JIMMY MAFUFU AFUNGUKA MAZITO YA GOODLUCK GOZBERT GARI LILIKUWA JENEZA/SIO KILA KITU NI SADAKA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 281

  • @stephenkenga9630
    @stephenkenga9630 9 วันที่ผ่านมา +22

    From Kenya,brother you are right,mambo ya kiroho acheni kiki watanzania,I salute my brother GOODLUCK,

    • @Fatmah-t7c
      @Fatmah-t7c 9 วันที่ผ่านมา

      AMEEEN HALLELUJAH AMEEEN MUNGU NI MWEMA WAAMBIE WASIKIE ASANDE KWA KUSEMA UKWELI MSEMA UKWELI NI MPWNZI WA MWENYEZI MUNGU YESU KRISTO AWASAMEHE AWABATILISHE WAMRUTIE WAMCHUE KWA ROHO NA KWELI MAANA YEYE NDIYE NJIA KWELI NA UZIMA KILA JIMMY BARIKIWA SANA TENA SANA SHALOM

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie 9 วันที่ผ่านมา +12

    Mafuvu mafuvu mafuvu daa kumbe una roho ya Mungu kiasi hiki!!!God bless you

  • @Salome-l6w
    @Salome-l6w 9 วันที่ผ่านมา +18

    Yaani kaka umeongea mpaka Raha mungu akubariki kwakumtia moyo na kuwa mkweli jamani

  • @Graceyusuphh
    @Graceyusuphh 9 วันที่ผ่านมา +19

    Mjomba Lusajo ni mmoja tu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉 yan katk yote hunaga mzaa kwa mambo ya Mungu

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 9 วันที่ผ่านมา +18

    Watu wengi wanaendeshwa na tamaa ndio maana wanamuona goodluck kama mjinga mm n Muslim na nimemuelewa vizur kabisa... Allah atupe macho ya rohon

    • @mwipagipaggy
      @mwipagipaggy 8 วันที่ผ่านมา

      @@GiftAbduly Hiz ni battor za kiroho. Mtu ukiiangalia kwa macho ya kawaida huwezi kupata majibu

  • @mwipagipaggy
    @mwipagipaggy 9 วันที่ผ่านมา +25

    Yaan huyu Mafufu kamaliza kila kitu. Hakika mambo ya rohoni yajadiliwe kiroho.
    Changamoto wanafiki ni wengi na hawajui patano la Goodluck na Mungu wake.
    Mungu akubariki sana Mafufu.

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 9 วันที่ผ่านมา

      Good luck Hana Mungu hata chembe

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 9 วันที่ผ่านมา

      Basi angechoma na zile pesa ingependeza.hawa watumishi waliobarikiwa sana na Mungu wana vita kubwa sana

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 9 วันที่ผ่านมา

      Watanzania hawana lolote lakini wivu wa kijinga na uchawi wanao

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 9 วันที่ผ่านมา

      Vitajulikana kaka.hapa hapa duniani

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 9 วันที่ผ่านมา

      Hakukua na nguvu inayopita hiyo nyota yake hopeless.hatuwezi kupoteza magoti kwaajili ya maskini alieuzoea umaskini wake.ni maskini hadi ameuzoea

  • @NeemaMvela
    @NeemaMvela 9 วันที่ผ่านมา +8

    Mafufu umeongea pointe sana safi mwanangu

  • @CarolineSandi-z3u
    @CarolineSandi-z3u 9 วันที่ผ่านมา +5

    Mjomba Lusajo uko vizuri sana sana Mungu akulinde

  • @adiliwilson9616
    @adiliwilson9616 9 วันที่ผ่านมา +10

    Neno kubwa Saana Mtumishi. Ubarikiwe

  • @Mamas-06k
    @Mamas-06k 9 วันที่ผ่านมา +3

    Asante Jimmy Mungu akubariki, maneno yenye uzima mbele za jamii, Mungu akubarikie tena sana sana

