Kenyans sauti sol judging Zuchu and African princess Nandy. Neither of them won but their dreams are shinning now. Hao mlio wapaga mataji hata hatuwasikii, Kisha walitoka Nigeria khah mliniboa majirani😭🤪
😂😂 mashindano yamepita miaka mingi Sana hapa we fikil kakaa wcb miaka minne na hapo baada ya miaka kma 2 baada ya mashindano haya kupita ,ksshafuliwa vibaya mno
Tujuene ambao tumemtafuta zuchu baada ya kusainiwa wcb
Izi ndio safari za mziki wengi tunaziitaji siyo mtu ametoka kulima korosho anataka tumsikilize lazima atatusumbua we love CHUCHU from 255🇹🇿🙏🙏🙏🙏
Duuh underground tunakazi hahahaaa
Wangapi tumekuja hapa baada ya huyu Dada kusainiwa WCB?
Mimi apa🤣🤣🤣🤣🤣
Dahhhhhh.nkajua pekeangu.🤔
👍
jr lamar mm hapa
Hahahaha.tupo,tangu atangazwe nakesha TH-cam kuangalia clip zake.tupo ndugu.
Watu wanao sema Zuchu siyo mzuri mwangalieni akiwa chibonge she's damn sexy
Huu mwili umeenda WAP zuchu...was so amazng
wangap tumekuja huk baada ya zuchu kuachia #EP yake😂
Duu zuchu ulikua na mwili mzuri MashaAllah. Unafanya diet
Sikuwa namfatilia sana zuchu ila uko vizuri dogo👌mtoto wa nyoka ninyoka nimeamini
Wangapi tulokuja TH-cam kumcheki zuchu, mwaka huu litakufa jitu atucheki na kima dadeeeq
Hahahhahaah hataar
Noma sana
Alkua kibonge
Nyie ndo mnaofanya watu wawena mabifu ya kijinga, baada ya kuombea mziki wa Tanzania ufike mbali wee eti litakufa jitu, jitu gani sasa
Uko vizuri sana pambana japo vikwazo nivingi kaza my
I can notice her voice has had more prowess,over the years, thats growth and i lov it,I really do❤❤🎀❤❤
Nandy won here but Zucchu is rolling now, kwa ground vitu ni different bana
Oh 7 years ago, nobody couldn't imagine.
kumbe kufanya wimbo na Yem alade ni simpl ty anatujua kitambo @WCB for life
Ni mkali sana,na yupo sehemu saahihi"WCB"
Kumbe zuchu ulikuwa mnene jmn nakupenda kwel ndmn nakufatilia kila kona
Okaay nmeelewa safari ya music si kitu tahs hvyo
😭😅🤔😆👌👏🙌
My Sugar Sukari😍
Mi nataka colabo zuchu ft ruby...nasubiria kwa hamuuu
mekuja baada yakuona amesainiwa wcb
zuchu ni mkali kabisaaaa
Wangap tumeona hii baada ya kuja wasaf
Shoga unajua xana kuimba mbona timu kiba kazi mtakua nayo mwaka wenu huuuu wapi timu mond like tafadhali👇👇👇👇👇👇
Wapi nandy wapi ruby mkali tumempataaaa hatari
Hakuna chochote hapo
Kwa Ruby atasugua gaga
She has always been a performer
❤❤❤❤❤❤kisha alikuwa mzuri mnene shepu nzuri
Zuchu alikua kibonge san
She kinda looks like my Yemi!🙃👍🏽
Very true
I see u twins, Zuchu + Yemi😄
God's timing i tell you !!
moto utawaka uko #wasafi
Saf sana WCB mkwap
Kumbe io heeeeey ulikua nay tokea zamn
Kenyans sauti sol judging Zuchu and African princess Nandy. Neither of them won but their dreams are shinning now. Hao mlio wapaga mataji hata hatuwasikii, Kisha walitoka Nigeria khah mliniboa majirani😭🤪
Alishinda nan
Alikuwaaa kibongeeee kweli
Zuchu wa siku hizi mwili ulienda wapi❤
Mbona hapa alikuaga mzur
Ulitakiwa kuja mjini mapema.like nandy
Zuchu hapa anaonekana mnene
Jux ameiyona hii kweli
Kalikuwa kabonge
Daaah watu wanatoka mbali asee 🙏
Hongera sana dada
Kumbe alikuwa mzuri kitambo
Tunatoa mbali.... Kapigania mpk kufikia hapo alipo
Waoooo
Mrembo🔥🔥🔥
Zuchu hongera
huyu demu ni moto
Safi Sana ni mzur hari
Subili uingie wasafi lazima umkalishe chini kwini dalini
Kashamkalksha
wangapu tumekuja haps baada huyu dada kusainiwa wcb wasafi???
Nice ulikua bonge kumbe
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
lovely sister
Dope
Jamani zuchu alikua na shepu
Alikua Mnene
Wangapi wapo apa baada ya cheche?? Na kutaka kujua Yule mshindi walio mchagua baada ya zuchu Yuko anauza magimbi mtaa gani?🤣
Jamn ckuwah kujua kama unajua kuimba ivi duh
baada ya WCB
Hapa ulikua mzur zuchu
Alikua mnene
Na hapa alikua amenenepa
Napenda ulivoimba wimbo wa Jux
Zuchu alikuw bonge
Waooh
👌👌👌👌
Kwani hii baada ya kusainiwa au kabla
Kabla hajasainiwa WCB
Nakupa sapoti sister
2024 🎉
Uko vizur my
Huuyu mtt lzm awe hatari sana baba yake ni mwanamuziki mkubwa sana
Mind juu
Simbaa
Baba yk mwanamuziki mama yk Kaka zake kwahiyo kipaji kwao Cha ukoo
Nimeifata IH Chanel cz WCB ni Chama lao
where were you all that long anyway only time tells shine now zuchu
Consistency..
Zuchi
To be honest hana pumzi huyudem bas tu
😂😂 mashindano yamepita miaka mingi Sana hapa we fikil kakaa wcb miaka minne na hapo baada ya miaka kma 2 baada ya mashindano haya kupita ,ksshafuliwa vibaya mno
Mazoezi tu kidogo...atakuwa na pumsi
Hana pumzi hadi leo live hawezi!
Waoooooo