Tesla (Marekani) yauchukua tena ufalme toka kwa BYD (China) kwa kuuza zaidi magari ya umeme duniani!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 90

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 หลายเดือนก่อน +6

    Maana halisi ya SIMULIZI NA SAUTI..SNS...HONGERA BWANA ALLY MASUBI

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns หลายเดือนก่อน +7

    Kuna figusu hapa sio bure... Au itakuwa serikali ya Marekani imeyanunua magari ya Tesla ili washinde wao

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 หลายเดือนก่อน

    Ally masudi na dj smaa wachambuzi wazuri sana

  • @adilishaban9491
    @adilishaban9491 หลายเดือนก่อน +1

    nimejifunza vingi sana kwenye hizi mada keep pushing

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx หลายเดือนก่อน +3

    Aya swali linakuja mimi na wewe tufanye nini Kwajili Ya taifa na familia zetu kwaujimla 😢

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 หลายเดือนก่อน

    Ally mchambuzi mzuli sana

  • @barakamkumba254
    @barakamkumba254 หลายเดือนก่อน +2

    Ally masubi is the BEST🎉

    • @KidugaZubery-ku3so
      @KidugaZubery-ku3so หลายเดือนก่อน

      Kichek sma ndo habari ya mjini fuatilia fuse ndinga

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 หลายเดือนก่อน +1

    Sky cheki na story japan anatengeneza hybrid eletric landcruizer kiwanda kitakuwa marekani we need to hear that story

  • @Alphertv
    @Alphertv หลายเดือนก่อน +1

    Duuuh

  • @user-pz9bh3pl4t
    @user-pz9bh3pl4t หลายเดือนก่อน

    Nice sky unajua ani

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Nzr

  • @josephlyimo1351
    @josephlyimo1351 หลายเดือนก่อน +3

    Ali masubi uko vizuri san oya sky yule jamaa wa fakti hatumuitaji kwenye uchambuzi

    • @JeanMalilo
      @JeanMalilo หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      sema ww na mashoga wenzako

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw หลายเดือนก่อน

    Hao wanapo sokoni wanaweza mlipa mtaalamu yoyote ili campuni iendelee wao hawaangalii pesa wanaangalia Brad pia hapo kuwa hawana madini hebu tujifunza kuwa akili ni kitu kikubwa kuliko chochote wanatumia technology tu

  • @user-ml7nv3vz7w
    @user-ml7nv3vz7w หลายเดือนก่อน +1

    Daah mungu asaidie siku moja mchina awe Bora kwa uchumi walau marekani apunguze maafa anayoyafanya kwa ulimwengu

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน

      Wenawe 🤣wachina na maplastic yao wanini wanajaza uchafu duniani 🤣🤣🤣🤣afrika limekua bara lakutupa mauchafu yao wanayotutengenezea,,,, utasema una hela yakununua io tesla 🫣

    • @mundhirothman9842
      @mundhirothman9842 หลายเดือนก่อน +1

      Anawaskia2 wachina hawafaii

    • @timotheothadeomgassa4929
      @timotheothadeomgassa4929 หลายเดือนก่อน +1

      Akili za watu masikini nikuwaombea mabaya wale waliofanikiwa 😅

    • @user-ml7nv3vz7w
      @user-ml7nv3vz7w หลายเดือนก่อน

      @@timotheothadeomgassa4929 Jitu Zima ovyo umasikini upi wee qumaa nini

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      mda tu mashoga washashuka tear sema wao wanajipa prom

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 หลายเดือนก่อน

    😂😂sema marekan wana haha saiv ,,walimzarau mwamba saiv anawahemesha

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 หลายเดือนก่อน

    Kwa china EV zipo nyingi na nzuri na bora kuliko Tesla na BYD, mfano kuna Li Auto ni EREV hii ni gari ambayo inatumia Mafuta kuzalisha umeme kwenda kucharge battery hii ukiweka full tank na full charge Inatembea kilometers 1200 china ni kubwa na ukiwa safari charging station zinakua na foleni sana na gari Kama Tesla zinatembea 350 to 450 kilometer kwa full charge bado ni changamoto kwa ukubwa wachina hasa ukiwa safarini 🙃

    • @karimhamisi4627
      @karimhamisi4627 หลายเดือนก่อน

      Hizo hata japan walikuwa nazo ni za muda kidogo hbrd sasa hivi dunia inataka kutoka kwenye mafuta na kuja kwenye EV na sio kutumia tena MV

