🔴LIVE | MKUTANO WA INJILI MBEYA MJINI | SIKU YA 1 | 06 SEPTEMBER 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- MKUTANO HUU UNAKUJIA MOJA KWA MOJA KUTOKA KUTOKA UWANJA WA OTTU MBEYA MJINI - TANZANIA. UKIONGOZWA NA @Bishop Elibariki Sumbe MWANGALIZI NA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YA GRACE EVANGELICAL CHURCH TANZANIA.
Mawasiliano / Whatsapp
+255 745 489440 | +255 782 550 710
Email:vuka.yordani@gmail.com
Tufuatilie Katika Social Media Zetu Kwa Links Zifuatazo :
/ bishopelibarikis. .
/ bishopelibariks. .
tiktok.com/Bis...
/ bishopsumbe
Website
Vukayordani.Org
LIKE | COMMENT | SHARE.
UBARIKIWE.
#VukaYordaniChurch #VukaYordaniMedia #GECT #Tanzania
#KisongoWaya #Arusha #Tanzania
Mtumishi.Mwngili.mbingu.zimekutambuwa.ubarikiwe.usilichuliye.ilo njambo.kirahisi..Asante.kwa.mkutano.nzuri.
Eee mungu naomba nisaidie baba niepushe na maadui wallionizunguka naomba ulinzi wako baba wabarki pia wazazi wangu pamoja na watoto wangu Amina
Ninafunguliwa mimi na family yangu kutoka kwenye vifungo vya magonjwa na laana za kifamily .....Amen Baba Mungu azidi kukulinda
Asante Yesukristo kwakunipa neema hii kushiliki Mkutano huu hakika nimeziona baraka zako.
Mungu naomba unipiganie tena😭😭waajenti wakose nguvu zaguhalibu ani yangu,
Nifungue n'a laana za ma baba zinazo fatana Nami Pia familia yangu Mungu atukumbuke niguse Yesu kristu
Ndiyo pasta Mungu atasaidiye tuamini kwa jinala yesu Cristo ameena
Amen Mungu atusaidie kufunguliwa macho ya Rohoni na njia za Rohoni
Bishop nimeona mahubiri yako yame nigusa sana naomba unikubuke pia mm nimeteseka vyakutosha ubarikiwe sana na mungu akuzidishie kibali
Ee Mungu dusaidie kwawatoto wetu, hata nasi, nunapigwa nawachawi, na shetani naibilisi🤲🤲😭😭😭tunaamini wew unaweza yote, nagupenda Mtumishi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️
AMEN NIKO MBELE ZAKO BWANA YESU KRISTO NAOMBA USINIPITE UNAPOZURU WENGINE
Mungu utufunguwe nakutuepusha na hewa zooooooooooooooote mbaya zinazo tufwatilia
Amen barikiwe sana kuleta ufalme wa Mungu Mbeya
najiunganisha Kwa jina la yesuu
Amina baba mungu akuo.ngezee siku nyingi duniani
Amen
Ahsantee sana Yesu kwa siku hii ya mkutano
Amen que Dieu soit loue sur la terre comme au Ciel
Amen and amen in the might name of Jesus Christ
Hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤
Mungu husinipite nakuomba baba
Ameeen ubarikiwe mtumishi kw mungu
mungu nifunge zaidi macho ya rohoni
MUNGU awalinde mshinde ktk injili na nguvu ya uchawi ishindwe ktk jina la Yesu kristo
Mungu ni mwema kwa wana mbeya ametupa mtumishi mzuri ili atuhudumie sawasawa Na alivyo mtuma yesu niponye kupitia mtumishi wako
Amina hakika Mungu ni mwema
Najiungamanisha na ibada hii kwa jina la yesu Kristi wa nazareti aliye hai,nafunguliwa dhidi laana za Koo zote,familia yangu inafunguliwa,kiuchumi,vifungo vya aina yoyote, Amen
Mungu atukuzwe Sanaa
Asante umekuja na tumebarikiwa
Ameeen 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Asante kwa mkutano/kongamano zuri
Mungu naomba husinipite
Asante ubarikiwe baba
Niko hapa Bwana Yesu kristu niguse Rabi nakuamini wewe tu
Amen Amen 🙏
Amen Amen ❤Amen baba ❤
God bless you man of God
Amen
Amina bwana yesu asifiwe
Amen baba🙏🙏🙏
Amen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
AMEN AMEN.TUKO.PAMONJA
BWANA.USINIPITE.
Dufunguliwe sisi na familia yangu, nandugu zangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭
🙏🙏 Jesus Christ he's King and really 🙌🙏🙏💯❤️
Ubarikiwe babayetu
Mungu akupe nguvu
Mwokozi ponya familia yangu,
Hallelujah 🙏
Asante mfalme waamani
Ameen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yesu nifundishe najiunganisha na uwepo wa Mungu uliopo hapo viwanja vyao Ottu ulipomtuma mtumishi wa Mungu Elibariki Sumbe.
Amen 🙏🙏🙏🇰🇪🇸🇦
Amen Najiungamanisha na mkutano huu Ee Mungu nikuone kwenye Afya yangu na njia zang
Mbeya kwa Yesu kristo
Mungu anisaidie niwe mtakatifu
Amen amen amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa kazi ya Mungu neno na maombezi
Ameeeen Ameeeen
Shalom
Amina sana
BWANA AZIDI KUKUTUMIA BISHOP SUMBE
Eh mungu asifiwe Niko kongo
Bora,unawaombea watumishi wa.Mungu.Umelijua tatizo.Ni.la kiroho zaidi.Asantw
Ameeeeeeen
Mungu nakuomba unifungulie macho ya kiroho niweze kuonambali....AMEN
Asante Mungu kwaajili ya huyu mkutano unao fanyika mbeya naomba unihurumie zambi zangu moyo wangu uweze kukuta nawe
Utukufu kwa MUNGU
Najiunganisha na mkutano huu kwa jina la yesu aliye hai usinipite bwana
Ameni
YESU niponye miguu, gusa cini ya miguu. Na mapajanii .niponye YESU 😢😢😢
❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Baba nimebarikiwa sana
👏👏👏👏✊
🙏
MUNGU wewe n tegemeo yangu naamini tutatengwa na mizimu ktka jina LA Yesu
nipo tayari kutoka iringa
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Naomba munguwangu najikusanyeka kwa hii kutano huu hadi itapoisha naomba nguvu zangu nakutengemea wewe maseya jehova nise shalo unibariki kwa vyote
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🇺🇸🇺🇸🇨🇩
Mkutano unaanza kesheo saangapi
Najiunganisha madhabau hiii
Matayo 11:28:30
Ame
hakuna picha
Amen
Asante ubarikiwe baba
Asante Yesu kristo 🔥
Asante mfalme waamani
Amen 😊
Ameeen 🙏🙏🙏
Ameen 🙏
Ameeeen
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻
Ameen👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Asante mfalme waamani
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Amen amen
Amen
Amen
Amen 🙏