Appreciate bro
👍👊
Am very impressed kaka nimekuha mwaka wa 5 hapa India cha maana mpaka saivi sijapata, na uyo kaka wa bike kanishawishi dolla 1000 Kwa week , waow mm nimwanamke Ila iyo baiskeli nitajitahidi tu
Huyo itakuwa Mnajuana kabla
Dnyota hakuna mawasiliano mengine kama nikitaka mawasiliano ya private like namba za sm au email yako make nataka kuogea na wewe ila si TH-cam au whatsaap pls
Ila Kuna watu Wana roho nzuri maskin ad kasimama daaah
Dnyotanimekufuatiria reoilibaadayamda mchancheutakuwa juuu sana kwahabariya mtandaon
Tunapenda tatizo lugha sasa ulivyo zungumza nae hata sikuelewa
Oy sio poa Bob yan najihisig ka nmefika chocho za new York
mamba mbona hazikutimia
Napataje namba zako za whatsap tufanye process
Land of milk and honey 🍯 tuoyeshe njia bro
Hadi nataman nipae nije ya kukosa hera hku jaman😅😅
Mi nikija huko ntakuwa dereva uber, ntafanya kazi kama kichaaa hakuna kulala
Una hela ya kwenda au anakuinspire n nn
@Dnyota, Kaka hizo kazi za delivery ni lazima utumie baiskeli? au inaruhusiwa kutumia hata gari ndogo, uki drive?
Yes unaweza kutumia gari, ila gari foleni nyingi alafu kupigwa faini rahisi ukipaki vibaya, ndio mana watu wengi wanapenda baiskeli aina stress
@@dnyotausa6154 una akili Nyingi Sana bro