Idris Elba apewa Ekari 80 Fumba Zanzibar kujenga studio za kisasa za filamu, Zollywood

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 137

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 2 หลายเดือนก่อน +9

    Zanzibar oyeeee🔥🔥🔥🔥🇹🇿

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwinyi sio mzanzibar sema mungu tu hua analipa haphap duniani

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daah Respect Mwinyi🙌🏼🙌🏼🙌🏼 yaani iwe Tanganyika iwe Zenji kote kote wa Zanzibar wametutawala

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio eboo mtawale nynyi tu kwani yko pekeyako hii nchi

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 2 หลายเดือนก่อน

      Ndio eboo mtawale nynyi tu kwani yko pekeyako hii nchi

    • @zahornassor5420
      @zahornassor5420 2 หลายเดือนก่อน

      Zollywood 😅😅

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc 2 หลายเดือนก่อน

    Ekar 80mmmh mungu wangu

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 2 หลายเดือนก่อน +1

    🎉🎉🎉🎉huu ndo wkt Znz kusimama🎉🎉🎉

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 2 หลายเดือนก่อน +1

    T.zollywood itapendeza

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 2 หลายเดือนก่อน +10

    Zanzibar imekwisha

  • @bizzoforreal8502
    @bizzoforreal8502 2 หลายเดือนก่อน +10

    Nani mwengine aliyeona zollywood imekaa poa Sana

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yajayo yanafrahisha sana....

  • @kiatu
    @kiatu 2 หลายเดือนก่อน +6

    Tuna matajiri kibao hii nchi ambao wakihamashishwa na kuwa enabled wanaweza kufanya analolifanya huyo bwana. Akili zetu ndizo zinatufanya tujitengenezee mambo ya kushangaa. Yaani kwa utajiri wa ardhi tulionao, duh, inauma sana - I miss Magufuli RIP. Haya bara tumsubiri Denzel Washington

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      @@kiatu hanisi kweli kweli ww mtu aekeze pesa yake alafu aje arikodi nani wena sepetu au hebu tuache sie watu apo wanaeka mpunga sio pesa za mawazo mtu ana zichungulia

    • @kiatu
      @kiatu 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@MohamedAhmada-ie7ke I know your type.

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 2 หลายเดือนก่อน

    Watalipajina lamukewe SABRINA 😂😂😂AWEEE🤝🤩🤩🤩

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 2 หลายเดือนก่อน +3

    Znz ni ndogo watu hata sehemu ya kulima hawana jee apewe mtu mmoja erka 80 ni wendawazimu leo watu wana mashamba yao wananyanganywa ni msiba

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@saidalhinai1131 fumba ni eneo maalumu lililo ekwa kwa ajili ya uwekezaji tangu zaman na tunajua ilo

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 2 หลายเดือนก่อน +4

    WAMEUZA NCHI TAYARI. IMEISHA HIYO HAKUNA ZOLLWOOD WALA KULLFOOD. GERESHATU HIYO.😅

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo zanziar Inaenda kuharibika sana 😂

  • @nobody07241
    @nobody07241 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wazanzibar tujiandae kutolewa kwenye nchi yetu

  • @SaidMohamed-k9h
    @SaidMohamed-k9h 2 หลายเดือนก่อน

    Studio ekari 80 ni studio gan hyo mnagawa ardhi

  • @khamis9187
    @khamis9187 2 หลายเดือนก่อน

    Zanzibar kitovu cha utalii Tanzania, but maisha ya wanzanzibar wa kawaida ni magumu mno, kila kukicha vijna kutoka kisiwani pemba wanakimbilia Dar es salaam kutafuta goodlife..wakat idad ya wazanzibar haizid hata 4 milions, ivi hayo mapato ya utalii kila mwaka yanatumika wap!!????

  • @KanalIdrissah-dh5hj
    @KanalIdrissah-dh5hj 2 หลายเดือนก่อน +13

    Dah! Zollywood siyo Tollywood umeona hapo! Tatanganyika hatuna chetu bado mpaka tuseme 😢😢😢😢 simaanish muumgano usiwepo hpana!!

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 หลายเดือนก่อน +1

      Munataka kila kitu kiwe chenu?