  • @kumbukaobeth7103
    @kumbukaobeth7103 9 วันที่ผ่านมา +8

    Nakufuatilia sana kaka yangu mwaisa hunabaya umeongea kaka kweli kabisa

  • @aminaseleman733
    @aminaseleman733 9 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu akubariki, tuendelee kumuombea kijana wetu,

  • @edwardlukumay2698
    @edwardlukumay2698 9 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe ni mtumishi wa kweli kweli mungu azidi kukupa hekima akuongezee baraka zake

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 9 วันที่ผ่านมา +7

    Makubwa.. kumbe UNCLE wa Mwanjelwa ni mtumishi mzuri wa Mungu.. Mungu akubariki mtumishi

    • @celestine-h2o
      @celestine-h2o 8 วันที่ผ่านมา

      Kaka yangu ume ongeya ukweli ❤

  • @glorypoetry3570
    @glorypoetry3570 9 วันที่ผ่านมา +8

    Mjomba Lusajo wewe ni mtu wa maana sana!
    Ufunuo wako wa Rohomtakatifu ni mpana sana. Mwenye amesikiliza kwa sikio la RohoMtakatifu amesikia na kuelewa.
    Wanyakyusa ninyi ni watu wa maana sana🔥🔥🔥📌

  • @elshadaiuniforms1196
    @elshadaiuniforms1196 9 วันที่ผ่านมา +4

    FROM KENYA,.. I SUPPORT YOU BRO THAT OUR WARFARE IS NOT AGAINST THE FLESH EN BLOOD .,....
    MUNGU HAKUBARIKI.....
    .....watu wa mungu wanapotea kwa kukosa kuwa na maarifa.. lack of knowledge.... ,
    .....wacheni kumpigia debe NABII.. ,sio chote kinzuri kinatoka kwa mungu wala kinampendeza mungu.
    .....mungu nahawaumbie macho ya rohoni
    Mungu amenena na mwanae GOODLUCK ..,SIO SISI TUMEONGELESHWA.
    .......all is VANITY. .. WHAT YOU HAVE IS VANITY. WE WILL GO BACK TO OUR MAKER THE WAY WE CAME

  • @PamelaHezron
    @PamelaHezron 9 วันที่ผ่านมา +10

    Umeongea kwa ROHO MTAKATIFU sana jimmy

  • @KikofiaBosha
    @KikofiaBosha 9 วันที่ผ่านมา +5

    Safi sana Kaka umeongea kitu true kbs

  • @upendomwakatobe1333
    @upendomwakatobe1333 9 วันที่ผ่านมา +6

    Uko vizuri mtumishi wa Mungu, ubarikiwe sana

  • @AhadiMkuyu-jo1rt
    @AhadiMkuyu-jo1rt 9 วันที่ผ่านมา +7

    Mtumishi barikiw sana,nadhan wakuelew wameelew

  • @mercyrushaka2084
    @mercyrushaka2084 9 วันที่ผ่านมา +5

    Asante sanaa kaka, ubarikiwe saana saaana Umetishaaaa

  • @diodenistrasis7241
    @diodenistrasis7241 9 วันที่ผ่านมา +6

    Big up my bro well said and be blessed 🙏💪

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 9 วันที่ผ่านมา +3

    Amen Kakaangu wao wanaona Mungu ni wa maeneno pasipo rohon

  • @obbynomwa7143
    @obbynomwa7143 9 วันที่ผ่านมา +6

    Hii mbegu iliyopandwa kwako (Paradise Choir) nimeiona keep it up my Comrade, hakika mabo ya rohoni huwezi kuyatafsiri kimwili, watu wanajali sana pesa na mali kuliko Mungu ndo maana hii imewasumbua sana. Tuendelee kuomba kwa Ajiri ya waimbaji wote washing ie kwenye changamoto hizi.

