MKUU WA MAJESHI ASHUHUDIA UWEZO WA ASKARI WAPYA WAKIRUKA VIKWAZO WAKATI WA KUFUNGA MAFUNZO YAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • #wizarayaulinzi #jwtz #jkt

ความคิดเห็น • 146

  • @JacksonMakul
    @JacksonMakul 7 หลายเดือนก่อน +4

    Napenda sana kulitumikia jeshi langu❤❤❤but one day yes

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Kalitumikie ndugu

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Jeshi letu kwa huduma, wananchi tunawapenda sanaa. Nyie ndio wazalendo wa kweli kuliko awa wanasiasa mafisadi wanaifilisi hii nchi bila huruma

  • @salvatormselle2393
    @salvatormselle2393 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri. Hongereni sana wanajeshi (makamanda) wetu! Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania na watu wake!

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 2 ปีที่แล้ว +4

    Keep up the good job JWT wapiganaji wameiva hongera sana.

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 ปีที่แล้ว +5

    Hongereni kwa hatua hiyo makamanda wetu Nasubiri siku moja kuona mazoezi ya matumizi ya silaha za kisasa za kitechnologia

  • @bngnewsgang
    @bngnewsgang ปีที่แล้ว +3

    Incredibly amazing.Long live Tanzania People's Defense Force (TPDF🇹🇿🏹).

  • @mudibanka4772
    @mudibanka4772 2 ปีที่แล้ว +9

    Jwt Wana mafunzo mazuri sanaa hongera afande general

  • @MusaVedastus
    @MusaVedastus 4 หลายเดือนก่อน +4

    Like sana jeshi la kujenga taifa ❤

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 ปีที่แล้ว +7

    MUNGU ibariki Tanzania, afrika mashariki, Africa yote na ulimwengu kwa ujumla 🙏🙏🙏🙏

  • @RiffatJuma-px9cg
    @RiffatJuma-px9cg 4 หลายเดือนก่อน

    Naipenda mpaka nalia,Tanzania mimi nipo tayari kulipigania
    Na kulilinda taifa letu ili
    Liwe na amani mungu
    Nisaidie nifanikiwe
    Kuingia jwtz
    Nikamilishe
    Ndoto

  • @shadrackmasokola3810
    @shadrackmasokola3810 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni kazi nzuri

  • @daudimwaitebele420
    @daudimwaitebele420 2 ปีที่แล้ว +6

    Usalama wetu upo mikononi mwenye Allah libariki jwt na jkt

  • @SengeremaWiss
    @SengeremaWiss 2 หลายเดือนก่อน

    Nawapongeza sana wanajeshi wetu kwa kuonyesha uwezo mkubwa, Mungu azidi kuibaliki nchi yetu, aibaliki Afrika,aibaliki Tanzania kwa ujumla,lakn pia mkuu wa majeshi napenda sana kuomba nafasi hii maana na ndoto kubwa san za kuwa mwanajeshi kwaajili ya kudumisha amani na usalama wa taifa letu.

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 ปีที่แล้ว +5

    VIVA WAZALENDO WA TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿💪🇹🇿🍀

  • @dorindorin5139
    @dorindorin5139 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awape nguvu kazi ya jeshi sio rahisi tunawaombea

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 ปีที่แล้ว

    Dah raha sana hongereni natamani ningepata nafasi hio moraree ya juu sanaaa komandoo!!komandooo!!

  • @biddii1972
    @biddii1972 2 ปีที่แล้ว +7

    Kazi ya hawa watu nikubwa mungu awape afya njema

  • @Dogoshule
    @Dogoshule 5 หลายเดือนก่อน

    Nimatumaini nitakuwa sikumoja miongoni mwa jeshi Kwa ajili ya kulinda nchi yangu amina😢😢😢😢

  • @princekelvin5834
    @princekelvin5834 9 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana ndugu wahitimu

  • @sanganoel8809
    @sanganoel8809 2 ปีที่แล้ว +3

    Najiskia furaha sana nikiwatazama hawa makamanda wetu safi sana

  • @MusaVedastus
    @MusaVedastus 4 หลายเดือนก่อน

    One day yes nitakuwa mwanajeshi❤

  • @VirotheaSteavean
    @VirotheaSteavean 2 หลายเดือนก่อน

    Good job I like

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ya Wanaume sio Wavulana Big up sana

  • @evaristfelix
    @evaristfelix ปีที่แล้ว +4

    Naomba nisaidie mkuu wa majeshi nina ndoto ya kuwa mwanajeshi naomba nisaidie

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 6 หลายเดือนก่อน

      Vipi ndugu uko jkt sasa

  • @agnessernest9620
    @agnessernest9620 ปีที่แล้ว

    Wanangu eeeh vikwazo ni mwisho wajombaa🙌🙌

  • @pascalmanyama-su6se
    @pascalmanyama-su6se ปีที่แล้ว +1

    Safii...Vijana wako fit kama mkuu wao (cdf)

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 ปีที่แล้ว +4

    Tunahitaji jeshi la mariasiri liimarishwe liwe jeshi kubwa na kambi zake ziwe kwenye mapori yote Tanzania ili tuwe na jeshi kubwa Tanzania

  • @JekoniaKamendu
    @JekoniaKamendu 9 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana

  • @Kondoa805
    @Kondoa805 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nikiwa mkubwa nitakua kama wao❤

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน

    Mafunzo na syllabus zao ni za kimataifa... nidhamu ya kila kitu ni umuhimu wa kwanza..

