Waooooooo hatimay lohoziturie mana tunacunguria mpaka ikahisi tumeacwa kwenye35 ju madame wetu wanatuwacaga kama Gobol Lukas💐💐💐💐nashukran🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💚💛💚💛💚💛💚
Thanx lucas kwa turudia follow wako tena na kuwajali bila kujali maneno ya vidomo vyio vivobu wasahame sana bro mungu endelea na kazi yako vila kujali maneno yao nakuwaelewa tuedelee na simulizi yetu be blessed 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Asante ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Roma iyo mimba abebe Edna tuu baba iyo michepuko iburudike yenyewe tuu muda wawo ukiisha watuliye chini wamuache mwenye ndowa yake aitumikiye maana apo nikuangaika kwa tamaa za mwili wa Roma juu mkee ajampa
Nafurahishwa sana na aina ya maisha anayoishi Roma,yaani hahangaishwi na mambo ya duniani isipokuwa anaelewa kama anafanya nini kwaajili ya nini,kweli huyu mwamba namhusudu sana💪💪
@@Evelynmoreen3655 😂😂michepuko ya mfalme haiwezi kuuana,siunaona anavyowapanga kwa busara na inaonekana kila mtu ataijua nafasi yake,nina hamu sana yakujua kama mfalme Pluto atakuwa na darasa lake,na hao wachina tusubiri vitu🤣🤣🤣
Finally your here we missed you welcome back dude
Hatimae tupo pamoja tena wanafamilia,pole kwa changamoto na asanteee kwa kutuletea Edna 😊
Asante kaka Lucas na pole kwa mtihani tunakupenda
Jamani niliimiss sana Edna 🇴🇲🇴🇲 woyoo shukran sana Anko Lucasi kwamwendelezo wetu wa Edna Love you somuch anko Lucasi 🇴🇲
Asante sana kaka Lucas
Wa 4 wadau nawapnda san na kaka lucas mungu azd kukubrki na kukulnda kpnz na twakupnda san mungu aklnd kwa kla hatua maishn mwako🎉🎉🎉❤❤❤
Waoooo ubarikiwe sana tuliimisii sanaa
❤❤❤ Asante kaka lucas
Ooyoooo team Roma mpo poa jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Asante kak Lucas na pole Kwa mtihani tunakupenda sana🎉❤❤
Kha ila hii simulizi haichoshi kuisikiliza ila uwe na haikili sema luka bhan kingeleza hicho hadi raha😊😊❤
Wakwanza leo jaman❤❤🎉🎉
Kazi nzuri
Thanks God hatimae imekua❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza 🎉
Oyoooooooo nyieeee njoeni kipenzi chetu lucas anatuita ukuu🎉🎉🎉
Doooh nilisubiri Hadi sikua na Raha aisai nilikua natazama kila mara kama kitu kiko taari 🎉❤
Ohoo kaka Lucas niliisubiri sana Asante
Nimewah jmny🎉🎉🎉
Hey, you have made my day. I glad you are bringing Edna uninterrupted!🎉
Eeeh.mungu.asante.kwa.wema.huu🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Finally tumefikiw jaman Kam ulikuw umemmic Roma vs lanlan gong like hap 🎉🎉🎉🎉
Woow subira huvuta heri asant sana mdogo wangu wacha tuangukee nayoo coments badae
Me natak wte wasifanikiwe afanikiwe edna pke yke mna uyo roma kazinguw kwel sas ndo nn kufundisha michepuko bdala amfundishe edina pke yke
😂😂😂😂 ata mm ananichukiza xana uyu Roma kwa kushirikisha michepuko yake kwenye mambo ya msingi
Mimi naona hao michepuko watakuja kuuwawa mmoja bada ya mwingine mi yangu macho hapo mwenye atabakia ni Edna tu😂😂😂😂
😂😂😂😂 nabado michepuko inaogezeka
Wooo I was waiting for it
Kaka lucas asante ilibaki kidogo nikupigie simu kujuwa vpi EDNA
Waooooooo hatimay lohoziturie mana tunacunguria mpaka ikahisi tumeacwa kwenye35 ju madame wetu wanatuwacaga kama Gobol Lukas💐💐💐💐nashukran🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💚💛💚💛💚💛💚
Asante nawe pia
Mmi namuombea edin awahi❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante sana mungu akubariki papa ❤
Roma ndaniiiii ya house🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤❤wow wakwanza
Ahsante sana lucas hatimae Edna 36 imefika
Dhaaa leo mimewahi jamani😢😢
Roma ameiharibu hii simulizi
Thanks for you lukas. Hatimae tunaskizana tena
Hatimae tumekutana tena kama familia ya lucas lumbas simulizi glory to God.tulieni nawape likes
Kunauwezekano wa wote kukosa iyo mimba na Edina akapata😅😅
Yaan bora abebe Edna ❤
Natamani iwe ivyo
Ntafurah San jaman
Itakuwa ivooo😂
Kabisa
Msiwe wacoyo wa like wadau nimewai tafazali🎉
Safi sana Edna naona sasa mambo unayanongesha, mpee mahaba huyo Roma mpaka akikutana na hao michepuko aone sura yako😊😊😊
🎉 ❤❤❤❤
Tuliingoja sana. Hongera kuendeleya .
