Jinsi ya kuandaa business plan bora |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • jifunze jinsi ya kuandaa business plan ambayo unaweza kuitumia katika kuomba mkopo kwenye mabenki, na kupata udhamini katika wazo lako la biashara.
    business plan hutumika zaidi katika kutoa picha na muelekeo wa biashara fulani pale itakapoanza kufanyika.

ความคิดเห็น • 48

  • @hedentv6756
    @hedentv6756 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe umezifungua sana Fahamu zangu.

  • @boniphacejoseph3389
    @boniphacejoseph3389 6 ปีที่แล้ว +16

    Thanks Bro .... Toka niitazame hii video na kuongeza akili niliyokuwa nayo
    bas niliandika Business plan moja nzur tu
    nikampa boss wang na ameielewa sana mpaka dk hii keshatoa nusu ya pesa niliyohitaji
    so nipo kwenye harakati za kuanza kazi. Nataman kila mtu ajue umuhim wa mitandao ya
    kijamii sio mibaya bali ubaya unakuja pale ww unpotumia sivyo. kifupi huku kuna elimu zaid ya darasani

    • @GamechangerTV
      @GamechangerTV  6 ปีที่แล้ว +1

      +Boniphace Joseph ni furaha kwetu kusikia kwamba umeweza kujifunza hapa, kufanyia kazi na kuanza kuona mafanikio.
      Ahsante sana kwa feedback uliyotoa maana itatufanya tuendelee kuleta elimu zaidi

    • @isabelabomboko4813
      @isabelabomboko4813 5 ปีที่แล้ว

      Hongera

    • @KinyashiTV
      @KinyashiTV 3 ปีที่แล้ว

      Unaweza kunionesha mfano wa ulivyoandika nami nahitaji kujua kwa mfani ili iwe rahisi kuandika wangu wa biashara

    • @mayakarwoti2125
      @mayakarwoti2125 2 ปีที่แล้ว

      Kiukweli simu sio mbaya ila matumizi yako ndio yataifanya ionekane kuwa mbaya au nzuri.

    • @blessednassary8432
      @blessednassary8432 2 ปีที่แล้ว

      Na kuhitaji watu wakufollow post tu logical things faster tu followers kama wote@mimi

  • @JosephfNshito-md6vz
    @JosephfNshito-md6vz 29 วันที่ผ่านมา

    Big up brother 💪

  • @Kingmauwezo
    @Kingmauwezo 24 วันที่ผ่านมา

    Big up

  • @blessednassary8432
    @blessednassary8432 2 ปีที่แล้ว

    Umetisha sana mkuu, upo vizuri

  • @Tunu-p6i
    @Tunu-p6i 20 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sana broo sas samahani naomba unisaidie kunionyesha hata sample moja tulivoandika nijifunze,kwa maan sielewi chochote na nimepata deal la kumuandkia mt business proposal

  • @kelvinmassawe8631
    @kelvinmassawe8631 ปีที่แล้ว +1

    Umenifunua macho pakubwa sana sikuwa na akili za kuandaa katika mfumo huo UBARIKIWE MNOOOO

  • @HalidimsalaTz
    @HalidimsalaTz 8 หลายเดือนก่อน

    Aisee uko vizuri
    Nitafute nikupe tender

  • @jimy6041
    @jimy6041 3 ปีที่แล้ว

    Great kaka ni balaa🙌🙌🙌🙌

  • @bulashipeter1669
    @bulashipeter1669 6 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana 👏👏👏👏👏

  • @greatman296
    @greatman296 4 ปีที่แล้ว

    Natamani ningejifunza mapema zaid!! Thank you!

  • @lumbawenichimalilo1086
    @lumbawenichimalilo1086 6 หลายเดือนก่อน

    Thank so much you son

  • @yakscollection2488
    @yakscollection2488 5 ปีที่แล้ว

    safi sanaaa

  • @shufaamohammed2714
    @shufaamohammed2714 5 ปีที่แล้ว +1

    Good 👍

  • @sulejureij3799
    @sulejureij3799 5 ปีที่แล้ว

    Ipo vizuri,

  • @crispinodilobillia2130
    @crispinodilobillia2130 2 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @stanleyruheza
    @stanleyruheza 5 ปีที่แล้ว +1

    great👏👏👏👏👏

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 3 ปีที่แล้ว

    Be blessed

  • @Farminghustles
    @Farminghustles 6 ปีที่แล้ว +1

    Nimerudia mala tatu kwa umakini mkubwa na kuuelewa brother.

  • @sullecom
    @sullecom 4 ปีที่แล้ว +3

    Tunataka mfano ambayo tayari imeshaandaliwa sio maelezo mfano ulioandikwa kabisa

    • @KinyashiTV
      @KinyashiTV 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kama upo uoneshwe

    • @mayakarwoti2125
      @mayakarwoti2125 2 ปีที่แล้ว

      Umeshaelekezwa jinsi ya kupika unataka chakula ndio uamini kuwa kweli kupika kunawezekana??
      Za kuambiwa changanya na za kwako

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 6 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kaka

    • @GamechangerTV
      @GamechangerTV  6 ปีที่แล้ว

      tunashukuru pia na ni furaha kwetu kuona umeweza kujifunza kupitia chaneli hii, hakikisha umesubscribe ili kuweza kupata masomo zaidi

  • @eveliynejoseph1251
    @eveliynejoseph1251 4 ปีที่แล้ว

    👊👊👊

  • @alfredkadomole1114
    @alfredkadomole1114 6 ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏🙏

    • @GamechangerTV
      @GamechangerTV  6 ปีที่แล้ว

      tunashukuru kwa kuwa karibu nasi na ni furaha kwetu kuona umeweza kujifunza kupitia chaneli hii, hakikisha umesubscribe ili kuweza kupata masomo zaidi

  • @mayakarwoti2125
    @mayakarwoti2125 2 ปีที่แล้ว

    Kiufupi nilichokipata nilikuwa nacho ila mwongozo wa jinsi ya kukigawanya ndio ulinichanganya. Japo kuna baadhi ya miradi haitatimiza katua zote 8

  • @TheRock-yd7dp
    @TheRock-yd7dp 9 หลายเดือนก่อน

    Kaka . Weza kunioatia no. Yako

  • @TheRock-yd7dp
    @TheRock-yd7dp 9 หลายเดือนก่อน

    Kaka mawasiliano yako plz

  • @annahmichael4531
    @annahmichael4531 5 ปีที่แล้ว

    Thanks a lot kaka

  • @sjvb7121
    @sjvb7121 6 ปีที่แล้ว

    Asante kaka

  • @richardwasonga3587
    @richardwasonga3587 3 ปีที่แล้ว +2

    Mei ERICK wasonga Ni Fanya biashara Gabi nina sht50000

    • @mayakarwoti2125
      @mayakarwoti2125 2 ปีที่แล้ว

      Cha kwanza uwe na wazo binafsi. Yeye hakuchagulii biashara ya kufanyà

  • @hilalimbaga4498
    @hilalimbaga4498 6 ปีที่แล้ว

    Saf kk