UNYAMA! KIJANA APIGWA RISASI NA ASKARI MCHANA KWEUPE WAKIDAI WANAUA MBWA, MAMA MZAZI ASIMULIA AKILIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • UNYAMA! KIJANA APIGWA RISASI NA ASKARI MCHANA KWEUPE WAKIDAI WANAUA MBWA, MAMA MZAZI ASIMULIA AKILIA
    kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Pendo Prosper, anadaiwa kuuawa na afisa wa wanyama pori baada ya kupigwa risasi begani upande wa kulia, tukio hilo limetokea uoshini kindi juu wilaya ya Moshi, mkoa wa kilimanjaro, jana Machi 24, 2022 majira ya saa 9 jioni.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 121

  • @neemathadeus2081
    @neemathadeus2081 2 ปีที่แล้ว +3

    Nimemuona bibi yangu jmn❤RIP Pendoo pumzika kwa amani

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nawenyewe wauwawe kwakweli tena azarani acheni kututania serekali ueiii uwiiii mama samia atoe tamko la azarani kwakweliiiiiii.wauliwe uwiiiuwiii uwiiiii tumeisha tanzania.ueiiiii uwiii serekali haipo.baba makufuli angekuwa mauaji hata ya matambiko yangekua hakuna watu hawana hofu ya Mungu kwa sababu hawachukuliwi hatua uwiii uwiii

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 2 ปีที่แล้ว

    Majanga haya. Mungu mkuu atulinde na adui tusiyo mfaham na tunayo mfahamu. Poleni nyote. Amen.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว

    Subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni poleni sana familia

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 10 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢 hii nchi sijui tutaenda wapi kila dakika askari amemuuwa mbeba mkaa, mara wanawinda mbwa na kupiga risasi watu😢😢😢

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 ปีที่แล้ว +5

    R.I.P Kijana poleni sana wafiwa hii nchi hii sina la kusema imeniliza sana 😭

    • @yuriaudi9746
      @yuriaudi9746 2 ปีที่แล้ว

      Jani arichofanya hamz sahii polic sas maadui wet Rais uk wp Tanzania sas nanch ya vita

    • @richardkapemba5891
      @richardkapemba5891 2 ปีที่แล้ว

      R I P ndungu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว +3

    Askari hao hao wauwe bado waje kupeleleza hii ndo Tanzania yangu sasa tutamlilia nani 😭😭😭

  • @mariyamuyasini3865
    @mariyamuyasini3865 2 ปีที่แล้ว

    Inatuumiza sana uncle jaman

  • @dadaagnes4483
    @dadaagnes4483 2 ปีที่แล้ว +2

    Poleni wana familia najua jinsi gani mnaumia

  • @arbogastmasika3809
    @arbogastmasika3809 2 ปีที่แล้ว

    Huuu ni unyama kabisa mungu tenda haki kwa hii family 👪

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว

    Jamaniii 💔 Nini hi tena 😭😭😭😭🙆pole Sana kwa familia

  • @stellahokworo6561
    @stellahokworo6561 2 ปีที่แล้ว +1

    Ghaiiii pole sana kwa family kaka lala salama tutakutana siku ya mwisho 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @mrflyover9928
    @mrflyover9928 2 ปีที่แล้ว +3

    HII IMEVUKA MIPAKA KWAKWELI HII HAIVUMILIKI

  • @omnsultan383
    @omnsultan383 2 ปีที่แล้ว +3

    police 😢wamezidi jamani mama samia angalia kwa jicho la tumechoka

  • @richardkapemba5891
    @richardkapemba5891 2 ปีที่แล้ว

    Poleni familia

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 2 ปีที่แล้ว +2

    Yaani siku hizi binadamu wanafanana na mbwa??poleni familia

  • @geraldtarimo2550
    @geraldtarimo2550 2 ปีที่แล้ว +5

    Nashauri familia nawakazi wahapo wekenichuki na polisi lipizeni kisasi,uweni hata watotowao au familiazao

  • @joleal7941
    @joleal7941 2 ปีที่แล้ว

    Poleni wafiwa😭😭😭

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 ปีที่แล้ว

    Poleni wafiwa nyote

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 ปีที่แล้ว +5

    Tume wachoka maaskari kwa kuuwa

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว +6

    Hao washughulikiwe Askari wameshaona kupiga watu risasi .

