MBUNGE AIBUKA NA VITAMBULISHO VYA TAIFA, AHOJI “HIVI NI BEI GANI SIJUI, TUNADANGANYANA”.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @raquelhussein8228
    @raquelhussein8228 ปีที่แล้ว +3

    NIDA ni changamoto 😥 🤔

  • @josephleiyani7668
    @josephleiyani7668 ปีที่แล้ว

    Upo sahihi sana bunge mm sijawahi kupata hio vitambulisho bado ukifuata hupati hii ni unyanyasaji

  • @dikisoni4616
    @dikisoni4616 ปีที่แล้ว +4

    Watu wanahonga pesa ndo unapata namba

  • @edwardnatharyblessed7067
    @edwardnatharyblessed7067 ปีที่แล้ว +2

    Kwanza hizo klvitambulisho havina msaada wowote ukiwa nje ya Tanzania maana hata kusajili laini ya inchi nyingine huwezi kusajili nayo, wakati inchi zingine kitambulisho ukiwa nayo tayari unaweza kusajili laini, ila shinda kubwa ya Vitambulisho vyetu za Taifa 🇹🇿 Havina scan yaani sijui hata Vitambulisho hivi ni vya aina gani

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 ปีที่แล้ว +4

    Mimi ninayo number tu kitambulisho nambiwa hakina haja kikubwa number siwaelewi kabisa

  • @nehemiahclaudian8942
    @nehemiahclaudian8942 ปีที่แล้ว

    Kuna wengne wamevitapata kwa kutoa pesa, ukwel skupenda na staoenda, mwananchi anae hangaika kutafuta riziki ake ili alishe family na wengine ni vjana walio maliza vyuo, ikifka wakati wakutuma maombi ya Ajira kigezo Cha kwanza ni awe na NIDA, inapelekea kushindwa ku apply na kukuosa ajira ukwel inauma, Nashaur wanao husika na kutoa vitambulisho tufanye Kaz kwa uadilifu na s Kuomba rushwa, huku mkikumbuka Mungu yupo,,

  • @sibomanasamary7486
    @sibomanasamary7486 ปีที่แล้ว +1

    Nida wasumbufu sijui hawaamini kama tumezaliwa

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 ปีที่แล้ว +1

    Hiyo NONDO safi sanaa

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 ปีที่แล้ว +2

    Vitambulisho hivyo,vina kasoro,watu wengi wamepoteza vitambulisho hivyo,havina namba za simu,vingekuwa na namba za simu,watu waliopoteza wangepigiwa simu na kupata vitambulisho vyao

  • @hairuissa7452
    @hairuissa7452 ปีที่แล้ว +2

    Umeongea vizuri sasa

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 ปีที่แล้ว +1

    I thanks God nilipata changu miaka mitatu iliyopita😊

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 ปีที่แล้ว +1

    2014 mpk Leo sijapata lkn unashangaa nch za wenzetu km uku urabun unafika nakupata lkn kwetu ni shida na wizara husika Haina majib yaan ni ajab ugenini unapata kwa urahis lkn nchi yangu upat kwa wakat duh

  • @castorymhoja6050
    @castorymhoja6050 ปีที่แล้ว

    Mm Sina kitanbulisho kwa Nini hatujapewa?

  • @mdta8161
    @mdta8161 ปีที่แล้ว +1

    Mie niliandikisha mwanzo kabisa Sina hata namba

  • @Johnny-b4i
    @Johnny-b4i ปีที่แล้ว +1

    Mwinguru we unaonaje mimi naona hii inchi mtaalam wa uchumi ni mimi tu kisha hii inchi ni yetu sote unasemaje wewe.

  • @daudirajabu6333
    @daudirajabu6333 ปีที่แล้ว

    Vitambilisho kiukweli tatizo ulienda kuandikisha wanataka cheti Cha kuzaliwa wengine vyeti vya kuzaliwa hatuna

  • @linusjohn4941
    @linusjohn4941 ปีที่แล้ว

    Kwetu Kagera wanasema sisi ni waganda na wanyarwanda na warundi je waganda ni watanzania na wanyarwanda na warundi

    • @mnyamamkalitv6575
      @mnyamamkalitv6575 ปีที่แล้ว

      Lakini wamasai hawaambiw kama niwakenya niatar mim nipo kigoma Yan kupata nishida

  • @benardthomas8347
    @benardthomas8347 ปีที่แล้ว

    Kuwe na bei elekezi sio kutuambia vitu haviwezi kushuka,

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 ปีที่แล้ว +1

    YUHU NAE PUMBA KABISA MFUMUKO WA BEI LINGANISHA NA KIPATO CHA MTANZANIA USILINGANISHE KATI YA NCHI NA NCHI

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 ปีที่แล้ว

    Vitambulisho mmesha kula pesa yetu mbwa nyie

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 ปีที่แล้ว

    Yaani hata hiyo namba kuipata ni kipengele. Bila hela. Hata hiyo namba utaiskia tu.

  • @abubakardarema7050
    @abubakardarema7050 ปีที่แล้ว +2

    Duu Mimi mwenyewe sija pata tangu 2019

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 ปีที่แล้ว

    tz yetu rushwa ndio imetawara sana me ninanombar tu na niriobwa pesa iri nipate kwakuwa nirikuwa naitaji passiporti haikuwa na jinsi lkn tz ni shida haupanti kitu kwa harari kwa haki ni hunyanyasaji tu kira reo ukitaka kitu ukipate kwa haki yako basi hutasubri sana tena unajibiwa hunamkono wa birika we kaha hapo kwa benchi subri ndio imeisha iyo

  • @nhawalala849
    @nhawalala849 ปีที่แล้ว

    Taiga hili maneno mengi utekelezaji ziro

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 ปีที่แล้ว +2

    AU TUAMBIE GHARAMA YA KITAMBULISHO ILI TULIPIE!!

    • @mercypeter162
      @mercypeter162 ปีที่แล้ว

      Kabisaaa waseme tuinunue kuliko kujizungusha

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 ปีที่แล้ว

      Bora waseme mbwa hao

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 ปีที่แล้ว

    Huyu mbunge yuko sahihi kbs vitambulisho vya Nida vimekua tatizo kwetu sisi watanzania yaan hata ukienda kujiandikisha wanakuzungusha balaa mpk unachok mimi naona ni bora wangevichapisha kwa mfumo wa vile vya kupiga kura ili kuepusha usumbufu

  • @frankmichael9866
    @frankmichael9866 ปีที่แล้ว

    Nchi Ina use.... Mwing Zaid ya miaka 5 mtu unasubir kitambulisho hakuna haja ya kua na NIDA,Lakin pia Sina Iman km vtambulisho vtadumu vmetengenezwa Kwa material dunii sana

  • @michaelimabiranga2201
    @michaelimabiranga2201 ปีที่แล้ว

    Yani nichangamoto

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 ปีที่แล้ว

    Maisha Ni magumu jmn mlo mmoja sikuhiz

  • @georgehape5298
    @georgehape5298 ปีที่แล้ว

    serikali imechoka bungee halina challenge

  • @khamisikasusura204
    @khamisikasusura204 ปีที่แล้ว

    Rushwa himetawala kwenye hiiillii

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 ปีที่แล้ว

    Nimeambulia number tuu. Wamenilamba jiwe moja. Bongo hamna kitu sirudi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 ปีที่แล้ว

    NIDA NI SHIDA TUPU
    KITAMBULISHO SIJAPATA NATUMIA NAMBA TU!!