BAGAMOYO SUGAR || Hatua kwa hatua uanzishwaji kiwanda had uzalishaji sukari

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • Bagamoyo Sugar mkombozi mpya Tanzania katika eneo la sukari.
    Kiwanda kikubwa kilichoanzia kwenye wazo lililotolewa na hayati John Magufuli, Rais wa awamu ya tano wa Tanzania.
    Hebu shuhudia hatua kwa hatua ya namna kiwanda cha Bagamoyo kilivyoanzishwa hadi kufikia leo kilipoanza uzalishaji unaokidhi mahitaji ya soko la sukari nchini.

ความคิดเห็น • 73

  • @Chombezaflava
    @Chombezaflava ปีที่แล้ว +13

    MAGUFULI REST EASY focus yako kwenye future ilikua best

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 ปีที่แล้ว +2

      VP aliwekeza bei gani kwenye kiwanda hiki?

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 ปีที่แล้ว +1

      Magufuli alimpa Bakresa ekari elfu 10 alime miwa za kuzalisha sukari. Umeelewa we PIMBI!?

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 ปีที่แล้ว +1

      @@mimiraia2531 alimpa halafu Bakhressa akalipa zaidi ya billion kuhamisha watu. Unajiona una akili sana sio? Shwain kabisa

    • @brother_majesty
      @brother_majesty ปีที่แล้ว +1

      Yes...he is the one provided suitable environment

    • @jiweg-unit5408
      @jiweg-unit5408 ปีที่แล้ว

      @@mimiraia2531 mwambie gay huyo ,ukimtoa jk nyerere marais waliopita hawamfikii hata kidogo jpm kikazi hata kimaono ,Awamu ya 5 ni wizi tuu watanzania karibu 85% wanalijua hilo

  • @travesseniorchannel
    @travesseniorchannel ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana kwa SSB & Azam Group of companies kwa mradi huu. Sisi wakazi watarajiwa wa Makurunge tunafurahi kuwa karibu na mradi kama huu. 👏👏👏😃

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan ปีที่แล้ว +2

    Maasha Allah.... Allahumma baarik... Hadhaa Min fadhir Rabbi.

  • @williamkiyumbi2800
    @williamkiyumbi2800 ปีที่แล้ว +15

    RIP JPM we love you

  • @winstonabamwesiga8276
    @winstonabamwesiga8276 ปีที่แล้ว +4

    This man 👍. wa tofauti.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah Bahresa,Bahresa

  • @jumaally8387
    @jumaally8387 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mzee bakhresa,hongera pia kwa waandishi walioandaa makala hii kwaubunifu wakiwango kikubwa.

  • @salmabingwe0655
    @salmabingwe0655 ปีที่แล้ว +3

    Bakhresa tajiri ambae hana majivuno:inshallah:

  • @outzone66
    @outzone66 ปีที่แล้ว +2

    Namshukuru mungu kwa uwepo kwa mwekezaji wetu mzawa

  • @mohammedikingazi5109
    @mohammedikingazi5109 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana SSB

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 ปีที่แล้ว +2

    Ni Jambo la kujivunia kwa mafanikio yenu na uthubutu wa hali ya juu kuijenga Tanzania mpya. HONGERA sana.

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 ปีที่แล้ว +2

    Kongole kwa Azam Group💪🙏🙏🙏

  • @abdulrahmanissa9413
    @abdulrahmanissa9413 ปีที่แล้ว +2

    Big up Bagamoyo sugar SSB group

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezimungu Amjaalie kheri
    Na afungue viwanda vingine vingi

  • @geja8708
    @geja8708 ปีที่แล้ว +1

    KILA LA KHER BAKHRESA GROUP ❤

  • @avogadroskasembe4841
    @avogadroskasembe4841 ปีที่แล้ว +4

    Jpm alitamka na mzee bakhresa akafanya kwa ujumla mnastahili pongezi

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 ปีที่แล้ว +2

    Pongezi kwako mwekezaji mwenzangu mzawa, pongezi kwako pia mwandishi kwa usanifu wa kuwasilisha makala.

  • @isunga1964
    @isunga1964 ปีที่แล้ว +2

    Sasa tutapata team ya mpila Bagamoya sugar kama kagera na mtibwa 😊😊😊

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw ปีที่แล้ว +2

      ni team ya mpira sio mpila

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 ปีที่แล้ว +4

    JPM forever

  • @brother_majesty
    @brother_majesty ปีที่แล้ว +1

    Excellent job...baada ya kufaidika na Mali ya umma

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz ปีที่แล้ว +1

    Magufuli hakutoa eneo bure sema alibariki uwekezaji,ila Bakhresa alitoa pesa zake na kulinunua.

  • @netlity5532
    @netlity5532 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana...Mega investment! 🙏

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 ปีที่แล้ว +3

    Watu mia tano walikuwa na vijumba vyao kule.

    • @emmanuelmasanja6040
      @emmanuelmasanja6040 ปีที่แล้ว +1

      duh kumbe na wewe umeiona hiyo,nilfikiri nimeona peke yamgu

  • @maftuhihassan3114
    @maftuhihassan3114 ปีที่แล้ว

    Hongereni woote kwa ujumla

  • @edgeofficesolution7922
    @edgeofficesolution7922 ปีที่แล้ว

    tanzania ya viwanda.pongezi nyingi sana kwa ssb

  • @ericisidore8083
    @ericisidore8083 ปีที่แล้ว

    Nakumbushia zijengwe Nyumba za Ibada kwa dini mbalimbali sambamba na makazi mazuri ya wafanyakazi wenu Bagamoyo Sugar. Kongole sana

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 ปีที่แล้ว +2

    Uzuri wa Bakhresa vitu vyake huwa sio vya janja janja.