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 ปีที่แล้ว

      Mm nasema askari walikuwa wanamuogopa mzee magufuli maana saiv mauwaji maajali kibao na askari wapo hawafanyi lolote

  • @esterkiwelu4570
    @esterkiwelu4570 2 ปีที่แล้ว

    Jamani Pendo

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520 2 ปีที่แล้ว

    Jamani mama hata hajatulia waandishi mnamuhoji, mnajua uchungu wa mama kufiwa na mwanae, badilikeni

  • @happyfaniabenedictor69
    @happyfaniabenedictor69 2 ปีที่แล้ว +2

    Kusudi hakuna mbwa wa urefu wa binadamu kama kweli walikuwa wanaua mbwa marehemu angepigwa mguuni au goti ndo urefu wa mbwa kifuani wamedhamilia so Bure Kuna kitu ,R.I.P kka

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 2 ปีที่แล้ว +1

    Marehemu kafanana na mwenyekiti...poleni sana wafiwa

    • @sonchuwa8865
      @sonchuwa8865 2 ปีที่แล้ว

      Unataka sema mwenyekiti ndio baba wa marehem

    • @davidlukumay2226
      @davidlukumay2226 2 ปีที่แล้ว

      Haha ila kweli wamefanana mpaka pua

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbwa auwawe saa kumi na moja jioni bila ripoti kwa uongozi wa Kijiji? Mtu anadhubutu kusema kuwa ati alikuwa kwenye kazi maalumu,hiyo Ni sawa? Taratibu gani zilifuatwa? Hii nchi kila mtu anaweza kuamua na kutenda Jambo bila sheria? Hata apatikane na hatia anyongwe inasaidia Nini? Kuuwa mtu bila hatia kutesa familia,kufupisha uhai wake? Why all this?
    Tunaomba uchunguzi wa kila na taarifa ziwekwe wazi.

  • @josephmolle
    @josephmolle 2 ปีที่แล้ว +5

    Asikar wapunguze kuwauwa raiya kwa sisi ni wanadam tu wote

  • @zakhianzuki9348
    @zakhianzuki9348 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu amlehemu ila uyu jamaa sijamuelewa elewa ijekuwa nayeye ni mshika chuma ila atakama ni mshika chuma ilibidi akamatwe na afikishwe kwenye vyombo vya sheria sasa hii inakuaje kuaje hii

  • @jumalutelazima9622
    @jumalutelazima9622 2 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

    Duu shida sana

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 2 ปีที่แล้ว

    Sasa hao polic kazi yao kuchunga watu au kuuwa watu

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 2 ปีที่แล้ว +6

    Police ni adui wa raiya uko wanakosomea sasa wanafundishwa namna ya kufanya matukio kuuwa raiya..kijana akishakuwa tegemezi wa family tu police wanaenda kumuuwa.

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 2 ปีที่แล้ว +1

    Siro haya mauaji ya ya raia kwa polisi mbona wakati wa magufuli tulikuwa hatoni mambo ya kinyama kama haya kuna nn hp

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 ปีที่แล้ว +1

    RIP HAMZA

  • @meshajoni5662
    @meshajoni5662 2 ปีที่แล้ว +3

    Polis wanajua wanacho kifanya,,kunajambo hapo

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว +2

    Taarifa gani wakati mtu ameshauwawa jamani

  • @yassinsalum1864
    @yassinsalum1864 2 ปีที่แล้ว

    Mama anatia huruma ameria mpaka sauti imekauka

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว

    Siro usipo kuwa makini mama atakuondoa mapema kweupeeee!!!!.kwasababu vijana wako wamezidi kufanya matukio mabaya na ww umekaa kimya na ukemei ndo maana hawakomi kujisahau kwasababu hawana kalipio kutoka kwa kamanda wao.lakini Kama ni raia kamuua askari apo utazungumza na kusema ni uyo mtu ni gaidi.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว

    Subuhanallah

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 ปีที่แล้ว

    Hatuwezi kupata ukweli kwa hao waliomwua huyo kijana ila Mungu ana siku yake ya kuwekwa kila jambo peupe. Hivi police unamchapa mtu risasi ukisingizia unaua mbwa? Sasa Pendo ni mbwa? onyesheni umwamba wenu ipo siku yatawageukia wenyewe.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 ปีที่แล้ว +2

    Sikia mtu akiua na nyie mnamjua unga nq nyie ueni apa amna Cha Askari Wala mchawi ao jamaa wanakibuli sana

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว

    Ahaaa jamani

  • @kimcash3079
    @kimcash3079 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 ปีที่แล้ว

    wao nao wakija wauweni wamezidi hao minyama pori eti viaskari

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 2 ปีที่แล้ว

    wakiuawa maasikari huwa wanachunguza haraka

  • @mesikamesika3008
    @mesikamesika3008 2 ปีที่แล้ว

    Hizi ni dalili amani imetuchosha hatuna amani ila tunauoga

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 2 ปีที่แล้ว +3

    Nyie wachaga mlikuwa mnaona Magufuli anaua watu! Vipi hilo nalo kaagiza Magufuli? Ujuaji mwingi mbele giza!

