JAMBO LA KUFANYA SIMU ikipoteza INTERNET | ANDROID | S01E11 |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • Simu inaweza kupoteza intanet kutokana na sababu kuu mbili
    Watoa huduma kushindwa kuiunganisha simu na mtandao au
    Simu ya yenyewe kushindwa kupokea internet
    1.Watoa huduma hushindwa kutuunganisha na mtandao
    kutokana matatizo ya kufundi ndani network ambayo yanaweza yakasababisha kukosekana kwa internet, lakini pia
    Kutokutabuliwa kwa simu ndani ya network husika au kutokukidhi vigezo na mashari vya kuiwezesha kupatiwa huduma hiyo kama kutokuwa na kifurushi au kutokuwa na vocha
    Tatizo la kiufundi kwa upande wa watoa huduma mara nyingi huwa la muda mfupi na hushungulikiwa na wao wenyewe unaweza kuligundua tazizo hili kwa kujaribu kutumia network za watoa hutuma wengine
    Mfano hama tigo-voda-airtel-halotel
    2.Simu hushindwa kupata internet kutokana na
    Mpangilio wa setting (internet configuration),
    OS Operating System ndio yenye switch ya kuwasha na kuzima internet swich data on and switch data off inaweza kuwa bize program nyingi zinatumika au kuzidiwa majukumu kiasi cha kushindwa kuwasha data au inawezakana os kuwa imeharibika
    Tatizo hili linatatuliwa kwa kufunga program zinakuwa zikiendeleakufanya kazi
    Kuizima na kuiwasha tena au kuRestore/ kuflash
    Kabla au baadaya ku Restore/kuflash simu yako agalia mpangilio wa setting za intenet kama umekaa unavyotakiwa mpangilio ya setting kama sawa haiwezi kupokea internet
    Hii ndio sehemu ya msingi ambayo kila mtumia internet anapaswa kuiangalia kabla ya matatizo mengine yote
    Smartphone nyingi zinauwezo wakuset configuration zake zenyewe mara tu uwekapo line na kuwasha data lakini katika mazingira tofauti kama kuiflash/kurestore simu kubadilisha line hushidwa kujiset yeyewe na tunapaswa kuziset
    Tunaset nini katika configararion?tunaset APN Access point name
    Watoa huduma wanaweza kutuma configararion message za kufanya setting za APN access point names
    Muda mwingine message inaweza isitumwe au kutumwa na ikashindwa kufanya kufigaration
    unapaswa kuset APN Acess point Name wewe mwenyewe
    APN inasetiwa vipi?
    Nenda kwenye
    Settings
    //wireless &networks //more
    //cellular network
    //Access Point Names
    APNs
    Ndani ya APNs kunakuwa na list ya configuration za mitandao mbalimbali Kama utakuta jina la network husika katika list weka ON
    Kama halipona au hamna chochote tengeneza APN (new apn)
    Sehemu ya Name unaweza andika jina la mtandao (mfano tigo,Vodacom,Airtel,internet au jina lolote)
    Sehemu ya APN unaweza andika jina la mtandao (mfano tigo,Vodacom,Airtel,internet au neno lolote)
    Baada ya kujaza sehemu hizo mbili muhimu save APN yako
    Rudi kwenye list ya APNs hakikisha Apn mpya uliyoitengeneza iko ON
    Napatika Mitandao ya Kijamii
    Instagram
    / naitwai
    Twitter
    / naitwai
    Gmail
    mimiinaitwa@gmail.com

ความคิดเห็น • 14