DEBORA | SIMULIZI FUPI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Nilikaa na kuwaza Sana inamaana humu ndani watumia nguvu za giza na inawezekana ndizo zinafanya hao wasichana wanafanya huu ushetani kwa amani , na kwann anataka kuona nikilia Kila siku kwani Kuna kosa lolote nililofanya kiasi Cha yeye kuwa na chuki juu yangu nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu mwisho nikaamua nifanye mbinu yoyote ile niweze kutoroka maana siwezi kuuza mwili wangu.
finally leo jina langu limefikiwa ❤wacha nijiskize
Saseni wadau wa lucas mpoo asante kwa simulizi nzuri pokea maua🎉🎉🎉🎉❤
Santeee Rose nimeyapokea🎉🎉🎉😊😊😊
l@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
Simulinzuri❤😂🎉
Huyu lucas anaeza kuwa pastor mzuri sana, nyinyi mnaonaje❤❤❤❤🎉🎉🎉
Yani kaka lucas nimechoka bala kaka beba beba duuuh laha Asante lucas
I, love the way unaforka jamani kaka Lucas tamu hiyo sauti zuri
Wakwanza mim ❤❤❤
Asente Sana Kaka Lucas lumbasi uadui zi zuri yani mtu na Dada yake yoyote kwa yote ni shatani tu Hana huruma na watu wa mungu
Kafanaya je tena😮
Waliotaka kumvuruga aliwavuruga ki promax😂😂😂
Asante sn mungu kwakunilinda nanimepata bahati yakusikiliza simliz hii nimejifunza mengi
Ila na wewe kaka Lucas jmn mbona mafail ni mengi jaman , mala ndoa yangu, mala ooooh ticha ,hatujamaliza zote hizo ,ten now chuma kipya dada debora😢😢😢 ay ngoj tupambane 🎉🎉
Hata kama mm nashangaa mbona hivyo Waaah
Nailat Hiii channel ni Mboga saba😅😅, unajisevia unayotaka, usichokitaka achananacho subiri hotpot yako unayotaka ujisevie, but anyway nafanya kwasabab sometimes kimoja cha muda mrefu kinaboa, ila ladha ikiwa inabadilika inapendeza sana😊😊
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI aya bwn sawa me sina neno , kak Lucas ila zote za moto 🤣🤣
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 🙌🙌🙌🙌nakuelewa
@@annakinyi218 yan hakuna jins tupambane tu🎉😂
kata kiuno ww unakata mabega❤❤❤❤
Jmn uko TikTok umliziii yukifk uku atuelew umeishia wap lkn umlizii smuliz jmn🤔♥️
Yan mm napenda simulizi z love story tamu yan kama lilian
Wow.. very nice simulizi.. more teaching, everyone need to know he & she ur
Lucas leo nimecheka ndoto ya kuota ukiwa chumban na uanguke 😂😂ahaaa debora 🤣🤣
Kweli kwa LUCS LUMBAS ni mboga saba aisee full ku enjoy😂😂😂😂
Simulizi tamu snaa yenye mafunzo❤❤
Twende na Debora leo❤❤
Debora nyiee amenishinda tabia eti miguu haona nguvu😅😅😅😅
😂😂😂
💚💛💚💛💚💛💚💛💚pamoja san brother amani ya bwana itawale 🫶
Shukrani sana Mungu awatanguriye kwasimurinzi 27❤
Hajauliz maana ya jina la anga😢
Wamwisho jaman Leo 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Jomon wa 17 ❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤ thanks kaka lucas
Santee Felly, enjoy 🎉🎉😊😊
Jamani nimejua kucheka hapo kwenye sasa unaendeshajee, kaa mzimio uliamka jamani debora 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni wangapi huwa wanatabiri neno linalofuata pale Lucas anaposema CHAAJABU😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umenichekesha kwa nguvy aisee😅
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI 🤣🤣🤣me nikiskia chaajabu natabiri kitakacho tokea
Kah hu mwez niwaburudan tu
Kusonga mbele tu😊😊
Burudani na masaa yake.😂😂yaani kaka lumbasi kaamua kutusurprise sio
I tell you ❤❤❤
Asante broo lukasi