    • @johnsonbagambi1908
      @johnsonbagambi1908 2 ปีที่แล้ว +1

      Mnaingiza upumbavu wenu kwenye mambo ya msingi

    • @neemathadeus2081
      @neemathadeus2081 2 ปีที่แล้ว +1

      We huna akili pumbavu

    • @ndeshilema339
      @ndeshilema339 2 ปีที่แล้ว +1

      Wewe kenge kwel I tena huna akili

    • @evakiwia1052
      @evakiwia1052 2 ปีที่แล้ว

      Pumbavu hutumii akil vzr

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 ปีที่แล้ว +3

    Serikali yetu ya sasa hakuna haki hizo silahi zinatumika kwani yeye ni mbwa ?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว +2

      1. Lini mliwahi kuwa na haki? 2. Mnachinjana wenyewe kwa wenyewe, mnakatana mapanga vipande vipande, mnauana kama wanyama Nchi nzima, Serikali ndio ikawatuma?!

    • @happyglorynnko602
      @happyglorynnko602 2 ปีที่แล้ว

      @@j.c.maxima816 ujaeleweka

  • @musaandrew604
    @musaandrew604 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 2 ปีที่แล้ว

    Hii itakuwa ni visasi

  • @hanifaalbalushi2483
    @hanifaalbalushi2483 2 ปีที่แล้ว

    Ukute walikua wanafanya maksudi

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aingile kati TU kipindi Cha jpm mlisema wasijulikana Sasa wamejulikana Nini kifanyike hahahahaha mama jitathimin sana haya machoz na serikali yako utayakuta Kwa mungu kiongozi akiwa Hana hofu ya mungu matokeo yake ndo hayo

  • @bunzalisisa6929
    @bunzalisisa6929 2 ปีที่แล้ว

    Jamani Hawa polisi. Opo sikuu

  • @danforddaud5784
    @danforddaud5784 2 ปีที่แล้ว

    Ila ss wachaga bana duh!

  • @bennyngoye8707
    @bennyngoye8707 2 ปีที่แล้ว

    Moshi kuna nini lakin????????

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 2 ปีที่แล้ว +2

    Kama walikuwa wanauwa mbwa, wameuwa mbwa ngapi? Ao mmesikiya milio mingapi ya risasi? Kwenye walikuwa na mbwa ngapi ambazo walikuwa wameisha uwa.

    • @Chrishenryson-beats
      @Chrishenryson-beats 2 ปีที่แล้ว +1

      Ivi hili Jeshi la police halifai kufutwa kabisa hapa nchini tukakodi ata ulinzi kwa muda maana hatuna imani nao kwa kweli🥲🥲😓

    • @happyfaniabenedictor69
      @happyfaniabenedictor69 2 ปีที่แล้ว

      Wamefanya kusudi mbwa ni mfupi na binadamu ni mrefu bas wangekuwa wanapiga mbwa huyo kaka angepigwa kwenye mguu au goti ndo urefu wa mbwa na so kifua hapo Kuna kitu so Bure hakuna mbwa wa urefu wa kifua Cha binadamu I.R.P kaka

    • @edwinmaruchu5566
      @edwinmaruchu5566 2 ปีที่แล้ว

      Hasara ya hili jeshi la polisi inaloingizia taifa ni kubwa kuliko faida.

  • @lucksonkalima1988
    @lucksonkalima1988 2 ปีที่แล้ว

    Jamani nendeni pale marangu samanga kunakijana kajinyonga leo bado maiti ipo ndani mpaka sasa hivi

  • @Chrishenryson-beats
    @Chrishenryson-beats 2 ปีที่แล้ว

    Aiseee mbona ni hatari, wampime kama anamajeraha mengine?
    Ila hao police ni hatari sana.

    • @salehaliy7198
      @salehaliy7198 2 ปีที่แล้ว

      Tofautisha police na askari wanyama pori

    • @calvinshirima2654
      @calvinshirima2654 2 ปีที่แล้ว

      @@salehaliy7198 wote ni poloce

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny 2 ปีที่แล้ว

    Hawa ndo Askari wetu,tz. Kuua raia bila sababu kawaida, kitakachoendelea upelekezi na kumshinda marehemu

    • @maryjonh311
      @maryjonh311 2 ปีที่แล้ว

      Daa na mtetezi wa wanyonge ayupo

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 ปีที่แล้ว +1

    Jeshi la polisi mnazidi kupoteza imani kwa raia kama mna hamu ya vita nendeni mkaisaidie Ukraine uko

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 2 ปีที่แล้ว

    Maisha aya jaman

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi 2 ปีที่แล้ว

    Hili Jambo linavyoelezewa,Kuna utata,je huyo aliyetumia silaha kwenye umati wa watu Ni Nani? Au Kama ni Askari polisi Ni utaratibu gani uliotumika,mbwa kufananishwa na mtu? mtu kupigiwa risasi, Ni sawa,mh.IGP Siro, Hawa watendaji wako vipi mh.wale wachache wazembe wanazidi kulichafua jeshi la polisi je na hili liko vipi mbwa au binadamu?