  • @wilsonmutinda5493
    @wilsonmutinda5493 ปีที่แล้ว

    Grateful guys

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 5 หลายเดือนก่อน

    Nimewapenda sana hawa instuctors ani wanaonyesha kila kitu kwa vitendo

  • @abdalahrashid6681
    @abdalahrashid6681 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana makakanda

  • @hamadmbarouk880
    @hamadmbarouk880 ปีที่แล้ว

    Well done jesh letu Tanzania 🇹🇿 lipo vzur sana

  • @AfisaMpango
    @AfisaMpango 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba munisaidie mkuu wa majeshi nandoto ya kuitetea nchi yangu

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo watu washaiva hiyo babaa wanataka ajira "recruitment 😀 atu mbele ya mkuu wa majeshi lazma waonyeshe sifaa 😆😆

  • @nassaroramadhan6013
    @nassaroramadhan6013 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna kitu hapo wegi Ccm niwatoto waviongozi uwezi pata kazi hiyo mtoto mwenye kipaji chakweli

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 2 ปีที่แล้ว +3

    Miongoni mwa majeshi bora barani Afrika

  • @joshua-u4r
    @joshua-u4r 3 หลายเดือนก่อน

    Naumia sana kukosa nafasi ya kulinda nchi yangu nikiwa ndani ya kitenge.

  • @Alamaria-km3yc
    @Alamaria-km3yc ปีที่แล้ว +1

    Uko wapi

  • @francethomas8059
    @francethomas8059 ปีที่แล้ว

    Mungu ibarik tanzania

  • @MUSSALUCASELIAS
    @MUSSALUCASELIAS 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi napenda sana kuwa mwanajeshi lakin pianaipenda nchi yangu

  • @charleswachira6979
    @charleswachira6979 ปีที่แล้ว +1

    God bless jeshi

  • @LUCYMWANISAWA
    @LUCYMWANISAWA 8 หลายเดือนก่อน

    saluti kwa tanzania

  • @EvanceMwenengana
    @EvanceMwenengana 10 หลายเดือนก่อน

    Amaa kweri hii kazi ni baraa.

  • @allymchunga480
    @allymchunga480 9 หลายเดือนก่อน

    Kama hawa ndo wanafunzi tu, najiuliza hao walimu wao shughuli yao inakuaje, Anyway hongereni wapambanaji wetu

  • @ZakayoGachi
    @ZakayoGachi 8 หลายเดือนก่อน

    Mkinihitaj hata kujiunga na jet niko tayari hata ndipo enda home kuaga

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 ปีที่แล้ว

    Big up jwtz

  • @MkubwaMangaOrg
    @MkubwaMangaOrg 6 หลายเดือนก่อน

    Natamani niwe kama wao du,❤

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 7 หลายเดือนก่อน

    Noma sana aiseeh

  • @HappyMnkeni
    @HappyMnkeni 5 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni

  • @wakunatahafai1969
    @wakunatahafai1969 2 ปีที่แล้ว +3

    We hope on you🙏

  • @raymondmvula5407
    @raymondmvula5407 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzur!

  • @subbykijazi4194
    @subbykijazi4194 ปีที่แล้ว

    Very well

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 2 ปีที่แล้ว

    Makutupora hii?

  • @shabanimzalla7108
    @shabanimzalla7108 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana ❤

  • @kubwalao5049
    @kubwalao5049 ปีที่แล้ว

    Safi wakuu tumependezwa hichi tunaomba jeshi letu lianze kutengeneza silaha zao

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 2 ปีที่แล้ว +3

    jeshi linahitaji sana Askari vijana, kuliko officiers,

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +2

      Hata maofisa ni vijana pia, wazee ni wa kuongoza mikakati

  • @ParisAlvin
    @ParisAlvin ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kuwapa afya njema..

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwanafunzo hayo lazima ukiingia kwenye mia mbili zao unye tu kabla

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana makamanda

  • @stellambalyo9893
    @stellambalyo9893 ปีที่แล้ว

    Hongeren sana wanajeshi wa Tanzania

  • @jacksonmisana4098
    @jacksonmisana4098 ปีที่แล้ว

    nimependa sana namm

  • @expert5898
    @expert5898 ปีที่แล้ว

    Ila jeshi sio kitu cha mchezo jamani!!

  • @yakobcharles5011
    @yakobcharles5011 2 ปีที่แล้ว +1

    Very good

  • @dansiymisana596
    @dansiymisana596 ปีที่แล้ว

    Meja Yango nakuona kazi nziri kaza moyo.