Hatimae umetukumbuk daah sio kwakututia ugonjwa 😂😂😂🎉🎉❤asante kwamuenderezo
Good ❤
I'm late but no worry 🎉❤❤❤
Asante sana kaka lucas lumbas
Samahani sana muendelezo usichelewe sana
Wow finally imeletwa waa❤❤❤❤🎉🎉
Asante sana,Mungu mkubwa 🎉
Asante sana kaka ❤❤❤❤🎉
Thanx lucas kwa turudia follow wako tena na kuwajali bila kujali maneno ya vidomo vyio vivobu wasahame sana bro mungu endelea na kazi yako vila kujali maneno yao nakuwaelewa tuedelee na simulizi yetu be blessed 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Asante san kaka lumbasi
Finally kaka yetu leo umetukumbuka ubarikiwe mnooo❤❤❤
Is good ❤
Kaka Lukas itabidi Utuletee Edina Kila Siku😊
Jamani na vyeny tumeimiss edna❤❤
Asante ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Roma iyo mimba abebe Edna tuu baba iyo michepuko iburudike yenyewe tuu muda wawo ukiisha watuliye chini wamuache mwenye ndowa yake aitumikiye maana apo nikuangaika kwa tamaa za mwili wa Roma juu mkee ajampa
Asante sana tena sana.
Wawah atimae tunaendelea mc team roma and edina wote
Mauwa kwa kaka lukasi ❤❤🎉❤ umetukumbuka Leo like kwa luca
Hatimae tupo pamoja ashukuriwa mungu
Waooooo, hatimae imetoka
Lucas umetupunguzia masaa mbna unatuonea jmn
Tulikumisi sana kaka hongela ubalikiwe hata kazi azeendi❤❤❤❤❤❤
VIP Mumbi Wa Naivasha ako Ndani wapi likes
Waooo♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💃
Nashukuru sana kaka Lucas kwa hii simulizi mungu akulinde kesho utulete ingine ya Edina nikupe maua🎉🎉🎉
Jamn mnakubaliana na Mimi kua atakaye batik a kubeba mimba n Edna mnipe laiki zenu na.kamaua kisi nyi mashabiki wa Lucas plz🌾🌾😬
Mpaka tumeisahau
Yap lkuwa twasubir Haswaa asante sana Lucas lumbasss, chukua 🎉🎉🎉🎉
Ukifikwa na shida gani ndugu
Nimewahii jamaniiii nipeni likes zangu
🎉
Wow
Nafurahishwa sana na aina ya maisha anayoishi Roma,yaani hahangaishwi na mambo ya duniani isipokuwa anaelewa kama anafanya nini kwaajili ya nini,kweli huyu mwamba namhusudu sana💪💪
Najinsi alivyo wapanga hao michepuko yake sipati picha jinsi watauwana wao kwa wao kwawivu wao,sasa nawa china wameingia mkenge😂😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 😂😂michepuko ya mfalme haiwezi kuuana,siunaona anavyowapanga kwa busara na inaonekana kila mtu ataijua nafasi yake,nina hamu sana yakujua kama mfalme Pluto atakuwa na darasa lake,na hao wachina tusubiri vitu🤣🤣🤣
@@avelinabaluhya2804 hakika 🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani dkk17 tu nimekuwa wa50 ❤❤❤🎉🎉🎉
Haka katoto nikazuri sana jamani wacha tuseme ukweli tu
Sema leo umetupunja utamu lucas
Tunakupenda Lucas jamani na uvumilivu wetu❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wasema kaka Lucas lalan misosi sindio
Sijachelewa sana 😂❤❤❤❤
Jamani jamani uhhhh asante sana 😘🇲🇿
Kaka lucas lumbas inshallah kesho❤
Alihamdulih🤲🤲
Bismillah❤❤ Mimi ndo baby minah wake Roma❤❤❤
😂😂 hatimaye tumefikiwa Jaman woyeeee edna
❤❤❤
Wow kameingi🎉
Woooh nimewahi leo😂
Hatimae imekuja aki Alafu lanlan nae na nyama aki😂😂
acha niwape likes hata kama hamunupeangi😢
Duuuu hatimae jmn nilimiss sana
Jamani mpo moto mara hii tu mshajaa ❤❤❤
Atimae jamani tumefikiwa Asante mungu
Bora umetukumbuka
❤❤❤🎉
Asante lucas
Jamani asante lukasi
Anko Lukas nipe namba nikutumie pesa za ahadi ya juzi mm n mkenya nipe maelekezo
Duuh hatimae
❤❤🎉 Asante
Nilisubili sana