  • @PendoSamwel-xo5zk
    @PendoSamwel-xo5zk 9 วันที่ผ่านมา +12

    Umesema vyema,Mambo ya rohoni utafsiriwa kiroho🙏

  • @Precious-dear
    @Precious-dear 8 วันที่ผ่านมา +3

    Wow wow my brother,umeongea na hekima kubwa sana,more grace to you

  • @isunga1964
    @isunga1964 9 วันที่ผ่านมา +2

    Duh Mafufu leo umeongea mpaka mwili umesisimka Mungu akubariki sana

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 9 วันที่ผ่านมา +14

    Brother, nakuonaga mkorofi sana lakini kwa hapa umeongea ukweli mtupu ukweli mtupu inabidi tukupe Udaktari wa Heshima

  • @lukhubeni8726
    @lukhubeni8726 9 วันที่ผ่านมา +3

    Asante mwanangu Mwenyezi Mungu azidishe karama ndani yako umetoa somo zuri sana,ila asomae na asikia smbyo Roho ayaambia Makanisa
    Mahali pengine maandiko yanatueleza kwamba,watakuwa na macho wasione,watakuwa na masikio wasisikie kumbatia talanta yako mwanangu BWANA MUNGU AKUINUE ZAIDI kwa ajili ya wanaotaka kuelimishwa
    Kwenye Tenzi za rohoni,
    Kuna wimbo unaosema
    Ajisikiaye hali yoyote,asikae kimya,haje haraka hili nalingazwe wajue wote,
    Atskae na aje!!

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 9 วันที่ผ่านมา +3

    Yesss Ni kwel kabisa Jomba MAFUFU Umeongea points sana

  • @InesRubakare
    @InesRubakare 9 วันที่ผ่านมา +7

    Christina Shusho Yuko wapi?sialishasemaga wawe wanasimama na watu wao.Brother Mungu akubariki sana kwa kusimama na Goodluck

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 8 วันที่ผ่านมา

      Shusho na mpenda sana lakini hapa humpati. Ye mwenyewe has been gifted by that person so she will stay out

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 9 วันที่ผ่านมา +5

    Nikweri hayo nimambo ya rohoni sio ya mwilini kumjua kumjua Mungu na mambo ya rohoni nimambo mawili tofauti

  • @LizGodsbeliever7925
    @LizGodsbeliever7925 8 วันที่ผ่านมา +1

    Bravo Jimmy, you’ve spoken real heavenly sensible material, true wisdom God bless you sir🙏🏾

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 9 วันที่ผ่านมา +3

    Asante sana kaka umeiweka sawa ii

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 9 วันที่ผ่านมา +4

    Imani ni bayana ya mambo yasio onekana wengi hawatamuelewa Goodluck

  • @tulimwakisambwe539
    @tulimwakisambwe539 9 วันที่ผ่านมา +4

    Aminaa Aminaa Aminaa umenena vyema Mungu akubariki kaka

  • @NyanzaraMaige
    @NyanzaraMaige 9 วันที่ผ่านมา +5

    Na wanyamaze katika jina la YESU.

  • @jamesedison-dv4lv
    @jamesedison-dv4lv 9 วันที่ผ่านมา +6

    Big up brother nimekuelewa sana umeongea point kubwa sana

  • @SamiaHussein-t5m
    @SamiaHussein-t5m 9 วันที่ผ่านมา +5

    Thank you my brother well said

  • @FaustineBukongolo-wp2fe
    @FaustineBukongolo-wp2fe 9 วันที่ผ่านมา +2

    Dahh!! Upo vizuri zaidi ya wachungaji

  • @emanuelgaspar1074
    @emanuelgaspar1074 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka salute sana kwako umeongea vema sana watu wengi wanalichukulia kimwili na macho ya nyama

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 9 วันที่ผ่านมา +3

    Wamwilini hawawezi kumuelewa Godluck mtumishi umenena kweri heti sikila sadaka Mungu anaikubari kisa imetoka kwa nabii

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mwijagu hanaga akiri waende kweri hakawape magari wamuache goodluck na Mungu hawajui mambo ya kiroho kabisa