  • @jaimesilvestre2058
    @jaimesilvestre2058 ปีที่แล้ว +2

    Bom trabalho tanzania

  • @mejalukumay1678
    @mejalukumay1678 5 หลายเดือนก่อน

    Co kwako 2 hats mm pia

  • @RashidRashid-wv9ud
    @RashidRashid-wv9ud 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwanini askari wa siku hizi hawana mapeki kama yale ya zamani

  • @J4UPro
    @J4UPro 2 ปีที่แล้ว +2

    Safi makamanda wetu

  • @AnnaEzekiel-zn8kg
    @AnnaEzekiel-zn8kg ปีที่แล้ว

    Ninaona mugumu Serengeti mnge weka jeshirakutosha iriasikari wetu wasife

  • @nkyabosi4827
    @nkyabosi4827 ปีที่แล้ว

    Hadi raha

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Achane kulukaluka Tanzania tumbe amani Vita siyo zuri atauwe na jeshi kubwa kiasi gani

  • @longinofransisco5488
    @longinofransisco5488 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @NimrodiMasige-zi6vs
    @NimrodiMasige-zi6vs ปีที่แล้ว

    Hatar

  • @MartinMugambiNjue
    @MartinMugambiNjue ปีที่แล้ว

    Sasa haya ni mambo gani

  • @bilallemba1919
    @bilallemba1919 ปีที่แล้ว

    Safiiisaana jeshiii letuuu imaraaaa

  • @stevenkimaro65
    @stevenkimaro65 ปีที่แล้ว

    Ongereni makomando

  • @shaffisumaida8800
    @shaffisumaida8800 2 ปีที่แล้ว +1

    Nzuri

  • @tumuxmeelgiver9086
    @tumuxmeelgiver9086 ปีที่แล้ว

    Mungu azid kuwasimamia

  • @FRANKMWOMBEKI
    @FRANKMWOMBEKI ปีที่แล้ว

    Njugu zinatia mzuka. Ukiona unaona kama nyepesi vile... Ila jaribu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน

    Risasi za moto zinapigwa hapo

  • @yessethmboine5719
    @yessethmboine5719 ปีที่แล้ว

    Nilikuwa sielelewi ila mpaka sasa nimeelewa Tanzania tuna MAKOMANDO wa HAKIKA na wenye UWEZO mkubwa sana. Hata wasipo tu. Tumia SIRAHA wenyewe ni SIRAHA tosha. asante JESHI letu.Mungu azidi kuwapa Nguvu Uwezo na Weredi.

    • @mohammedmhina3973
      @mohammedmhina3973 ปีที่แล้ว

      Hebu kavhek train za korea ndo utaelea

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 9 หลายเดือนก่อน

      @@mohammedmhina3973 ushasema Korea nahili ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA 🇹🇿 sio kilakitu tufanane

  • @jumamsukwa6244
    @jumamsukwa6244 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunawatakiwa ulinzi mwema mkawe wakwanza kutetea wannch

  • @xideblacktz
    @xideblacktz ปีที่แล้ว +1

    Naililia hii kazi

  • @BamBam-q6l
    @BamBam-q6l 7 หลายเดือนก่อน

    Roo ina niuma mno nikiona ivii ila saw2 mwenyezi MUNGU ata nilipa 2

  • @williamlihendeko5365
    @williamlihendeko5365 2 ปีที่แล้ว +1

    Vijana wanamoto tupo wengine kama nafasi zipo tuje kuongeza jeshi la akiba

  • @BON357
    @BON357 ปีที่แล้ว

    Wanajeshi lindeni Katiba isibadirishwe wapizani wanasema raisi astakiwe ndiyo mwazo wa vita

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 2 ปีที่แล้ว +3

    Komandoo... tukajenge taifa sasa

    • @AthianMarko
      @AthianMarko ปีที่แล้ว

      Asante sana jeshilangu laulinzi mazoezi nimazuri❤❤

  • @officialkingkibochacha
    @officialkingkibochacha ปีที่แล้ว

    Jeshi safi.

  • @Donald22ist
    @Donald22ist ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kucheka na Kima!!

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 2 ปีที่แล้ว

    Mungea ndika ulizi tz

  • @PascalYohana-i8c
    @PascalYohana-i8c ปีที่แล้ว

  • @djndevu9138
    @djndevu9138 ปีที่แล้ว

    Kama siyo udj ningemrithi my father rip mtalii

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 ปีที่แล้ว

    Wanatakiwa kuongeza ukakamavu,,,,hapo wanaporuka ukuta na bomba hizo bado kuna walioko lezi, inatakiwa ukijivuta mara moja ni juu umetua, ya pili ni kujiachia chini

  • @Michael-rd7lm
    @Michael-rd7lm ปีที่แล้ว

    👍👍👍👍👍🙋‍♀️

  • @BamBam-q6l
    @BamBam-q6l 7 หลายเดือนก่อน

    Tupeni nasie nafasi tulio kosa vyet ila tujitolea

  • @bernardjosephmulokozi3901
    @bernardjosephmulokozi3901 2 ปีที่แล้ว +1

    Wamewiva

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 5 หลายเดือนก่อน

    Our Lovely Gun AK-47