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Model 3 na 2

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437 หลายเดือนก่อน

    Ilifikia dj sma nikaacha kua naagalia masimuliz yake make ajui kuchambua

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Tesla model 2 mpya iyoo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Tesla

  • @godfreymgaya2025
    @godfreymgaya2025 หลายเดือนก่อน

    Mchambuzi yeyote ukishatanguliza hisia lazima ufeli. Yule mdini DJ Sma lazima afeli maana amejaa mambo ya kufikirika ( conspiracy theories)

    • @salimfaraj5509
      @salimfaraj5509 หลายเดือนก่อน

      Hana udini, chuki zako kwa Smaa

    • @SAM_163
      @SAM_163 หลายเดือนก่อน

      ​@@salimfaraj5509nikweli Jamaa Ana udini na hubase upande mmoja always ....
      NAFIKIR PIA ANA INSHU BINAFSI ZINAMUUMIZA Kisaikolojia hazipendi kabisa NCHI KAMA MAREKANI, & ISRAEL NA ULAYA KWA UJUMLA Na unfortunately haimsaidiii kitu coz ni powerful tayar hizo nchi Hana chakufanya hata akijitia moyo kutuchambulia huku watz 😂

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x หลายเดือนก่อน +1

    Iyo ndio USA

  • @JeanMalilo
    @JeanMalilo หลายเดือนก่อน +2

    Yule jamaa wa fuse anatangaza dini tu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Tesla inakja bongo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Tesla babalao

  • @adilishaban9491
    @adilishaban9491 หลายเดือนก่อน

    likes zangu

  • @Backtz
    @Backtz หลายเดือนก่อน +1

    😂

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 หลายเดือนก่อน

    DRC ndio inchi na 1 kuwa na madini ya lithium kwa wingi, lakini Africa tumebakia wajinga, hii ni kutokana na viongozi wetu.

    • @salimfaraj5509
      @salimfaraj5509 หลายเดือนก่อน

      Sio viongozi tu wajinga hata wewe mjinga

  • @Zenny89
    @Zenny89 หลายเดือนก่อน

    BYD kumpita Tesla ni ngumu sana..hata akifanikiwa itakuwa muda mfupi tuu..kumbuka BYD Hana soko Kwenye Nchi nyingi za Magharibi kulinganisha na Tesla..Sababu ni kampuni ya China..na watu magharibi sio Mashabiki wa vitu vya kichina hasa technology.

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 หลายเดือนก่อน

      Baba fanya research, ulaya raia wanazikimbilia gari za BYD coz ne cheap na comfortable!! Endelea kukariri kuwa mchina ni feki

    • @Zenny89
      @Zenny89 หลายเดือนก่อน

      @@Gulfnas1 Embu rudi na soma Tena nilichoandika..Sijasema Hana soko kwenye Nchi za magharibi ila ni Nchi chache za magharibi ukilingamisha na Tesla.. Au ulipata Zero nini kwenye kusoma makini😆

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Zenny89hao marekani mashoga wanajipa prom tu

    • @Zenny89
      @Zenny89 หลายเดือนก่อน

      @@omarymwaluko9765 Watu mkikosa point mnaanza kutukana😂..Usisahau mashoga bongo wapo kibao pia hadi wanajeshi na polisi usije waita wenzako tuu.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      @@Zenny89 marekani ndo analazimisha ushoga yeye jeshi lake asilimia 70 mashoga na marekani msababish migogoro duniani wameweka Sheria kukopa bank ya dunia mpaka ukubali ushoga Uganda kapinga ananyimwa mikopo halafu bado ww unawashabikia hao mashetani hasara hiyo

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x หลายเดือนก่อน +11

    Mda niliwaambia uyu ally ni msomi sio yule mwenye ugaidi ye achambui anatangaza dini

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂kumbe wengi tunaona 🤪

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน +1

      Uwe unajaribu kuficha upumbavu wako

    • @yusufally5168
      @yusufally5168 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe shoga acha chuki.

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo Gaidi

    • @vanconmatalange9461
      @vanconmatalange9461 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli kabisa huyu anafanya objective analysis anauwelewa wa mambo anayoyazungumzia yuke dj anafanya propaganda clearly ni pro china, Russian,etc yuko bias