Masha Allah kwakweli ndio Kwanza niwaone Leo kwenye movie ILa hongereni Sana mpo vizuri Sana na mumeonesha ustadi wa Hali yajuu katika hii filam, Allah awazidishie Zaid ya hapo mlipo na mfike mnapotarajia. From: DOHA QATAR.
Assalam alaykum muvi ninZur Sana funzo Kwa dada zetu juwa kwamba ukiwachwa taeaka Tatu hauruhuaiwi kulegelewa lamda uwolewe namume mwengine akuwache ndio mtalaka wako wa Kwanza aweze kukuwoa tena napiya vilevile ukimdai mume taeaka bila sababu zamsingi hutoipata hata harufu ya Pepo Najuwa tuko kwenye mafunzo Niwape hungera watengenezaji wahii muvi
Hongerani sana kwa Elimu hi ni movie nzuri wenye mafunzo. Wanawake wenzangu tujirekebishe usione mwanaume anakupenda kuna siku atachoka. Hongera sana baba othmani na mama Asma💗💗❤❤💕💕💕👍
Mashaallah...... Yn hukikosa Kujifunza kupitia hii ww c mwanafunzi😍😍😍😍😍😍piga keleleee kwa baba asu ake Weeeuweeeeeeeeeeeee😘😘😘😘😘mama asma umependeza acikwambie mtu💝💝💝
Huyu jamaa anajua sana... Ila movie zake ndio ghali sana kuziona. I really appriciate his films. Mpoyoka mi naomba tumia pia media katika kazi hii...maana ulimwengu tulio nao umebaki mitandaoni
Ushauri mzuri sana ila media wanabana sana, watu walio pewa dhamana ya kukagua movie mpaka uwahonge ndio wqnapitisha. Nimeoeleka media zote ujinga ni uleleule ndiomana tumekimbilia tukiwa na imani tukipata wafuasi wengi mambo yata kaa sawa cha muhimu ni sapot kutoka kwenu
Huyo dada kapata bwana mzuri sana akumbuke ndoa niyawatu wawili tu akiingia wa tatu hpo hakuna ndoa mwisho itakua mbaya
Aiseee.move kali sana yani bonge la fundisho
Masha Allah kwakweli ndio Kwanza niwaone Leo kwenye movie ILa hongereni Sana mpo vizuri Sana na mumeonesha ustadi wa Hali yajuu katika hii filam, Allah awazidishie Zaid ya hapo mlipo na mfike mnapotarajia.
From: DOHA QATAR.
Ameen yaraab alamiin 💕💕
ASANTE JIRANIIII😍😍😍😍😍😍NAKUPENDAJE..... ALAFU MAMA ASMA UMEFANANA SANA NA MAMAANGU MDOGO............!!!!!!!!!
Assalam alaykum muvi ninZur Sana funzo Kwa dada zetu juwa kwamba ukiwachwa taeaka Tatu hauruhuaiwi kulegelewa lamda uwolewe namume mwengine akuwache ndio mtalaka wako wa Kwanza aweze kukuwoa tena napiya vilevile ukimdai mume taeaka bila sababu zamsingi hutoipata hata harufu ya Pepo
Najuwa tuko kwenye mafunzo
Niwape hungera watengenezaji wahii muvi
Hongerani sana kwa Elimu hi ni movie nzuri wenye mafunzo. Wanawake wenzangu tujirekebishe usione mwanaume anakupenda kuna siku atachoka. Hongera sana baba othmani na mama Asma💗💗❤❤💕💕💕👍
Kbsa dadangu
Mashaa Allah nzuri sana leta nyingine
Ume subscribe lakini!?
