@@superwomen233 sina hakika lakini hata kama yupo sio wa kudumu,tunataka yule mtu ambae tunakaa kusubiri interview yake kama ilivyo kwa miraji na Mzee Said.
Miraji acheni chuki manara huwezi kumtenganisha na simba na mpira wa Tanzania manara ni mwanasimba na anamvuto kwa simba kuliko msemaji yoyote wa bongo akiwa ni simba manara ata uunganishe Ally kamwe na Ahmed hupati manara huo ndio ukweli manara ameshindwa kuhit yanga sababu ya kuipenda simba
😂😂😂tukianza ubaya ubwela tunachukua wachezaji wenu wooote wa simba queen yani inatutia aibu sana timu yetu yawanawake kiukweli natamani ile ya jkt ingekua yetu ila sina namna wote wakina tresha tutawarudisha inshallah tumuachie makamu wa rais arfat na kocha mpya edina yani mtakoma tunataka timu zetu zote zifanye vzr adi ya under20 miraji
Manara ni simba hata ashike msahafu wa dini yake yeye hajali kuapia anaapia tu huyo ni mnyama na hapowi hapowi simba udogoni kwake alikua anatatizana na wazee wake kitwana manara sannde manara kasim manara juu yasimba anamapenzi tangu ananyonya
Assalaam aleikum, nawatakia jumma njema sote amiin. Kazi mzuri mnaifanya. Tunafrahi nikiwa Saudia nawafatilia
Kutoka Oman 🇴🇲 nawapata vizuri Ally kamwe the best 💚💛💛💚
Unaongea pumbaa nyamaza
Habari yako Team-Gulf 🇴🇲 ❤
Miraji ametunukiwa kupenda soka, great thinker 👍👍
Kila nabii na zama zake Alikamwe ndio king kwa sasa no doubt
Yani mpaka mseme kenge nyie naona ma queen wameanza kulalamika😅😅😂😂😂
Uko sawa Miraji siyo sahihi kumfukuza KOCHA Bali wacheza waliopo siyo wazuri viongozi wajirekebishe!!
❤❤❤❤ sema chagamba unamazoez ya begi
Nimewapenda Bure Kwa maada yenu nzuri na inaleta motisha sana
Asante Mungu, leo nimepata chama langu live, kilasiku nawai kilalo
Chagamba miraji big up
matisheti ya FILA na NIKE tumevaa sana😂
familia 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 🤞🤞
Chagamba huyo jamaa hatakuvunja bega kwakweli😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 dakik mbili kasha piga bega la mwenzie 😅😅😅😅
Miraji jirekebishe. Sema ukweli juu ya goli la mama Kwa Simba queen
😂😂😂😂😂😂
Ngoja afike club bingwa kwanza
Chagamba wadau wako wote ni wanasimba ungetafuta na shabiki mmoja wa yanga ukawa unafanya nae mahojiano kama hivi nadhani itanoga zaidi
Mbona yupo mmoja hivi na anajuwa kuuchambuwa mpira vizuri tu
@@superwomen233 sina hakika lakini hata kama yupo sio wa kudumu,tunataka yule mtu ambae tunakaa kusubiri interview yake kama ilivyo kwa miraji na Mzee Said.
Miraji anatosha sana kwa sababu haegemei upande mmoja, na akiegemea anaweka wazi hivyo inakuwa poa tu (mimi ni Mwananchi ujue)
Asa shabiki wa utopolo atqongea nn zaidi ya kubishana
Acha unazi wa kibaguzi
Goli la Mama ngoja afike club bingwa kwanza
Miraji acheni chuki manara huwezi kumtenganisha na simba na mpira wa Tanzania manara ni mwanasimba na anamvuto kwa simba kuliko msemaji yoyote wa bongo akiwa ni simba manara ata uunganishe Ally kamwe na Ahmed hupati manara huo ndio ukweli manara ameshindwa kuhit yanga sababu ya kuipenda simba
😂😂😂tukianza ubaya ubwela tunachukua wachezaji wenu wooote wa simba queen yani inatutia aibu sana timu yetu yawanawake kiukweli natamani ile ya jkt ingekua yetu ila sina namna wote wakina tresha tutawarudisha inshallah tumuachie makamu wa rais arfat na kocha mpya edina yani mtakoma tunataka timu zetu zote zifanye vzr adi ya under20 miraji
Huu nimfumo wa kibiashara kabrand hivyo na sianaenda soka kijiweni na maeneo mengi mbona
Chagamba baki na wadau WA Simba wadau wa yanga watakuroga ila Simba Maisha safi
Ndo mnachowaza ushirikina muda wote hakuna kingine cha maana mnachowaza
China wanamwanaa
Manara arudi tu simba
Kua makini na huyo jamaa atakuja akuvunje bega chagamba
Miraj sanda inaka kwake
😂😂 coast tusome albadili😂😂
Kosta tamaa
Thaulie umasema chagamba tafuta shabiki wa yanga kama mzee saidi
Perfect combo😅
Huyo ropo ropo manara,asingefikisha miezi sita,angefungiwa tena huyo,bora mmemshitukia mapema 🤣
Bado wiki 2 chagamba ataota sugu kwenye bega au atatembea upande upande mana sio kwa makofi hayo😂😂
😢shida mashabiki wengi wa yanga hawajui kuelezea jambo Fulani wengi wao uelewa wao ni mdogo ,mfano Mzee wa utopolo ataeleza Nini hapo na ukaelewa?
Wewe unagongwa..
Ndoo ivyo awe anaendelea kuoji wanasimba maana ata uyo chagamba ni Simba sio mwandishi wa habariuyo mazara yake awezi kuyaona wafuasi wamepungua
Chagamba mwenyewe simba Lialia,hiyo ni chanal ya simba live
Miraji mara moja hilo bega la chagamba mbona kama vile anavumilia 2 hataki kusema anaumia unajua
Yani simba saiv wanongeria simba jike inamaana simba dume kashang'oka meno
Chagamb tafta int view na waxhbki wa tim nyengne ata azam yng xngida xo ximb 2 kila int view
Hutaweza kuona hiyo kitu inatokea coz hao ni wana Msimbazi
Miraji uchambuzi wako unavutia sana
Msiwalete watu waende huko kwenye watu wao wanakotukashia hawana uchambuzi bali kuitukana simba, wambokile wana tv zao
Wazeee watanga wasenge tena wasenge tim zingine tanga zina panda ringi wana zishusha kwa figisu iri tanga nzima ibaki kost.....uo.ndo.usenge wa tanga
kweli ebu tafuta na wadau wa nyanga 2 mambo yatakuwa mazuri
Em acheni ujinga hakuna timu inacheza kwa sababu ya motisha. Huyu Mama acheni kumlisha maneno
Chagamba tafuta mike ya kupachika ili umhoji akiwa mbali na wewe vinginevyo Kila siku utatafuta dawa ya kuchua bega
Miraji punguza ushabiki costal hata angekuwa bora vp hawezi kuwatoa wale waangola
😂😂😂😂
Manara ni simba hata ashike msahafu wa dini yake yeye hajali kuapia anaapia tu huyo ni mnyama na hapowi hapowi simba udogoni kwake alikua anatatizana na wazee wake kitwana manara sannde manara kasim manara juu yasimba anamapenzi tangu ananyonya
Umemsikia anavyosema chagamba
ngonge la show
Chagamba mbona wadauwakowote nisimbababaa hakunawayanga wanaojuwa kuchambuwa? Tafta japo mmojabas tupateradhachagambaaaaaaaa
Na gamba ni kolo pia
CHAGAMBA tuletee AMBOKILE na JUSTIN KESSY