Yy marekani 'ninani katika huhu ulimwengu ingekua km marekani ni mungu apo ningehogopa chajabu marekani inahongozwa n'a bina Damu kwaiyo sioni km marekani atapambana n'a urusi urusi ni inchi inahistoria yavita Sasa marekani istoria yake iko wapi n'a iliwai kushinda vita wapi 😂😂😂😂 jamani marekani awe makini isipokua makini utawala wake utahanguka
Putini Mbona maneno ya kutishia ulianza ulipoivamia Ukraine na pia Muda ulisema ndani ya siku 60 utamaliza kazi na ulisema ulipia hakuna wa kunisuia .pia uliwambia wayukrenia wanajeshi walovuka mpk utawamaliza ndani ya cku tano lkn bado wamo ndani ya urusi.punguza maneno.
1.Ni kwasabu Marekani na Nato WAlikuwa na njama yakuiangusha Urusi kupitia Ukraine. 2 Marekani na Nato walihaidi atasimama na Ukraine mpaka Urusi ishindwe. 3. Urusi ikishinda vita hivi Marekani na Nato wataona aibu na watakosa usawishi duniani. Maana Urusi aliwashida pale Syria malengo yao hayakutimia. Tena aliwashinda pale vitani alivyo chukuwa hile Crimea ya Ukraine. Nato na Marekani wanafukuzwa pale Mali, Niger na Burkinafaso ni kwa ajili ya Urusi. Na Mengine sasa Vita hiyo itaenda mpaka vita ya 3 ya dunia na mpaka Nyuklia zitakapo pigwa kama inapenda. Jeuri na kiburi za Marekani na Ulaya
Kweli wajinga niwengi hapa kwetu yaani kuna watu hawajui hata kwanini dollar imepanda ukimwambia mtu sababu kubwa nihiyo vita wala hajui atakwambia shilingi imeshuka yaani urusi huku wanapigana huku wanapambana kuiangusha dollar najuzi wengine hawakumsikia trampu alichozungumza kuhusu dollar yao kuangushwa hapa anayekwenda kupata hasara ni marekani mwenyewe na dunia inakwenda kugawanyika wanaotaka kufuata nato na umoja wao sawa wanaotaka kuingia Briccs sawa yaani hii vita inaenda kuleta mageuzi hapa wamekutana tembo ndiyo wanaopigana ziumiazo nyasi watu
Umeandika maneno yakili sana tena akili yajuu mjinga awez helewa kama kwaheri dollar yuwan ya china inakuja juu , hapo Putin ana pambana Machina anapandisha uchumi wako busy na putin mchina anapita bila was was ndo siasa iyo
Watu wengi wanaijadili Urusi kwenye hii vita Kwa habari za vyombo vya magharibi ambavyo mambo mengi hawayaweki wazi au wanapotosha. Russia sio mwepesi kama wanavyofikiri, kama angekuwa Hana nguvu muda huu tungesema mengine. Kimsingi vita sio jambo jema tuombee amani ya kweli isiyo na taifa moja kujiona Lina mamlaka ya kuonea, kuwapangia wengine nini Cha kufanya. Itoshe kusema Putin amefungua milango ya mataifa mengi kujitafakari na kujua rafiki wa kweli@@msafirimaulidi5054
Mimi naona, urus ndio hawe kiongozi wa dunia, hajawai, kuitawala africa au bara lolote, hivo naomba nchi zote duniani kuunga mkino kijeshi, urusi, china, korea, na nchi zingine zinazounda, au ushirikiano na urusi.
@@robertphilip385Marekani ni kitu kingine wapih???😂😂😂 Hebu nikuambie ukweli kama hujui vizuri,hii Vita ya Ukraine na Russia, sio Vita ya Ukraine na Russia yaani ni Vita ya NATO na Russia na kama hujui NATO ni Nini utajua mwenyewe....so masilaha yenye Ukraine anapewa na Marekani hawezi kutumia bila Marekani juu Ukraine ana uzoefu wa kutumia masilaha ya Marekani, so mwenyewe anacontrol masilaha ni Marekani na washirika wake...lakni Bado wanakula kichapo Cha mbwa na Majeshi ya URUSI😂😂😂😂
Ww mtoto mdogo bado marekan na uengereza hajaingia ktk vita vya uso na uso ndio mana wana viherehere wamuulize mjeruman hivyo vita haviitaji mrusi anajua nini vita na ndie aliyekuja kumuondoa Hitler
mnaochekelea mnaijua vita ya Dunia nyie? hakuna kazi maofisi yanafungwa Kila mtu anakimbia kusev uhai wake . makampuni yatafungwa WATOTO hawatoenda SHULENI Wala vyuoni, Dunia nzima inakua wakimbizi. alafu Kuna vijitu hapa vinasema( TUPO pamoja na wew putin 😢) hamna akili
Dada umetangaza vizur had nimella Kwa sauti Yako malidhawa
Dada upo vizuli sana hongera Kwa matangazo Yako mazuli sana
Tuko Pamoja Baba Putin. Mwenyezi Mungu yupo Mbele na Nyuma ya Urusi 👍👍
Ushindi kwa urusi Allah awez kuwapa ushindi mashoga
Atawapa wale wazanzibar
Putin yupo VIZURI , yupo vitani na anafanya mazoezi, Hatari sana
Mwamba tuko nawew daima sir Putin ❤🎉
Ewe mwenyezi mungu zidi kuiyangamiza waiziraili wamarekani pamoja na nato
Shukran sana ❤
Yy marekani 'ninani katika huhu ulimwengu ingekua km marekani ni mungu apo ningehogopa chajabu marekani inahongozwa n'a bina Damu kwaiyo sioni km marekani atapambana n'a urusi urusi ni inchi inahistoria yavita Sasa marekani istoria yake iko wapi n'a iliwai kushinda vita wapi 😂😂😂😂 jamani marekani awe makini isipokua makini utawala wake utahanguka
Kitoto cha elfu 2000 unajua nini?
