NINAJUA ALIKONITOA ...ni wimbo unaelezea ni kwa namna gani Yesu amenipigania katika Maisha yangu. Shiriki nasi kwa Ku SUBSCRIBE, COMMENT, SHARE & LIKE Kupata Nyimbo zetu zaidi na zaidi
What a blessed assurance from our saviour I am fully convinced of his presence that is continually with us he has not brought us this far to destroy us but for his glory to be seen
Ooh! Hallelujah. Acha niimbe sifa zake maana alikonitoa ni mbali mnooo. Mtunzi wa wimbo huu Bwana azidi kukutumia, waimbaji wote pia Bwana azidi kuwatumia.
Amen,kwa wimbo mzuri binafsi wimbo huu umenigusa sanaa barikiweni Nyakato choir BWANA aendelee kuwainua zaidi na saidi songeni mbele ombi langu endeleeni kunyenyekea miguuni pa Mungu
Sauti ya mwimbaji huyu inainua moyo uliochoka na kupotea urudi nyumbani. Tunakuombea karama hii uliyo pewa iwaludishe watu kwa Yesu Kristo Masihi. Nawe uwepo wa Mungu, ukuzunguke mwovu asije pata nafasi ya kuangusha karama hii. pia nimebarikiwa kwa muonekano wenu kweli mbarikiwe duniani na mbinguni juu mkaimbe ule wimbo wa mwana kondoo.
Wimbo mzuri. Ila soro haikutoka vizuri kabisa, sisemei sauti mbovu la hasha. .ila sauti ya soro haikuchukuliwa vizuri. Nafikiri ni makosa madogo ya studio
Wimbo ni mzuri sana ila dada aliyeimba solo kaufanya kuwa mzuri zaidi. Kwa kweli abarikiwe yeye na vizazi vyake🙌😊
Mbarikiwe watumishi. Wimbo mzuri saana. Hakika Yesu ni yote ktk yote.
Well done mko vizuri
Ujumbe nzuri tumepatikana mahali tofauti na Yesu , so tuwe naye kwa shida na raha ni mwokozi wetu 🙏
Amina
Amen Asante Ndugu wetu wa Tanzania kutubariki na wimbo wa Imani wa upendo wa yesu kristo
Amen
❤ barikiwa sana
Masoro mkuje kana tumewamisi
....she is such a song bird!!!!
Mubalikiwe sana
❤❤Nabarikiwa kila nisikilizapo hu wimbo
Mbarikiwe Sana
My favorite song
Wimbo nzuri sana mbarikiwe Nyakato
Ninajia aliko nitoa,mzuri sana ulio na ushuhuda
Amina kubwa
Fantastic nyakato
Mbarikiwe sana wimbo mzr sanaaa
Vema.
Superb Nyakato
Mungu awabariki sana Nyakato sda choir
Amiina
Mungu awabariki sana kwa utumishi wenu.
Nice, nabarikiwa Sanaa.
Glory to God
Bass nyie bass 🔊😊😊😊
Wimbo mtamu
Great
Amina
What a blessed assurance from our saviour I am fully convinced of his presence that is continually with us he has not brought us this far to destroy us but for his glory to be seen
Amen our God is faithful,Be blessed always
Amen
mlikuja beroya mission mlitubarki sana Kwa uimbaji wenu❤️
Daaaah naupenda sana huu wimbo , mfike mbaliiii❤❤❤❤
Ameen,,, barikiwa sana kwa huduma nzuri mnayoitoa
Ooh! Hallelujah.
Acha niimbe sifa zake maana alikonitoa ni mbali mnooo.
Mtunzi wa wimbo huu Bwana azidi kukutumia, waimbaji wote pia Bwana azidi kuwatumia.
Sister Jose umenibariki mno na sauti yako, wimbo umeutendea haki. Barikiwa Sana.
Amina Bwana apewe Sifa kwakweri 🙏
@@josephinekawooya Barikiwa sana ... Mungu azidi kukutumia itakavyompendeza zaidi siku moja nitasali pamoja nanyi Mungu akipenda
Barikiweni watumishi
Amen,kwa wimbo mzuri binafsi wimbo huu umenigusa sanaa barikiweni Nyakato choir BWANA aendelee kuwainua zaidi na saidi songeni mbele ombi langu endeleeni kunyenyekea miguuni pa Mungu
kuna nyimbo za album ya ILIMPASA hazijawekwa TH-cam
1. Neno huniburudisha.
2. Kanisa
zipakueni
Aminaa
Raha kubwa sana
Sauti ya mwimbaji huyu inainua moyo uliochoka na kupotea urudi nyumbani. Tunakuombea karama hii uliyo pewa iwaludishe watu kwa Yesu Kristo Masihi. Nawe uwepo wa Mungu, ukuzunguke mwovu asije pata nafasi ya kuangusha karama hii. pia nimebarikiwa kwa muonekano wenu kweli mbarikiwe duniani na mbinguni juu mkaimbe ule wimbo wa mwana kondoo.
Love you 😂🎉. calming music.Glory to God
Oooooh Fazah kazi nzuri mno Mungu akubariki na ibariki kwaya ya nyakato ♥️♥️♥️
Vema sana.
So nice song,
Great song with timely message. Mungu awabariki sana.
AMINA AMINA. Nabarikiwa na wimbo huu nikiwa GOMA-DRC.
Amina Amina Bwana apewe Sifa
amina ujumbe mzuri daima nitadumu miguuni na pa YESU
Barikiwa kwa mziki wa Kikristo
Nawapenda kwa uimbaji wenu Mungu awabarikiwe
Amen. Blessings☺️
Bwana awabariki Nyakato kwa mziki makini
Amina mbarikiwe
Mbarikiwe
Nice
Wow lovely...our own sister...thanks for having such a gud choir
Amen Uncle
Wimbo mzuri. Ila soro haikutoka vizuri kabisa, sisemei sauti mbovu la hasha. .ila sauti ya soro haikuchukuliwa vizuri. Nafikiri ni makosa madogo ya studio
super nyakto
ninajua alikonitoa
Bwana atukuzwe kwa wimbo mzuri..
Mbarikiwe Sana👨❤️👨🥰😘
Glory be to God
Amina tuko pamoja wadau
Amina glory to God
Najua Alikonitoa Go Nyakato🎼🙏
Alleluiah.. Calm and Sweet!
Amen Amen be blessed
Wow, amen
Huu wimbo unanibariki sana, nawapenda sana, Mungu awabariki
Good massage with Sweet voices, God bless all of you.
Barikiweni sana sauti na ujumbe mtamu
Amina Amina Bwana every apewe Sifa
Muende mbali Sanaaaaa🤩🤩🤩
Mungu awabriki 🌹❤️
Mbarikiwe Sana sana
Raha sanaa