''TUSILETEANE UJINGA HAPA - NINA FAILI LENU LOTE - KUANZIA LEO SIO MKUU wa IDARA'' - MAKONDA AWAKA!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- ''TUSILETEANE UJINGA HAPA - NINA FAILI LENU LOTE - KUANZIA LEO SIO MKUU wa IDARA'' - MAKONDA AWAKA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Makonda usikate tamaa brother, kaza uza Mungu atakuinua zaidi!
Makonda ukuwe blessed buddah 💪🏾🙏🏾
Nakupenda sana makonda kwamisimamo yako yakweny kaZ na kujiamni mungu atakulinda ufe kwaahad na s kuzulumiw na walimwengu
Mashallah muheshimiwa makonda mungu akubarik kwa kutetea wanyonge.unakwenda mguu wa marehem magufuli vizuri sana mungu akubarik wewe na mama samiha hongera sana.
Makonda umenifanya kwenye kazi yangu nimekuwa smart japo sipo serikalini,lakini nimejifunza kuweka kumbukumbu ya kilakitu! Kila wakati boss anaponiuliza swali ,ninayo majibu mdomoni na kwenye record zangu!
Tunaomba ubadilishe wanawake kwenye ofisi wanajickia sana na kutujibu vibaya
Wanasheria Manisapaa,utaratibu wa ajira uangaliwe upya
Mimi ni mkenya,huyu ni God sent.
Makonda mungu wa mbinguni aendelee kukutetea ❤❤❤
Mungu akulinde Makonda
Asante baba Makonda 👏👏
Watanzan wenye mapenz mema na nchi yetu tumuombe makonda kaz aliyonayo ni ngumu sna,, 4:39
Mkono wa Mungu uwe juu yako. Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa.
Arusha imependelewa💪🏻💪🏻🔥
🎉
Noma sana
Naomba niulize swali watu wa MUNGU kwani hao wakuu wa mikoa mingine mikoa yao haina changamoto kama hizi? Mbona hatujawahi kuona wanafanya hivi?
Wahuni tu
Wakuu wa mikoa na wilaya nyingi wakifika sehemu wanatengeneza jinsi ya upigaji wakishirikiana na watumishi!
Sasa angalia hilo box kwanza neno Boss sio rasimi ktk matumizi ya kiserikali
Mungu akusimamie makonda
Makonda mi nakupa jina la gegedu chukua maua🎉🎉🎉
Vita kweli kaka tunakuombea dua
Global tv rekebisheni background sound please
Chuma ichoooooooo
Toa hyo kenge haiujui umeshindaj kes ngpi
sijawahi kuona mkuu wa mkowa mchapakaz kama makonda makonda ataingia peponi
Akiwa muislam ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Moton akafanye nn sas😂😂😂
Piga kazi, piga kazi, piga kazi baba... Muda hautoshi
Huyu makonda Mungu amlinde sana
Siku Zote Mkitaka Kuugeuza Mkoa Wenu Kuwa Mkoa Bola Ugeuzeni Kuwa Kama Nchi Yani Mkoa Uwe Kama Nchi Na Mkuu Wa Mkoa Awe Kama Raisi Wa Mkoa Na Awe Mzarendo Wa Kweli Akika Baada Ya Miaka Michache Mtakua Kama Ulaya
Ww ni mtu wangu wa NGUVU.
Utawala bora ndo unatukwamisha we bora watch kama Hwa kule China kumamake wananyongwa ndoana China wake mbali hawana mchezo na maendeleo we vipi bhanaa.
Bora nteketeze MB zangu kwa kumu hangalia makonda
Hata mimi
Duh
Halafu kuwa muelewa makobda hamfukuzi mtu kazi ila anakutoa kwenye ukuu wa idara ni Sawa tu
Arusha labda waamishwe Takukuru walioko hapo mkuu
Makonda ww ni mtu na nusu na robo na kilo 🎉🎉🎉
Hawa wanasabisha tunailaumu serikali yetu kumbe hawa vilaza ndio wapumbavu
Huyo zombi mkuu wa idara gani mpuuzi
Unajua inaumiza sana watu wanapewa kazi lkn hawana moyp wa kufanya kazi lkn huyu anyone kana ni kiburi wananchi wanapata shida kwasababu yao
Huyu jamaa anawanyoosha balaa
Arusha burudani
Chuma
Ovyoooo
Kuna haja ya kumfukuza hadharani? Je si mambo ya kiongozi ya ndani? Je huu ni utawala Bora?
Utawala bora ni uwajibikaji kwa wananchi ili kutatua matatizo yao.
Utawala bora wa lushindo
Tulia
Hayo mambo wanayofanya halmashauri yana ubora gani???
Ndio kuna haja. Tena hadharani. Unaongea pumba
Wapingwe spana kwelikweli
Good sana