  • @azizamvungi6409
    @azizamvungi6409 2 ปีที่แล้ว +1

    atakuwa ni jambazi wachaga bwana wanataka mali kwa haraka.anayemuwa mwenzake shuti naye auliwe kuna kitu hapo.
    au kadhulum ndio zao wachaga

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

    Yaani mtu wamemfananisha

  • @azizamvungi6409
    @azizamvungi6409 2 ปีที่แล้ว

    ila police nao jamani nimeielewa masikini kijana wa watu

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti wewe mshenzi unajua ulicho kifanya,Binadamu toka lini akawa kama mbwa

  • @lisahhans295
    @lisahhans295 11 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😰😰😭😰😰

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว

    Eti walikuwa wanasaka mbwa jaman tuwe na hofu ya Mungu😭😭😭😭😭 bado unaambiwa babake aliuwawa hivyo hivyo hebu fanyeni uchunguzi mtoke na majibu yakutosha🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 ปีที่แล้ว

    Wachaga bhana duh.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 ปีที่แล้ว

    Nanyinyi Mnashindwa Kujiongeza Iyo Sitaili Yao Ya Kuua Walikuja Kwa Staili Ya Kuua Mmbwa Kwani Mmbwa Walikosa Nini Ebu Wakanyie Debe Hao

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 ปีที่แล้ว

    SASA wanampiga risasi ya nini ili iweje anakosa mpelekeni mahakamani ,baane mmemzulumu msera

  • @elizabethcharles6228
    @elizabethcharles6228 2 ปีที่แล้ว

    duu hichi nishidatupu

  • @jumalutelazima9622
    @jumalutelazima9622 2 ปีที่แล้ว +1

    Chato

  • @Princewaweru
    @Princewaweru 2 ปีที่แล้ว

    R I P

  • @ayubuemanuel638
    @ayubuemanuel638 2 ปีที่แล้ว

    najua mtanikumbukuka kwa mema wala si kwamabaya. maneno kuntu ya rais wetu wa pili dk jonh josefh magufuli wa kwanza mwl julias kambalage nyelele

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 2 ปีที่แล้ว +2

    Sio toka jpm afe kuna matukio ya kisenge sana yanatokea

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣 Umeona mbali, Mzee ! Kumbe Jomba ndio anarudi na kusababisha haya yote?! Inabidi tufunge na kuomba!

  • @mariambeautysonghuseni9549
    @mariambeautysonghuseni9549 2 ปีที่แล้ว

    Hawa police wana akili unawinda mbwa kweli huto police achukuliwe adhabu kali

  • @sidearsenal666
    @sidearsenal666 2 ปีที่แล้ว

    Hili jeshi hili haya bhana nyie ndio mna nguvu

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 2 ปีที่แล้ว

    Hakunaga mbwa mrefu km binadamu
    Shida tupu

  • @jumalutelazima9622
    @jumalutelazima9622 2 ปีที่แล้ว

    Jpm

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 ปีที่แล้ว

    Wamemkatia ndoto za Maisha yake

  • @petersebastian3959
    @petersebastian3959 2 ปีที่แล้ว +1

    Acha watumie maana mtetezi wetu kafa dawa sasa ivi mkimpata askari kafanya mauaji na wao nikuwaua tu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว +3

      Mtetezi wenu ndio nani ?!

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 2 ปีที่แล้ว +2

      @@j.c.maxima816 zumarid

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 ปีที่แล้ว +1

      @@hisanmwakijungu10 🤭🤣🤣🤣

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว +4

      HUYO UNAEMFIKIRIA KUWA NI MTETEZI WAKO SIJUWI WENU YEYE NI MWENYEWE NI MUUWAJI ( MTETEZI NI MUNGU PEKE YAKE NA YUKO HAI HAFI WALA HATOKUFA )

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 ปีที่แล้ว +2

      @@hisanmwakijungu10 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว

    Subhanaallah inalilah wanaileh rajuuni poleni sana familia

  • @elizabethcharles6228
    @elizabethcharles6228 2 ปีที่แล้ว

    duu hichi nishidatupu