wa kwanza apa kwa Darasa a man himself call him Mr burudani ...jamaa anajua anatoa ngoma za moto daily ...wanamchukulia poa flani hivi ila jamaa ni genius...keep rolling brother
Eti Lunya hebu toa ujinga hapa , yaani Darassa akimbizwe kipesa na fanbase na Lunya ambae TH-cam counts zake hazifiki milioni 8 huku Darassa ana Milioni 95😂😂😂
wa kwanza apa kwa Darasa a man himself call him Mr burudani ...jamaa anajua anatoa ngoma za moto daily ...wanamchukulia poa flani hivi ila jamaa ni genius...keep rolling brother
Yes waanbie wana hip hop hatukoseii
Ngwea hakuondoka bure.... Hii ni moto ingine🤙🤙
Jamaa namkubali sanaa
Huyu jamaa bhana🔥🔥
big up darassa ,i got love for you
when it comes to artistes interviews, i crown you the queen mamaaa.
Thank You so much... I'm humbled 🙏🏾🙏🏾
Ama big funny for you my brother ✊🏿🔥🔥
The Best🎉
you are the best
Respect Rasta Mr burudani ni mtu mmja mbad anaeelewa anajua big up Rasta
Kiwalani 👑King 💪
Nzuri
Namkubali sana Darasa
Wagwan Man Darassa it's like Con boi
mtu imara ,fan from +257
Darassa the king of rap 🔥🔥......
Unamjua Nikki ww, unamjua dizasta ww acha hiyyo kitu papaaa
@@ericksonmuhulo1570 😀😀sawaa banaaaa.....
@@ericksonmuhulo1570 muache darasa kama alivyo
Genius
Fish unakula 🐟 fish
💨💨✌🏾
Mr burudani
Wakae mbele wanakujua ww ni tinga tinga 🙄
Msanii ambae haongeag ngel kwenye intervw ni nay wamitego
Mind ur bness😀
🎙️🤍✍️
Yaan kwa mwendo huo wakufanya kazi kwakujiskia 2 years or 3 ,lunya atawabuluza Sana Wana hiphop kwa pesa kwa tuzo kwa fanbase, over
Ohoo 🖋️🤣
Umemaliza....Over and out..😅
Eti Lunya hebu toa ujinga hapa , yaani Darassa akimbizwe kipesa na fanbase na Lunya ambae TH-cam counts zake hazifiki milioni 8 huku Darassa ana Milioni 95😂😂😂
Eti Lunya atawaburuza sana, kuna watu hata hip hop hamjui ni nini? Unaambiwa utaje wasanii wa hip hop Tanzania unamtaja Lunya?🤣
ma-men unamcopare lunya kwa darasa. itakuw hujui game bro