Kweli kabisa akunje mkia tu wajamaa shinpin na putin pamoja namjomba kidugu Wana mwangalia kwajicho lahatari sana
Uko mtangazaji bora dada
Ushind wa urusi ni ushind wa Africa na wanyonge wote duniani
Dah hatari Sana huyu Mwamba
Nimeipenda hii. Jack
Mungu ibaliki urus 🇷🇺🔥🔥🔥
Nice
Great broadcast
Uko sawa mama
Excellent.
God bless America
Sawa commander aluta continue
Safi sana huyo mmarekani ni shoga tu tumemchoka hapa duniani Bora afute duniani
Kwani ni mshenzi tumemchoka kabisa
Ushindi kwa urusi
Mwamba pigakazi, wakijitekenya bonyeza kitufe chekundu,
Mwenye akili timamu ataiombea urus marekan ni wakandamizaj na waona kama dunia ni yao wataka kuwa kama miungu dunian ila Mungu yupo na russia
Mimi nataka achapwe sanaa
Ohhhhooo Puttin unasuburi nn nuclear ipo piga ulaya yote pamoja
Wamagaribi wanaingia vikao kila siku kama wachawi kumamako zao
Putini Mbona maneno ya kutishia ulianza ulipoivamia Ukraine na pia Muda ulisema ndani ya siku 60 utamaliza kazi na ulisema ulipia hakuna wa kunisuia .pia uliwambia wayukrenia wanajeshi walovuka mpk utawamaliza ndani ya cku tano lkn bado wamo ndani ya urusi.punguza maneno.
Urusi sitise Dunia
Atapigwa na marekani mara moja
Uraaaaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Tuongezeni Maombi Hill Isitokee
Urusi jaman wananipa raha nato walivyo hua viongoz wetu gadafi , lumumba, magufuli, nguruziza, sankara, idrisa wafrika yakati, dezire kabila , drc ,ayse hao inchi zamagaribi hao putin baba wanyooshe kabisa tupo upande wako mia kwamia HURAAAAA HURAAAAA HURAAAAAA
Dada naomba nikuoe
Kwann hakuna ukomo wa kutuma silaha Ukraine badala yake ni silaha zaidi kutumwa
1.Ni kwasabu Marekani na Nato WAlikuwa na njama yakuiangusha Urusi kupitia Ukraine.
2 Marekani na Nato walihaidi atasimama na Ukraine mpaka Urusi ishindwe.
3. Urusi ikishinda vita hivi Marekani na Nato wataona aibu na watakosa usawishi duniani.
Maana Urusi aliwashida pale Syria malengo yao hayakutimia. Tena aliwashinda pale vitani alivyo chukuwa hile Crimea ya Ukraine.
Nato na Marekani wanafukuzwa pale Mali, Niger na Burkinafaso ni kwa ajili ya Urusi. Na Mengine sasa Vita hiyo itaenda mpaka vita ya 3 ya dunia na mpaka Nyuklia zitakapo pigwa kama inapenda. Jeuri na kiburi za Marekani na Ulaya
Kweli wajinga niwengi hapa kwetu yaani kuna watu hawajui hata kwanini dollar imepanda ukimwambia mtu sababu kubwa nihiyo vita wala hajui atakwambia shilingi imeshuka yaani urusi huku wanapigana huku wanapambana kuiangusha dollar najuzi wengine hawakumsikia trampu alichozungumza kuhusu dollar yao kuangushwa hapa anayekwenda kupata hasara ni marekani mwenyewe na dunia inakwenda kugawanyika wanaotaka kufuata nato na umoja wao sawa wanaotaka kuingia Briccs sawa yaani hii vita inaenda kuleta mageuzi hapa wamekutana tembo ndiyo wanaopigana ziumiazo nyasi watu
Sahihi kabisa. Watu washabikia hii vita bila kujua impact.
