Dah mweshimiwa Raisi umegusa matumbo ila sio kwamba wote wenye D D D D ni vilaza chamsingi tufuate sheria ya Elimu na mafunzo ya ufundi.mtu ukifeli 4m 4 nakupata hizo pass za collage fuata sheria Mbona watukibao wamemaliza cheti diploma na sasa wana degree nzuri tu! Shukrani mweshimiwa
Asante sana Mr, President kwa anae lipinga hili akili yake ikachunguzwe vizuri...... atakua kilaza*100... sifa kibao mtaani niko chuo wamebinua midomo kumbe vilaza!... hahahahahahaaaa sante sana Mr, President.. tutanyooka tuu!..... UTANZAGIZA "HATUUTAKI TENA".
asante mh rais maneno sahihi kabisa ila mngefanya mpango wakuarudisha makwao kuliko kuwaacha watapakae mjini, lkn tumekuelewa mh tupo nyuma yako tunyooshe baba
Mheshimiwa mungu akupe maisha marefu ongoza nchi kama mungu alivyokupa kipawa cha uongozi
Kwa hali hii kweli wewe ni chaguo la Mungu umekuja kurekebisha nchi
kama hawana sifa kwa nini serikali iwadahili kusoma diploma huonitatizo liko upande wa serikali?
Barabara hewa ikoje🤣🤣🤣
Dah mweshimiwa Raisi umegusa matumbo ila sio kwamba wote wenye D D D D ni vilaza chamsingi tufuate sheria ya Elimu na mafunzo ya ufundi.mtu ukifeli 4m 4 nakupata hizo pass za collage fuata sheria Mbona watukibao wamemaliza cheti diploma na sasa wana degree nzuri tu! Shukrani mweshimiwa
nimeipenda sana hii mheshimiwa
Asante sana Mr, President kwa anae lipinga hili akili yake ikachunguzwe vizuri...... atakua kilaza*100... sifa kibao mtaani niko chuo wamebinua midomo kumbe vilaza!... hahahahahahaaaa sante sana Mr, President.. tutanyooka tuu!..... UTANZAGIZA "HATUUTAKI TENA".
Safi sana baba wa taifa letu
safi sana my presdent uko sawa
Aisee!
Thats why i chose u mr president may allah be upon u in shaa allah!!
th-cam.com/video/1MwlcjEdIzY/w-d-xo.html
safii sana mkuu
leo hii mikopo daaah 2naumia xana
well done be blessed
th-cam.com/video/1MwlcjEdIzY/w-d-xo.html
HahahAhaha mbavu zangu nakupenda sana Mh. Tulikuwa tumefika pabaya
ubarikiwe sana kiongozi wapinzan lazima wasione goja zako
asante mheshimiwa
kiongozi wetuuu mkweliiii
exactly presdaaa
Very nice
excellence president JPM umesema kweli Mungu akubalki sana
Hana lolote Raisi rohombaya kuna wangapi wanastahki hawakupata mikopo
nashukuru mungu wasomi tubaki wachache.
kiongozi sahihi
asante mh rais maneno sahihi kabisa ila mngefanya mpango wakuarudisha makwao kuliko kuwaacha watapakae mjini, lkn tumekuelewa mh tupo nyuma yako tunyooshe baba
@Saad Albute Exactly wataangaika buree nauli watatoa wapi ya kurudi makwao.
Baba kweli umeisoma inchi nawalalahoi umewajua na tatizo kulitatua pia wajua hongera
ila pleaz millad nakuomba uzifanye video zako downloadable coz kuna muda wengi tunakosa bundle for online watching
WE SUPPORT YOU BROTHER
tafuta software inaitwa INTERNET DOWNLOAD MANAGER (IDM) itakusaidia KUPAKUA video yoyote uitakayo
Thanks
simply download torch browser, it has downloading key at the top-right Handside
hatari
Duuuh ni sheeder
Bado sasa wenye simu hewa 16/6
hahahahaa u kill it
nisawa kabisa unachokifanya
sijajua
Poor vision
kilaza nawewe!......
+universal creative Studio achaga fikra kunjufu, wasomi tupungue
do right no matter what other people say
th-cam.com/video/1MwlcjEdIzY/w-d-xo.html
exactly>>>>>hao ni vilaza
hongeraaaa ww mwenye akili
Tumbua baba
asante mheshimiwa