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 9 วันที่ผ่านมา

      Ni njaa inasumbua watu Hadi wanaoamini heri kukiri uongo ndipo waendelee kulishwa tu bila kufanya kazi,,

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 9 วันที่ผ่านมา +3

    🎉🎉🎉🎉 upo vizuri kaka yangu imani kitu tofauti sana wanatukana tu awajui alichopitia huyo kijana

  • @ManjuraGabriel-s1v
    @ManjuraGabriel-s1v 9 วันที่ผ่านมา +2

    Star pekee mwenye mungu wa kwel rohoni . Nakuonaga hovy bro kumbe upo vizur sn hongera

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akubariki saaaaana unaongeya kama mtoto wa Mungu ❤❤❤❤

  • @AbasAthumani-b6o
    @AbasAthumani-b6o 9 วันที่ผ่านมา +2

    Ase mungu akubaliki sana umeogeya vizur sana tena sana mungu akubaliki sana

  • @annaandrea2812
    @annaandrea2812 8 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea vizuri sana kaka Mungu akubariki

  • @tunupeter7566
    @tunupeter7566 9 วันที่ผ่านมา +3

    Umemaliza MUNGU akubariki sanaa

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 9 วันที่ผ่านมา +2

    Amen amen ahsante sana Mungu akutunze

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215 8 วันที่ผ่านมา

    Amina! Najikuta kuhubiriwa Mtumishi wa Mungu ! Najuwa siyo wewe ambaye unaongea bali ni Roho wa Mungu ambaye iko ndani yako ndiye anasema ndani yako ili nasisi tupate kulishwa rohoni! Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @saraphinalupondo1115
    @saraphinalupondo1115 9 วันที่ผ่านมา +4

    Wengi wao wanapendaaa kiki nakumpamba uyo mbaba ili wapate saraly

  • @zainabukuku3878
    @zainabukuku3878 9 วันที่ผ่านมา +3

    Jimmy kwanini usifungue kanisa baba uko vizuri mno na umeongea ukweli mtupu

    • @Mamas-06k
      @Mamas-06k 9 วันที่ผ่านมา

      Mafufu ni Mchungaji, ila sijui ni wakanisa gani

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 8 วันที่ผ่านมา

      Na hiyo ndio shida pengine mungu hajamwambia afungue. Mumependa sana hii mambo sounding nice doesn't mean u hav to start a church this is how u people get scammed. Mungu akimwambia atafanya

  • @samsonlifa1247
    @samsonlifa1247 8 วันที่ผ่านมา +3

    Serikali ni vyema waanze kwanza kumchunguza hiyo nabii mkuu anazipata wapi hizo hela anazogawa pengine ni mwizi mkubwa

    • @BintiDanford
      @BintiDanford 8 วันที่ผ่านมา

      Wanaazaje juzi tu katoa gari za police wakati wa Mungu umefika vingi vitawekwa nuruni

  • @KikofiaBosha
    @KikofiaBosha 9 วันที่ผ่านมา +3

    Ameen, wote hao wanaompinga nimashetani

    • @AngelMasumbuko-k4g
      @AngelMasumbuko-k4g 9 วันที่ผ่านมา +1

      Ukwel Mamb ya rohon huwez yatambua
      Mpak usemeshe na mungu mwenyew

  • @saraphinalupondo1115
    @saraphinalupondo1115 9 วันที่ผ่านมา +3

    Big up bro familia ya gaboo kutok jua kali sijawahi kukupingaaaa❤❤❤❤❤

  • @kumbukaobeth7103
    @kumbukaobeth7103 9 วันที่ผ่านมา +3

    Na download kabisa hii, nimahubir tosha ya mwaka

  • @RizikiShabani-f8f
    @RizikiShabani-f8f 9 วันที่ผ่านมา +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mambo yaroho nimangomu sana

  • @deborachaula5134
    @deborachaula5134 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mafufu mbona uko vizur nimekuelewa kaka God bless you