    • @saidiaswani-rw2mm
      @saidiaswani-rw2mm 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wacha kujipaguwa ingeitwaje sasa

    • @MS.independent8934
      @MS.independent8934 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kiufupi utaitwa Tollywood yn ni TANZANIA HOLLYWOOD kama hupendi sumu ya panya ni bei nafuu tu kunwa utupishe usituinginzie giza apa😂😂😂😂😂

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hee kila kitu pamoja 😅😅😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Tang yenyewe twaongozwa na mzazibar

  • @jangabauertv8288
    @jangabauertv8288 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yani hiyo zollywoord kwa sababu inafanyika zanzibar ila tanzania si muna bongo movies au

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂Wambie

  • @sumatraveler1957
    @sumatraveler1957 2 หลายเดือนก่อน +1

    NCHI YA HOVYO INAUZWA NA WAUNI WA ZANZİBAR 😮😮😮

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 2 หลายเดือนก่อน

    Mjiandae na ushoga

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tushauzwa, Daaaahhh😢😢😢
    Yaa Rabby, Yani yote yanayofanywa na Hawa Jamaa, But still tunawakumbatia....😢😢😢
    Mwisho wataweka Kambi za jeshi, na hamtaongea chochote....😢😢😢

  • @djafro8729
    @djafro8729 2 หลายเดือนก่อน +5

    Marafiki wangu uniuliza ushinda million ksh300 utaenda wapi. Mimi ujibu Zanzibar lakini wao ushangaa sana.

  • @RamadhaniMohamedi-de2vc
    @RamadhaniMohamedi-de2vc 2 หลายเดือนก่อน

    Iyo si serus ya znz jamani

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 2 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU MWAMBA NI KIPENZI CHA DUNIA

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 2 หลายเดือนก่อน +4

    Congratulations my country ZANZIBAR

    • @BuhetySharia
      @BuhetySharia 2 หลายเดือนก่อน

      Zanzibar is country??

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 2 หลายเดือนก่อน

      ​@BuhetySharia as your butok

    • @zaeexplore
      @zaeexplore 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@BuhetySharia tell me how many countries are in united republic of tanzania or it’s just since 1900s it’s was tanzania remember two countries united to make one nation by law not full fill

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      @@BuhetySharia ukitaka kujua kama Zanzibar ni nchi katizame umoja wa mataifa herufi gani ina simama ni U jiulize why iwe U na isiwe T, huu ni Muungano wa nchi 2 ambayo ni tanganyika na Zanzibar, nyie ndio hamna nchi maana tanganyika ndio haipo ila zanzibar ndio nchi maana ipo

    • @hadijamgambo-jn7kg
      @hadijamgambo-jn7kg 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@BuhetySharia kwani muungano ulikua wa mkoa wa Tanganyika na Zanzibar au nchi ya Tanganyika na Zanzibar? Chuki zitakuuuaaa

  • @DaudFataki
    @DaudFataki 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ngojeni yanayokuja msipoyashuhudia duniani mtayasikia kabulin

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 2 หลายเดือนก่อน +1

    Acha tuone uwezo wa kisanaa wa Zanzibar maana so far hawa watu hawatugusi bara kwa ubunifu wala ushindani hata chembe.....time will tell.

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 2 หลายเดือนก่อน +2

    Itaitwa zaw hood

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 2 หลายเดือนก่อน

    Hao wazanzibari, hulalamika kua watanganyuka ndio wamebadili maadili yao, wakati huo huo, wanawapa maeneo watu wanasapor ushoga na mambo mengine yalio nnje ya maadili ya kizanzibar.

  • @vanessarichard4468
    @vanessarichard4468 2 หลายเดือนก่อน

    Very nice

  • @Abuu_Mundhiri
    @Abuu_Mundhiri 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naona watanganyika wanavo lalamika wakiti wao bandari t ilikua nishida

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 2 หลายเดือนก่อน

    Majasusi Tu hayo

  • @uaeuae1871
    @uaeuae1871 2 หลายเดือนก่อน +1

    😃😃👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

  • @NasriHamza-y8y
    @NasriHamza-y8y 2 หลายเดือนก่อน

    Mnajiuza na kuuza nchi bila kujua hakika fikra hazitumiki hakika naamini maneno ya triumph wenge akil hawatumii na ambao hawana wanaaminishwa nchi ya ahadi ambayo haiko...hakika so sad😢😢😢😢😢😢😢

    • @kiatu
      @kiatu 2 หลายเดือนก่อน

      @@NasriHamza-y8y inasikitisha sana bruh. Mimi Naomba viongozi wetu wakienda nje wakipata ideas zinazohusu matumizi ya raslimali za taifa walete mapendekezo kwa wananchi kupitia bunge, angalau halafu maoni pia yawe solicited from the public. Tunamiss input ya general public kwenye mambo haya. Hizo international film villages(studios) zilianza very humbly. Tanzanians can do this, come on washauri wa rais 😐

