ARAFAT AKAGUA UWANJA WA AMANI/ZAWADI YA JEZI KWA MDHAMINI/YANGA HII UNAIFUNGAJE?/

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 10

  • @josephmphela8270
    @josephmphela8270 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Zanzibar inejengeka kimichezo bara watu vifo tuuu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Zanzibar wajanja mnoo, CAF 2027 timu nyingi zitapanga huko hivyo, itajitangaza sana ki utalii Afrika na duniani

  • @severinostephano3213
    @severinostephano3213 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huuu uwanjoo ndo wa afcon jmnn kwelii mbonaa munatuaibishaa watanzania angalieni ivory coast walichofanga ongezeni idadi y watu elfu ishiri etyy Ani, angalieni majirani watatupiga gepu ongezeni idadi y watu so siasa tuu

  • @ShauriAli-o5y
    @ShauriAli-o5y 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kiwanja gani nacho

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hh😅

  • @sadih5333
    @sadih5333 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jezi zilizo bandikwa nembo ya Yanga

    • @jacksonjuma3653
      @jacksonjuma3653 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      we kolozidad hizo jersey ni official za YANGA ila ni za warm up kama hujui usikurupuke

  • @vincentdaud9954
    @vincentdaud9954 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Boresheni namna ya kukata ticket .tumepata kwa taabu hao mawakala wa N CARD

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Vituo vimetangazwa kwenye page rasmi ya yanga.....wewe unapataje shida???....kama upo Dar unaenda vunja bei au Jangwani pale. Zanzibar unaenda new Amani complex shida iko wapi?

    • @salmagodfrey4043
      @salmagodfrey4043 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ww n Simba nn