Umeandika maneno yakili sana tena akili yajuu mjinga awez helewa kama kwaheri dollar yuwan ya china inakuja juu , hapo Putin ana pambana Machina anapandisha uchumi wako busy na putin mchina anapita bila was was ndo siasa iyo
Putin he never knew katamkalia hivo
Hamna kitu
Ok
Urusi bado kwa america
Urusi zaif
Huo ni uoga sisi tumegundua
Ananikumbusha enzi za akina Napolion wakati majeshi ya mfaransa yaliposhindwa kuingia Urusi
Nim mjinga anapgwa na Ukraine Ata sis wabongo tujipanga tunampiga
Atapigwa vibaya sana atalia kama nyau
Marekani,nato na washirika wanapigwa uko ukreini.
Atapigwa na nani ikiwa dada ako marekani anapigwa kila siku
Jiulize Huko Ukraine kuna majeshi ya nchi ngapi zinapigana na Urusi
Alaaaaa.😂😂😂😂😂😂 Umelala ww huyo sio gadafi Wala sadamu wacha uone .vita .ww .
Ama yule Rubani wa F16
Iliyodunguliwaalikiwa Raia wa wapi? Si Marekani?
Huyu mwamba putin huaga anajiamini sana
Anapigana na nani?
Hawezi kupigana vita ya dunia huyo, anapigwa na ukren tu ataweza dunia😂😂😂
Dah ivi kwel Kwa akili yako uKRAIN ampige Putin? Staki kuamini km Kuna binadam angewaza Ivo
Jidanganye hivyohivyo, Ukraine siku nyingi kesho l'âme limekwisha.
Watu wengi wanaijadili Urusi kwenye hii vita Kwa habari za vyombo vya magharibi ambavyo mambo mengi hawayaweki wazi au wanapotosha.
Russia sio mwepesi kama wanavyofikiri, kama angekuwa Hana nguvu muda huu tungesema mengine.
Kimsingi vita sio jambo jema tuombee amani ya kweli isiyo na taifa moja kujiona Lina mamlaka ya kuonea, kuwapangia wengine nini Cha kufanya.
Itoshe kusema Putin amefungua milango ya mataifa mengi kujitafakari na kujua rafiki wa kweli@@msafirimaulidi5054
Waaambie waende basi hawo mashoga wako Mana wanapeleka silaha mpaka wanachoka
Ukrein anasaidiwa sana nchi nyingi za magharibi. Ndo maana bado yupo hadi leo hii. Jitahidi, uweze kufahamu vizuri.
Vita ya dunia ya Tanzania 🇹🇿 😂😂😂😂😂
Mimi naona, urus ndio hawe kiongozi wa dunia, hajawai, kuitawala africa au bara lolote, hivo naomba nchi zote duniani kuunga mkino kijeshi, urusi, china, korea, na nchi zingine zinazounda, au ushirikiano na urusi.
Ombea vita isitokee sio Urusi wala America silaha zao zinatosha kutumaliza wote duniani
Mwamba putin wakikushenyeta na wewe washenyentee
Marekan hajamjuwa vizur Putin.. sasa acha tuone 🤣🤣🤣🤣🤣
Nawewe hujitambui marekani ni kitu kingine wewe urusi akijichanganya kuishambulia USA ndoitakua mwisho wa maisha ya Putin hapa duniani kk
@@robertphilip385Marekani ni kitu kingine wapih???😂😂😂 Hebu nikuambie ukweli kama hujui vizuri,hii Vita ya Ukraine na Russia, sio Vita ya Ukraine na Russia yaani ni Vita ya NATO na Russia na kama hujui NATO ni Nini utajua mwenyewe....so masilaha yenye Ukraine anapewa na Marekani hawezi kutumia bila Marekani juu Ukraine ana uzoefu wa kutumia masilaha ya Marekani, so mwenyewe anacontrol masilaha ni Marekani na washirika wake...lakni Bado wanakula kichapo Cha mbwa na Majeshi ya URUSI😂😂😂😂
@@robertphilip385😅😅😅😅😅unaongea utumbogani wew 😅usha ambiwa hakuna dunia bila Moscow
@@peteremmanuelymatwimatwiem3258 ninachojua ni hakuna Dunia bila Palestina na Izrael
Ww mtoto mdogo bado marekan na uengereza hajaingia ktk vita vya uso na uso ndio mana wana viherehere wamuulize mjeruman hivyo vita haviitaji mrusi anajua nini vita na ndie aliyekuja kumuondoa Hitler
mnaochekelea mnaijua vita ya Dunia nyie? hakuna kazi maofisi yanafungwa Kila mtu anakimbia kusev uhai wake . makampuni yatafungwa WATOTO hawatoenda SHULENI Wala vyuoni, Dunia nzima inakua wakimbizi. alafu Kuna vijitu hapa vinasema( TUPO pamoja na wew putin 😢) hamna akili
Urusi nyukria zake zitamlipukia tu yeye mwenyew ngojea muone
Acha kutumia akili kama matako😂😂😂😂....unajua Urusi vizuri ama umedanganywa na Propaganda za Magharibi??🏌️
@@IceCube-o6s chizi huyo achana nae..anasikiliza BBC huyo😂
Kibabara msenge w Marekani ww
Duuuh kumbe mmarekani anachukiwa duniani balaa
@@Patrick-n2u alafu hao hao wakiambiwa visa ya kwenda urusi au marekani watachagua kwenda marekani 🤣🤣🤣