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf หลายเดือนก่อน

    NA mimi niwe msanii

  • @zahornassor5420
    @zahornassor5420 2 หลายเดือนก่อน +1

    80 za nn watu wanektie kwenye chumba tu skuiz aloo Daah balala ya kujengwa kiwanda kikubwa cha samaki😢

    • @Myplusbee
      @Myplusbee 2 หลายเดือนก่อน

      Tatizo labda studio yenyewe inaweza isiwepo lakini kama inawepo, Studio ya Filamu ni TOFAUTI na Studio ya Muziki! Na ukiamua kweli kweli, hata hizo Ekari 80 ni NDOGO SANA !!

    • @mohammedmaulid892
      @mohammedmaulid892 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MyplusbeeHuyo jamaa haelewi cku hizi watu wana act katika studio
      Kwani izo avengers zina actiwa mtaani au

  • @ProsperUlungi
    @ProsperUlungi 2 หลายเดือนก่อน +5

    Wajiandae na ushoga kuenea zaidi😀🤣🌈🤤🌈

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 หลายเดือนก่อน +6

      Wazanzibar sio mashoga ila hao mashoga unao wakuta asili yao ni kutoka bara huo ndio ukweli

    • @sagatv4306
      @sagatv4306 2 หลายเดือนก่อน

      Wanajuwa kuwa hayomambo hayapo kwetu

    • @masoudjuma8169
      @masoudjuma8169 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe bwege Nini uko bongo Kuna mashoga kibao

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 2 หลายเดือนก่อน

      @@salumabdallah2990 asili ya mashoga ni watu wa pwani ni ngumu kumkuta shoga muhehe au mkurya msukuma ila wapemba wadigo ndio wamejaa mfano mauzinde ni mpemba kuzaliwa Zanzibar kakulia Zanzibar na anafirwa Zanzibar🤤🤣🤣🤣

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@salumabdallah2990 hakuna mbara shoga

  • @bsm47
    @bsm47 2 หลายเดือนก่อน +1

    80 yote atafugq namifugo au

  • @comics3437
    @comics3437 2 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria wangu haba cheti😅😅😅

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S 2 หลายเดือนก่อน +6

    Zanzibar inaenda kuwa mlango wa mafanikio kwa Tanzania 🙏🙏🇹🇿

    • @Fatma-wi2co
      @Fatma-wi2co 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli maneno yako , sisi Wazanzibar hua hatunufaiki , mapato huletwa Tanzania.

    • @RitbayRitbay
      @RitbayRitbay 2 หลายเดือนก่อน +3

      Astghafiruwallah subhanallah labda watuletee uhuni na ushoga

    • @Peaceman-S
      @Peaceman-S 2 หลายเดือนก่อน

      @@RitbayRitbay acha kuwa na negative patheption
      Kama ushoga Zanziba upo mwingi

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Fatma-wi2coujiulzi hako ka kisiwa ukitoa hekali 80 mnabakiwa na mimi kwa ajili ya watoto wenu

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@JKQGAMEkwani ukiwa mzazibar lazima ukaishi Zanzibar?

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo wamenyang'anyw masikini kapewa mgeni😢dooo Africa aloturoga nani?

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ushoga, pombe na ufuska utaongezeka maradufu...ndugu zangu washirazi wajiandae

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 หลายเดือนก่อน +1

    🇹🇿🎉

  • @OdhiamboLazaro-y8o
    @OdhiamboLazaro-y8o 2 หลายเดือนก่อน

    Namimi nipewe eneo nilime karafuu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน

    Jina Iiitwe zanzi hood ilo jina ndo nimelitunga mim apo

  • @حكايةغد
    @حكايةغد 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi Mzanzibari naomba munipe ekari mbili tu nifuge kuku wa mayai 😅😅 yaani nchi yetu inagaiwa kwa wageni na sisi tunakufa njaa

  • @mandlasakhile9109
    @mandlasakhile9109 2 หลายเดือนก่อน

    Elba nae Hollywood? not sure!!!!

