Huuu uwanjoo ndo wa afcon jmnn kwelii mbonaa munatuaibishaa watanzania angalieni ivory coast walichofanga ongezeni idadi y watu elfu ishiri etyy Ani, angalieni majirani watatupiga gepu ongezeni idadi y watu so siasa tuu
Vituo vimetangazwa kwenye page rasmi ya yanga.....wewe unapataje shida???....kama upo Dar unaenda vunja bei au Jangwani pale. Zanzibar unaenda new Amani complex shida iko wapi?
Zanzibar inejengeka kimichezo bara watu vifo tuuu
Zanzibar wajanja mnoo, CAF 2027 timu nyingi zitapanga huko hivyo, itajitangaza sana ki utalii Afrika na duniani
Huuu uwanjoo ndo wa afcon jmnn kwelii mbonaa munatuaibishaa watanzania angalieni ivory coast walichofanga ongezeni idadi y watu elfu ishiri etyy Ani, angalieni majirani watatupiga gepu ongezeni idadi y watu so siasa tuu
Kiwanja gani nacho
Hh😅
Jezi zilizo bandikwa nembo ya Yanga
we kolozidad hizo jersey ni official za YANGA ila ni za warm up kama hujui usikurupuke
Boresheni namna ya kukata ticket .tumepata kwa taabu hao mawakala wa N CARD
Vituo vimetangazwa kwenye page rasmi ya yanga.....wewe unapataje shida???....kama upo Dar unaenda vunja bei au Jangwani pale. Zanzibar unaenda new Amani complex shida iko wapi?
Ww n Simba nn