jiraniiiii unaweza si mchezooooo
Chezea talaka ww ......salimia mamdogo😍😍😍😍
Hanaaa lakeeee huyoo
Movie nzuri sana.baba asu nimekupenda pia big up
Mungu awabark sana kwa fram zuri imenifudisha kabisa
Eti nampenda sana mmewangu we jinga sana
Tena sanass
Hongera sana kwa hii vilamu nzuri haya mambo yapo
💪💪🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Funzo kubwa kwa sis wanawake. Usiache mbachao kwa msuala upitao
Uko sehemu gan wewe uko saudi
It's a nice story very educative..... i luv it soooo much
Mukovzur sana hiyo ndodawa ya mwanamke anayejiona yy ndo yy
Taaammmm kuliko asali dah waweza unguza mboga
Nice movie...ukisema wa nini.....wenzio wasema watampata lini....love from mombasa Kenya❤💞
Kweli dadangu
Mashaallah...... Yn hukikosa Kujifunza kupitia hii ww c mwanafunzi😍😍😍😍😍😍piga keleleee kwa baba asu ake
Weeeuweeeeeeeeeeeee😘😘😘😘😘mama asma umependeza acikwambie mtu💝💝💝
Weweeeee
Akhasante Kwa somo zuri Sana nimejifunza kitu. .huyu baba masu hakika amevaa uhusika kama sio move kuvaa uhalisia wa matukio kwenye jamii
Dah big up sana yan nimeipenda sana baba asu love sana kwakuwa unamaamuzi mazur sana maan hyu mwanamke dharau sana
Kweli mwanamke jeuri hii Ndio dawa yake.😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣
Paaapaaa Kk
Nimeipenda sana hii
Ukiona comments zaidi %100 ujuwe movi ni moto
Umeonaee
alimudulillahi nimeipenda sana ipo kiwango sana tena sana pia tengeza zingine zenye mafuzo kama haya (ibarikiwa kazi ya mikono yenu)
Emen
Alhamdulillah tunajifunza humu humu.
Jamani wanawake talaka tatu duh this movie is so wonderful I love it wapi part 2jamani
asanteee kwa move ila tunaomba mwendelezo
Tumejifunza bna wanawake tuache jeuri😁😁😁👌
jambo la kwanza naangalia comment
baba asu
mama asu hatari sana move nzuri sana msalimie mamdogo😂😂
Asante kwa pongezi usiache kuangalia nyingine nzuri
1.Ndoa jela
2.lovenness
3.Mtoto wa haramu
4.Moyo
Zote zipo TH-cam
Hongereni kwa kutuletea thamuthilia
Movie tamu sana lete muendelezo tafadhali tena araka jamani
Masha Allah tabaraka Allah. Asanteni team nzima.
Jamanii mwenye jicho kMa langu ajibu
"Huyu ni mtoto wake kweli au maana siyo kufanana huko kila kitu bichwa, pua, sura na komwee
nampenda san huyu kijana mov zake mzuli san
Naona coment. Zimedamshii wacha niangaliaa
Shot move but I like it woooooow amazing big up sana kwenu sijaona kosa lolote wa mapunguf kwenye hii move og og
Bado mrithi wa kanumba hajatokea kwa kweli gonga like km unakubaliana na mm lakini hii muvi ni nzuri sana👏👏👏👏
Na iwe somo kwa wengine kazi nzuri jamani
Mama mzazi wa mama asu kichaa sanaa
Huwa siangalii movie yenye comment chini ya 200 na lazima nizisome kwanza🤣🤣🤣
Bac wew mvivu
Hhhhhhhhh
Komenti zimeni shawishi kuangalia kama na wewe unaangalia uku unasoma komenti gonga lenki hapa 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Hta mm nkiona comment zinarizisha ndio naangalia
6
Kanumba namba 2 movie nzuri sana tunaomba part 2
N zruri xna naomba part 2 jamani it amazing movie
Hapa kwishine
Pole sana Kaka niatari sana kbs 👌👌
Movie nzuriiiiiiii sanaaaaaaaaaa!!
