MJE TUWAOMBEE WEWE NA MWANAO WOTE MNA MAPEPO,MSIPO TUBU YATAWAGEUKA HAYO HAMTAAMINI.HUYU MZEE KWA YALISHA MPIGA NA UZINZI.NA HAJATUBU.MUOKOKE MUMPOKEE YESU,AWAFUNGUE
Kindly as you bring his news . kindly also ask her why he took people money who are suffering with pain ..they are in pain they don't know what to do ..but the father of this child take advantage of peoples money.. kindly as him to return people's money!!!!!
Tatizo la cc binadam tupo mbele kuongerea makosa yawenzetu hatuna utu wakufundichana pale mwenzetu alipokosea iri tumsaidia kumuonyesha njia nzuri lakn tunabaki kutukana matusi yasio namana tunasahau yakwamba kra binadam yupo majaribuni atakama unaweza kua mtu mwema razma unadondokea kwenye kujaribia nashetani na cc sio malaika iri tusidondoke razma unajikwa nakuinuka tena kuenderea nasafari
Muhongo sana wee baba
Pamoja sana
Mungu awe pamoja nanyi majaribu ni ya mda tu,
Amen
Asante Mungu ni wahuruma sana
Amen
MJE TUWAOMBEE WEWE NA MWANAO WOTE MNA MAPEPO,MSIPO TUBU YATAWAGEUKA HAYO HAMTAAMINI.HUYU MZEE KWA YALISHA MPIGA NA UZINZI.NA HAJATUBU.MUOKOKE MUMPOKEE YESU,AWAFUNGUE
Naomba namba yenu ya simu baba yunis ogoto
Hujaiona hapo?
Mbna msihudumie watu bila pesa,,mtu hapangiwi kiwango cha sadaka atakayotoa
Walikupangia kiwango cha sadaka?
Nataka hio maji
Fika nyumbani kwao na mtoto
Jambo na sisi tunahitaji kupata hio maji tupo.huku Canada utusaidie baba muzanzi wa Unis
Amen
Mimi ninahitaji Hiyo maji.
Fika kijijini kwao Bukama
Asante baba kwa kumtunza mtoto Mungu awabariki sana.
Amina
Kindly as you bring his news . kindly also ask her why he took people money who are suffering with pain ..they are in pain they don't know what to do ..but the father of this child take advantage of peoples money.. kindly as him to return people's money!!!!!
Ok
Tutapata number wapi
Kwenye hii video
Na mimi naitaji maji hayo nipo USA 🇺🇸
Wasiliana na wazazi wa mtoto, but ukiwa fika nyumbani
Za siku mzee Ogot. Tunaitaji maji hayo . Tutapata je maji hayo sisi wenye kuwa nje ya Afrika? Tunaomba msaada.
Wasiliana naye kwe kwenye namba alizotaja
Je mtoto alipopotea alikwendawapi? Kama angekuwa wa Maria h angekuwa unatoza tozo
Barikiwa
Yanatibu ukimwi?
Imani yako na ikuponye
Imani yako inakuponya
@@beatricemalisa3132 amen
Can we get the contact number
Tatizo la cc binadam tupo mbele kuongerea makosa yawenzetu hatuna utu wakufundichana pale mwenzetu alipokosea iri tumsaidia kumuonyesha njia nzuri lakn tunabaki kutukana matusi yasio namana tunasahau yakwamba kra binadam yupo majaribuni atakama unaweza kua mtu mwema razma unadondokea kwenye kujaribia nashetani na cc sio malaika iri tusidondoke razma unajikwa nakuinuka tena kuenderea nasafari
Amen