Nikajifunika shuka shwaaa😂😂😂nikajikausha kwaaaa,nikadakwa shwaaaa jamani jamani jamani😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah kesho malizia sasa ndoa yangu
Ndo kwaaanza imeanza😊😊😊 ila kesho inatoka Tuombe uzima kwa Mungu wetu eliejuu mbinguni
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI Amina babaaa,,, sweet personal wetu,, hata huringi,🌹🌹🌹
Daa,mama Clif naye ni majanga😂😂😂😂😂😂
Walahi miminapenda sana kwasababu zawatu wakubwa uwe unatuletea nasisi kama hiiivii kwel na kupenda sana bz bz
🤣🤣Lucas utaniua kwa kicheko heti madamu mwenye chembechembe za wakala wa kuzimu😜😜😜😜
Siyo chembe chembe za kuzimu ila ni mtumishi wa kuzimu huyo,uliona wapi mtu anaishi kwa mauaji ya roho na mwili za watoto wa watu bila huruma,ikiwa hatoki kuzimu anawezaje kutumia fedha za uchafu uliopitiliza hivyo 😮 huyu mama amenichukiza hadi mwisho
Lkn hujatueleza yule zawadi alijuaje jina lake jingine
🤣🤣ila Lucas eti alitaka tulale mm nikakataa 😢😢mam mdogo unataka kumfanya nn dada debora😂😂
Kaka lumbasi unanifanya nikose usingizi daaah iyi story nimeyipenda kbs
Thanks ❤❤❤😢😢
Sauti nayo 😂😂 nimewahi leo 22
Nipe ripot Leah, sauti imekuaje😊😊
Kaka Lucas sauti nzuri sana kama uko na mdogo wako unipe🤣🤣🤣🤣
🎉🎉🎉🎉 maua yako Kaka Lucas lumbasi tunakupenda Sanaa❤ unatupa kitu roho inapenda🎉🎉🎉
@@leah5307 wote washaoa, mimi tu ndo nimebaki kichwa ngumu😅😅
@@mwanaibrahim3288santeeee Mwana, nawapenda piaaa🎉🎉😊😊😊😊
Kaka Lukas uko na kasi ya 5G, yaani weka tu weke, hatupoi😂😂😂
Hii kasi kuna watu wengine inawaburuza, wengine wanachubuka, wengine wanasema nipunguze speed wana presha😅😅😅
@@LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI kwa kasi hii wacha presha ipande tu ,maana ni balaa😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubaliana na huyo mdada kuwa before kuanza kufanya mapenzi huwa unakuwa na nguvu ya ajabu but ukishaanza kukutana na watu kimapenzi nguvu inapungua, na hata sio kupungua tu huwa inaisha kabisa ata mi nilikuwa hivyo ndoto zangu mbaya hazikuwa zikipita bure na ata mtu mbaya akiingia kwetu nitajua but sai ziliisha kabisa
🎉🎉🎉 wakwanza ❤ Leo 🙋
Kaka Lucas naomba utuletee ndoa yangu sehemu inayofuata pls hope tutajifunza kitu pls
Nice❤❤❤❤❤
Nanii yangu 😅😅😅
Kaka enderea kureta story tamtam
Leo umenikosha kaka Lucas mim nimepita zote nikakimbia kwa debora chukua maua yako alf sas hapo kwa kubebwa hadi raha debora
Part 2plzz
Asante sana ❤❤❤❤
❤❤
Wenzenu nilibebwa siku ya harusi kwa sasa nimenepa mpaka haniwezi😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 huo ni msiba wa wengi mbona 🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸❤❤❤❤
Asante sana kwa simulizi nzuri ,lakini kaka Lumbas nilitamani kujua Anti Mary aliishia wapi jaman huyo mama myesaji
Alifariki kwenye ule moto
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🙏
Sasa kisasa si wakauwane wenyewe ndugu wakuusiisha ww
Kitu ninachokiona hapa Ni kwamba wanawake wanashindwa kujiongeza Kwa kusema ukweli
We lukac we umetumaje iyo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉❤❤
❤❤❤❤ 🎉
🎉🎉🎉
😊
Maua ya kaka Lucas yako wapi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mh,huyu aunt Mary alichemka pakubwa, kusema tuone huyo Mungu wako?hadi namhurumia ingawa sijui yajayo 😮
jmni hamulali
Tulale alafu
❤
🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
😢😢😢😢🫣
Unachekeja wewelukasi
❤❤❤
❤❤❤❤