  • @alifocusmsham7623
    @alifocusmsham7623 ปีที่แล้ว

    Inspired. A lot

  • @mwemsiabdul7498
    @mwemsiabdul7498 ปีที่แล้ว +4

    Muwe waungwana lazima msifie magufuli bila yeye msikuwa na eneo

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 ปีที่แล้ว

    Magu aliona mbali sana na ndiyo maana sasa hivi Azam wanaongoza kwa mifano.

  • @J4UPro
    @J4UPro ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @edgeofficesolution7922
    @edgeofficesolution7922 ปีที่แล้ว +1

    RIP JPM

  • @jacksonsikwasikawa1890
    @jacksonsikwasikawa1890 ปีที่แล้ว +1

    ongezeni sana ndg zangu mbali kwanza yote mkali wazawa

  • @touyegates1433
    @touyegates1433 ปีที่แล้ว +1

    Kasulu sugar inafuata, trust the process.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 ปีที่แล้ว +1

    TumuenZi Bahresa

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 ปีที่แล้ว +3

    rais magu alitoa eneo hilo moja ya mategemeo yake ni ushushaji wa bei ya sukari lakini mbona sukari yene iko juu kuliko iliyopo madukani hivi sasa?

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 ปีที่แล้ว

      Kwani Nini kilicho mtokea Dangote kwene Cement

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana

  • @eazyentertainment5570
    @eazyentertainment5570 6 หลายเดือนก่อน

    Makilmani unatuangusha unatundanganya muhindi wa wawatu hajasema hayo unayotafsini aisee

  • @mohamedshaban6880
    @mohamedshaban6880 ปีที่แล้ว +2

    Mungu andelee kukubarik said Salim bakharesa na akupe umri mrefu na maarifa inshallah

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 ปีที่แล้ว +1

    mashaallah

  • @PhilibetLadislaus
    @PhilibetLadislaus 7 หลายเดือนก่อน

    Hatujaona nafuu kwa nchi

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 ปีที่แล้ว +1

    SSB inahit kupewa kudos!

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 ปีที่แล้ว

    MashaAllah!!!

  • @ephraimephsamauto7214
    @ephraimephsamauto7214 ปีที่แล้ว

    Kwak Hali his jamani mbona Tanzania isifanye kilimo cha umwagiliaji,jamani vijana wengi hawana ajira,njaa kali, Mama yetu jaribu hii,waziri wa kilimo

  • @MariaNgusa-gn4gk
    @MariaNgusa-gn4gk 3 หลายเดือนก่อน

    Nikitaka molasisi nipataje ? Mimi nimfanya biashara ya .

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 ปีที่แล้ว +3

    R.I.P JPM

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio wasomi sio maprofesa wa bongo na wasomi wetu hata sindano Hawawezi kutengeneza

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 ปีที่แล้ว +1

      Shida ya Watanzania huwa mnachanganya hamjui tofauti ya technician na Academician km Prof. Kazi za prof. sio kuendesha mitambo kazi yake ni kufanya tafiti. Halafu wabunifu wanaweza kusoma hizo tafiti na kubuni technologia. Hao unaowasifia wamefundishwa na maprofesa halafu na wao wakajiongeza.

  • @emmanuelpeter8286
    @emmanuelpeter8286 ปีที่แล้ว

    Kiukweli ningelisikia vibaya na kuwalaani kama msingeliweka jina la Magufupi kwenye makala yenu, ila niwapongeze kwakuishi kwenye uhalisia wandoto zake Hongera Salim baharesa.

  • @RichardGhatiOjina
    @RichardGhatiOjina 10 หลายเดือนก่อน

    Hi

  • @jacksonsikwasikawa1890
    @jacksonsikwasikawa1890 ปีที่แล้ว +1

    sasa sukari mbona aishuki bei uku Arusha 2800 kwa kg 1

  • @michaelmotika5250
    @michaelmotika5250 ปีที่แล้ว

    Ni juhudi kubwa Ila u aguzi wa dini katika ajira!!!!

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 ปีที่แล้ว

    Mmepewa ardhi bure na serkali sasa sukari muuzie watanzania kwa bei ya nafuu.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 ปีที่แล้ว

    Bakhresa ndio tajiri anae jielewa

  • @revoltmind4386
    @revoltmind4386 ปีที่แล้ว

    Revolt mind

  • @revoltmind4386
    @revoltmind4386 ปีที่แล้ว +1

    Mapinduzi ya fikra

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 ปีที่แล้ว

      Yaliyoletwa na Magufuli

  • @kiatu
    @kiatu ปีที่แล้ว

    Umaskini tunajitakia-serkali kutaka kufanya kila kitu badala ya ku-facilitate biashara. Angalia inavyofanya kwenye entertainment- inaendesha tuzo..!!!

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 ปีที่แล้ว

    JPM NI RAIS TUNAENDA KUISHI NAE MUDA MNO .SIO SIASA ALIKUWA MTENDAJI WA WANANCHI

    • @Baba-nm4qz
      @Baba-nm4qz ปีที่แล้ว

      Magufuli kabariki hilo eneo kuanzishwe kiwanda lakini hakulitoa bure,Bakhresa amelipia acheni kumsifu huyo mtu wenu tatizo la watanzania tunashabikia ujinga ni sawa na Makonda kutoa eneo na kuwapa yanga kumbe eneo lilikuwa la Manji ambae alikuwa mfadhiri wa yanga walimnyanganya.

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 4 หลายเดือนก่อน

    Pesa zinatoka mbali sana