa Tanzania

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi หลายเดือนก่อน +1

      @@AziziMsuya Sawa mji yenye barid lkn Kuna joto kiasi

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน

      Kweli

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi หลายเดือนก่อน

      @@AziziMsuya Vizur nitatembelea eneo la Moshi Kilimanjaro

  • @MrSeanflavournh2vr
    @MrSeanflavournh2vr หลายเดือนก่อน +2

    Ivi kwanini moshi hawaitangazi kuitwa jiji mbona ni mji mkubwa sana kuliko mbeya city

    • @costamafie2588
      @costamafie2588 หลายเดือนก่อน +1

      Siasa ndugu yangu.

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน

      Hata sielewi. Mbeya bado sijafika. Nitakwenda nikachukue madhari pia ili tujionee wenyewe

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  หลายเดือนก่อน

      😅😅😅

    • @MrSeanflavournh2vr
      @MrSeanflavournh2vr หลายเดือนก่อน

      ​@@AziziMsuyaok bro nitasubili

  • @magazijuto7991
    @magazijuto7991 3 หลายเดือนก่อน +4

    huu mji mbona kama unastuck? Naona mabati yanakutu, maghorofa mengi yasioisha etc. Wachaga tufanye kitu

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 หลายเดือนก่อน +1

      kwetu sijui kwanini hatushushi magorofa.. yewomi!!

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 2 หลายเดือนก่อน

      kwahiyo moshi hapo kila mtu ni mchaga???

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  2 หลายเดือนก่อน

      @filamupictures9349 hapana WAPO mpaka wazungu wageni na makabila yote Tanzania😅