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu mama anauza kote kote 🤣🤣🤣🤣

    • @hafidhissa4405
      @hafidhissa4405 2 หลายเดือนก่อน

      Mara hii si ameuza kwao, wee unaumia nini 😂😂

  • @erickagwe8841
    @erickagwe8841 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar, lkn wageni wengine ruksa🤔🔨

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ukikua utajua sie tuna jielewa zamani sana mgeni sisi tunampa lease

    • @salma-fc4xc
      @salma-fc4xc 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sio kweli mbona wanajenga hadi ba mdogo wangu kajenga zenji maeneo tofauti tofauti.

  • @danielsostenes1640
    @danielsostenes1640 2 หลายเดือนก่อน

    Mmempa ama mmemkodisha yan nyie haaa aya na mm nipeni

  • @Mrdragoon85
    @Mrdragoon85 2 หลายเดือนก่อน

    Ila Mie Mzalwndo hata Kiwanja Sina 😂 nitaoza Hapa Zenji 😂

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwann IWE ZOLLWOOD WAKATI STUDIO NI YA TANZANIA NA ALIONGEA NA RAISI WA TANZANIA? AU NI MUENDELEZO WA UBAGUZI WA WAZANZIBAR? 😮😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮😢😮

    • @zanzibarboyzanzibar509
      @zanzibarboyzanzibar509 2 หลายเดือนก่อน

      Sioni kama kakusudia Ubaguzi hapa Ndugu katoa Maoni yake tu

    • @Clever-l8v
      @Clever-l8v 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wizara ya Sanaa zanzibar na tanganyika kila mtu na yake

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mlianza nyinyi kwa kuita bongo muvi.

    • @hadijamgambo-jn7kg
      @hadijamgambo-jn7kg 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwakua studio ipo Zanzibar itakua chini ya Baraza la Sanaa la Zanzibar, Zollywood Habari ya mjini

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 2 หลายเดือนก่อน +1

    Watu bwana ,sasamwekezaji anakuja unaongea wajitayarishe na ushoga ? Wht does it mean? Signing logic hapo? Watanzania duuh

  • @konshazikonsha6180
    @konshazikonsha6180 2 หลายเดือนก่อน

    Je wazee wa huko fumba watakubalii? 😂😂
    Maana naijua Zanzibar na vijiji vyake In an Out.
    Wazee wakijiji wakisema atutaki mambo yenu ya hanasa Iyo imeisha.
    Mkilazimisha mtajua hamjuii😂😂😂😂

  • @TeacherBoda
    @TeacherBoda 2 หลายเดือนก่อน

    Kujenga studio tuu ndo ekari zote hizo? Wakat hata ekari moja na nusu ingetosha kabisa pamoja na eneo la car parking

    • @godfreykeita9804
      @godfreykeita9804 2 หลายเดือนก่อน +2

      Studio syo jengo moja au mawili,
      Studio ya movie ni pamoja na ujenz wa mandhari ya kila aina kwa ajili ya kurekodia movie. Haiitajiki waigizaji kwenda location

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini zollwood na sio tanzwood 😏😏😏 nonsense

    • @SilimaUssi
      @SilimaUssi 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sisi tunanchi yetu ZANZIBAR na nyinyi taftenii nchii yenuu

    • @bizzoforreal8502
      @bizzoforreal8502 2 หลายเดือนก่อน

      😅

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 2 หลายเดือนก่อน

      @@SilimaUssi better to be separate

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 หลายเดือนก่อน


      HHHH 🏃🤦🏿🏃HHHHH

  • @revocatusbahatibussiah
    @revocatusbahatibussiah 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika Tanganyika
    Msilale

  • @wazi1991
    @wazi1991 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tujiulize serikali imetoa wapi hiyo ardhi

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kwn ardhi huwa ni ya mwananchi au ya serikali?

    • @حكايةغد
      @حكايةغد 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@rumdeesonsoa1811Ardhi ni mali ya umma sio ya serekali

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 หลายเดือนก่อน

      @@حكايةغد Ukishasema mali ya uma manaake ni ya serikali ndio maana madini yakigundulika kwenye ardhi yako serikali itakuondoa tu bila kukulipa chochote zaidi ya kifuta jasho tu

    • @hamzamussa7081
      @hamzamussa7081 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@حكايةغدhuijui katiba ya Tanzania na katiba ya zanzibar ...ardhi yote ya muunganiko iko chini ya mamlaka Raisi na serikali yake....Uma umepangoshwa tu

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 2 หลายเดือนก่อน

      @@حكايةغد wazanzibar watapelekwa mwanarumango wakaishi maana tayari znz imeshauzwa kuna wananchi wanalalamikia ardhi yao kujengwa airport ya pili nchi ndogo