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 9 วันที่ผ่านมา +2

    Leo umeongea vizuri kaka Mafufu maana wachungaji aina ya akina Masanja wamekuwa .ashabiki wa swala hili.Lakini wa wachokonozi wanamkashfu mungu kila siku tunaona mtandaoni lakini wachungaji wanao mtetea Mungu kwa kusema wazi na kupambana na hao wachokonozi ni Mbarikiwa, Katekela na Pascal kasian

  • @AmaniChalale
    @AmaniChalale 8 วันที่ผ่านมา

    Kaka asante sana,Leo umenisaidia sana , ubarikiwe sana, wewe ni nani? Umpinge asichome gari? Nimeipendaaa, maana ni mungu tu mwenye majibu ya kila mmoja. Ameeni.

  • @MarcoDamian-pn3pd
    @MarcoDamian-pn3pd 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika mtumishi wa Mungu umenena,japo ni vigumu kwa watu waliogizani kulielewa swala la kiroho ni la rohoni kwa mhusika na Mungu wake

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 9 วันที่ผ่านมา +2

    1 Corinthians |
    English
    14:2 For anyone who speaks in a tongue does not speak to men but to God. Indeed, no one understands him; he utters mysteries with his spirit.

  • @suzanajonas3548
    @suzanajonas3548 9 วันที่ผ่านมา +3

    Amen kabisa baba yangu❤

  • @EvaEny
    @EvaEny 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki sana kaka ,watu wanamatanio sana ya kimwili wanaingilia mpaka ya rohoni.Ameen

  • @uwimanadady6563
    @uwimanadady6563 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hallelujah unanifunza kitu kikubwa

  • @IsackIsaya-bi2hj
    @IsackIsaya-bi2hj 9 วันที่ผ่านมา +2

    Sikuwahi kufikilia kama unahekima ya kimungu namna hii kaka ww ni mtumishi kwelkwel wa mungu ni yanga tu inakuchanganyaga

  • @FigeloMorisi
    @FigeloMorisi 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mafufu ww ni mtu na nusu mambo ya kiroho hawayajui coz roho mtakatifu hayuko ndan yao na hawaelw about roho mtakatifu ukiokoka na ukawa mtu wa Mungu utajua mambo ya kiroho

  • @Shukushukushuku
    @Shukushukushuku 8 วันที่ผ่านมา

    Wanachotafta ni kumkosanisha gozbert na nabii mkuu,,, nakupenda sana kaka Jimmy

  • @RoseAlfred-i8b
    @RoseAlfred-i8b 7 วันที่ผ่านมา

    Jimmy naomba uwe Aposto kanisa kabisa na Mungu kwakua anawajua walio wake hatakuacha kabisa saut Yako imejaa mamlaka ya kimbingu kabisa ooooh God

  • @philipomashiku3818
    @philipomashiku3818 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu na akuinulie uso wake katika siku ya dhiki yako

  • @MkudeRobert
    @MkudeRobert 9 วันที่ผ่านมา +1

    Nakuelewa sana mafufu sana sana sana sanaaaaàa

  • @rashidmwakatoga7051
    @rashidmwakatoga7051 9 วันที่ผ่านมา +1

    Amina mtumishi ubarikiwe sana

  • @AmaniChalale
    @AmaniChalale 8 วันที่ผ่านมา

    Asante sana kaka, hapo ndipo utajua elimi ya kiroho ni mhimu sana kwakila binadamu yeyote. Ameeni.

  • @MaxmillaOdeke
    @MaxmillaOdeke 7 วันที่ผ่านมา

    Ndio kaka hapo umenena vizur sana heri mtu mwenye anasema ukweli but sio ule anajipendeza Kwa watu mungu akuongezea kaka

  • @priscakanjanja5256
    @priscakanjanja5256 9 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa sana mafufu
    Mambo ya rohoni hayo watu hawaelewi

  • @AshaHemed-p4j
    @AshaHemed-p4j 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akufanyie wepesi brother Kila hatua upigayo

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki mafufu. Uko rohoni kweli kweli