Ninachoamini.mtu.mwenye muume na mjane haiwezekani. Wakawa.marafiki mnoooo❤❤❤❤❤ movien naipenda.sana.sana
Ikopoa kweli movies
Hongereni sn nimeipenda sana muko vizur
Papaaaaa K
Kweli dunia kuna mambo
Very nyc movie congratulations to baba asuu n mama asma👌😘
Mashallah movie nizur nimeipena inamafunzu daniyake tupe party 2
Baba asu kapata chombo uamuzi wako nimeupenda mafundisho safi sana
Ukisema cha nin Kuna anae Sema nitakipta lini Asante xn kwa move mzuri yenye mafundisho
Umeonaeeh
@@khdijaahmed8458 kwakwel na nimejifunz
Kabisa
Siangalii move cha kwanza comment then move
Yaaan ungempa talaka 7 maana duhuu
Tunaeangalia filamu kwaajili ya comment kutuhamasisha tujuane
Aa
0
Mavaz manzur unaangali at a na mzazi
Endeleeni hivi hivi
Hapo sawa
Mamen sefu papaaa K
Utajua hujui we mama
Papaaaaaa K
Nawapenda sana munajuwa ku act
Very nice movie
Sichokii kuiangaliia leo mara tatuu ni nzurii kwakwel na ipo kwwnye maadili wawezaa tizama na mtu yyt
Nzur sanaaa
mm.pia hainish hamu mana nimeanza cd mpk leo nimekuja uku
Mashaallah moves nzuri inamafundisho mazuri imenifanya nimelia kwa uchungu . Duu hivi vitu vipo yaan haya Mambo yapo et.
ikopwa sanaa nimeipendaa
mashallah
Aaaa mafundisho mazuri eee mungu tusaidie
❤❤
Jamani me nimempenda uyo baba asu awe tu ata frends
Anatumia jina la mume wa dunia Instagram
@@mpoyokapictures1405 Okay thanx
Umeorewa na duniya??????mume kitu gani😅😅😅😅❤❤❤🇧🇮
Hongela Sana Kaka
Asante
asante kuni Patia iyo movie
Mwana kulitafuta! Kayataka mwenyewe sawa angalia ninini funzo kubwa sana hili
Move ma sha Allah Rahman Allah awazidishie ufahamu
Movie nzuri sana in a mafundisho kwa wanawake wajeuri went wako kwa ndoa. Ndoa haichexewi.ilobaki ni ukandange.
Movi mzur jaman mmejitahidi ongereni
Hongeren baba asu kwa move nzuri
Zimefika
Kwakweli inafundisha sana
Ukisema chanini 👌
Wenzio wanasema watakipata lini
Daa ipo pw nice nice
Iko.poa sana nzur
Huyu jamaa anajua sana... Ila movie zake ndio ghali sana kuziona. I really appriciate his films.
Mpoyoka mi naomba tumia pia media katika kazi hii...maana ulimwengu tulio nao umebaki mitandaoni
Ushauri mzuri sana ila media wanabana sana, watu walio pewa dhamana ya kukagua movie mpaka uwahonge ndio wqnapitisha. Nimeoeleka media zote ujinga ni uleleule ndiomana tumekimbilia tukiwa na imani tukipata wafuasi wengi mambo yata kaa sawa cha muhimu ni sapot kutoka kwenu
Watabana wataachia tuombe mungu tu
@@mpoyokapictures1405
Daaah, very sad...hata wabane vp kizuri siku zote huwa kinajiuza. Mungu atatusimamia inshallah....
Move Kali xan
❤️❤️❤️❤️👍Tamamu sana kwel 🇧🇮🇧🇮🇹🇿
Nimeipenda san hii movie toen mapem sana movie nyengine
Asante Sana kwa filmu nzuri sana
Nzuri sana part 2
Mashaallah movie nzuri sn
Beautiful sana 💘💘💥💥
😂😂😂😂 msalimie mamdogooo
It's so amaizing nimeikubali wapi part 2 jamani
Nakubal kz nzuri
Mwendelezo please.🇰🇪🇰🇪
Mashaallah kazi nzuri kabisa
Bonge la Movie sio unaangalia Movie watu wanacheka Cheka tuuu wahusika wote wamecheza uhusika
Pono video
Wezenu watafuta ndoa wewe waichezea Hahaha kikowapi sasa
Yaan hatari na nusu
@@kibasamohamedi8029 yani kali sana duh atari😁😁
Aka katoto kamenifurahisha kameambia baba ake eti bye bye
Safi sana umetisha
Nzuri sana Asante mnajuwa sana 💯
Nzuri sana