Kashalipiwa hotel nakupewa supu kakubali yanga wajanja mnoo angalia hata pale wasafi waandishi hata kuikosoa yanga hawawezi watu wanatumia kila njia wazungumziwe vizuri, Sema na kwakua yanga wafanyanya vizuri bado wanahaki yakutamba ingawa fitna za nje ya uwanja na vyombo vya Habari navyo hersi kaviweza sana.
😂😂😂Wana smb aliekuwa anawaambia smba n kubwa leo anasema yanga anaweza kuifunga Aston Villa huyu si ww kuamin anatembelea Upepo wa Simba vs YaNGa aliwakoli mkajaa eeh kasema smba n kubwa kasha waruka tena😂😂😂😂
Hiyu jamaa ataftiwe team hapa bongo kubabake anafaa sana
Leo umeongea kimpira mzee hongera
Nyoka ni nyoka hata akiwa mtoto anauma. Mpinzani ni mpinzani mara zote kuingia kwa tahadhari. Yanga waingie kwa heshima kubwa sana kesho.
Hivi Mandonga yuko wapi. KWa kweli kila mtu anatrend kwa wakati wake 🙌🙌🙌
@@muska4real uliza piere liquid si bora mandonga
Uyu jamaaa nomaa anafaa popote chini tanzania
Hahaha yani uyu jamaa namkubali sana 😅😅😅😅
😂😂😂nimecheka sana huyu mwamba ana tuvitu vitu aisee
Huyu mwamba anaweza sana apewe timu bongo
Dah we jamaa fundi
😅 Hii yanga sio powa
Supu ya singida big star😂😂
Kwamba wao ni wazuri😮😮
Yanga msibwete huyu jamaa saiz amekuja kivingine ni game mindset hiyo. Watawageuka hai kesho.
Uyu jamaa aungane na kina alikamwe na Ahmed ali
kile kipigo kimemfanya akubali
Kuizungumzia simba kwenye mazungumzo Yako na Yanga Unakosea sana Wewe mtu
Uyu jmaa anaijua astomvila kwl😃😃😃
Kashalipiwa hotel nakupewa supu kakubali yanga wajanja mnoo angalia hata pale wasafi waandishi hata kuikosoa yanga hawawezi watu wanatumia kila njia wazungumziwe vizuri, Sema na kwakua yanga wafanyanya vizuri bado wanahaki yakutamba ingawa fitna za nje ya uwanja na vyombo vya Habari navyo hersi kaviweza sana.
@@FahadAbubakarialivyo waongelea nyie mlimupa nn😂😂😂😂
@@TijoTiger elewa point yangu siko kwenye ukolo au utopolo elewa point yangu si kila anaetoa tafakuri ni mpuuzi mpuuzi
Pointless
Ulifikili Simba utakupokea kama wenze2 😅
😂😂😂Wana smb aliekuwa anawaambia smba n kubwa leo anasema yanga anaweza kuifunga Aston Villa huyu si ww kuamin anatembelea Upepo wa Simba vs YaNGa aliwakoli mkajaa eeh kasema smba n kubwa kasha waruka tena😂😂😂😂
Hahahah😂
😂😂😂😂😂