  • @relaxationmusicandnature7121
    @relaxationmusicandnature7121 9 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana mtumishi wa Mungu

  • @EvaEny
    @EvaEny 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukutunza,umeongea kwa kuhubiri tena kwa uchungu sana ,hakika mambo ya rohoni sio ya kimwili

  • @MeryDani-n7w
    @MeryDani-n7w 9 วันที่ผ่านมา +1

    Balikiwa sana mtumishi wa mungu,wachawi wanyamazish kabisa

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 9 วันที่ผ่านมา +3

    Safiiii❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 9 วันที่ผ่านมา +1

    Amenii mtumishi wa Mungu

  • @Lovelyjuma-p8e
    @Lovelyjuma-p8e 8 วันที่ผ่านมา

    Yan nijua ww ni mwigizaji tu kumbe ni mtumishi wa Mungu mkwabw ivi....Mungu akubarki san....nakuon mbal san broo

  • @FrancesMachelela-g4y
    @FrancesMachelela-g4y 9 วันที่ผ่านมา +1

    Daa kaka kuna kitu umenifundisha kitu kikubwa sana ubarikiwe broo

  • @CellinahKalluwah
    @CellinahKalluwah 8 วันที่ผ่านมา

    Hongera Hongera Hongera sana barikiwa mtumishi wa mungu

  • @AminaJuma-e7k
    @AminaJuma-e7k 9 วันที่ผ่านมา +1

    👏👏👏👏👏👏mungu aendelee kukuweka daima kaka

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 8 วันที่ผ่านมา

    Malafyale hakika umeongea vzr na nimekuelewa sana mambo ya kiroho utatuliwa rohoni na ndiyo majibu sahihi,mwenye kusikia na asikie ushauri wa Mtumishi Mafufu

  • @ndayizigasamson665
    @ndayizigasamson665 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika BWANA akubariki sana mtumishi ila Watanzania niwasemaji wazurisana kuparamia paramia vituambavyo aviwahusu mtumishi ubarikiwesana nani asipende garinzuri waomba omba acheni unafiki nakujifanya aliepeana gari mnapendasaaaana hapana acheni kiherehere.

  • @LeganNtambi
    @LeganNtambi 9 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumishi wa mungu nilisubiri useme neno ili wanaoropoka wapone

  • @kellysmith4095
    @kellysmith4095 8 วันที่ผ่านมา

    Bibilia watanzania kristo alisema,mtathmini Kila roho ilikujua kama ni roho wake,nyinyi mwadhani ni gari,yaweza kua ni mlango wa kuzimuni,mwenzeno kafunuliwa,msikilize anavyosema,bila kumuhukumu, waifeso5:11

  • @ELIMRINGITILLYA
    @ELIMRINGITILLYA 9 วันที่ผ่านมา +5

    Mafufu ubarikiwe sana mtu wa Mungu awa wapumbavu wote wanaomshambulia good luck wakae kimya wafate yao

  • @CamillahHaule
    @CamillahHaule 9 วันที่ผ่านมา +1

    Barikiwa mno broh

  • @AlexanderNimbona-lj4ln
    @AlexanderNimbona-lj4ln 9 วันที่ผ่านมา

    Hongela sana mungu akubaliki baba🤗🤗🤗😍😍😍😍

  • @thobiasrobert9847
    @thobiasrobert9847 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuweke sana

  • @alexlemabi1804
    @alexlemabi1804 9 วันที่ผ่านมา +1

    Nimekuelewa sanaaaaaaaaaa

  • @pastorlucytz
    @pastorlucytz 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe sana .

  • @sophiahmedza929
    @sophiahmedza929 8 วันที่ผ่านมา

    Jimmy nimekuelewa. Mungu azidi kukutunza

  • @irenekiwia7590
    @irenekiwia7590 9 วันที่ผ่านมา +2

    Umeongea vema sana

  • @egrahkamugisha
    @egrahkamugisha 6 วันที่ผ่านมา

    Amina ubarikiwe sana